Pre GE2025 Msigwa na Sugu wamekuwa mahasimu kitu ambacho hakipendezi kwa afya ya chama

Pre GE2025 Msigwa na Sugu wamekuwa mahasimu kitu ambacho hakipendezi kwa afya ya chama

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Rushwa hupofusha macho

Mbowe alishasema anang'atuka lakini amekuwa kama Prof Lipumba

Kwa nilichoshuhudia Temeke Tundu Lisu akihama Chadema itakuwa Club ya Mbege kama TLP
Mbowe kaweka matumaini yake makubwa sana kwa Samia. Binafsi sidhani kuwa ni "RUHWA" ya kupewa pesa, bali ni matumaini yale yale yanayofanana na ujio wa Lowassa wakati ule.

Na zaidi ya hayo, Mbowe hana tofauti yoyote na Samia kisera. Anaiona CHADEMA ikishirikiana na Samia baada ya 2025!
Lakini asije akajikuta anaachwa kwenye mataa, kwa kuamini "lugha za staha."
 
Wewe fikiria Tundu Lisu ana Mkutano mkubwa Temeke na akina Soka wako busy na maandalizi yule Boniyai aliyekuwa Mlinzi wa Mbowe yuko busy huko Kawe kufungua vijiwe Vya makamanda kule Kawe kwa Halima Mdee

Lisu anahujumiwa na chama chake kwa maslahi ya Chama Dume
Umefunguka.
Tulisha anza kuiona picha hiyo, na sasa inakuwa wazi zaidi.
 
Kila siku mnalalamikia demokrasia ndani ya vyama vya siasa, sasa CDM ndicho chama.mwalimu wa Demokrasia. Kimeonyeaha ukomavu wa Demokrasia kwa vitendo.
 
Mbowe kaweka matumaini yake makubwa sana kwa Samia. Binafsi sidhani kuwa ni "RUHWA" ya kupewa pesa, bali ni matumaini yale yale yanayofanana na ujio wa Lowassa wakati ule.

Na zaidi ya hayo, Mbowe hana tofauti yoyote na Samia kisera. Anaiona CHADEMA ikishirikiana na Samia baada ya 2025!
Lakini asije akajikuta anaachwa kwenye mataa, kwa kuamini "lugha za staha."
Kitu Nchimbi atamfanyia Mbowe 2025 hatakaa akisahau 😄
 
Wasiwasi wako tu mleta mada, binafsi sioni tatizo lolote kati ya hao watu wawili, zaidi nina mashaka nawe binafsi kwasababu unaonekana hujawahi kushuhudia hali kama hii [ malumbano] kati ya wawili ndio maana unahisi patakuwa na ugomvi kati yao.

Pale hakuna malumbano yoyote ni ukomavu tu, na sina shaka na Msigwa ambaye alishapitia kipindi kigumu zaidi siku za nyuma mpaka wengi wakaamini ataenda CCM, lakini mpaka leo bado yuko Chadema.

Kama ikitokea wakanuniana kweli, watakuwa wajinga tu kwanini walikubali kufanya mdahalo huku wakiwa hawajajiandaa kisaikolojia kukabiliana na changamoto zake, jambo ambalo kwangu silipi uzito.
 
Umefunguka.
Tulisha anza kuiona picha hiyo, na sasa inakuwa wazi zaidi.
Lissu angekuwa na pesa hao vijana mnaona wanamtenga wangekuwa nae muda wote.

Sometime siasa zetu tunazichambua kwa hisia zetu badala ya kuangalia big picture.

Vijana wa CDM na UVCCM kifikra na matendo wanatofautishwa na gwanda tu mengine yote no species zile zile.
 
Wewe fikiria Tundu Lisu ana Mkutano mkubwa Temeke na akina Soka wako busy na maandalizi yule Boniyai aliyekuwa Mlinzi wa Mbowe yuko busy huko Kawe kufungua vijiwe Vya makamanda kule Kawe kwa Halima Mdee

Lisu anahujumiwa na chama chake kwa maslahi ya Chama Dume
Lissu hana Cha kuwapa hao vijana wenye njaa waende kwenye mkutano wake kupigwa jua bure ?
 
