Msikilize Mzungu akitoa sababu za Sub-Saharan Africa kuwa Masikini

Msikilize Mzungu akitoa sababu za Sub-Saharan Africa kuwa Masikini

Nilikisoma Mkuu na nafkiri ni nayo kwa library hapa....Tatizo lako ni moja Hujibu unaleta new fact hapa nikikujibu naendeleza mzigo wa maswali ambayo umeyapapasa tu.
Mimi hapo sipo kuwin argument lakini ku-discuss.
Bahati mbaya sana kila mtu amekuja na dhana zake before argument ambazo anaamini ni sahihi.
Mimi siwezi ni kakupa history yote ya ulimwengu lakini foundation na why tupo hapa sio rocket science
hiyo upeo wa kawaida wa kufikiri unatosha.
 
Hao leaders kama Muamari Gadafi, Lumumba, Sankara huwa wanaishia wapi zaidi ya kupigwa risasi
wakianza kufanya hizo reforms?
Ni waafrica wote tuna matatizo sio leaders kwa sababu hao leaders wanazalishwa na jamii
ambayo ni ya hovyo huwezi pata viongozi bora na mzungu anatumia hiyo kama karata yake.
Hii sikuiona😂😂😂ni mzungu sasa hivi kakuambia usidai haki zako za msingi.
 


Huyo ni lecture;
Anasema sub saharan Africa ni row material producers hiyo ni role yake katika uchumi wa dunia.
Sub saharan countries ni mhimu kwa nchi zilizoendelea katika uchumi wake, Na hawataruhusu Sub saharan
ku-escape katika role yake kama row material producers.
Pia ameongelea kuwa uchumi wote na ideology zake ziko designed kuiweka Africa maskin specifically sub-saharan iwe
Marakani, ulaya au china hayo ndio malengo makuu.
Na hiyo haimaanishi kuwa africa haina cha kufanya lakini huo ni ukinzani wanaotakiwa kupambana nao.
Amesema africa iwapo itafanya tofauti na mipango hiyo then uchumi wa mataifa makubwa lazima uanguke, USA haitakubali kitu
kama hicho bila mapambano makali.
Kazi kubwa ya wasomi wa mataifa makubwa na taasiis za elimu zao ni kutengeneza ideology ambazo zina washiwishi
waafrica kuendelea kufanya wanayofanya ili waendelee kuwa mikononi mwao na kuwaonyesha kuwa umasikini ni
matokeo ya uzembe wao.
Hiyo misaada tunayopewa ni kwa ajiri ya kuzisaidi serikali ziendelee kusafirisha row material bila tatizo.
Hiyo ni short summary unawez kufungua video kwa mengine mengi.

Kumbuka ku facilitate yote haya, wanatumia viongozi "puppets"...hawaji na mitutu ya bunduki kulazimisha viongozi wetu waingie mikataba ya kijinga ya gas, dhahabu etc, wanatumia wanatumia wanasiasa wetu hawa hawa kutumaliza sababu wanajua viongozi wengi wa afrika hawana best interests za watu wao at heart, wapo tayari kufanya lolote kuabudu wazungu Hutu tukiangamia. So don't blame a white man, they simply doing that for their people, labda swali la msingi, sisi tunafanya for who?
 
Kumbuka ku facilitate yote haya, wanatumia viongozi "puppets"...hawaji na mitutu ya bunduki kulazimisha viongozi wetu waingie mikataba ya kijinga ya gas, dhahabu etc, wanatumia wanatumia wanasiasa wetu hawa hawa kutumaliza sababu wanajua viongozi wengi wa afrika hawana best interests za watu wao at heart, wapo tayari kufanya lolote kuabudu wazungu Hutu tukiangamia. So don't blame a white man, they simply doing that for their people, labda swali la msingi, sisi tunafanya for who?
Sio wazungu tu me simlaumu mtu yeyote.
Hao viongozi wamezalishwa na jamii yetu so tunavuna tulichopanda.
 
Kumbuka ku facilitate yote haya, wanatumia viongozi "puppets"...hawaji na mitutu ya bunduki kulazimisha viongozi wetu waingie mikataba ya kijinga ya gas, dhahabu etc, wanatumia wanatumia wanasiasa wetu hawa hawa kutumaliza sababu wanajua viongozi wengi wa afrika hawana best interests za watu wao at heart, wapo tayari kufanya lolote kuabudu wazungu Hutu tukiangamia. So don't blame a white man, they simply doing that for their people, labda swali la msingi, sisi tunafanya for who?
Atakubishia hapa, atasema tatizo lipo kwetu sote, sote tupo hovyo, subiri utaona majibu yake.
 
Atakubishia hapa, atasema tatizo lipo kwetu sote, sote tupo hovyo, subiri utaona majibu yake.
Kwanini mnapinga hatuna jamii ya ovyo?
Kuanzia mtendaji mpaka raisi ni watu wa ovyo then useme tatizo ni viongozi tu?
Kwa nin africa tu ndio tuwe na viongozi wa ovyo?
 
Mimi hapo sipo kuwin argument lakini ku-discuss.
Bahati mbaya sana kila mtu amekuja na dhana zake before argument ambazo anaamini ni sahihi.
Mimi siwezi ni kakupa history yote ya ulimwengu lakini foundation na why tupo hapa sio rocket science
hiyo upeo wa kawaida wa kufikiri unatosha.
Another New fact.....Ukiamini kitu ni kweli unapaswa Kuthibitisha mjomba Nafahamu Historia ya Ulimwengu na nafahamu tunaigawa kwa vipindi fulani.

