Msijidanganye, hata tukipata Katiba Mpya CHADEMA haiwezi kukamata Dola

Msijidanganye, hata tukipata Katiba Mpya CHADEMA haiwezi kukamata Dola

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Mnatakiwa wana Cdm kindakindaki mtambue hili kabisa kuwa hata kama Tanzania yetu ikipata katiba mpya hamuwezi kukamata dola.

Hii yote ni kwa sababu mnashindwa kufanya siasa kitaalamu na kutambua wapi mmekosea.

Siasa ni sayansi hivyo mnatakiwa mfanye tafiti za kisayansi.

Iwe kwa mtutu wa bunduki au kwa kura watu hukamata dola kwa nguvu ya umma. Sasa hivi Chadema haina sapoti ya nguvu ya umma.

Nini tatizo? Chadema ni kama mali ya mtu? Inawapiga madili na wajaza matumbo sana?

Siasa ni Changamoto.
 
Katiba Sio ya chama Bali ya watanzania na taifa.Anayeamini katiba ni kwa ajili ya vyama ni mjinga.Katiba ndo uhai wa taifa letu miaka mingi ijayo
CDM kuchukua dola siyo Katiba tu wajaribu kubadilisha aina na mbinu za kuendesha siasa nchini na hususani CDM ichitenge na ukaskazini na ndicho kilichowagharimu 2015 baada ya kuingiza ukanda baada ya kumpata Lowasa.

Kikubwa wabadilishe uongozi wa juu wamwondoe Mbowe aje mwenye mawazo mapya vinginevyo si rahisi kushinda na kuchukua dola kwa mazingira ya sasa. CCM imekuwa ikibadilisha siasa zake kulingana na wakati kwa athari mbaya au nzuri.
 
Watachukua ACT au CUF. Haya hamasisha katiba mpya sasa
CDM kuchukua dola siyo Katiba tu wajaribu kubadilisha aina na mbinu za kuendesha siasa nchini na hususani CDM ichitenge na ukaskazini na ndicho kilichowagharimu 2015 baada ya kuingiza ukanda baada ya kumpata Lowasa. Kikubwa wabadilishe uongozi wa juu wamwondoe Mbowe aje mwenye mawazo mapya vinginevyo si rahisi kushinda na kuchukua dola kwa mazingira ya sasa. CCM imekuwa ikibadilisha siasa zake kulingana na wakati kwa athari mbaya au nzuri.
 
Back
Top Bottom