Msijidanganye, hata tukipata Katiba Mpya CHADEMA haiwezi kukamata Dola

Msijidanganye, hata tukipata Katiba Mpya CHADEMA haiwezi kukamata Dola

Kama tu kuelewa Katiba ina umuhimu gani..wacha mambo yaendelee kama yalivyo.
 
Mnatakiwa wana Cdm kindakindaki mtambue hili kabisa kuwa hata kama Tanzania yetu ikipata katiba mpya hamuwezi kukamata dola.

Hii yote ni kwa sababu mnashindwa kufanya siasa kitaalamu na kutambua wapi mmekosea.

Siasa ni sayansi hivyo mnatakiwa mfanye tafiti za kisayansi.

Iwe kwa mtutu wa bunduki au kwa kura watu hukamata dola kwa nguvu ya umma. Sasa hivi Chadema haina sapoti ya nguvu ya umma.

Nini tatizo? Chadema ni kama mali ya mtu? Inawapiga madili na wajaza matumbo sana?

Siasa ni Changamoto.
Cdm unayo iongelea ni ipi hiyo?
Jiwe alishawadanganya kama mazuzu kuwa kasha iua cdm nanyi mkakenua meno tu kuwa cdm imekufa.
 
Cdm unayo iongelea ni ipi hiyo?
Jiwe alishawadanganya kama mazuzu kuwa kasha iua cdm nanyi mkakenua meno tu kuwa cdm imekufa.
We mvuta bangi unafahamu lolote la maana?
 
Mnatakiwa wana Cdm kindakindaki mtambue hili kabisa kuwa hata kama Tanzania yetu ikipata katiba mpya hamuwezi kukamata dola.

Hii yote ni kwa sababu mnashindwa kufanya siasa kitaalamu na kutambua wapi mmekosea.

Siasa ni sayansi hivyo mnatakiwa mfanye tafiti za kisayansi.

Iwe kwa mtutu wa bunduki au kwa kura watu hukamata dola kwa nguvu ya umma. Sasa hivi Chadema haina sapoti ya nguvu ya umma.

Nini tatizo? Chadema ni kama mali ya mtu? Inawapiga madili na wajaza matumbo sana?

Siasa ni Changamoto.
Mkuu ikumbukwe kuwa takwa la katba, siyo tu kuifanya ishike dola. Bali kutuwezesha kutengeneza, mifumo bora kwenye taasisi zetu
 
Mnatakiwa wana Cdm kindakindaki mtambue hili kabisa kuwa hata kama Tanzania yetu ikipata katiba mpya hamuwezi kukamata dola.

Hii yote ni kwa sababu mnashindwa kufanya siasa kitaalamu na kutambua wapi mmekosea.

Siasa ni sayansi hivyo mnatakiwa mfanye tafiti za kisayansi.

Iwe kwa mtutu wa bunduki au kwa kura watu hukamata dola kwa nguvu ya umma. Sasa hivi Chadema haina sapoti ya nguvu ya umma.

Nini tatizo? Chadema ni kama mali ya mtu? Inawapiga madili na wajaza matumbo sana?

Siasa ni Changamoto.
Na hii ndiyo akili ya watu wengi wanaamin kuwa katiba ni kwaajili ya CDM
Kumbe ni mali ya watanzania
CDM na CCM vitapita lkn Tanzania na katiba yake vitabaki


Please toka ucngizin
 
Kwani mwenda zake ndivyo alivyowaanisha baada ya chaguzi mbovu za mwaka 1999 na 2020 wekeni uwanja sawa mine aibu Lima ninyi
 
Chadema sio chama cha siasa, ni mob/mafia family.

Chama gani cha siasa kinaongozwa na kabila moja na mwenyekiti mmoja zaidi ya miaka 15 halafu wanataka demokrasia.

Hii nchi bora hata tumpe Mzee Hashim Rungwe kuliko Mbowe na chama chake.
 
Mnatakiwa wana Cdm kindakindaki mtambue hili kabisa kuwa hata kama Tanzania yetu ikipata katiba mpya hamuwezi kukamata dola.

Hii yote ni kwa sababu mnashindwa kufanya siasa kitaalamu na kutambua wapi mmekosea.

Siasa ni sayansi hivyo mnatakiwa mfanye tafiti za kisayansi.

Iwe kwa mtutu wa bunduki au kwa kura watu hukamata dola kwa nguvu ya umma. Sasa hivi Chadema haina sapoti ya nguvu ya umma.

Nini tatizo? Chadema ni kama mali ya mtu? Inawapiga madili na wajaza matumbo sana?

Siasa ni Changamoto.
Idugunde vipi kuhusu wimbo wa LEGACY naona unapoa sasa umerukia CDM tena na ushindi wa dola sijui katiba

Bahati nzuri mshindi anaamuliwa na wananchi kwenye uchaguzi huru na haki katiba haichagui mshika wa dola

Wimbo wa LEGACY unapoa jamani mbona mmechoka mapema sana tuliwambia LEGACY haijengwi kwa kelele za mashabiki

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Idugunde vipi kuhudu wimbo LEGACY naona umerukia CDM tena na ushindi wa dola sijui katiba

Bahati nzuri mshindi anaamuliwa na wananchi kwenye uchaguzi huru na haki katiba haichagui mshika wa dola

Wimbo wa LEGACY unapoa sasa mmechoka mapema sana tuliwambia LEFACY haijengwi kwa kelele za mashabiki

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Legacy gani unayoihoji?
 
Idugunde vipi kuhusu wimbo wa LEGACY naona unapoa sasa umerukia CDM tena na ushindi wa dola sijui katiba

Bahati nzuri mshindi anaamuliwa na wananchi kwenye uchaguzi huru na haki katiba haichagui mshika wa dola

Wimbo wa LEGACY unapoa jamani mbona mmechoka mapema sana tuliwambia LEGACY haijengwi kwa kelele za mashabiki

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hiyo kiki ya legacy ya jiwe imepuma
 
Mnatakiwa wana Cdm kindakindaki mtambue hili kabisa kuwa hata kama Tanzania yetu ikipata katiba mpya hamuwezi kukamata dola.

Hii yote ni kwa sababu mnashindwa kufanya siasa kitaalamu na kutambua wapi mmekosea.

Siasa ni sayansi hivyo mnatakiwa mfanye tafiti za kisayansi.

Iwe kwa mtutu wa bunduki au kwa kura watu hukamata dola kwa nguvu ya umma. Sasa hivi Chadema haina sapoti ya nguvu ya umma.

Nini tatizo? Chadema ni kama mali ya mtu? Inawapiga madili na wajaza matumbo sana?

Siasa ni Changamoto.
unawashwa koromeo wewe, kwani katika vyama 18 vya siasa nchini CHADEMA pekee ndio wanataka dola?
Hivyo vingine vinataka paundi?
MATAGA sijui baba yenu ni nani, wote mna akili za panzi, baralee.
 
Back
Top Bottom