Msikilize Mzungu akitoa sababu za Sub-Saharan Africa kuwa Masikini

Msikilize Mzungu akitoa sababu za Sub-Saharan Africa kuwa Masikini

Mkuu tafadhali jifunze kuona vitu katika big picture na katika all dimensions.
Tunaongelea kutokundelea kwa Africa Nkwameh Nkrumah alisema japo Ghana imepata uhuru lakini
kama nchi nyingine za Africa zitaendelea kuwa katika ukoloni uhuru wa Ghana hauna maana
think alikuwa anamaanisha nini.
Kila ukitaja Big picture nakumbuka Kitabu cha Ben Carson anyway nje ya mada hiyo..
Mimi ni artist Big picture inatengenezwa na small details ambazo zikikaa in harmonic way zinatengeneza sasa huo muonekano ( kwa photos Wanaita pixels )

Huwezi jizuia kujadili details ndogo iki kuhalalisha mindset fulani.

Kama tatizo ni ideologies au mkono wa Mzungu kupitia ukoloni Ethiopia ilipaswa kuwa mbele kwa wenzake leo hii maana hajaathiriwa directly.

Asante kwa kunikumbusha kwamba mada ni Kutokuendelea kwa Africa.Sasa nikupe swali lingine nipe mchango wa Africa kwenye maendeleo ya teknolojia Duniani.
 
Hahaha!!! asee mkuu mimi sifahamu yote hayo..
But the point is nchi kama malasysia, singapore nk. tulikuwa the same level katika metrica za uchumi
naideology walizoweka.
Kwanini Usitumie huu muda Kusoma ( Najua nowdays textbooks zipo kila mahali) Kisha ukipata majibu urudi kuomba msamaha wazungu na uanze kufikiria namna ya kubadili mifumo na taasisi za nchi yako ukianzia Kwa familia hapo nyumbani?

Ni ushauri tu na nafahamu sio sheria.
 
Hatukuwahi kua na chochote cha kujivunia kwamba tumekiunda sisi. Waafrica ni masikini wa akili tangu hata hatujatawaliwa.
Mpaka wazungu wanaamua kuizunguka dunia na kuijua africa ni dhahiri kwamba walijua na akili sana. Walipotukuta sisi hata nguo hatuna wakajua ni aina flani ya wanyama walioendelea
Haya maandishi ungeandika kwa herufi kubwa ili kuweka msisitizo zaidi.
 
Kila ukitaja Big picture nakumbuka Kitabu cha Ben Carson anyway nje ya mada hiyo..
Mimi ni artist Big picture inatengenezwa na small details ambazo zikikaa in harmonic way zinatengeneza sasa huo muonekano ( kwa photos Wanaita pixels )

Huwezi jizuia kujadili details ndogo iki kuhalalisha mindset fulani.

Kama tatizo ni ideologies au mkono wa Mzungu kupitia ukoloni Ethiopia ilipaswa kuwa mbele kwa wenzake leo hii maana hajaathiriwa directly.

Asante kwa kunikumbusha kwamba mada ni Kutokuendelea kwa Africa.Sasa nikupe swali lingine nipe mchango wa Africa kwenye maendeleo ya teknolojia Duniani.
Kwanza ethiopia isingeweza kuendelea kama imezungukwa na mataifa yaliyochini ya ukoloni hiyo ndio
concept, ambayo Nkwameh Nkrumah aliiongelea baada ya kupata uhuru Ghana kwa haraka haraka nadhani
hata wewe unaweza kuona kwanini isingeendelea.
Mchango wa Africa kwenye maendeleo ya tachnolojia ni swali pana lakini kama
umesoma historia utaona ulipokuja ukoloni wazungu waliifanya nini technolojia ya Africa.
Lakini kama utaamua kwenda beyond zaidi utaona Kina plato, socrate na pythogorus na wengine wengi
wasomi wa zama hizo walienda misri kusoma na kujifunza.
Wamisri walijua duniani duara miaka mingi sana hata huyo mzungu aliyetoahiyo idea baada ya kutoka misr.
Mchango ni mkubwa na sipo biased na nilichokiisema kwa sababu ni habari za kunifurahisha kama muafrica
lakini that is the fact.
Msome yule dada aliyetimuliwa kama mkurugenzi IFM baada ya kuanza kuwa tibua wazungu.
 
