love life live life
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 2,584
- 3,051
- Thread starter
-
- #181
Mjinga ni wewe ambae unasema historia imeanza 3100bc na kwenye kitabu haimo..We mjinga nimekujibu tayari na mpaka pages ulizotaka na nakukumbusha tena umeamua kuingia Katika historical field ni too deep jitahidi kujisomea.....So far hujanijibu chochote katika niliyokuuliza sasa nikikutaka ujibu na unipe ref utajiweza kweli? Ama utawalalamikia wazingu pia.
Sasa Nakupa homework
👇👇👇
Historians mark the "historicity" of a culture by the presence of coherent texts in the culture's writing system(s).
Ref; Shotwell, James Thomson. An Introduction to the History of History. Records of civilization, sources and studies. New York: Columbia University Press, 1922.
NB; Ujinga Sio tusi Ni Hali.
Ndio hivyo..Isitoshe Cylubus katika masomo yetu wametunga wao wao ndio wanawalisha viongozi wetu matango pori
Walituwahi mapema kututawala na kutupandikizia mitaala yao hao wa Asia like China walishituka mapema wakakataa na walitumia nguvu kubwa sana kujinasua kwenye ukoloniUmesoma historia ya tiger countries? Kati ya historia Huwa zinani sisimua ni ya Singapore, usilaumu wazungu, viongozi wetu wengi ni ma Puppet wa wazungu na wameamua kuwa hivyo, hawajalazimishwa, why blame a white man? Nchi kibao Asia huko in 1960s zilikuwa masikini, mbona zimeinuka kiuchumi? Tuna viongozi wa ajabu sana...wanaona ufahali kupiga picha na wazungu kukaa na wazungu, kwenda ulaya lakini hawana mikakati ya kututoa hapa.
Wanajiona wana belong zaidi na wazungu, lakini siku zote mzungu hawezi heshimu mtu mjinga, wanatumia ila moyoni they know we are stupid and foolish. They just use us as they want.
Fuatilia mwanzo wake alishangiliwa sana kama mandela.Si mtindo wake ulikuwa bovu? Zimbabwe walikuwa wapi kabla ya mwaka 2000, sasa wako wapi?
Mifumo wote bro umesha setiwa,kuanzia kwenye mentality ya MTU Moja-angalia African leaders wa Zamani walipambana sana kuondoa hii kitu lakini mwisho wa siku walishidwa kutokana na kukosa support kutoka kwa Wafrika wenzao.Shida ya Africa ni African leaders wazungu tuna wa tumia kama scapegoat tu, to hide our weakness
Usikasirike..We mjinga nimekujibu tayari na mpaka pages ulizotaka na nakukumbusha tena umeamua kuingia Katika historical field ni too deep jitahidi kujisomea.....So far hujanijibu chochote katika niliyokuuliza sasa nikikutaka ujibu na unipe ref utajiweza kweli? Ama utawalalamikia wazingu pia.
Sasa Nakupa homework
👇👇👇
Historians mark the "historicity" of a culture by the presence of coherent texts in the culture's writing system(s).
Ref; Shotwell, James Thomson. An Introduction to the History of History. Records of civilization, sources and studies. New York: Columbia University Press, 1922.
NB; Ujinga Sio tusi Ni Hali.
Hao ma African leaders wa zamani ni kama wakina nani? Wakati hao hao ndo wametutegenezea misingi mibaya kwa kusaka umarufu binafsiMifumo wote bro umesha setiwa,kuanzia kwenye mentality ya MTU Moja-angalia African leaders wa Zamani walipambana sana kuondoa hii kitu lakini mwisho wa siku walishidwa kutokana na kukosa support kutoka kwa Wafrika wenzao.
Hiyo ni north Africa, sio lazima tuungane nao.Kwa kuwa wamisha weka mifumo yao kuanzia ngazi za kiuchumi,kijamii na kisiasa the only way ya kujinasua na Afrika nzima kuungana pamoja.Hili la kuungana nalo linakuww gumu sana kutokana na bara LA Afrika kuwekwa waarabu ambao sana race tofauti na sisi.
