econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Hili ndilo la msingiPigeni chini Mwenyekiti ndo mtasonga mbele.
Na Mbowe kama kweli ni mzalendo basi asikie maoni ya Watanzania walio wengi. Mbowe Toka tafadhali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili ndilo la msingiPigeni chini Mwenyekiti ndo mtasonga mbele.
Na Mbowe kama kweli ni mzalendo basi asikie maoni ya Watanzania walio wengi. Mbowe Toka tafadhali
denoo JG , nimemaliza UDSM 1983 wakati kuna hot debates pale UDSM, kama alivyokuwa anasema Ulimwengu. Midahalo ilikuwa inafanyika sana lakini unaona kuwa hawa watu siyo enemies, ni friends trying to create new knowledge, information, philosophize etc etc......you make reasoned arguments and your counterpart responds to them using higher mental faculties!naonekana hujawahi kushuhudia hali kama hii [ malumbano] kati ya wawili ndio maana unahisi patakuwa na ugomvi kati yao.
AsandeHakuna hoja hapa Nyerere na kambona walikua ENEMY katika taifa hili la Tanganyika. Ndio ukomavu w kisiasa sw.
KAZI ni kipimo cha UTU
Siku hizi hakuna Midahalo nakubaliana na wewedenoo JG , nimemaliza UDSM 1983 wakati kuna hot debates pale UDSM, kama alivyokuwa anasema Ulimwengu. Midahalo ilikuwa inafanyika sana lakini unaona kuwa hawa watu siyo enemies, ni friends trying to create new knowledge, information, philosophize etc etc......you make reasoned arguments and your counterpart responds to them using higher mental faculties!
Mimi siyo wa extended high school kama zenu (I can guess wewe ni young blood, umemaliza hivyo vyuo utitiri vya sasa ambavyo viko below standard by any measure)
Kama uliwaangalia na kuwasikiliza, hawa watu walikuwa kama wanashambuliana.....midahalo educative hatushambuliani. Hii haina afya kwa CHADEMA, unawagawa wanachama AT LARGE at the advantage of your opponents, CCM/ACT!
Lissu kamwaga ushuzi wa kunuka katulia pembeni!Mbowe , Lisu and all concerned, take care of this.
Msigwa na Sugu wanaonekana kujenga "uadui" nawatahadhalisha mbegu hii itaenea pote at the advantage of CCM.
Malumbano yao hayana "UPENDO" ila yanajenga UADUI KATI YAO na kutengeneza mpasuko wa pande mbili. Mipasuko kama hii huwa haiishia karibu, itaenea na MAJIMBO mengine na kwenda kwenye ngazi za chini.
Mdahalo wao haukuwa wa friendly people but ENEMIES!
Na Mbowe akishinda au kubaki u wenyekiti unaweza shangaa covid hao wamerudi ndani ya nyumba.Mbowe anaendeshwa na covid-19 wale Halima na Esther 🐼
Atawarudisha Wote kasoro Hawa na mama Kafulila 😃Na Mbowe akishinda au kubaki u wenyekiti unaweza shangaa covid hao wamerudi ndani ya nyumba.
Hapa naona umehamia upande wa pili kuzungumzia tabia/hulka za hao wenye mdahalo, usilinganishe wasomi wa UD na wanasiasa unakosea, tabia za watu binafsi au profession mara nyingi zina toa picha ya aina ya mdahalo utakavyo kuwa, kitu ambacho naamini wewe hukukizingatia ndio maana ukaja na huu uzi wa mashaka.denoo JG , nimemaliza UDSM 1983 wakati kuna hot debates pale UDSM, kama alivyokuwa anasema Ulimwengu. Midahalo ilikuwa inafanyika sana lakini unaona kuwa hawa watu siyo enemies, ni friends trying to create new knowledge, information, philosophize etc etc......you make reasoned arguments and your counterpart responds to them using higher mental faculties!
Mimi siyo wa extended high school kama zenu (I can guess wewe ni young blood, umemaliza hivyo vyuo utitiri vya sasa ambavyo viko below standard by any measure)
Kama uliwaangalia na kuwasikiliza, hawa watu walikuwa kama wanashambuliana.....midahalo educative hatushambuliani. Hii haina afya kwa CHADEMA, unawagawa wanachama AT LARGE at the advantage of your opponents, CCM/ACT!