Umetuacha kizani kabisa!
Mdahalo wao walifanya nini hadi wawe 'ENEMIES'; walitwangana makonde, walishambuliana bila hoja za kukitetea chama?

Ungependa kutushirikisha tujue kwa nini unahitimisha haya, nasi ingetusaidia kujuwa. Lakini nadhani ume'assume' tu kwamba tuata elewa unachoongelea hapa.

Panapokuwepo na mdahalo, hasa unaohusisha ushindani, ni lazima pawepo na hatihati ya namna fulani, lakini katika hali ya kawaida, baada ya hapo mambo huwa shwari.
Sasa sijui kama kwa ulivyoona wewe kwenye hawa wawili hali itakuwa ni tofauti, hili hatuwezi kulijuwa.
Tena umekwenda mbali zaidi na kuwa nahofu kwamba hali hiyo itaenea na kwingine! Maana yake ni kuwa, pamoja na kutoeleza sababu zako za kudhani hivyo, inawezekana kuna mambo ya ziada chini ya kapeti unayoyajuwa kuwa yamo ndani ya chama, na siyo kwa sababu tu ya hawa wawili kutoana jasho kwenye mdahalo.

Kwa hiyo, wasiwasi wako uelekeze kwenye chama, siyo kwa hawa wawili.
Uchaguzi wa Nyasa itakuwa kipimo halisi Cha ukomavu wa kisiasa wa Sugu na Msigwa Kama wataendeleza ugomvi baada ya uchaguzi watakuwa hawajakomaa kisiasa
 
Kwa hiyo kwenye mdahalo mlitaka waungane mkono? Kama hamkutaka mdahalo mlitaka watumie njia gani kujinadi? Mlitaka waongelee nini? Mlitaka waongee vipi? Acheni woga usiowahusu
 
Mbowe , Lisu and all concerned, take care of this.

Msigwa na Sugu wanaonekana kujenga "uadui" nawatahadhalisha mbegu hii itaenea pote at the advantage of CCM.

Malumbano yao hayana "UPENDO" ila yanajenga UADUI KATI YAO na kutengeneza mpasuko wa pande mbili. Mipasuko kama hii huwa haiishia karibu, itaenea na MAJIMBO mengine na kwenda kwenye ngazi za chini.

Mdahalo wao haukuwa wa friendly people but ENEMIES!
Nilichojifunza nilipoona clip ya mdahalo wao ni kwamba waliugeza kuwa wa kujibizana. Midaho huwa haiko hivi. Midahalo huwa na 'moderator' ambaye huongoza mdahalo na kila upande unafanya presentation na kisha maswali yanafuata na yanatokana na hizo presentations mbili. Maswali yanaweza kutoka kwa audience au kwa presenters wenyewe. Na kabla ya mdahalo huwa zinasomwa kanuni za mdahalo - ni aina gani ya mambo yanaruhusiwa na aina ya mambo yasiyoruhusiwa na mwisho wa mdahalo huwa presenters wanabaki na calmness waliyokuwa nayo kabla ya mdahalo. Mdahalo wa kujibizana hauna maana yoyote - sana sana presenters wataishia kunyoosheana vidole. Enzi za Nyerere na Mwinyi, shuleni tulikuwa na debates. Na kupitia hizi debates wanafunzi walijijunza public speaking skills na jinsi ya kujadili issues na kwa vile debates zilikuwa both inter-school na pia shule nyingine, obviously wanafunzi walijijunza namna mbalimbali za kujadili hoja na mwisho wa debate, wale presenters wa mada na washiriki wengine wanabaki friendly na siyo to turn hostile against each other. Maisha yetu yote ni kwa ajili ya kujifunza na mimi najifunza kila siku, na hasa kujifunza kuwa critical/intelligent/smart thinker na siyo kuwa mtu wa mihemko au 'populist'. Kuwa hivi doesn't help because it's only short-lived and then it dies natural death.
 
Wewe fikiria Tundu Lisu ana Mkutano mkubwa Temeke na akina Soka wako busy na maandalizi yule Boniyai aliyekuwa Mlinzi wa Mbowe yuko busy huko Kawe kufunguakomw.jw vijiwe Vya makamanda kule Kawe kwa Halima Mdee

Lisu anahujumiwa na chama chake kwa maslahi ya Chama Dume
Tundu ni mpango wa Mungu. Ukimshinda anaingilia mwenyewe kama alivyomteketeza mmiliki wa vifaru na majeshi.
 
