CCM hawataki katiba mpya.Katiba mpya ndiyo msingi maana hii katiba ya sasa inailinda CCM kama ilivyolinda utawala wa wakoloni.
Mkuu..mimi bado nazidi kumshukuru sana MUNGU kwa kuonyesha ukuu wake kwa kulifyekelea mbali li Meko..Aisee!!!,Salute Mchungaji Msigwa kwa kumuogopa Mungu kimatendo were proud of you..
View attachment 1816869
Aisee!!!,Salute Mchungaji Msigwa kwa kumuogopa Mungu kimatendo were proud of you..
View attachment 1816869
Mungu anatupenda sana Watanzania.Mkuu..mimi bado nazidi kumshukuru sana MUNGU kwa kuonyesha ukuu wake kwa kulifyekelea mbali li Meko..
MUNGU NAKUSHUKURU SANA.
Ndugai hafai kuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano ameshapoteza sifaHahaha dah we jamaa na wale wadada sijui wame
Eeh mbona mikutano ya serikali rais alikuwa anasema ccm oyeee
Wala laana ya kuruhusu hilo kutokea haitafutika. Tumeshajua, SUMU HAIONJWI.Kwakweli hatufanyi sherehe kwa kifo cha mwendazake lakini Mungu katuepusha balaa kubwa sana.
Tutakuwa taifa la wapumbavu tukiruhusu watu aina ya mwendazake kushika madaraka tena
Taasisi imara ya ujasusi? Inayoundwa na kutumiwa na mwenyekiti wa CCM anavyotaka? Iliyojaza makada na vijana wa CCM?Taasisi yetu imara ya ujasusi ishajifunza, sasaivi kwa anaetangaza nia ya urais, Cha Kwanza watachunguza URAIA wake,MAANA mnaweza mkalaumu kumbe anaewaongoza sio Raia, kwaiyo hana huruma nanyi,
Na fya ya akili, maana kuongozwa na kichaa Ni hatari, na kingine elimu yake.
Na huo ungekuwa mwanzo tu wa kutawala “milele” kama kina PK, YM, N’guesso wa Congo, Biya wa Cameroon, n.k. Unacheza na katiba tu huku bungeni umejaza misukule.Yalikua maandalizi ya miaka saba ya nyongeza
Huko ndiko tulikokua tuna elekea, upinzani ulishavunjwa nguvu na wabunge wote wamaingia bungeni kwa amri yake.Na huo ungekuwa mwanzo tu wa kutawala “milele” kama kina PK, YM, N’guesso wa Congo, Biya wa Cameroon, n.k. Unacheza na katiba tu huku bungeni umejaza misukule.
Wakawaambia wasipojiunga na CHADEMA au ACT hawatapata ubunge?Mbona mbowe ,zito waliwahi kushawishi wabunge wajiunge na vyama vyao , Umesahau ,mbona akusema akiwa bungeni
Kwa Wanapropaganda wa CCM hapa JF kila anayeilalamikia au kuikosoa serikali ni CHADEMA. Siku watakapoamka na kugundua kuwa wanawasemea ovyo wananchi wengi tu wa kawaida wasio mashabiki wa vyama labda ndipo watakapoanza kuelewa kwamba wanaharibu badala ya kujenga.Uwezi ua upinzani kwa mbinu za kishamba dizaini ile ccm wanashindwa kutambua maana ya upinzani nini wao wanafikiri upinzani ni viongozi wa vyama vya siasa bila kujua kero maonevu ongezeke la wanyonge mtaani ndio upinzania
View attachment 1817711
Msigwa anaeleza jinsi ofisi ya Speaker ilivyotumika kuwashawishi Wabunge wa Upinzani hujiunga na CCM.
Kama ni Kiongozi makini na kwamba ni kweli alimuita Msigwa Ofisini kwake akamwambia upuuzi huo, Kiongozi asiye Mzandiki atayakubali maneno aliyoyasema na kuyatetea. Vinginevyo alikuwa remotely controlled to utter such stupid words from somebody else....Sasa hayo maelezo ndiyo tuyaamini.
Vipi naye spika akisema wala sijawahi kumuita msigwa!!!?
Tutaamini, nani? Au ndiyo ule mwendo wa kufurahia kutekenywa masikio!!?
Kama ni Kiongozi makini na kwamba ni kweli alimuita Msigwa Ofisini kwake akamwambia upuuzi huo, Kiongozi asiye Mzandiki atayakubali maneno aliyoyasema na kuyatetea. Vinginevyo alikuwa remotely controlled to utter such stupid words from somebody else....
Inasikitisha na kuumiza mno kwakweli.Ngoja watanzania wajifunze sasa kwa miaka hii mitano ya bunge la upande mmoja ! Maybe next time tutajifunza kudai haki zetu maana waliokua wakijaribu waliitwa wasaliti na waliokosa uzalendo , kubwa zaidi waliitwa wachelewesha maendeleo
Huku shutuma hizo zikitoka kwenye chama kilichokaa madarakani tangu uhuru ila watoto wao wanasoma ulaya huku watoto wa wapiga kura wao wakikaa chini kwa kukosa madawati
Hata ongea yake haina mvuto hata chembe huyu spika.Ndugae kama Sabaya tu katika haya mambo ya rushwa
Bunge lilijaa Rushwa kwa kiburi cha NDUGAI.Kumbe Ofisi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inatumika kurubuni na kuwatisha Wabunge wetu ili wahamie CCM?