Msigwa: Mbowe ananiogopa, hapokei simu zangu

Msigwa: Mbowe ananiogopa, hapokei simu zangu

Mwenyekiti amekuwa na hulka ya tofauti hivi karibuni, imepita takribani miezi sita hatuwasiliani na siyo mimi tu, sana sana tunaonana kwenye vikao vya kamati wakati mwingine akipigiwa simu hapokei hawasiliani na viongozi wenzake''

----
Mbòwe acha uoga, pokea simu za Msigwa.
Apokee simu yako, ili iwe nini? Umeishahamia ccm, Jenga ccm, sasa unawashwa na nini? Umeishapata mume mwingine, wa zamani, unamtakia nini?
Umemis kukunwa?
 
Msigwa itakuwa anaanza kuchanganyikiwa. Kwani amesahau nini chadema?
Sometimes watu hawasomi historia, Msigwa amwangalie Zito Kabwe, Hana ushawishi na umaarufu kama ule aliokuwa nao Chadema tena! So kama yeye kaamua kuondoka basi atulie tu, ale makinikia yake kimya kimya.
Pengine pricetag ilikuwa inaendana na mashambulizi dhidi ya Mwamba Mbowe
 
Mwenyekiti amekuwa na hulka ya tofauti hivi karibuni, imepita takribani miezi sita hatuwasiliani na siyo mimi tu, sana sana tunaonana kwenye vikao vya kamati wakati mwingine akipigiwa simu hapokei hawasiliani na viongozi wenzake''

----
Mbòwe acha uoga, pokea simu za Msigwa.

Yeye anaamini Mbowe anamuogopa, sisi tanajua Mbowe kampuuza.
 
Mbowe atakosa utamu kwa kutokupokea kwake simu hawezi jua pengine msigwa anataka ampe mpepe
 
Ishu iko hivi, bei ya manunuzi Msigwa aliyokubaliana na waliomnunua ilikuwa M500 na akatanguliziwa M 200 nyingine baada ya mwezi mmoja kwa sharti kuwa aondoke na kijiji na kuwapa taarifa za siri za kumaliza utawala Mbowe na hatimaye kuimaliza kabisa Chadema. Mwezi umepita Msigwa akakumbushia maokoto yake ndiyo akaambiwa hajatimiza vigezo na masharti kwa muda waliokubaliana. Mzozo umefukuta chini chini lakini kwa herufi kubwa Msigwa akaelezwa kuwa hizo M 200 ndiyo wameshamaizana aendelee kuwa mwanachama mwaminifu kwani kuna watu wamekitumika chama hadi wanazeeka chama hakijawahi kuwapa hata M 10 kwa mpigo.

Sasa hili limemlemea Mchungaji Msigwa kwani hakuna namna anaweza kuweka shinikizo ili alipwe M 300 iliyobaki ndiyo mtu wake wa karibu huko CCM akamwambia mpigie simu Mbowe umueleze kweli wote ili ikiwezekana yeye atarudi Chadema then atauleza umma jinsi CCM inavyonunua wapinzani hasa Chadema.
Na mpango ukikamilika kati yake na Mbowe awatingishie kiberiti CCM kuwa anarudi Chadema na kwenda kutapika jinsi alivyonunuliwa hii ikiwa ina maana Msigwa anataka kuwa blackmail CCM. Mbowe naye kwa upande mwingine alivujishiwa mpango huo lakini atatumika tu kama chombo cha kushinikiza Msiwa alipwe M 300 anayowadai CCM. Mbowe ndiyo maana amemfungia vioo kwa kutopokea simu yake. Msigwa anacheza mchezo wa hatari sana ambao unaweza kuhatarisha maisha yake. Hbari ndiyo hiyo.
Kama ni hivyo kweli basi amechoka kuishi. Hawa CCM hawapigiwi lakini wanacheza sasa hapa watamuacha kweli
 
Mwenyekiti amekuwa na hulka ya tofauti hivi karibuni, imepita takribani miezi sita hatuwasiliani na siyo mimi tu, sana sana tunaonana kwenye vikao vya kamati wakati mwingine akipigiwa simu hapokei hawasiliani na viongozi wenzake''

----
Mbòwe acha uoga, pokea simu za Msigwa.
Msigwa ana tofauti na changudoa
Kahama chama ila sijasikia ajenda zozote za msingi anazoongea zaidi ya kuwasema chadema muda wote
Wakati chadema ni chama kilichomlea na kumuamini awe mbunge kupitia chadema😀
Msigwa anachokifanya anajiondolea thamani yake kwa waliokuwa wanamkubali
Kisa tu kashindwa katika uchaguzi na sugu analalama kama kahaba😀
Mimi sio chadema lakin kwa anachokifanya simuungi mkono
Mbona makanda wengine wakihama walikuwa wanakaa kimya tu ata kafulila alihama kutoka uko uko lakini sikumsikia akiwanga alikotoka
 
Mwenyekiti amekuwa na hulka ya tofauti hivi karibuni, imepita takribani miezi sita hatuwasiliani na siyo mimi tu, sana sana tunaonana kwenye vikao vya kamati wakati mwingine akipigiwa simu hapokei hawasiliani na viongozi wenzake''

----
Mbòwe acha uoga, pokea simu za Msigwa.
Apokee kwani unataka kumsagia sumu?
 
Mwenyekiti amekuwa na hulka ya tofauti hivi karibuni, imepita takribani miezi sita hatuwasiliani na siyo mimi tu, sana sana tunaonana kwenye vikao vya kamati wakati mwingine akipigiwa simu hapokei hawasiliani na viongozi wenzake''

----
Mbòwe acha uoga, pokea simu za Msigwa.

Hivi kweli maneno ya Msihwa nimjuaye au ni ya Cloned Msigwa [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
 
Alie karibu na Msigwa hebu mpige keleb ya mdomo!

Kama demokrasia ndani ya chadema haipo ndani ya ccm IPO!!?

Kama mwenyekiti wake kaanza kampeni za 2025 2021 baada kushika hatamu na kasema fomu ni moja!!!?

Mwambie aongelee kuhusu katiba ya wats wote na sio uvyama!
 
Back
Top Bottom