Msikiti wa Al Aqsa utavunjwa muda si mrefu

Msikiti wa Al Aqsa utavunjwa muda si mrefu

Hakuna Haja Ya Kusema Sana, Muda Unakujaa Kasi Sana
 
Maandalizi ya ujenzi wa hekalu la Suleiman uko tayari. Vifaa, budget vyote viko tayari
Hekalu hili litajengwa eneo ambalo sasa hivi kuna msikiti wa Alqsa.

Utaratibu wa ujenzi utafanyika baada ya eneo hilo kutakaswa. Katika desturi za wa Israel eneo hilo hutakaswa kwa kutumia majivu ya ng'ombe mwekundu asiyekuwa na doa lolote. Na ng'ombe Huyo tayari alishazaliwa 2017.

Hekalu hili litajengwa muda wowote kuanzia sasa na msikiti wa Alqsa utabomolewa kupisha huu ujenzi

Na ndipo ule mwisho utakapo fika🤐
 
Wewe utakuwa wapi?
Mbinguni maana kabla ya dhiki kuu Yesu atakuja kunyakua walio wake nami nikiwemo. Kama ilivyokuwa kwa Nuhu watu waliingia kwenye safina kwanza ndipo Mungu akaadhibu ulimwengu, ndivyo itakavyokuwa wataondolewa kwanza wale walio tayari kwa unyakuo halaf ndo Mungu atamwaga ghadhabu yake. Kama hujatubu dhambi zako na kumpa Yesu maisha yako hima fanya hivyo leo hujachelewa.
 
Huo msikiti utavunjwa vizuri kabisaa na hii ni baada ya peace treaty ya 7 years kusainiwa ambapo mpinga kristo atafanikiwa kusainisha mkataba huu na moja ya makubaliano ni kuwa msikiti wa waislamu uvunjwe hekalu la wayahudi lijengwe infact kila mtu atashangaa why imewezekana ila kwa kuwa mpinga kristo atakuwa na uvuvio wa kishetan na kwa kuwa Mungu ameruhusu itawezekana bad thing is kwa watakaokuwepo duniani those days ndo watajua nini maana ya ghadhabu ya Mungu. Maana ile kitu biblia inaita dhiki ya Yakobo ndo itatimia hivyo kuna ukweli fulani kuwa wewe unasema ndo mwanzo wa mwisho wa dunia. Na kwa mara ya kwanza Israel itaacha kujilinda kwa 100% why maana kuna amani hivyo why kujilinda? Baada ya miaka 3.5 mpinga kristo atavunja mkataba ambapo atajitangaza yeye ndo Mungu na atalinajisi hekalu jambo hili litawaudhi wayahudi hawatakubali kumuabudu mtu ndipo mateso makali sana kwa wayahudi yatakapotokea na yatadumu kwa miaka 3.5 ndipo Yesu Kristo atakapotokea kuwaokoa na ndipo sasa watamkubali. Kwa wale watakaokuwepo duniani siku hizo pole yao tena pole kubwa sanaaa.
Mkuu umeandika vizuri ila kuna uwezekano mkubwa helalu la Suleman lilijengwa mahali ambapo ni pembeni kidogo ya hapo maana kwenye Ufunuo 11:1-2 kuna mahali ile 'behewa iliyopo nje ya hekalu' itaachwa ili mataifa (waislamu) waitumie.

Mimi nahisi sanduku la agano litapatikana sehemu ambapo hekalu lilikuwepo na hapo ndio watajenga. Kwasasa Mungu amewafumba macho wayahudi mpaka wakati mtimilifu.
 
Maandalizi ya ujenzi wa hekalu la Suleiman uko tayari. Vifaa, budget vyote viko tayari
Hekalu hili litajengwa eneo ambalo sasa hivi kuna msikiti wa Alqsa.

Utaratibu wa ujenzi utafanyika baada ya eneo hilo kutakaswa. Katika desturi za wa Israel eneo hilo hutakaswa kwa kutumia majivu ya ng'ombe mwekundu asiyekuwa na doa lolote. Na ng'ombe Huyo tayari alishazaliwa 2017.

Hekalu hili litajengwa muda wowote kuanzia sasa na msikiti wa Alqsa utabomolewa kupisha huu ujenzi

hiyo yote Iko kwenye unabii. yes, ni majira yake haya! Unyakuo wa wateule uko jirani sana! Mungu nisaidie nifae kumlaki Bwana mawinguni. Amen.