Mimi sihitaji kuwin ila nahitaji majibu

¤Kabla ya Ukoloni Africa ni nini? Muafrika ni nani?
¤Kwanini haikua inajulikana Ulaya na kwanini mahusiano yake na Ulaya ni yenye malalamiko tokea mwanzo?
¤Namna ya maisha Africa ilikuaje kabla ya wazungu?
La Mwisho Uingereza imewahi kutawala Robo tatu ya Dunia walitumia mbinu zinazofanana kote? kama sio Africa ilitawaliwa kwa mbinu zipi?

Hii itakupa picha ngumu ya ni namana gani Pori lilifunguliwa kwa nyanja zote.
 
Mugabe alipoingia mara ya kkwanza uraisi media zao zilimpigia upatu ni reformer huku watu wake wakimuona ni msalit.
Alipoanza kuwafukuza kwenye umiliki wa ardhi ambayo More than 90% waliimiliki, ukawa mwanzo wa ugomvi na vikwazo
kutoka western.
Sema mugabe aliitumia vibaya elimu yake kuibomoa nchi yake
 
Another New fact.....Ukiamini kitu ni kweli unapaswa Kuthibitisha mjomba Nafahamu Historia ya Ulimwengu na nafahamu tunaigawa kwa vipindi fulani.

Mimi sihitaji kuwin ila nahitaji majibu

¤Kabla ya Ukoloni Africa ni nini? Muafrika ni nani?
¤Kwanini haikua inajulikana Ulaya na kwanini mahusiano yake na Ulaya ni yenye malalamiko tokea mwanzo?
¤Namna ya maisha Africa ilikuaje kabla ya wazungu?
La Mwisho Uingereza imewahi kutawala Robo tatu ya Dunia walitumia mbinu zinazofanana kote? kama sio Africa ilitawaliwa kwa mbinu zipi?

Hii itakupa picha ngumu ya ni namana gani Pori lilifunguliwa kwa nyanja zote.
Hahaha!!!! Duuh what is your concern mkuu?
Hit the point acha kuzunguka.
mada ni kwanini Africa haiendelei basi.
 
Kwanini mnapinga hatuna jamii ya ovyo?
Kuanzia mtendaji mpaka raisi ni watu wa ovyo then useme tatizo ni viongozi tu?
Kwa nin africa tu ndio tuwe na viongozi wa ovyo?
Watu wa Hivyo wapo kote ila tunatofautiana wingi tu wa hao watu....Ndo maana nilianza kwa kukuuliza unafahamu lolote kuhusu China na sekeseke lake la mabadiliko?

Au Renaissance ya Italy pamoja na Enlightment period.....Hizo nyakati ndo zilizopunguza wapumbavu huko kwao Kutoka Kipindi cha Dark Age

Kwanini Ukwepe kulinganisha Two continents at 15century....Kwanza ni nani Alimtafuta Mwenzake? Mzungu Au Muafrika.

Leo tunalalamika Rwanda wanazidi kuwa smart kutuzidi na ushawishi wao unakuwa kila siku..Mara wanawaibia wakongo....Smart generation ita prosper hii inaanzia nyumbani kwako. Mfundishe mtoto kumlalamikia mzungu in the name of Ideologies uendeleze Matatizo
 
Viongozi wabovu ni zao la malezi ya hovyo toka kwa wazazi wetu.
Jamii ya hovyo utoa viongozi wa hovyo
That is the fact..
Ni ukweli mchungu huo ambao lazima tuumeze ili tupone.
Watu wanakwambia viongozi wa Africa ni wa hovyo lakini hawakwambii kwa nini ni wa hovyo.
Uki waambia tatizo liko kwenye jamii wanapinga, naomba watuambie tatizo liko wapi tofauti na kwenye jamii.
 
Aristotle alipata kusema

“Give me a child until he is 7 and I will show you the man.”​

Vitu vyote unavyo vifanya ukiwa mtu mzima vinatokan na ulichojifunza mpaka ulipofkia
miaka saba.
You're very smart guy...haya ndio mambo huwa nawambia watu, jamii yetu imeharibu, haya mambo ni matokeo tu ya jamii mbovu, kama tunataka jamii I transform lazima tuone namna ya watoto wetu wanavyokuwa. It's something very powerful ila watu wachache watakuelewa sababu wengi tumelelewa hovyo, garbage in, garbage out.
 
Watu wa Hivyo wapo kote ila tunatofautiana wingi tu wa hao watu....Ndo maana nilianza kwa kukuuliza unafahamu lolote kuhusu China na sekeseke lake la mabadiliko?

Au Renaissance ya Italy pamoja na Enlightment period.....Hizo nyakati ndo zilizopunguza wapumbavu huko kwao Kutoka Kipindi cha Dark Age



Kwanini Ukwepe kulinganisha Two continents at 15century....Kwanza ni nani Alimtafuta Mwenzake? Mzungu Au Muafrika.

Leo tunalalamika Rwanda wanazidi kuwa smart kutuzidi na ushawishi wao unakuwa kila siku..Mara wanawaibia wakongo....Smart generation ita prosper hii inaanzia nyumbani kwako. Mfundishe mtoto kumlalamikia mzungu in the name of Ideologies uendeleze Matatizo
Rwanda wana nini cha kujivunia ndg?
Mtu ukiambiwa uishi Tanzania au Rwanda ni kweli utachagua kuishi Rwanda?
Nadhani somo la propaganda lilikupita..
Mimi nachojua mwanzo wa Africa kupotea ni uvamizi wa Alexander the great na baade kumaliziwa
na Roman empire.
Kama tuki-compare before Alexander the great manaake Africa ilikuwa mbali.
 
Back
Top Bottom