Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?

Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?

..mambo mengi anayoonya Lissu huja kutokea.

..alimuonya Magufuli kuwa serikali itashitakiwa na kulipishwa mabilioni.

..kweli serikali imeshindwa kesi nyingi na tunaingia hasara ya mabilioni.

..Lissu alionya kwamba maridhiano ni uongo Ccm hawana nia ya dhati.

..mauaji ya Mzee Kibao, Soka na wenzake, Kipanya, no uthibitisho wa kauli ya Lissu kwamba maridhiano ni ulaghai.
 
Hayo ndio mambo ambayo Magufuli aliyakataa, tufanye Siasa kwa nyakati na vipindi maalumu.

Sio kutafuta Tensions zisizo na kichwa wala Miguu. Nachukia mijitu type ya aina yake, uwa yanakuwa na Egoism na yenyewe kila kitu nikupinga tu, mazuri linapinga, mabaya linapinga.

Jinga hilo, litafute kazi ya kufanya sio kutafuta Tensions kwa ku-force.​
Ulivyoandika tu, namna yako ya kuandika inaonesha una shida kichwani mwako. Kwa mtu aliye timamu kichwani hata kama hukubaliani na Lisu anavyowasilisha fikra zake, ungeweza kuwasilisha hoja zako kwa mantiki na siyo kuropoka kama ulivyofanya.
 
Kawaida ya watu wenye akili kubwa huyaangalia mazingira yaliyopo, kisha huyaona mambo ya mbeleni kabla hayajatokea.
..mambo mengi anayoonya Lissu huja kutokea.

..alimuonya Magufuli kuwa serikali itashitakiwa na kulipishwa mabilioni.

..kweli serikali imeshindwa kesi nyingi na tunaingia hasara ya mabilioni.

..Lissu alionya kwamba maridhiano ni uongo Ccm hawana nia ya dhati.

..mauaji ya Mzee Kibao, Soka na wenzake, Kipanya, no uthibitisho wa kauli ya Lissu kwamba maridhiano ni ulaghai.
 
Alikuwa ana uhakika kwamba serikali ndo ilitaka kumuuwa.
Kwa vile TL ni mwanasheria, angekuwa ana uhakika, anajua ni nini cha kufanya!, hana uhakika, na waliotaka kumuua ni watu wasiojulikana ambao mpaka sasa hawajajulikana, Shambulio la Lissu: Wajue wasiojulikana watakaojulikana na 'Wasiojulikana' ambao kamwe, hawatajulikana
Maridhiano gani yasiyohusisha hilo suala?
Maridhiano ni a political process, shambulio la TL ni criminal issue, kukitokea uhalifu wowote ambao serikali haiwajui wahalifu, huwezi kuileta issue kama hiyo mezani.
Na wakati hata alipoiomba serikali imuhakikishie ulinzi, serikali ilinyamaza?
Yes, hata ningekuwa mimi ndio serikali, nisingeweza kumhakikishia usalama wake kwasababu siwajui waliomshambulia, hivyo wanaweza kumaliza kazi na kuiingiza serikali into disrepute. Kama wasiojulikana wale walikuwa ni watu wao, then serikali ingeweza kumhakikishia usalama wake, maana wasingewatuma tena kumaliza kazi.

Hata hivyo tuko akina sisi, tulimhakikishia usalama wake na akarejea Kamanda Lissu, Usisubiri Jibu la IGP Kuhusu Usalama Wako, Aliyekulinda na Shambulio Lile Yupo, Yeye Aweza, na Ataendelea Kukulinda, Welcome Back Home!
P
 
Mkuu kwanini unajificha tunajua wewe ni mfuasi wa ZZK na sio Lisu , ila kwa Sasa Tanzania ni Lisu pekee anaweza kuongea watu wakatoka mafichoni sababu kuu ni ANAAMINIKA pande zote
Mkuu baro , wewe utakuwa hunijui mimi vizuri, mimi sio mfuasi wa mtu yoyote, tena licha ya kuwa ni kada, sio mfuasi na aliyepo, ila siko nae kinyume, ila kuna watu nawakubali sana akiwemo ZZK, na hata TL, namkubali sana tuu, kwanza kwasababu ni mdogo wangu wa Ilboru, sasa mimi kama kaka, najitahidi sana kumrudi from time to time, sasa nikimrudi, kuna majinga yanadhani namchukia, no .