Not at all my dear! Never! Mtu wa kufoka kwa furaha na urafiki utamuona tu. demeanour yake utaiona tu kuwa huyu ana chuki na fulani. Sugu akifoka kwenye stage za miziki, utaona uso wa furaha kwa mashabiki wake! Akiwa na kufoka kwenye stage na mashabiki wake akifoka kwa matusi/hasira bila ucheshi ( a thing quite unlikely to happen maana anawabembeleza wampe hela) demeanour yake utaiona tu using common observation and intuition, this does not need a trained mind!mtu wa kufoka so anapofoka haina maana kwamba ana ugomvi na mwingine
Amekuambia?wengi hatujui siasa ,si wanapandanisha hoja,wapiga kura si ndio watachagua,atayeibuka si wa wote,Tena akishinda Sugu (arrogant) ataendeleza vijembe Mpka basi. Utakuwa mwisho wa siasa za CHADEMA Kanda ya nyasa
Hakunaga kufoka kwa furahaNot at all my dear! Never! Mtu wa kufoka kwa furaha na urafiki utamuona tu. demeanour yake utaiona tu kuwa huyu ana chuki na fulani. Sugu akifoka kwenye stage za miziki, utaona uso wa furaha kwa mashabiki wake! Akiwa na kufoka kwenye stage na mashabiki wake akifoka kwa matusi/hasira bila ucheshi ( a thing quite unlikely to happen maana anawabembeleza wampe hela) demeanour yake utaiona tu using common observation and intuition, this does not need a trained mind!
sugu akiwa anafoka anakuwa na furaha na mashabiki wake....basi if that theory is true, then to copy vitu kama kasuku!Hakunaga kufoka kwa furaha
Asili ya Muziki wa kufokafoka ni hasira za black Americans wakikumbuka utumwa wa Babu zao 🐼
ukiona hivyo, walikuwa enemy miaka mingi chini kwa chini, imefichuka tu sasaivi kwasababu ni wakati wake kufichuka.Mbowe , Lisu and all concerned, take care of this.
Msigwa na Sugu wanaonekana kujenga "uadui" nawatahadhalisha mbegu hii itaenea pote at the advantage of CCM.
Malumbano yao hayana "UPENDO" ila yanajenga UADUI KATI YAO na kutengeneza mpasuko wa pande mbili. Mipasuko kama hii huwa haiishia karibu, itaenea na MAJIMBO mengine na kwenda kwenye ngazi za chini.
Mdahalo wao haukuwa wa friendly people but ENEMIES!
Huijui HIP HOP kule kuna mpaka matusi yanatamkwa na rapper yuko serious kabisa, hiyo ndio nature ya wasanii wake, naona umetumia hisia zaidi kuhukumu hii issue.Not at all my dear! Never! Mtu wa kufoka kwa furaha na urafiki utamuona tu. demeanour yake utaiona tu kuwa huyu ana chuki na fulani. Sugu akifoka kwenye stage za miziki, utaona uso wa furaha kwa mashabiki wake! Akiwa na kufoka kwenye stage na mashabiki wake akifoka kwa matusi/hasira bila ucheshi ( a thing quite unlikely to happen maana anawabembeleza wampe hela) demeanour yake utaiona tu using common observation and intuition, this does not need a trained mind!
Hiyo ndio sign ya demokrasia kukua, CHADEMA mpaka kufikia stage uchaguzi wa kanda unakua vuta nikuvute ni hatua nzuri.Mbowe , Lisu and all concerned, take care of this.
Msigwa na Sugu wanaonekana kujenga "uadui" nawatahadhalisha mbegu hii itaenea pote at the advantage of CCM.
Malumbano yao hayana "UPENDO" ila yanajenga UADUI KATI YAO na kutengeneza mpasuko wa pande mbili. Mipasuko kama hii huwa haiishia karibu, itaenea na MAJIMBO mengine na kwenda kwenye ngazi za chini.
Mdahalo wao haukuwa wa friendly people but ENEMIES!
Taita Sugu ni swahiba mkubwa wa Abdul ni dhahiri akipita Sugu CCM watakuwa na upenyo wa kuingia ndani kirahisi.Mbona maccm wengi humu wanampigia debe Sugu au yeye ndiye mnufaika wa hiyo hela iliyotoka kwa Abdul na mama yake?
Mbona wengi tulishawaona mkuu 'Al Watan'!Lissu angekuwa na pesa hao vijana mnaona wanamtenga wangekuwa nae muda wote.
Sometime siasa zetu tunazichambua kwa hisia zetu badala ya kuangalia big picture.
Vijana wa CDM na UVCCM kifikra na matendo wanatofautishwa na gwanda tu mengine yote no species zile zile.