JESUS IS LORD&SAVIOR
 
Maandalizi ya ujenzi wa hekalu la Suleiman uko tayari. Vifaa, budget vyote viko tayari
Hekalu hili litajengwa eneo ambalo sasa hivi kuna msikiti wa Alqsa.

Utaratibu wa ujenzi utafanyika baada ya eneo hilo kutakaswa. Katika desturi za wa Israel eneo hilo hutakaswa kwa kutumia majivu ya ng'ombe mwekundu asiyekuwa na doa lolote. Na ng'ombe Huyo tayari alishazaliwa 2017.

Hekalu hili litajengwa muda wowote kuanzia sasa na msikiti wa Alqsa utabomolewa kupisha huu ujenzi

Ukivunjwa wajenge choo
 
Mkuu umeandika vizuri ila kuna uwezekano mkubwa helalu la Suleman lilijengwa mahali ambapo ni pembeni kidogo ya hapo maana kwenye Ufunuo 11:1-2 kuna mahali ile 'behewa iliyopo nje ya hekalu' itaachwa ili mataifa (waislamu) waitumie.

Mimi nahisi sanduku la agano litapatikana sehemu ambapo hekalu lilikuwepo na hapo ndio watajenga. Kwasasa Mungu amewafumba macho wayahudi mpaka wakati mtimilifu.
Kitabu cha Ezekiel kimeeleeza location hadi vipimo vya hilo hekalu.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Maandalizi ya ujenzi wa hekalu la Suleiman uko tayari. Vifaa, budget vyote viko tayari
Hekalu hili litajengwa eneo ambalo sasa hivi kuna msikiti wa Alqsa.

Utaratibu wa ujenzi utafanyika baada ya eneo hilo kutakaswa. Katika desturi za wa Israel eneo hilo hutakaswa kwa kutumia majivu ya ng'ombe mwekundu asiyekuwa na doa lolote. Na ng'ombe Huyo tayari alishazaliwa 2017.

Hekalu hili litajengwa muda wowote kuanzia sasa na msikiti wa Alqsa utabomolewa kupisha huu ujenzi

Mkuu hamna kitu kama hiyo haitawahi tokea.

God bless and protect Israel.
 
Huo msikiti utavunjwa vizuri kabisaa na hii ni baada ya peace treaty ya 7 years kusainiwa ambapo mpinga kristo atafanikiwa kusainisha mkataba huu na moja ya makubaliano ni kuwa msikiti wa waislamu uvunjwe hekalu la wayahudi lijengwe infact kila mtu atashangaa why imewezekana ila kwa kuwa mpinga kristo atakuwa na uvuvio wa kishetan na kwa kuwa Mungu ameruhusu itawezekana bad thing is kwa watakaokuwepo duniani those days ndo watajua nini maana ya ghadhabu ya Mungu. Maana ile kitu biblia inaita dhiki ya Yakobo ndo itatimia hivyo kuna ukweli fulani kuwa wewe unasema ndo mwanzo wa mwisho wa dunia. Na kwa mara ya kwanza Israel itaacha kujilinda kwa 100% why maana kuna amani hivyo why kujilinda? Baada ya miaka 3.5 mpinga kristo atavunja mkataba ambapo atajitangaza yeye ndo Mungu na atalinajisi hekalu jambo hili litawaudhi wayahudi hawatakubali kumuabudu mtu ndipo mateso makali sana kwa wayahudi yatakapotokea na yatadumu kwa miaka 3.5 ndipo Yesu Kristo atakapotokea kuwaokoa na ndipo sasa watamkubali. Kwa wale watakaokuwepo duniani siku hizo pole yao tena pole kubwa sanaaa.
😂😂😂Hili trailer ni la movie gani mkuu?
 
Mbinguni maana kabla ya dhiki kuu Yesu atakuja kunyakua walio wake nami nikiwemo. Kama ilivyokuwa kwa Nuhu watu waliingia kwenye safina kwanza ndipo Mungu akaadhibu ulimwengu, ndivyo itakavyokuwa wataondolewa kwanza wale walio tayari kwa unyakuo halaf ndo Mungu atamwaga ghadhabu yake. Kama hujatubu dhambi zako na kumpa Yesu maisha yako hima fanya hivyo leo hujachelewa.
😂😂😂😂So utanyakuliwa uchi au ukiwa na nguo
 
Back
Top Bottom