Ni mimi ndiye nilimshauri kugombea urais Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!

Nimemsifu kwa kuwa mkweli Tundu Lissu kama JPM, ni mtu mkweli. Asema ukweli jinsi ukomo wa uongozi ulivyoyeyuka CHADEMA

Nlimuombea kwa Blaza, ateuliwe Mbunge For the sake of National Unity, Je tumshauri Dkt. Magufuli aahidi kumteua Tundu Lissu kuwa Mbunge?

Hapa nimempongeza Hongera ITV kumhoji Tundu Lissu. Hongera sana Tundu Lissu kuzungumza kistaarabu kwa lugha za staha. Ruksa kuhisi chochote, sio fair kutaja majina!

Alipotaka kurejea Tanzania baada ya shambulio, aliomba IGP amhakikishie usalama wake, IGP ali mute, ni mimi nilimhakikishia usalama wake ndipo akarejea Kamanda Lissu, Usisubiri Jibu la IGP Kuhusu Usalama Wako, Aliyekulinda na Shambulio Lile Yupo, Yeye Aweza, na Ataendelea Kukulinda, Welcome Back Home!

Ila kwenye uchaguzi wa 2025, kwasababu Watanzania tumeamua twende na mwanamke, na mwanamke mwenyewe anafahamika, naujua mdomo wa Lissu asivyo na breki, hivyo atamuogesha kwa ..., hivyo nimemshauri Lissu asigombee ili asipate aibu ya kushindwa na mwanamke!. Iwapo Watanzania wataamua 2025 twende na Mwanamke, mnaonaje tukiwashauri CHADEMA wasimamishe Mwanamke? Maana Mwanaume kushindwa na Mwanamke ni aibu!

P.
 
Kwa vile TL ni mwanasheria, angekuwa ana uhakika, anajua ni nini cha kufanya!, hana uhakika, na waliotaka kumuua ni watu wasiojulikana ambao mpaka sasa hawajajulikana, Shambulio la Lissu: Wajue wasiojulikana watakaojulikana na 'Wasiojulikana' ambao kamwe, hawatajulikana

Maridhiano ni a political process, shambulio la TL ni criminal issue, kukitokea uhalifu wowote ambao serikali haiwajui wahalifu, huwezi kuileta issue kama hiyo mezani.

Yes, hata ningekuwa mimi ndio serikali, nisingeweza kumhakikishia usalama wake kwasababu siwajui waliomshambulia, hivyo wanaweza kumaliza kazi na kuiingiza serikali into disrepute. Kama wasiojulikana wale walikuwa ni watu wao, then serikali ingeweza kumhakikishia usalama wake, maana wasingewatuma tena kumaliza kazi.

Hata hivyo tuko akina sisi, tulimhakikishia usalama wake na akarejea Kamanda Lissu, Usisubiri Jibu la IGP Kuhusu Usalama Wako, Aliyekulinda na Shambulio Lile Yupo, Yeye Aweza, na Ataendelea Kukulinda, Welcome Back Home!
P
Umeshasahau tayari ile kesi ya udukuzi wa Tigo? Ndo maana unasema hana uhakika kwamba ni nani alitaka kumuuwa?
 
Kama haulewi siasa na ukiwa kibaraka wa ccm utamuona lissu ni mropokaji ila kama unaijua siasa na mtu mwenye kupenda haki utamuon lissu mtu na nusu ....nikwambie tu hakuna mwanasiasa yoyote pale ccm anayemuweza lissu hata ukiwekwa uchaguzi huru leo hii
Unaota ndugu
 
Wanabodi,

Lissu anazungumza kwa kutumia lugha kali!, anauliza kama wenzake wana akili timamu kweli, unamjua huyo anayemuulizia kama ana akili kweli ni nani?. Kitendo cha kuyaita maridhiano kuwa ni ujinga, jee maridhiano ya CCM na Chadema kweli ni ujinga?.