[emoji16][emoji16] unarejesha funguo kwa nani ndugu mchangia uzi ? Damn you make my day mkuu.Inajulikana hivyo na itaendelea kuwa hivyo na hakuna wa kubadirisha mfumo huo.
Tayari tulishalishwa dawa za kizungu, kiharabu nk, so kuchomoka ni nadra that's why unaona tupo hivi, Afrika tina utajiri wa namna zote kuliko hao waliotutawala but tupo chini yao as makoloni japo wanatutawala kisasa kupitia mikopo, dini na misaada.
As he said, ukitaka kupanda as Gaddaf au Jiwe huchukui round, wanatumia hao hao ndg zako for wrongdoing then unarejesha funguo kwa maulana.
Almost technolojia mingi sana zimeanzia Africa... walichofanya wao ni ku modify na kuziboresha while wakaziua zetu then baada ya hapo ni historia ilobakia.Kila ukitaja Big picture nakumbuka Kitabu cha Ben Carson anyway nje ya mada hiyo..
Mimi ni artist Big picture inatengenezwa na small details ambazo zikikaa in harmonic way zinatengeneza sasa huo muonekano ( kwa photos Wanaita pixels )
Huwezi jizuia kujadili details ndogo iki kuhalalisha mindset fulani.
Kama tatizo ni ideologies au mkono wa Mzungu kupitia ukoloni Ethiopia ilipaswa kuwa mbele kwa wenzake leo hii maana hajaathiriwa directly.
Asante kwa kunikumbusha kwamba mada ni Kutokuendelea kwa Africa.Sasa nikupe swali lingine nipe mchango wa Africa kwenye maendeleo ya teknolojia Duniani.
Muamari Gadafi ampepambana sana kuingunisha,Kwa kuwa wamisha weka mifumo yao kuanzia ngazi za kiuchumi,kijamii na kisiasa the only way ya kujinasua na Afrika nzima kuungana pamoja.Hili la kuungana nalo linakuww gumu sana kutokana na bara LA Afrika kuwekwa waarabu ambao sana race tofauti na sisi.
Hawawezi wakakuelewa ila huu ndio ukweli.Kama kuna wa kulaumiwa basi mzungu anapaswa kuwa mtu wa mwisho kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi tulikuwa tunajiweza kwa kila kitu? Wewe kweli ni zwazwa.Huko nyuma sisi tulikua tunajiweza kwa kila kitu tulikua na mahitaji yote na tungeweza kuwauzia wao wazungu ika kutokana na uzwazwa wetu walitulaghai na kutupora kwa njia ya kututawala
Inashindikanika nini wewe kujitungua syllabus? Una uhakika mzungu ndie anayetunga silabas?Isitoshe Cylubus katika masomo yetu wametunga wao wao ndio wanawalisha viongozi wetu matango pori
Umenena vyema mkuuUmesoma historia ya tiger countries? Kati ya historia Huwa zinani sisimua ni ya Singapore, usilaumu wazungu, viongozi wetu wengi ni ma Puppet wa wazungu na wameamua kuwa hivyo, hawajalazimishwa, why blame a white man? Nchi kibao Asia huko in 1960s zilikuwa masikini, mbona zimeinuka kiuchumi? Tuna viongozi wa ajabu sana...wanaona ufahali kupiga picha na wazungu kukaa na wazungu, kwenda ulaya lakini hawana mikakati ya kututoa hapa.
Wanajiona wana belong zaidi na wazungu, lakini siku zote mzungu hawezi heshimu mtu mjinga, wanatumia ila moyoni they know we are stupid and foolish. They just use us as they want.
Hahaha akina Mobutu, Iddi amin n.kHao ma African leaders wa zamani ni kama wakina nani? Wakati hao hao ndo wametutegenezea misingi mibaya kwa kusaka umarufu binafsi
AiseeeeAlmost technolojia mingi sana zimeanzia Africa... walichofanya wao ni ku modify na kuziboresha while wakaziua zetu then baada ya hapo ni historia ilobakia.