Msijidanganye, hata tukipata Katiba Mpya CHADEMA haiwezi kukamata Dola

Msijidanganye, hata tukipata Katiba Mpya CHADEMA haiwezi kukamata Dola

CDM kuchukua dola siyo Katiba tu wajaribu kubadilisha aina na mbinu za kuendesha siasa nchini na hususani CDM ichitenge na ukaskazini na ndicho kilichowagharimu 2015 baada ya kuingiza ukanda baada ya kumpata Lowasa.

Kikubwa wabadilishe uongozi wa juu wamwondoe Mbowe aje mwenye mawazo mapya vinginevyo si rahisi kushinda na kuchukua dola kwa mazingira ya sasa. CCM imekuwa ikibadilisha siasa zake kulingana na wakati kwa athari mbaya au nzuri.
Una mimba ya Mbowe?
 
Mnatakiwa wana Cdm kindakindaki mtambue hili kabisa kuwa hata kama Tanzania yetu ikipata katiba mpya hamuwezi kukamata dola.

Hii yote ni kwa sababu mnashindwa kufanya siasa kitaalamu na kutambua wapi mmekosea.

Siasa ni sayansi hivyo mnatakiwa mfanye tafiti za kisayansi.

Iwe kwa mtutu wa bunduki au kwa kura watu hukamata dola kwa nguvu ya umma. Sasa hivi Chadema haina sapoti ya nguvu ya umma.

Nini tatizo? Chadema ni kama mali ya mtu? Inawapiga madili na wajaza matumbo sana?

Siasa ni Changamoto.
La msingi tupate katiba inayoendana na wakati maana sidhani kama katiba mpya inatafutwa ili chadema ichukue nchi bali inahitajika kwa manufaa mapana ya taifa.

Ila katiba mpya bila taasisi makini haiwezi kusaidia maana hata hii iliyopo kuna mambo mazuri yanakanyagwa kabisa makusudi
 
Mnatakiwa wana Cdm kindakindaki mtambue hili kabisa kuwa hata kama Tanzania yetu ikipata katiba mpya hamuwezi kukamata dola.

Hii yote ni kwa sababu mnashindwa kufanya siasa kitaalamu na kutambua wapi mmekosea.

Siasa ni sayansi hivyo mnatakiwa mfanye tafiti za kisayansi.

Iwe kwa mtutu wa bunduki au kwa kura watu hukamata dola kwa nguvu ya umma. Sasa hivi Chadema haina sapoti ya nguvu ya umma.

Nini tatizo? Chadema ni kama mali ya mtu? Inawapiga madili na wajaza matumbo sana?

Siasa ni Changamoto.
Ndugu yangu, nadhani kichwani mwako kuna mahali pameyumba.

Wananchi wanahitaji katiba mpya, siyo kwa kutaka CCM iendelee kutawala au CHADEMA, CUF, ACT kuweza kushika dola, bali kuhakikisha chama au kiongozi yeyote atakayepata nafasi ya kutuongoza, anatuongoza kwa namna inayofaa.

Wewe kwa sasa huna msaada wowote kwa Taifa, na huenda hata kwenye familia yako kwa sababu mawazo yako yanaishia kwenye kuta za vyama vya siasa. Fikra zako na maandiko yako, mara nyingi ni takataka, ni uchafu na yanatia kinyaa kwa sababu hakuna unachofikiri zaidi ya CCM na CHADEMA.
 
Mnatakiwa wana Cdm kindakindaki mtambue hili kabisa kuwa hata kama Tanzania yetu ikipata katiba mpya hamuwezi kukamata dola.

Hii yote ni kwa sababu mnashindwa kufanya siasa kitaalamu na kutambua wapi mmekosea.

Siasa ni sayansi hivyo mnatakiwa mfanye tafiti za kisayansi.

Iwe kwa mtutu wa bunduki au kwa kura watu hukamata dola kwa nguvu ya umma. Sasa hivi Chadema haina sapoti ya nguvu ya umma.

Nini tatizo? Chadema ni kama mali ya mtu? Inawapiga madili na wajaza matumbo sana?

Siasa ni Changamoto.
Kwani nchi hii ina hatimilki ya kutawaliwa na CCM tu? Jamani ee SIASA siyo chuki na mambo yanabadilika.

Nani alijua leo Mama Samia angekuwa na Rais na Jiwe asingelimaliza muhula wake wa pili? Tuende taratibu maana hakuna aijuaye kesho
 
Mnatakiwa wana Cdm kindakindaki mtambue hili kabisa kuwa hata kama Tanzania yetu ikipata katiba mpya hamuwezi kukamata dola.

Hii yote ni kwa sababu mnashindwa kufanya siasa kitaalamu na kutambua wapi mmekosea.

Siasa ni sayansi hivyo mnatakiwa mfanye tafiti za kisayansi.

Iwe kwa mtutu wa bunduki au kwa kura watu hukamata dola kwa nguvu ya umma. Sasa hivi Chadema haina sapoti ya nguvu ya umma.

Nini tatizo? Chadema ni kama mali ya mtu? Inawapiga madili na wajaza matumbo sana?