Mbowe , Lisu and all concerned, take care of this.

Msigwa na Sugu wanaonekana kujenga "uadui" nawatahadhalisha mbegu hii itaenea pote at the advantage of CCM.

Malumbano yao hayana "UPENDO" ila yanajenga UADUI KATI YAO na kutengeneza mpasuko wa pande mbili. Mipasuko kama hii huwa haiishia karibu, itaenea na MAJIMBO mengine na kwenda kwenye ngazi za chini.

Mdahalo wao haukuwa wa friendly people but ENEMIES!
Pigeni chini Mwenyekiti ndo mtasonga mbele.

Na Mbowe kama kweli ni mzalendo basi asikie maoni ya Watanzania walio wengi. Mbowe Toka tafadhali
 
Nilichojifunza nilipoona clip ya mdahalo wao ni kwamba waliugeza kuwa wa kujibizana. Midaho huwa haiko hivi. Midahalo huwa na 'moderator' ambaye huongoza mdahalo na kila upande unafanya presentation na kisha maswali yanafuata na yanatokana na hizo presentations mbili. Maswali yanaweza kutoka kwa audience au kwa presenters wenyewe. Na kabla ya mdahalo huwa zinasomwa kanuni za mdahalo - ni aina gani ya mambo yanaruhusiwa na aina ya mambo yasiyoruhusiwa na mwisho wa mdahalo huwa presenters wanabaki na calmness waliyokuwa nayo kabla ya mdahalo. Mdahalo wa kujibizana hauna maana yoyote - sana sana presenters wataishia kunyoosheana vidole. Enzi za wakati wa Nyerere na Mwinyi, shuleni tulikuwa na debates. Na kupitia hizi debates wanafunzi walijijunza public speaking skills na jinsi ya kujadili issues na kwa vile debates zilikuwa both inter-school na pia shule nyingine, obviously wanafunzi walijijunza namna mbalimbali za kujadili hoja na mwisho wa debate, wale presenters wa mada na washiriki wengine wanabaki friendly na siyo to turn hostile against each other. Maisha yetu yote ni kwa ajili ya kujifunza na mimi najifunza kila siku, na hasa kujifunza kuwa critical/intelligent/smart thinker na siyo kuwa mtu wa mihemko au 'populist'. Kuwa hivi doesn't help because it's only short-lived and then it dies natural death.
A very good observation. mdahalo wao haukuwa friendly and well moderated, kulikuwa a vipindi wanakuwa katika heat of motion......

Walikuwa wananyoosheana vidole, unona kabisa kuwa hawa watu wanajenga chuki/heat of passion.

To me Sugu ni wa kuhamasisha events na si kuwa mtawala. kama fani yake ya usanii, ni to entertain the state. Msigwa is a philosopher he is destined to be a "ruler"/ or for a better term a leader
 
Kwa hiyo kwenye mdahalo mlitaka waungane mkono? Kama hamkutaka mdahalo mlitaka watumie njia gani kujinadi? Mlitaka waongelee nini? Mlitaka waongee vipi? Acheni woga usiowahusu
Sijui kama utanielewa. My worries ni kuwa hawa watu , viongozi katika chadema wanajenga uhasama.
 
Wote wawili itategemea na ukomavu wao wa kisiasa, ila uchaguzi wa haki na huru ndiyo utawaacha wamoja. Mrema abadilishwe watangulize maslahi mapana ya chama
 
Mbowe kaweka matumaini yake makubwa sana kwa Samia. Binafsi sidhani kuwa ni "RUHWA" ya kupewa pesa, bali ni matumaini yale yale yanayofanana na ujio wa Lowassa wakati ule.

Na zaidi ya hayo, Mbowe hana tofauti yoyote na Samia kisera. Anaiona CHADEMA ikishirikiana na Samia baada ya 2025!
Lakini asije akajikuta anaachwa kwenye mataa, kwa kuamini "lugha za staha."
Tatizo la Mbowe haijifunzi. CCM hainaga urafiki wa kweli. Shauri zake, na ndio maana amehairisha kustaafu kisa makubaliano na Samiah.
 
Back
Top Bottom