Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 8,257
- 11,499
Hivi hii free basis unaipataje ?Wengine tunatumia free basic jaribu ku summarize nazungumzia Yao kwa maandishi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi hii free basis unaipataje ?Wengine tunatumia free basic jaribu ku summarize nazungumzia Yao kwa maandishi
Hahahaha!!! hao viongozi wanashuka kutoka mbinguni?Viongozi kazi yao ni kutuongoza huwezi kutubebesha lawama wakati hatuna dhamana na uwezo wakufanya maamuzi katika hi nchi, Bibi yangu alioko kijijini hana chochote zaidi ya kusikiliza Radio kujua kiongozi wamesema je?
Nini kifanyike?Hii dhana za kutumiana mipira sio sahihi..
Ukweli ni waafrica wote tuna matatizo kwa sababu tumekua
kwenye jamii ya hovyo hovyo.
Huwezi kusema kuanzia rais ,mawaziri, wabunge sijui polisi mpaka mtendaji wa kata ni wa ovyo useme tatizo likoViongozi kazi yao ni kutuongoza huwezi kutubebesha lawama wakati hatuna dhamana na uwezo wakufanya maamuzi katika hi nchi, Bibi yangu alioko kijijini hana chochote zaidi ya kusikiliza Radio kujua kiongozi wamesema je?
Reforms zianzie kwenye jamii specificaly watoto.Nini kifanyike?
Naomba unielewe waleta sera na kutekeleza sera ni viongozi sie ni wa fuasi wa sera zao tu, kwahiyo sie hatuwezi kupindua hizo sera zao labda unataka upelekwe jela bure.Huwezi kusema kuanzia rais ,mawaziri, wabunge sijui polisi mpaka mtendaji wa kata ni wa ovyo useme tatizo liko
kwao tu na sio jamii.
Hakuna kitu sababu watafundishwa unafiki na walimureforms zianzie kwenye jamii specificaly watoto.
Hao viongozi kwani si sehemu ya jamii yetu?Naomba unielewe waleta sera na kutekeleza sera ni viongozi sie ni wa fuasi wa sera zao tu, kwahiyo sie hatuwezi kupindua hizo sera zao labda unataka upelekwe jela bure.
Mfumo ni mbovu snNaomba unielewe waleta sera na kutekeleza sera ni viongozi sie ni wa fuasi wa sera zao tu, kwahiyo sie hatuwezi kupindua hizo sera zao labda unataka upelekwe jela bure.
Siongelei waalimu.Hakuna kitu sababu watafundishwa unafiki na walimu
Wewe ungependa sie watu wa chini tufanye je, ili tusiburuzwe na hao viongozi, wajati hata milo miwili ni shida afya mgogoro nk......Nyerere katuburuza miaka 25 kwa majaribio ya uchumi wa ujaama paka sasa hivi mitaala ya elimu inamsifia kama shuja wakati yeye ndo chanzo cha umasikini TzHao viongozi kwani si sehemu ya jamii yetu?
kwanini viongozi wote wawe wa hovyo kama hakuna tatizo kwanye jamii wanayotoka?
Hizo sera zina kubaliwaje na watu mil. 60 wakati ni za hovyo kama hao watu sio wa hovyo?
Mtoto anashinda shuleniSiongelei waalimu.
Taasisi ya kwanza ni familia ndio inainfluence kubwa kwenye maisha, tabia na makuzi.
shule ni secondary.
Sasa tuweke mambo sawa, tuiondoe Africa baada ya 15th C kisha tuijadili kabla ya hiyo karne. Maeneo ya kusini mwa Jangwa la sahara yalikua na mafanikio yapi katika nyanja zifuatazo..Ndio inapokuja suala la ideology wao wameweka ideology ambazo zina define usuperior wao na kutuonesha
kuwa sisi ni inferior.Africa hatujawahi kuwa na ideology hata moja toka ukoloni uingie.
sisi ni ku-copy iwe socialismm, capitalism, freetrade nk.