Hizi lugha za Tundu Lissu anazotumia, ambazo ni very vocal, jee ni lugha za kistaarabu na kiungwana?, mimi naziona kama zina ukakasi fulani, lakini sijui nyinyi wenzangu.

Hii sio mara yangu ya kwanza kuialert Chadema about the impending doom!, walipompokea Edward Lowassa, niliwaeleza kitu Ujio wa Lowassa CHADEMA: Kuna kundi wamesusa, wanapanga kurejea CCM! japo nilibezwa, lakini la kutokea lilikuja kutokea, hivyo sitashangaa hata hapa nikibezwa, ila litakapotokea la kutokea, nitawakumbusha.

Kwa haya anayoyasema Lissu kutoa siri za maridhiano, je Lissu bado ni asset kwa Chadema, au kwa sasa, Tundu Lissu is liability?. Sisi waona mbali, kuna kitu hapa tunakiona kwa mbali, kisipokuwa handled with care, it's going to cost Chadema very dearly.

Wasalaam

Paskali
Tundu Lissu ameamua kuia CHADEMA kwa mikono yake mwenyewe.

Anapita kila kona kukishambulia chama chake hadharani. Ameunda mtandao kukishambulia chama chake.

Anasema chama chake kinanuka rushwa. Anasema chama chake hakina mipango ya kueleweka ili kuiondoa CCM madarakani.

Anasema chama chake kimekosa kiongozi mwenye quality ya kuongoza mapambano na CCM.

Anakosoa process ya maridhiano ambayo alishiriki kuiratibu.

Na mengine mengi. Anasema haya hadharani wakati anajua fika yeye ni makamu mwenyekiti anaeweza kutumia mifumo ya chama kufikisha malalamiko yake.

Lissu anaisaliti CHADEMA either unaamini au auamini Lissu ni mwanasiasa anajua anachokifanya. Lissu ni kirusi yupo kazini.

Alisema alifatwa na Abdul waonane na alipelekewa pesa akazikataa . Je hizo pesa kazi yake ilikuwa nini? Tutajuaje kama Abdul hakurudi na dau zito zaidi ambalo ndio linamsukuma kukishambulia chama chake hadharani? Lissu yupo kazini.

Nashauri kabla hajaleta madhara zaidi chama chake kimchukulie hatua za kinidhamu, hii anayoifanya sio demokrasia ni fujo.

Heshimu kiongozi wako mfichie msitili madhaifu yake kama anavyostri ya kwako. Nani asiyejua wewe ni mwezi mchanga?

CHADEMA hata kama inatakiwa ifanye mabadiliko ya mwenyekiti Lissu hafai tafuteni watu wenye koromeo tafute viongozi sio wafanya vurugu.

CHADEMA ni chama kikubwa any day inaweza kuchukua nchi lakini kwa viongozi kama Lissu hata deep state haiwezi ruhusu.
Duh。。。!。Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?
P
 
Wanabodi,

Kwa haya anayoyasema Lissu je Lissu bado ni asset kwa Chadema, au kwa sasa, Tundu Lissu is liability?. Sisi waona mbali, kuna kitu hapa tunakiona kwa mbali, kisipokuwa handled with care, it's going to cost Chadema very dearly.

Wasalaam

Paskali
Kuna kitu niliuliza hapa, swali hili bado ni valid.
P
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa, zikijadili jambo lolote la kisiasa, kiuchumi na kijamii lenye maslahi kwa taifa letu. Makala hizi huwa na swali, kisha hoja, halafu jibu utalitoa wewe mwenyewe msomaji.

Makala ya leo ni kuhusu maendeleo ya siasa zetu kuelekea uchaguzi wa 2025.

