JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 7,808
- 16,972
Apokee simu yako, ili iwe nini? Umeishahamia ccm, Jenga ccm, sasa unawashwa na nini? Umeishapata mume mwingine, wa zamani, unamtakia nini?Mwenyekiti amekuwa na hulka ya tofauti hivi karibuni, imepita takribani miezi sita hatuwasiliani na siyo mimi tu, sana sana tunaonana kwenye vikao vya kamati wakati mwingine akipigiwa simu hapokei hawasiliani na viongozi wenzake''
----
Mbòwe acha uoga, pokea simu za Msigwa.
Ukipita uchaguzi wa serikali za mitaa tu na yeye anapita kushoto na kusahaulika.Muda si mrefu anapotea
Pengine pricetag ilikuwa inaendana na mashambulizi dhidi ya Mwamba MboweMsigwa itakuwa anaanza kuchanganyikiwa. Kwani amesahau nini chadema?
Sometimes watu hawasomi historia, Msigwa amwangalie Zito Kabwe, Hana ushawishi na umaarufu kama ule aliokuwa nao Chadema tena! So kama yeye kaamua kuondoka basi atulie tu, ale makinikia yake kimya kimya.
Mwenyekiti amekuwa na hulka ya tofauti hivi karibuni, imepita takribani miezi sita hatuwasiliani na siyo mimi tu, sana sana tunaonana kwenye vikao vya kamati wakati mwingine akipigiwa simu hapokei hawasiliani na viongozi wenzake''
----
Mbòwe acha uoga, pokea simu za Msigwa.
Msigwa ni tumbili tu.Unapokeaje simu ya mtu mfupi msaliti?
ccm ni wabobezi kwenye Hilo... Wanawa dump hadi waliopitia uvccm seuze huyo takadini?Ukipita uchaguzi wa serikali za mitaa tu na yeye anapita kushoto na kusahaulika.
Akae huko hukolabda anataka arudi kundini
Hii sura ya kichawi kabisaHebu angalia sura utafikiri anachomwa sindano ya x pen
Kama ni hivyo kweli basi amechoka kuishi. Hawa CCM hawapigiwi lakini wanacheza sasa hapa watamuacha kweliIshu iko hivi, bei ya manunuzi Msigwa aliyokubaliana na waliomnunua ilikuwa M500 na akatanguliziwa M 200 nyingine baada ya mwezi mmoja kwa sharti kuwa aondoke na kijiji na kuwapa taarifa za siri za kumaliza utawala Mbowe na hatimaye kuimaliza kabisa Chadema. Mwezi umepita Msigwa akakumbushia maokoto yake ndiyo akaambiwa hajatimiza vigezo na masharti kwa muda waliokubaliana. Mzozo umefukuta chini chini lakini kwa herufi kubwa Msigwa akaelezwa kuwa hizo M 200 ndiyo wameshamaizana aendelee kuwa mwanachama mwaminifu kwani kuna watu wamekitumika chama hadi wanazeeka chama hakijawahi kuwapa hata M 10 kwa mpigo.
Sasa hili limemlemea Mchungaji Msigwa kwani hakuna namna anaweza kuweka shinikizo ili alipwe M 300 iliyobaki ndiyo mtu wake wa karibu huko CCM akamwambia mpigie simu Mbowe umueleze kweli wote ili ikiwezekana yeye atarudi Chadema then atauleza umma jinsi CCM inavyonunua wapinzani hasa Chadema.
Na mpango ukikamilika kati yake na Mbowe awatingishie kiberiti CCM kuwa anarudi Chadema na kwenda kutapika jinsi alivyonunuliwa hii ikiwa ina maana Msigwa anataka kuwa blackmail CCM. Mbowe naye kwa upande mwingine alivujishiwa mpango huo lakini atatumika tu kama chombo cha kushinikiza Msiwa alipwe M 300 anayowadai CCM. Mbowe ndiyo maana amemfungia vioo kwa kutopokea simu yake. Msigwa anacheza mchezo wa hatari sana ambao unaweza kuhatarisha maisha yake. Hbari ndiyo hiyo.
Kisharukwa na akiliHuyu baba mbona ana nongwa?
Msigwa ana tofauti na changudoaMwenyekiti amekuwa na hulka ya tofauti hivi karibuni, imepita takribani miezi sita hatuwasiliani na siyo mimi tu, sana sana tunaonana kwenye vikao vya kamati wakati mwingine akipigiwa simu hapokei hawasiliani na viongozi wenzake''
----
Mbòwe acha uoga, pokea simu za Msigwa.
Apokee kwani unataka kumsagia sumu?Mwenyekiti amekuwa na hulka ya tofauti hivi karibuni, imepita takribani miezi sita hatuwasiliani na siyo mimi tu, sana sana tunaonana kwenye vikao vya kamati wakati mwingine akipigiwa simu hapokei hawasiliani na viongozi wenzake''
----
Mbòwe acha uoga, pokea simu za Msigwa.
Mwenyekiti amekuwa na hulka ya tofauti hivi karibuni, imepita takribani miezi sita hatuwasiliani na siyo mimi tu, sana sana tunaonana kwenye vikao vya kamati wakati mwingine akipigiwa simu hapokei hawasiliani na viongozi wenzake''
----
Mbòwe acha uoga, pokea simu za Msigwa.