Ngoja ni kukumbushe mzungu kipindi anakuja Africa hatukuwa na omba omba wala mtu aliyekufa kwa njaa.
Huko ulaya walikuwepo wengi tu.
Sikio la kufa haliskii dawa acha tuendelee kuwakumbusha.Je, baada ya kuona video hii, Rais Samiah Suluhu anaweza kudiriki kukopa tena pesa nje ya nchi?
Mama Samiah ana lipi la kutuambia juu ya kauli yake kwamba akipata nafasi ya kukopa atakopa tena. Tumsikilize mwamba akiwafundisha wanafunzi wake, na endapo Rais wetu anaweza kuirudia ile kauli yake juu ya mikopo? ================================ Update: 15/02/2022...www.jamiiforums.com
Mpumbavu mjambiani wa makunduuchi awezi kuelewa yeye anazungurusha makalio kukopa kama kahaba anavyo jiuza kimboka
Huyo ni lecture;
Anasema sub saharan Africa ni row material producers hiyo ni role yake katika uchumi wa dunia.
Sub saharan countries ni mhimu kwa nchi zilizoendelea katika uchumi wake, Na hawataruhusu Sub saharan
ku-escape katika role yake kama row material producers.
Pia ameongelea kuwa uchumi wote na ideology zake ziko designed kuiweka Africa maskin specifically sub-saharan iwe
Marakani, ulaya au china hayo ndio malengo makuu.
Na hiyo haimaanishi kuwa africa haina cha kufanya lakini huo ni ukinzani wanaotakiwa kupambana nao.
Amesema africa iwapo itafanya tofauti na mipango hiyo then uchumi wa mataifa makubwa lazima uanguke, USA haitakubali kitu
kama hicho bila mapambano makali.
Kazi kubwa ya wasomi wa mataifa makubwa na taasiis za elimu zao ni kutengeneza ideology ambazo zina washiwishi
waafrica kuendelea kufanya wanayofanya ili waendelee kuwa mikononi mwao na kuwaonyesha kuwa umasikini ni
matokeo ya uzembe wao.
Hiyo misaada tunayopewa ni kwa ajiri ya kuzisaidi serikali ziendelee kusafirisha row material bila tatizo.
Hiyo ni short summary unawez kufungua video kwa mengine mengi.
Siyo Africa labda Ulaya, sisi njaa inambadilisha mtu hata kama ana miaka 90Aristotle alipata kusema
“Give me a child until he is 7 and I will show you the man.”
Vitu vyote unavyo vifanya ukiwa mtu mzima vinatokan na ulichojifunza mpaka ulipofkia
miaka saba.
Ungekuwa umeskiliza hiyo video ungeelewa.Sasa tuweke mambo sawa, tuiondoe Africa baada ya 15th C kisha tuijadili kabla ya hiyo karne. Maeneo ya kusini mwa Jangwa la sahara yalikua na mafanikio yapi katika nyanja zifuatazo..
¤Kisiasa
¤Kijamii
¤Kiuchumi
¤Sayansi na teknolojia.
Kisha tutumie mafanikio hayo kama ushaidi kwamba tulikua katika eneo zuri la kushindana na wenzetu.
Kuhusu capitalisim , socialism nk hiyo ni mifumo ambayo inazaliwa kulingana na mabadiliko ya jamii katika zile nyanja pale juu hivyo basi hakuna hoja ya kuiga ( copy)
Fact: Kipindi cha 15th Ulaya haswa Italy kulikua na kitu kinaitwa Renaissance Hapa ukisoma mambo yaliyofanywa na watu kama Leonardo Da Vinci ,Michaelangelo Bounarotti,Georgio Vasari,Verrochio na Bruneleschi kuwataja kwa Uchache tu unagundua kwamba Maendeleo sio njia ya mkato na hakuna wa Kukuzuia.
Hizo unaita ideologies unazipa nguvu sana....anyway rudi juu kunijibu kwanza.