Siku zote Tanzania tumekuwa na siasa za kuhasimiana kati ya Chama tawala CCM na vyama vya upinzani, Kiingereza tukiita ni politics of confrontations, siasa zikiendeshwa kwa uadui na kila aina ya figisu, na kwenye baadhi ya maeneo korofi, ushindi kupatikana kwa bao la mkono!.

Baada ya kutokea kilichotokea, ile Machi 17, Samia Suluhu Hassan, kaingia na kitu cha kwanza alichokifanya kwenye siasa zetu, ni kuliishi tuu jina lake la Suluhu kwa kuleta suluhu ya kisiasa kuachana na siasa za kuhasimiana na kuitroduce, politics of reconciliation and politics of tolerance kwa Samia kukubali kufanya mazungumzo ya maridhiano kati ya CCM chama tawala na Chadema, chama kikuu cha upinzani Tanzania, huku akiunda tume Prof Mukandala na kuwaweka vyama vyote kujadili mustakabali mwema wa nchi yetu.

Kwanza Mama alikaa na vyama vyote kupitia TCD pale Dodoma, katika mkutano huo, kuna chama kilisusa kisa kiongozi wake yuko korokoroni!. Sisi wa ushauri wa bure, tukashauri ... Chadema, P'se, Msisusie Mkutano wa Vyama, Wasilisheni Hoja Zenu Mezani, Zitamfikia Samia, Ana Nia Njema na Nchi Hii, Mpeni Ushirikiano!.

Kwenye mkutano huo wa TCD, waungwana wakamuombea mtu msamaha, Rais Mama Samia alivyo mtu mwenye wema wa asili, Psychoanalysis Trends za Viongozi Wetu, Humbleness ya Rais Samia ni Bonafide Genuine, ni asili yake, ni nature yake, ndivyo alivyo, Ila...
, akajibu pale pale "kusameheana kupo", sisi wa kuandika, tukaandika ... Watanzania tumshukuru Mungu kupata mtu mwenye moyo wa kusamehe. Je, tumuombe asamehe tu bila kuombwa msamaha au akomae naye?

Na kweli haikupita punde mtu akaachiwa, na sisi wa kuandika tukapongeza... Asante sana Rais Samia kwa kuliponya Taifa. Umeonesha kwa kauli na matendo; tunajenga nyumba moja, hakuna sababu ya kugombea fito!

Mara ghafla nchi ikatulia, Chadema iliyokuwa hoi bin taaban kifedha mara ikapata pumzi, ikaanza kupumua, mara sasa ikawa na uwezo hata wa kuendesha vikao, viongozi wake mara ghafla wakawa na uwezo za kufanya ziara hadi za nje ya nchi, yote haya ni matunda ya maridhiano.

Wakati Rais Mama Samia akiyafanya haya, haimaanishi CCM wote walikuwa wanayafurahia, no, kuna wahafidhina wenye nguvu na ushawishi mkubwa ndani ya CCM, walimpinga Samia, hivyo Samia alishughulika nao wengine wale wenye kelele sana, ilimbidi kuwaondosha kuwaweka mbali kwa kuwapa majukumu mengine ya kiutendaji ili kuwafunga midomo!

Wahafidhina hawa pia walikuwepo Chadema, na miongoni mwa wahafidhina hawa wa Chadema ni M/Mwenyekiti, Mhe. Tundu Lissu!.

Mama Samia alipopita Ubelgiji, Tundu Lissu akachangamkia fursa ya kuonana na kufanya mazungumzo na Tundu Lissu, ila baada tuu ya mazungumzo baina ya Tundu Lissu na Samia, Tundu Lissu akaibuka na haya,

Mimi Tundu Lissu nimesoma nae sekondari Ilboru, hivyo namfahamu sana, kwanza ni kichwa sana, Tundu Lissu ni kichwa cha ukweli, very bright and brilliant, tatizo lake ni moja tuu, ambalo nimeisha lisema kwenye bandiko langu hili Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!
Hivyo nimeisha andika mengi humu kumhusu Tundu Lissu miongoni mwake ni haya
Mtu kuwa vocal kwa wanaharakati ni sifa muhimu sana haswa katika utetezi wa haki za binadamu. Hivyo katika harakati za mwanzo za vyama vingi, Chadema kilikuwa ni chama cha kiharakati hivyo wanaharakati kama kina Tundu Lissu, Dr. Wilbrod Slaa, Zitto Kabwe na wengine wengi walikuwa very vocal hivyo kuwa ni asset muhimu sana kwa mapambano ya kudai haki.

