Msikilize Mzungu akitoa sababu za Sub-Saharan Africa kuwa Masikini

Msikilize Mzungu akitoa sababu za Sub-Saharan Africa kuwa Masikini

love life live life

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2021
Posts
2,584
Reaction score
3,051


Huyo ni lecture;

Anasema sub saharan Africa ni row material producers hiyo ni role yake katika uchumi wa dunia.

Sub saharan countries ni muhimu kwa nchi zilizoendelea katika uchumi wake, Na hawataruhusu Sub saharan
ku-escape katika role yake kama row material producers.

Pia ameongelea kuwa uchumi wote na ideology zake ziko designed kuiweka Africa maskin specifically Sub-saharan iwe

Marakani, Ulaya au china hayo ndio malengo makuu.

Na hiyo haimaanishi kuwa africa haina cha kufanya lakini huo ni ukinzani wanaotakiwa kupambana nao.

Amesema Africa iwapo itafanya tofauti na mipango hiyo then uchumi wa mataifa makubwa lazima uanguke, USA haitakubali kitu kama hicho bila mapambano makali.

Kazi kubwa ya wasomi wa mataifa makubwa na taasiis za elimu zao ni kutengeneza ideology ambazo zina washiwishi Waafrica kuendelea kufanya wanayofanya ili waendelee kuwa mikononi mwao na kuwaonyesha kuwa umasikini ni matokeo ya uzembe wao.

Hiyo misaada tunayopewa ni kwa ajiri ya kuzisaidi serikali ziendelee kusafirisha row material bila tatizo.

Hiyo ni short summary unawez kufungua video kwa mengine mengi.
 
Inajulikana hivyo na itaendelea kuwa hivyo na hakuna wa kubadirisha mfumo huo.

Tayari tulishalishwa dawa za kizungu, kiharabu nk, so kuchomoka ni nadra that's why unaona tupo hivi, Afrika tuna utajiri wa namna zote kuliko hao waliotutawala but tupo chini yao as makoloni japo wanatutawala kisasa kupitia mikopo, dini na misaada.

As he said, ukitaka kupanda as Gaddaf au Jiwe huchukui round, wanawatumia hao hao ndg zako for wrongdoing then unarejesha funguo kwa maulana.
 
Inajulikana hivyo na itaendelea kuwa hivyo na hakuna wa kubadirisha mfumo huo.

Tayari tulishalishwa dawa za kizungu, kiharabu nk, so kuchomoka ni nadra that's why unaona tupo hivi, Afrika tina utajiri wa namna zote kuliko hao waliotutawala but tupo chini yao as makoloni japo wanatutawala kisasa kupitia mikopo, dini na misaada.

As he said, ukitaka kupanda as Gaddaf au Jiwe huchukui round, wanatumia hao hao ndg zako for wrongdoing then unarejesha funguo kwa maulana.
Hiyo ndio mipango yao ya mda mrefu.
We fear them but everyday we grow stronger and stronger.
 
love life live life

Je Vipi nchi kama south afrika ?
Mugabe alipoingia mara ya kwanza uraisi media zao zilimpigia upatu ni reformer huku watu wake wakimuona ni msalit.
Alipoanza kuwafukuza kwenye umiliki wa ardhi ambayo More than 90% waliimiliki, ukawa mwanzo wa ugomvi na vikwazo
kutoka western.
 
Hiyo Row uliyotumia sio sahihi bali ni Raw.....
Kwa mada nikijikita sasa...nina swali kwako.
Kwa siasa hizi za Tanzania na taasisi zetu nyeti unaona ziko kwaajili ya kufanya maendeleo? Kabla ya kumuhusisha mzungu.

Fact; Mzungu kaingia Africa karne za hivi karibuni tukwa harakaharaka ni tangu ya 15 ukiondoa hii miaka 500 ya Mzungu Africa ilikuwa na nini kuwalinganisha na hao Wazungu wq kipindi hicho.
 
Hiyo Row uliyotumia sio sahihi bali ni Raw.....
Kwa mada nikijikita sasa...nina swali kwako.
Kwa siasa hizi za Tanzania na taasisi zetu nyeti unaona ziko kwaajili ya kufanya maendeleo? Kabla ya kumuhusisha mzungu.

Fact; Mzungu kaingia Africa karne za hivi karibuni tukwa harakaharaka ni tangu ya 15 ukiondoa hii miaka 500 ya Mzungu Africa ilikuwa na nini kuwalinganisha na hao Wazungu wq kipindi hicho.
Ndio inapokuja suala la ideology wao wameweka ideology ambazo zina define usuperior wao na kutuonesha
kuwa sisi ni inferior.Africa hatujawahi kuwa na ideology hata moja toka ukoloni uingie.
sisi ni ku-copy iwe socialismm, capitalism, freetrade nk.
Ngoja ni kukumbushe mzungu kipindi anakuja Africa hatukuwa na omba omba wala mtu aliyekufa kwa njaa.
Huko ulaya walikuwepo wengi tu.
 
Huyu nae kashakula pesa za manongi na kikosi chake ovu wachojiita "WAZALENDO". huku uhalisia ni manefest and latent factor game.

Kwa ujumla wangorongoro hawajawahi kunufaika na the so called ngorongoro tangu awali.

Ngorongoro ni mradi unaonufaisha walio wachache (tabaka la juu)

Kampeni ya kujifanya uhifadhi ni mkakati wa matajiri (wawekezaji) kupanua ujenzi wa mahoteli ndani ya hifadhi.

