Msijidanganye, hata tukipata Katiba Mpya CHADEMA haiwezi kukamata Dola

Msijidanganye, hata tukipata Katiba Mpya CHADEMA haiwezi kukamata Dola

Kwani nchi kupata katiba mpya ni kwa ajili ya wananchi au CHADEMA?
Vijana awa lumumba hawaelewi kutenganisha propaganda na masilahi ya nchi,katiba si sula la vhama vha siasa ni sula kitafa kama mwongozi wa kila mwananchi na ustawi wake.
Sasa vijana wa lumumba kwa elimu ndogo ya propaganda ni kukuruuka tu kishabiki,ukiongelea masula ya kitafa punguza mihemuko,ongea hoja.
Katiba si chadema bali ni mali ya umma bila kujali chama cha siasa
 
Ungejitendea haki mno kama ungeficha ujinga uliyo nao, yani wewe katiba bora kwako ni Chadema kushika dola.

Lakini huna kosa saana kihivyo kwani wa sampuli yako wako wengi wanaofikiri kuwa na katiba bora ni kuifanya Chadema ishike madaraka ila hujui kwamba katiba hiyo hiyo bora ndio ikipatikana kukiondoa chama chochote kibovu madarakani inakuwa rahisi.

Anyway, kwa kuwa na mawazo finyu namna hiyo ndio chanzo cha watu kama nyie kujifunza kupitia medium kama hizi.
 
Mnatakiwa wana Cdm kindakindaki mtambue hili kabisa kuwa hata kama Tanzania yetu ikipata katiba mpya hamuwezi kukamata dola.

Hii yote ni kwa sababu mnashindwa kufanya siasa kitaalamu na kutambua wapi mmekosea.

Siasa ni sayansi hivyo mnatakiwa mfanye tafiti za kisayansi.

Iwe kwa mtutu wa bunduki au kwa kura watu hukamata dola kwa nguvu ya umma. Sasa hivi Chadema haina sapoti ya nguvu ya umma.

Nini tatizo? Chadema ni kama mali ya mtu? Inawapiga madili na wajaza matumbo sana?

Siasa ni Changamoto.
Magufuli amekufa inasikitisha kwamba wewe bado upo.
 
Back
Top Bottom