Ni kufuatia uanaharakati wa Tundu Lissu, mimi ni miongoni mwa tulimshauri Tundu Lissu, ndie amkabili Magufuli uchaguzi wa 2020 Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli! hicho nilichokisema hapo kuwa Tundu Lissu ni zaidi ya Magufuli, kwenye nini, ndicho kitu kitakuja kuigharimu Chadema mbele ya safari!.

Mara tuu baada ya kumshauri Tundu Lissu amkabili Magufuli, ndipo like tukio la very unfortunately likamtokea Tundu Lissu kwa kushambuliwa na wasiojulikana, na kukimbizwa nje ya nchi kutibiwa. Akiwa matibabuni, aliendelea kuwa vocal, na kwa mambo aliyokuwa akiongea kuhusu Tanzania, mimi nilifika mahali, nikadhania Tundu Lissu hatarejea tena nchini Kwa mliomsikia Tundu Lissu kwenye Hard Talk, unadhani atarejea nchini? Mimi sina hakika na akirejea, atakuwa ni shujaa kuliko hata Nelson Mandela!

Kumbe Tundu Lissu ni very bold, akaomba kuhakikishiwa usalama wake ili arejee nyumbani, japo aliowaomba wamhakikishie usalama, walimkalia kimya, hawakumjujibu, ni akina sisi, ndio tulimmshauri arejee tuu hivyo hivyo na kweli akarejea Kamanda Lissu, Usisubiri Jibu la IGP Kuhusu Usalama Wako, Aliyekulinda na Shambulio Lile Yupo, Yeye Aweza, na Ataendelea Kukulinda, Welcome Back Home!

Moja ya sifa kubwa za pekee za Tundu Lissu, ni mkweli daima na kwenye ukweli, Lissu hana simile wala hakopeshi, hata ukweli huu kuhusu kilichotokea ndani ya Chadema, ni Lissu ndie aliyetoa Tundu Lissu kama JPM, ni mtu mkweli. Asema ukweli jinsi ukomo wa uongozi ulivyoyeyuka CHADEMA

Kwa sasa Tundu Lissu yupo nchini akifanya mikutano yake ya hadhara kwa uhuru, huku akiwa na ulinzi na usalama wa kutosha bila bugudha yoyote, tatizo lake ni lile lile moja, he is very vocal!.

Hebu msikilize hapa



Swali ni kwa hiki anachoongea hapa, Tundu Lissu, sio kuwa ameanza kutoa siri za mazungumzo ya maridhiano kabla the public hatujatangaziwa rasmi na wana maridhiano wenyewe?!.

Kumbe kwenye mazungumzo ya maridhiano watu wameridhiana kugawana nusu mkate!. Nani alilijua hili?. Kumbe wameahidiana kuachiana majimbo!, nani alilijia hili?, kama sio Tundu Lissu kuyasema haya, akina sisi tungejuaje na mazungumzo ya maridhiano ni siri!. Asante Lissu kwa taarifa hii.

Kwa kawaida mazungumzo yoyote ya majadiliano au reconciliation hufanywa behind the camera with honest, truthfulness, trust na the spirit of a win win situation, hakuna mshindi, hakuna mshindwa. No any details za mazungumzo hayo hutolewa nje kwenye public domain kabla ya kufikia muafaka, wanaridhiana nini, but now through Tundu Lissu, the cat is out of basket, you can't hide anymore!, this is breach of trust!.

