longi mapexa
JF-Expert Member
- Jul 18, 2015
- 3,265
- 4,250
Hii hoja yako ni too General....sijajua unaongelea kwa upande wa personality traits kwa Psychological perspective au...Aristotle alipata kusema
“Give me a child until he is 7 and I will show you the man.”
Vitu vyote unavyo vifanya ukiwa mtu mzima vinatokan na ulichojifunza mpaka ulipofkia
miaka saba.
Sababu mimi binafsi yapo mambo mengi nimefanya na hayakuwahi kuwepo upande wangu hiko kipindi nina miaka saba.