Hatukuwahi kua na chochote cha kujivunia kwamba tumekiunda sisi. Waafrica ni masikini wa akili tangu hata hatujatawaliwa.
Mpaka wazungu wanaamua kuizunguka dunia na kuijua africa ni dhahiri kwamba walijua na akili sana. Walipotukuta sisi hata nguo hatuna wakajua ni aina flani ya wanyama walioendelea
Africa isingekuwa Wazungu kungekua na nchi 120 hapa Tanganyika hii inamaanisha tribal wars ingefanya ardhi yote iwe nyekundu Tazama wakulima na Wafugaji kule mvomero. Angalia mgogoro wa ziwa Nyasa.

Nikisoma The History of Tanganyika nikakutana na wars nikatazama Ngoni Migration ni bloodshed.....Hata cannibalism ilikuwepo....Leo naona mtu kajinyonga kisa superstition beliefs .Mwingine anataka kumuondoa Masai Ngorongoro kwa namna yoyote.

Sasa hii ni reflection ya The Africa before 15thC
 
Nachoweza kumuelewa hapo ni kweli kama zile tools za kuifanya Afrika izidi kuwa masikini wanatumia misaada. Misaada na mikopo wanajua huwa inadakwa juu kwa juu na watawala wa kiafrica kisha inarudi kufichwa kwenye bank za Ulaya na watawala wa kiafrica.Hii Ni principal ombaomba hawezi kuwa tajiri sababu anao uhakika wa kuomba.
 
Kwanza ethiopia isingeweza kuendelea kama imezungukwa na mataifa yaliyochini ya ukoloni hiyo ndio
concept, ambayo Nkwameh Nkrumah aliiongelea baada ya kupata uhuru Ghana kwa haraka haraka nadhani
hata wewe unaweza kuona kwanini isingeendelea.
Mchango wa Africa kwenye maendeleo ya tachnolojia ni swali pana lakini kama
umesoma historia utaona ulipokuja ukoloni wazungu waliifanya nini technolojia ya Africa.
Lakini kama utaamua kwenda beyond zaidi utaona Kina plato, socrate na pythogorus na wengine wengi
wasomi wa zama hizo walienda misri kusoma na kujifunza.
Wamisri walijua duniani duara miaka mingi sana hata huyo mzungu aliyetoahiyo idea baada ya kutoka misr.
Mchango ni mkubwa na sipo biased na nilichokiisema kwa sababu ni habari za kunifurahisha kama muafrica
lakini that is the fact.
Msome yule dada aliyetimuliwa kama mkurugenzi IFM baada ya kuanza kuwa tibua wazungu.
Swali lilikuwa straight kabisa, mchango wa Afrika ktk teknolojia ya sasa ulimwenguni ni ipi? Ila naona majibu yako yamekuwa mengi, sema tumekuelewa mkuu.
 
Umeua sanaa
Everything is in perspectives when it comes to Africa, Afrocentric and Eurocentric have had this battle for years, Agrarian model of thinking has always been ahead of the others only to be beaten by other muscles in collective, The Sundiata, Sumanguruz and Mkwawa are no replica in this very contemporary diffusing world.

There is nothing like collective intergenerational living and thinking in africa, a mutating divide and rule is there to stay.

Njia ile ni nyembamba iendayo uzimani x2.

The genesis for scramble is rooted from the Bible.

Education, technological transfer, independence, expansive critical and analytical thinking, pendulum socio-economic metarmophosis not any closer a success story for Africa.
 