Lissu anazungumza kwa kutumia lugha kali!, anauliza kama wenzake wana akili timamu kweli, unamjua huyo anayemuulizia kama ana akili kweli ni nani?. Kitendo cha kuyaita maridhiano kuwa ni ujinga, jee maridhiano ya CCM na Chadema kweli ni ujinga?.

Hizi lugha za Tundu Lissu anazotumia, ambazo ni very vocal, jee ni lugha za kistaarabu na kiungwana?, mimi naziona kama zina ukakasi fulani, lakini sijui nyinyi wenzangu.

Hii sio mara yangu ya kwanza kuialert Chadema about the impending doom!, walipompokea Edward Lowassa, niliwaeleza kitu Ujio wa Lowassa CHADEMA: Kuna kundi wamesusa, wanapanga kurejea CCM! japo nilibezwa, lakini la kutokea lilikuja kutokea, hivyo sitashangaa hata hapa nikibezwa, ila litakapotokea la kutokea, nitawakumbusha.

Kwa haya anayoyasema Lissu kutoa siri za maridhiano, je Lissu bado ni asset kwa Chadema, au kwa sasa, Tundu Lissu is liability?. Sisi waona mbali, kuna kitu hapa tunakiona kwa mbali, kisipokuwa handled with care, it's going to cost Chadema very dearly.

Wasalaam

Paskali


Tanzania lazima tuamue tunataka nchi ya vipi maana vinginevyo tunaenda kwenye mtafaruku mkubwa huko mbele

 
Wanabodi,

Kwa haya anayoyasema Lissu je Lissu bado ni asset kwa Chadema, au kwa sasa, Tundu Lissu is liability?. Sisi waona mbali, kuna kitu hapa tunakiona kwa mbali, kisipokuwa handled with care, it's going to cost Chadema very dearly.

Wasalaam

Paskali
Kuna kitu hapa nilikiona na nikakisema, sasa kesho saa 5 asubuhi kinakwenda kutangazwa nyumbani kwa Mbowe.
P
 
Wanabodi,

Moja ya sifa kubwa za pekee za Tundu Lissu, ni mkweli daima na kwenye ukweli, Lissu hana simile wala hakopeshi, hata ukweli huu kuhusu kilichotokea ndani ya Chadema, ni Lissu ndie aliyetoa Tundu Lissu kama JPM, ni mtu mkweli. Asema ukweli jinsi ukomo wa uongozi ulivyoyeyuka CHADEMA

Kwa sasa Tundu Lissu yupo nchini akifanya mikutano yake ya hadhara kwa uhuru, huku akiwa na ulinzi na usalama wa kutosha bila bugudha yoyote, tatizo lake ni lile lile moja, he is very vocal!.

Hebu msikilize hapa



Lissu anazungumza kwa kutumia lugha kali!, anauliza kama wenzake wana akili timamu kweli, unamjua huyo anayemuulizia kama ana akili kweli ni nani?. Kitendo cha kuyaita maridhiano kuwa ni ujinga, jee maridhiano ya CCM na Chadema kweli ni ujinga?.

Kwa haya anayoyasema Lissu kutoa siri za maridhiano, je Lissu bado ni asset kwa Chadema, au kwa sasa, Tundu Lissu is liability?. Sisi waona mbali, kuna kitu hapa tunakiona kwa mbali, kisipokuwa handled with care, it's going to cost Chadema very dearly.

Wasalaam

Paskali

Wajumbe wa Baraza Kuu Chadema, leo tuleteeni huyu mtu aje ayanyooshe haya majinga ya Chadema!.
P
 
Tuungane kumu wish Tundu Lissu all the best leo.
YEYE atatenda!
Sema Amen!.

Ushindi wa Tundu Lissu kesho ni muhimu ili October, YEYE aonyeshe uwezo wake kwa kulifanya lile jiwe lililokataliwa na waashi, YEYE atalifanya kuwa jiwe kuu la pembeni!.

P
 
Naona press yake imekosa mvuto tuliouzoea wa chadema. alifanya kitu kibaya kumtukana/character assasination kwa Mbowe.
 
Back
Top Bottom