longi mapexa
JF-Expert Member
- Jul 18, 2015
- 3,265
- 4,250
✌Humjui hata Yuval noah harari.
historia ipi unasoma?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
✌Humjui hata Yuval noah harari.
historia ipi unasoma?
Naona unakuja na id yako nyingine leta fact acha porojo.Huyo jamaa msamehe tu
Next time uje na fact sio habari za kuokoteza..
Hao viongoz wabovu ndio babylons pappets akienda tofauti na matakwa ya wakulungwa analala yooooShida ya Africa ni African leaders wazungu tuna wa tumia kama scapegoat tu, to hide our weakness
Scholars now recognize that writing may have independently developed in at least four ancient civilizations: Mesopotamia (between 3400 and 3100 BCE), Egypt (around 3250 BCE),[6][7][3] China (1200 BCE),[8] and lowland areas of Southern Mexico and Guatemala (by 500 BCE).[9]Usihamishe magoli bhana...
before 3100bc hamna historia?
Naomba reference zako unazocopy na kupaste.
The Sumerian archaic (pre-cuneiform) writing and Egyptian hieroglyphs are generally considered the earliest true writing systems, both emerging out of their ancestral proto-literate symbol systems from 3400–3100 BCE, with earliest coherent texts from about 2600 BCE. The Proto-Elamite script is also dated to the same approximate periodTuwekane sawa kwanza umesema umerudi historia ilipoanzia..
Umemnukuu nan aliyesema historia imeanzia 3100bc na reference ip?
Bado sijajiridhisha kama wewe sio form five kweli.
Si mtindo wake ulikuwa bovu? Zimbabwe walikuwa wapi kabla ya mwaka 2000, sasa wako wapi?Mugabe alipoingia mara ya kkwanza uraisi media zao zilimpigia upatu ni reformer huku watu wake wakimuona ni msalit.
Alipoanza kuwafukuza kwenye umiliki wa ardhi ambayo More than 90% waliimiliki, ukawa mwanzo wa ugomvi na vikwazo
kutoka western.
Huko nyuma sisi tulikua tunajiweza kwa kila kitu tulikua na mahitaji yote na tungeweza kuwauzia wao wazungu ika kutokana na uzwazwa wetu walitulaghai na kutupora kwa njia ya kututawalaHiyo Row uliyotumia sio sahihi bali ni Raw.....
Kwa mada nikijikita sasa...nina swali kwako.
Kwa siasa hizi za Tanzania na taasisi zetu nyeti unaona ziko kwaajili ya kufanya maendeleo? Kabla ya kumuhusisha mzungu.
Fact; Mzungu kaingia Africa karne za hivi karibuni tukwa harakaharaka ni tangu ya 15 ukiondoa hii miaka 500 ya Mzungu Africa ilikuwa na nini kuwalinganisha na hao Wazungu wq kipindi hicho.
Now why nilisema hivyo ni kwa sababu wajuzi wa maswala haya tunasema Katika kuichunguza past ya binadamu utagawa kwa vipindi viwili Pre History na History ambapo atleast kama nakumbuka vyema 99%ni pre history while only 1% ni History.Umesema historia imeanza 3100bc...
Naomba reference yako kitabu kinaitwaje ulichosoma na ukurasa.
African leaders ni vibaraka wa wazungu ukijifanya mjuaji wanakula kichwa kutetea maslahi yaoShida ya Africa ni African leaders wazungu tuna wa tumia kama scapegoat tu, to hide our weakness
Samahani mkuu biashara zote tumefanya na wazungu zilikua na uhalali kabisa kutoka kwetu hatukuibiwa....Hatuna Sugar...lakini tuna ndovu tukakubali kuweka value ya ndovu kwa sugar kulingana na uhitaji....Tukasign mikataba mpaka leo.Huko nyuma sisi tulikua tunajiweza kwa kila kitu tulikua na mahitaji yote na tungeweza kuwauzia wao wazungu ika kutokana na uzwazwa wetu walitulaghai na kutupora kwa njia ya kututawala
Isitoshe Cylubus katika masomo yetu wametunga wao wao ndio wanawalisha viongozi wetu matango poriHao leaders kama Muamari Gadafi, Lumumba, Sankara huwa wanaishia wapi zaidi ya kupigwa risasi
wakianza kufanya hizo reforms?
Ni waafrica wote tuna matatizo sio leaders kwa sababu hao leaders wanazalishwa na jamii
ambayo ni ya hovyo huwezi pata viongozi bora na mzungu anatumia hiyo kama karata yake.
We mjinga nimekujibu tayari na mpaka pages ulizotaka na nakukumbusha tena umeamua kuingia Katika historical field ni too deep jitahidi kujisomea.....So far hujanijibu chochote katika niliyokuuliza sasa nikikutaka ujibu na unipe ref utajiweza kweli? Ama utawalalamikia wazingu pia.Next time uje na fact sio habari za kuokoteza..
Ulete na reference ya unachokija sio kusema mwanzo wa historia ni 3100 bc.
Umesoma historia ya tiger countries? Kati ya historia Huwa zinani sisimua ni ya Singapore, usilaumu wazungu, viongozi wetu wengi ni ma Puppet wa wazungu na wameamua kuwa hivyo, hawajalazimishwa, why blame a white man? Nchi kibao Asia huko in 1960s zilikuwa masikini, mbona zimeinuka kiuchumi? Tuna viongozi wa ajabu sana...wanaona ufahali kupiga picha na wazungu kukaa na wazungu, kwenda ulaya lakini hawana mikakati ya kututoa hapa.Hii dhana wa Africa kuwa masikini imekaa kimkakati sijaelewa kwa nn tunashindwa kuinuka jibu ndio hilo tumekaliwa tusiinuke kwa masilahi ya Westerns
Mbona sioni mahali wanaposema historia imeanza mwaka 3100bc?Scholars now recognize that writing may have independently developed in at least four ancient civilizations: Mesopotamia (between 3400 and 3100 BCE), Egypt (around 3250 BCE),[6][7][3] China (1200 BCE),[8] and lowland areas of Southern Mexico and Guatemala (by 500 BCE).[9]
Ref:Brian M. Fagan, Charlotte Beck, ed. (1996). The Oxford Companion to Archaeology. Oxford University Press. p. 762. ISBN 978-0-19-507618-9