Tangu kupigwa marufuku kwa shughuli za kilimo 2007 ndani ya NCA wananchi waliridhia kwa lengo la uhifadhi lakini NCA ilipaswa kuprovide basics need kama mahindi,ufadhili wa masomo,na chumvi kwa ajili ya ng'ombe n.k lakini suala hili liligubikwa na rushwa na matumizi ya hovyo ya fedha ya umma.

Hivi karibuni manongi na timu yake walisambaza chumvi ya mifugo iliyochanganywa na sumu lengo kuu ni kuua mifugo ndani ya NCA.

Wanangorongoro hawajawahi kufaidika na NCA hata kwa 1% na ndio maana kuhamishwa kwao ni kwa nguvu ya pesa za umma ,propaganda na matumizi mabaya ya tasnia ya habari.
 


Huyo ni lecture;
Anasema sub saharan Africa ni row material producers hiyo ni role yake katika uchumi wa dunia.
Sub saharan countries ni mhimu kwa nchi zilizoendelea katika uchumi wake, Na hawataruhusu Sub saharan
ku-escape katika role yake kama row material producers.
Pia ameongelea kuwa uchumi wote na ideology zake ziko designed kuiweka Africa maskin specifically sub-saharan iwe
Marakani, ulaya au china hayo ndio malengo makuu.
Na hiyo haimaanishi kuwa africa haina cha kufanya lakini huo ni ukinzani wanaotakiwa kupambana nao.
Amesema africa iwapo itafanya tofauti na mipango hiyo then uchumi wa mataifa makubwa lazima uanguke, USA haitakubali kitu
kama hicho bila mapambano makali.
Kazi kubwa ya wasomi wa mataifa makubwa na taasiis za elimu zao ni kutengeneza ideology ambazo zina washiwishi
waafrica kuendelea kufanya wanayofanya ili waendelee kuwa mikononi mwao na kuwaonyesha kuwa umasikini ni
matokeo ya uzembe wao.
Hiyo misaada tunayopewa ni kwa ajiri ya kuzisaidi serikali ziendelee kusafirisha row material bila tatizo.
Hiyo ni short summary unawez kufungua video kwa mengine mengi.
Shida ya Africa ni African leaders wazungu tuna wa tumia kama scapegoat tu, to hide our weakness
 


Huyo ni lecture;
Anasema sub saharan Africa ni row material producers hiyo ni role yake katika uchumi wa dunia.
Sub saharan countries ni mhimu kwa nchi zilizoendelea katika uchumi wake, Na hawataruhusu Sub saharan
ku-escape katika role yake kama row material producers.
Pia ameongelea kuwa uchumi wote na ideology zake ziko designed kuiweka Africa maskin specifically sub-saharan iwe
Marakani, ulaya au china hayo ndio malengo makuu.
Na hiyo haimaanishi kuwa africa haina cha kufanya lakini huo ni ukinzani wanaotakiwa kupambana nao.
Amesema africa iwapo itafanya tofauti na mipango hiyo then uchumi wa mataifa makubwa lazima uanguke, USA haitakubali kitu
kama hicho bila mapambano makali.
Kazi kubwa ya wasomi wa mataifa makubwa na taasiis za elimu zao ni kutengeneza ideology ambazo zina washiwishi
waafrica kuendelea kufanya wanayofanya ili waendelee kuwa mikononi mwao na kuwaonyesha kuwa umasikini ni
matokeo ya uzembe wao.
Hiyo misaada tunayopewa ni kwa ajiri ya kuzisaidi serikali ziendelee kusafirisha row material bila tatizo.
Hiyo ni short summary unawez kufungua video kwa mengine mengi.

Changamoto kubwa ya Africa ni mifumo mibovu ya utawala
 
Shida ya Africa ni African leaders wazungu tuna wa tumia kama scapegoat tu, to hide our weakness
Hao leaders kama Muamari Gadafi, Lumumba, Sankara huwa wanaishia wapi zaidi ya kupigwa risasi
wakianza kufanya hizo reforms?
Ni waafrica wote tuna matatizo sio leaders kwa sababu hao leaders wanazalishwa na jamii
ambayo ni ya hovyo huwezi pata viongozi bora na mzungu anatumia hiyo kama karata yake.
 
Hao leaders kama Muamari Gadafi, Lumumba, Sankara huwa wanaishia wapi zaidi ya kupigwa risasi
wakianza kufanya hizo reforms?
Ni waafrica wote tuna matatizo sio leaders kwa sababu hao leaders wanazalishwa na jamii
ambayo ni ya hovyo huwezi pata viongozi bora na mzungu anatumia hiyo kama karata yake.
Umeua sanaa
 
Hao leaders kama Muamari Gadafi, Lumumba, Sankara huwa wanaishia wapi zaidi ya kupigwa risasi
wakianza kufanya hizo reforms?
Ni waafrica wote tuna matatizo sio leaders kwa sababu hao leaders wanazalishwa na jamii
ambayo ni ya hovyo huwezi pata viongozi bora na mzungu anatumia hiyo kama karata yake.
Viongozi kazi yao ni kutuongoza huwezi kutubebesha lawama wakati hatuna dhamana na uwezo wakufanya maamuzi katika hi nchi, Bibi yangu alioko kijijini hana chochote zaidi ya kusikiliza Radio kujua kiongozi wamesema je?
 
Back
Top Bottom