Kwanza ethiopia isingeweza kuendelea kama imezungukwa na mataifa yaliyochini ya ukoloni hiyo ndio
concept, ambayo Nkwameh Nkrumah aliiongelea baada ya kupata uhuru Ghana kwa haraka haraka nadhani
hata wewe unaweza kuona kwanini isingeendelea.
Mchango wa Africa kwenye maendeleo ya tachnolojia ni swali pana lakini kama
umesoma historia utaona ulipokuja ukoloni wazungu waliifanya nini technolojia ya Africa.
Lakini kama utaamua kwenda beyond zaidi utaona Kina plato, socrate na pythogorus na wengine wengi
wasomi wa zama hizo walienda misri kusoma na kujifunza.
Wamisri walijua duniani duara miaka mingi sana hata huyo mzungu aliyetoahiyo idea baada ya kutoka misr.
Mchango ni mkubwa na sipo biased na nilichokiisema kwa sababu ni habari za kunifurahisha kama muafrica
lakini that is the fact.
Msome yule dada aliyetimuliwa kama mkurugenzi IFM baada ya kuanza kuwa tibua wazungu.
Sasa mkuu naona Tunapiga story badala ya History Usijifanye unaona Ethiopia kipindi cha 15century kuja mbelw as if hakukua na watu pale.
Now nipe utofauti wa Ethiopia na the rest ipo hivi nikikukuta unapika uji ukazuia mimi kukuingilia jikoni haimaanishi wewe utaacha kupika uji wako hata kama nitakunyima kuni siku nikirud nitakukuta last stage niliyokuacha nayo ama mbele kidogo.
Utofauti wa Ethiopia na Tanganyika ni Upi mkuu
 
Inajulikana hivyo na itaendelea kuwa hivyo na hakuna wa kubadirisha mfumo huo.

Tayari tulishalishwa dawa za kizungu, kiharabu nk, so kuchomoka ni nadra that's why unaona tupo hivi, Afrika tina utajiri wa namna zote kuliko hao waliotutawala but tupo chini yao as makoloni japo wanatutawala kisasa kupitia mikopo, dini na misaada.

As he said, ukitaka kupanda as Gaddaf au Jiwe huchukui round, wanatumia hao hao ndg zako for wrongdoing then unarejesha funguo kwa maulana.
Lakini Jiwe na Gadafi walikiuka kanuni za asili hapa Mzungu ahusiki.
 
Africa isingekuwa Wazungu kungekua na nchi 120 hapa Tanganyika hii inamaanisha tribal wars ingefanya ardhi yote iwe nyekundu Tazama wakulima na Wafugaji kule mvomero. Angalia mgogoro wa ziwa Nyasa.

Nikisoma The History of Tanganyika nikakutana na wars nikatazama Ngoni Migration ni bloodshed.....Hata cannibalism ilikuwepo....Leo naona mtu kajinyonga kisa superstition beliefs .Mwingine anataka kumuondoa Masai Ngorongoro kwa namna yoyote.

Sasa hii ni reflection ya The Africa before 15thC
Duuh!!! haya siamini kama yana andikwa na mtu mwenye uelewa mpana.
Mbona kumekuwepo na empire nyingi kubwa.
Kamsome yuval noah harari kwenye Sapiens brief history of human kind.
Wazungu kaangalie ni nini kilichowafanya watu waishi kwa makundi na kwanini waungane.
 