Siasa ni Changamoto.
Mami kinehe !!. Katiba mpya ya wananchi si kwa ajili ya chama fulani kuchukuwa madaraka. Ni kwa ajili ya wananchi kujiamulia mustkbali wao. Katiba mpya si kwa ajili ya uchaguzi tu . Tuna mapungufu mengi sana juu ya wananchi kujiletea maendeleo yao.

Kuna mambo mengi mengine yapo nje ya mada, lakini yanakwamishwa na katiba mbovu hii yenye elements za ki koloni. Mfano mamlaka ya Rais ya uteuzi inatakiwa idhibitiwe. Pili kitendo cha wananchi kuchaguwa watu wao, halafu hao hao wanakosa nguvu dhidi ya wateule wa Rais ni makosa . Mambo ni mengi . Toka nje ya box utaona mwanga
 
CDM kuchukua dola siyo Katiba tu wajaribu kubadilisha aina na mbinu za kuendesha siasa nchini na hususani CDM ichitenge na ukaskazini na ndicho kilichowagharimu 2015 baada ya kuingiza ukanda baada ya kumpata Lowasa.

Kikubwa wabadilishe uongozi wa juu wamwondoe Mbowe aje mwenye mawazo mapya vinginevyo si rahisi kushinda na kuchukua dola kwa mazingira ya sasa. CCM imekuwa ikibadilisha siasa zake kulingana na wakati kwa athari mbaya au nzuri.
Ccm inalindwa na dola. Nothing else
 
Mnatakiwa wana Cdm kindakindaki mtambue hili kabisa kuwa hata kama Tanzania yetu ikipata katiba mpya hamuwezi kukamata dola.

Hii yote ni kwa sababu mnashindwa kufanya siasa kitaalamu na kutambua wapi mmekosea.

Siasa ni sayansi hivyo mnatakiwa mfanye tafiti za kisayansi.

Iwe kwa mtutu wa bunduki au kwa kura watu hukamata dola kwa nguvu ya umma. Sasa hivi Chadema haina sapoti ya nguvu ya umma.

Nini tatizo? Chadema ni kama mali ya mtu? Inawapiga madili na wajaza matumbo sana?

Siasa ni Changamoto.
Ila cut ya prof na nccr zits kamata na kijani itapoteza.
 
Chadema sio chama cha siasa, ni mob/mafia family.

Chama gani cha siasa kinaongozwa na kabila moja na mwenyekiti mmoja zaidi ya miaka 15 halafu wanataka demokrasia.

Hii nchi bora hata tumpe Mzee Hashim Rungwe kuliko Mbowe na chama chake.
Acha uongo. Haukusaidii
Cdm wale wa Mara ni wachaga ?!. Wale waliodhulumiwa Mwz 2015/2020 ni wachaga ?!. Je wale wa Ukerewe, Bukoba, kigoma, Arusha, Singida, Iringa, Mbeya, Dsm ñi wachaga tu ?!.

Kuhusu Mbowe kuwa mwenyekiti kwa awamu ya tatu ni sawa. Hebu angalia alieutaka uenyekiti dhidi ya Mbowe (Mwambe) alivyounga juhudi. Sasa wengine wanakuwa ni mapandikizi bora ubaki na Mbowe.
 
Kwani nia ya CHADEMA kutaka Tanzania iwe na katiba mpya ni kwa ajili ya wao kushika dola au kuweka mambo sawa sawa katika demokrasia??
Umeelewa tofauti dhamira ya Chama!!! Waulize vizuri ujibiwe.....
 
Hoja yako mgando!!! Katiba ni kwa ajili ya wananchiiii..... Jinga wewe....
 
Kwani nchi kupata katiba mpya ni kwa ajili ya wananchi au CDM?
Anayo hoja. Wanaoshadidia katiba mpya ni chadema wakiwa mahsusi kwenye mrengo wa kuleta fujo. Hili halivumiliki
 
Katiba Sio ya chama Bali ya watanzania na taifa.Anayeamini katiba ni kwa ajili ya vyama ni mjinga.Katiba ndo uhai wa taifa letu miaka mingi ijayo
Wewe ndio mjinga kwa sababu hujajibu hoja yake bali unajibu kwa kuwa ni chadema
 
Mami kinehe !!. Katiba mpya ya wananchi si kwa ajili ya chama fulani kuchukuwa madaraka. Ni kwa ajili ya wananchi kujiamulia mustkbali wao. Katiba mpya si kwa ajili ya uchaguzi tu . Tuna mapungufu mengi sana juu ya wananchi kujiletea maendeleo yao.

Kuna mambo mengi mengine yapo nje ya mada, lakini yanakwamishwa na katiba mbovu hii yenye elements za ki koloni. Mfano mamlaka ya Rais ya uteuzi inatakiwa idhibitiwe. Pili kitendo cha wananchi kuchaguwa watu wao, halafu hao hao wanakosa nguvu dhidi ya wateule wa Rais ni makosa . Mambo ni mengi . Toka nje ya box utaona mwanga
Ahaaa, upo sawa, lakini mtazamo wa chama cha siasa chochote ni kukamata dola, Chadema wanajidanganya kuwa huwa wanashindwa uchaguzi sababu ya katiba iliyopo. Hapo nafikiri umenisoma.
 
Back
Top Bottom