adrenaline
JF-Expert Member
- Jun 17, 2015
- 3,152
- 4,843
Kama tu kuelewa Katiba ina umuhimu gani..wacha mambo yaendelee kama yalivyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cdm unayo iongelea ni ipi hiyo?Mnatakiwa wana Cdm kindakindaki mtambue hili kabisa kuwa hata kama Tanzania yetu ikipata katiba mpya hamuwezi kukamata dola.
Hii yote ni kwa sababu mnashindwa kufanya siasa kitaalamu na kutambua wapi mmekosea.
Siasa ni sayansi hivyo mnatakiwa mfanye tafiti za kisayansi.
Iwe kwa mtutu wa bunduki au kwa kura watu hukamata dola kwa nguvu ya umma. Sasa hivi Chadema haina sapoti ya nguvu ya umma.
Nini tatizo? Chadema ni kama mali ya mtu? Inawapiga madili na wajaza matumbo sana?
Siasa ni Changamoto.
Maccm wanaiona kama ni kitanzi cha kuwaondoa madarakaniKwani nchi kupata katiba mpya ni kwa ajili ya wananchi au CDM?
Mkuu ikumbukwe kuwa takwa la katba, siyo tu kuifanya ishike dola. Bali kutuwezesha kutengeneza, mifumo bora kwenye taasisi zetuMnatakiwa wana Cdm kindakindaki mtambue hili kabisa kuwa hata kama Tanzania yetu ikipata katiba mpya hamuwezi kukamata dola.
Hii yote ni kwa sababu mnashindwa kufanya siasa kitaalamu na kutambua wapi mmekosea.
Siasa ni sayansi hivyo mnatakiwa mfanye tafiti za kisayansi.
Iwe kwa mtutu wa bunduki au kwa kura watu hukamata dola kwa nguvu ya umma. Sasa hivi Chadema haina sapoti ya nguvu ya umma.
Nini tatizo? Chadema ni kama mali ya mtu? Inawapiga madili na wajaza matumbo sana?
Siasa ni Changamoto.
Ndipo uone ni jinsi gani uwezo wa kufikiri wa Mataga ni wa kutiliwa mashaka! Mara nyingi huwa wanakurupuka, wanasahau katiba mpya ni haki ya kila Mtanzania.Kwani nchi kupata katiba mpya ni kwa ajili ya wananchi au CDM?
Na hii ndiyo akili ya watu wengi wanaamin kuwa katiba ni kwaajili ya CDMMnatakiwa wana Cdm kindakindaki mtambue hili kabisa kuwa hata kama Tanzania yetu ikipata katiba mpya hamuwezi kukamata dola.
Hii yote ni kwa sababu mnashindwa kufanya siasa kitaalamu na kutambua wapi mmekosea.
Siasa ni sayansi hivyo mnatakiwa mfanye tafiti za kisayansi.
Iwe kwa mtutu wa bunduki au kwa kura watu hukamata dola kwa nguvu ya umma. Sasa hivi Chadema haina sapoti ya nguvu ya umma.
Nini tatizo? Chadema ni kama mali ya mtu? Inawapiga madili na wajaza matumbo sana?
Siasa ni Changamoto.
Idugunde vipi kuhusu wimbo wa LEGACY naona unapoa sasa umerukia CDM tena na ushindi wa dola sijui katibaMnatakiwa wana Cdm kindakindaki mtambue hili kabisa kuwa hata kama Tanzania yetu ikipata katiba mpya hamuwezi kukamata dola.
Hii yote ni kwa sababu mnashindwa kufanya siasa kitaalamu na kutambua wapi mmekosea.
Siasa ni sayansi hivyo mnatakiwa mfanye tafiti za kisayansi.
Iwe kwa mtutu wa bunduki au kwa kura watu hukamata dola kwa nguvu ya umma. Sasa hivi Chadema haina sapoti ya nguvu ya umma.
Nini tatizo? Chadema ni kama mali ya mtu? Inawapiga madili na wajaza matumbo sana?
Siasa ni Changamoto.
Legacy gani unayoihoji?Idugunde vipi kuhudu wimbo LEGACY naona umerukia CDM tena na ushindi wa dola sijui katiba
Bahati nzuri mshindi anaamuliwa na wananchi kwenye uchaguzi huru na haki katiba haichagui mshika wa dola
Wimbo wa LEGACY unapoa sasa mmechoka mapema sana tuliwambia LEFACY haijengwi kwa kelele za mashabiki
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Heri mimi mvuta bange najivunia kuwa kwetu tanzania kuliko wewe mkimbizi haramuWe mvuta bangi unafahamu lolote la maana?
Wewe ni zimbukukuJe, itawapa shavu kukamata dola?
Ya jiweLegacy gani unayoihoji?
Hiyo kiki ya legacy ya jiwe imepumaIdugunde vipi kuhusu wimbo wa LEGACY naona unapoa sasa umerukia CDM tena na ushindi wa dola sijui katiba
Bahati nzuri mshindi anaamuliwa na wananchi kwenye uchaguzi huru na haki katiba haichagui mshika wa dola
Wimbo wa LEGACY unapoa jamani mbona mmechoka mapema sana tuliwambia LEGACY haijengwi kwa kelele za mashabiki
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
unawashwa koromeo wewe, kwani katika vyama 18 vya siasa nchini CHADEMA pekee ndio wanataka dola?Mnatakiwa wana Cdm kindakindaki mtambue hili kabisa kuwa hata kama Tanzania yetu ikipata katiba mpya hamuwezi kukamata dola.
Hii yote ni kwa sababu mnashindwa kufanya siasa kitaalamu na kutambua wapi mmekosea.
Siasa ni sayansi hivyo mnatakiwa mfanye tafiti za kisayansi.
Iwe kwa mtutu wa bunduki au kwa kura watu hukamata dola kwa nguvu ya umma. Sasa hivi Chadema haina sapoti ya nguvu ya umma.
Nini tatizo? Chadema ni kama mali ya mtu? Inawapiga madili na wajaza matumbo sana?
Siasa ni Changamoto.