Huyo ni lecture;
Anasema sub saharan Africa ni row material producers hiyo ni role yake katika uchumi wa dunia.
Sub saharan countries ni mhimu kwa nchi zilizoendelea katika uchumi wake, Na hawataruhusu Sub saharan
ku-escape katika role yake kama row material producers.
Pia ameongelea kuwa uchumi wote na ideology zake ziko designed kuiweka Africa maskin specifically sub-saharan iwe
Marakani, ulaya au china hayo ndio malengo makuu.
Na hiyo haimaanishi kuwa africa haina cha kufanya lakini huo ni ukinzani wanaotakiwa kupambana nao.
Amesema africa iwapo itafanya tofauti na mipango hiyo then uchumi wa mataifa makubwa lazima uanguke, USA haitakubali kitu
kama hicho bila mapambano makali.
Kazi kubwa ya wasomi wa mataifa makubwa na taasiis za elimu zao ni kutengeneza ideology ambazo zina washiwishi
waafrica kuendelea kufanya wanayofanya ili waendelee kuwa mikononi mwao na kuwaonyesha kuwa umasikini ni
matokeo ya uzembe wao.
Hiyo misaada tunayopewa ni kwa ajiri ya kuzisaidi serikali ziendelee kusafirisha row material bila tatizo.
Hiyo ni short summary unawez kufungua video kwa mengine mengi.

Anadhani itakuwa hivyo miaka yote? Kwa sasa ni kweli ila Hali ilivyokuwa miaka 50 nyuma sio sawa na Sasa.

Mabadiliko yanakuja hata kama ni taratibu .
 
Everything is in perspectives when it comes to Africa, Afrocentric and Eurocentric have had this battle for years, Agrarian model of thinking has always been ahead of the others only to be beaten by other muscles in collective, The Sundiata, Sumanguruz and Mkwawa are no replica in this very contemporary diffusing world.

There is nothing like collective intergenerational living and thinking in africa, a mutating divide and rule is there to stay.

Njia ile ni nyembamba iendayo uzimani x2.

The genesis for scramble is rooted from the Bible.

Education, technological transfer, independence, expansive critical and analytical thinking, pendulum socio-economic metarmophosis not any closer a success story for Africa.
Safi huku ndipo tulipaswa kwenda na mjadala huu
 
Swali lilikuwa straight kabisa, mchango wa Afrika ktk teknolojia ya sasa ulimwenguni ni ipi? Ila naona majibu yako yamekuwa mengi, sema tumekuelewa mkuu.
Mchango mkubwa wa africa kwa sasa ni kutoa raw material.
 
Hii dhana za kutupiana mipira sio sahihi..
Ukweli ni waafrica wote tuna matatizo kwa sababu tumekua
kwenye jamii ya hovyo hovyo.
Ni nature, unafiki ubinafsi ndio chanzo cha waafrika wenzetu kuchukuliwa utumwani kwa kushindwa kusaidiwa na waafrika wenzao.
 
Hiyo Row uliyotumia sio sahihi bali ni Raw.....
Kwa mada nikijikita sasa...nina swali kwako.
Kwa siasa hizi za Tanzania na taasisi zetu nyeti unaona ziko kwaajili ya kufanya maendeleo? Kabla ya kumuhusisha mzungu.

Fact; Mzungu kaingia Africa karne za hivi karibuni tukwa harakaharaka ni tangu ya 15 ukiondoa hii miaka 500 ya Mzungu Africa ilikuwa na nini kuwalinganisha na hao Wazungu wq kipindi hicho.
Mtu mweusi awe amezaliwa na kukulia ulaya eg wakina 2PAC,BIG na ukajumlisha na wa huku AFRICA sote TUMATAHIRA
 
Duuh!!! haya siamini kama yana andikwa na mtu mwenye uelewa mpana.
Mbona kumekuwepo na empire nyingi kubwa.
Kamsome yuval noah harari kwenye Sapiens brief history of human kind.
Wazungu kaangalie ni nini kilichowafanya watu waishi kwa makundi na kwanini waungane.
Nilikisoma Mkuu na nafkiri ni nayo kwa library hapa....Tatizo lako ni moja Hujibu unaleta new fact hapa nikikujibu naendeleza mzigo wa maswali ambayo umeyapapasa tu.
 
Africa siyo masikini.

Umasikini unakuja kwa viwango vya kizungu na sisi tunataka kuwa wazungu. Masai ana ng'ombe 100, mbuzi kondoo. Anakula nyama, maziwa ila anaitwa masikini sababu analala kwenye kanyumba ka nyasi na hana smartphone.
 
Back
Top Bottom