Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ww una faidika nn na hilo hekalu?Safi sana👏👏👏👏👏👏👏👏👏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Na ndipo ule mwisho utakapo fika🤐Maandalizi ya ujenzi wa hekalu la Suleiman uko tayari. Vifaa, budget vyote viko tayari
Hekalu hili litajengwa eneo ambalo sasa hivi kuna msikiti wa Alqsa.
Utaratibu wa ujenzi utafanyika baada ya eneo hilo kutakaswa. Katika desturi za wa Israel eneo hilo hutakaswa kwa kutumia majivu ya ng'ombe mwekundu asiyekuwa na doa lolote. Na ng'ombe Huyo tayari alishazaliwa 2017.
Hekalu hili litajengwa muda wowote kuanzia sasa na msikiti wa Alqsa utabomolewa kupisha huu ujenzi
Story tu hizoWakiubomoa utakuwa ndiyo mwanzo wa mwisho wa dunia
Mbinguni maana kabla ya dhiki kuu Yesu atakuja kunyakua walio wake nami nikiwemo. Kama ilivyokuwa kwa Nuhu watu waliingia kwenye safina kwanza ndipo Mungu akaadhibu ulimwengu, ndivyo itakavyokuwa wataondolewa kwanza wale walio tayari kwa unyakuo halaf ndo Mungu atamwaga ghadhabu yake. Kama hujatubu dhambi zako na kumpa Yesu maisha yako hima fanya hivyo leo hujachelewa.Wewe utakuwa wapi?
Mkuu umeandika vizuri ila kuna uwezekano mkubwa helalu la Suleman lilijengwa mahali ambapo ni pembeni kidogo ya hapo maana kwenye Ufunuo 11:1-2 kuna mahali ile 'behewa iliyopo nje ya hekalu' itaachwa ili mataifa (waislamu) waitumie.Huo msikiti utavunjwa vizuri kabisaa na hii ni baada ya peace treaty ya 7 years kusainiwa ambapo mpinga kristo atafanikiwa kusainisha mkataba huu na moja ya makubaliano ni kuwa msikiti wa waislamu uvunjwe hekalu la wayahudi lijengwe infact kila mtu atashangaa why imewezekana ila kwa kuwa mpinga kristo atakuwa na uvuvio wa kishetan na kwa kuwa Mungu ameruhusu itawezekana bad thing is kwa watakaokuwepo duniani those days ndo watajua nini maana ya ghadhabu ya Mungu. Maana ile kitu biblia inaita dhiki ya Yakobo ndo itatimia hivyo kuna ukweli fulani kuwa wewe unasema ndo mwanzo wa mwisho wa dunia. Na kwa mara ya kwanza Israel itaacha kujilinda kwa 100% why maana kuna amani hivyo why kujilinda? Baada ya miaka 3.5 mpinga kristo atavunja mkataba ambapo atajitangaza yeye ndo Mungu na atalinajisi hekalu jambo hili litawaudhi wayahudi hawatakubali kumuabudu mtu ndipo mateso makali sana kwa wayahudi yatakapotokea na yatadumu kwa miaka 3.5 ndipo Yesu Kristo atakapotokea kuwaokoa na ndipo sasa watamkubali. Kwa wale watakaokuwepo duniani siku hizo pole yao tena pole kubwa sanaaa.
hiyo yote Iko kwenye unabii. yes, ni majira yake haya! Unyakuo wa wateule uko jirani sana! Mungu nisaidie nifae kumlaki Bwana mawinguni. Amen.Maandalizi ya ujenzi wa hekalu la Suleiman uko tayari. Vifaa, budget vyote viko tayari
Hekalu hili litajengwa eneo ambalo sasa hivi kuna msikiti wa Alqsa.
Utaratibu wa ujenzi utafanyika baada ya eneo hilo kutakaswa. Katika desturi za wa Israel eneo hilo hutakaswa kwa kutumia majivu ya ng'ombe mwekundu asiyekuwa na doa lolote. Na ng'ombe Huyo tayari alishazaliwa 2017.
Hekalu hili litajengwa muda wowote kuanzia sasa na msikiti wa Alqsa utabomolewa kupisha huu ujenzi
Hakuna lisilowezekana chini ya jua.Hicho kitu hakiwezekani
Ukivunjwa wajenge chooMaandalizi ya ujenzi wa hekalu la Suleiman uko tayari. Vifaa, budget vyote viko tayari
Hekalu hili litajengwa eneo ambalo sasa hivi kuna msikiti wa Alqsa.
Utaratibu wa ujenzi utafanyika baada ya eneo hilo kutakaswa. Katika desturi za wa Israel eneo hilo hutakaswa kwa kutumia majivu ya ng'ombe mwekundu asiyekuwa na doa lolote. Na ng'ombe Huyo tayari alishazaliwa 2017.
Hekalu hili litajengwa muda wowote kuanzia sasa na msikiti wa Alqsa utabomolewa kupisha huu ujenzi
Zitapigwa kelele kama wiki mbili, baada ya hapo maisha yatasonga kama kawaida.Wakiubomoa utakuwa ndiyo mwanzo wa mwisho wa dunia
Kitabu cha Ezekiel kimeeleeza location hadi vipimo vya hilo hekalu.Mkuu umeandika vizuri ila kuna uwezekano mkubwa helalu la Suleman lilijengwa mahali ambapo ni pembeni kidogo ya hapo maana kwenye Ufunuo 11:1-2 kuna mahali ile 'behewa iliyopo nje ya hekalu' itaachwa ili mataifa (waislamu) waitumie.
Mimi nahisi sanduku la agano litapatikana sehemu ambapo hekalu lilikuwepo na hapo ndio watajenga. Kwasasa Mungu amewafumba macho wayahudi mpaka wakati mtimilifu.
Mkuu hamna kitu kama hiyo haitawahi tokea.Maandalizi ya ujenzi wa hekalu la Suleiman uko tayari. Vifaa, budget vyote viko tayari
Hekalu hili litajengwa eneo ambalo sasa hivi kuna msikiti wa Alqsa.
Utaratibu wa ujenzi utafanyika baada ya eneo hilo kutakaswa. Katika desturi za wa Israel eneo hilo hutakaswa kwa kutumia majivu ya ng'ombe mwekundu asiyekuwa na doa lolote. Na ng'ombe Huyo tayari alishazaliwa 2017.
Hekalu hili litajengwa muda wowote kuanzia sasa na msikiti wa Alqsa utabomolewa kupisha huu ujenzi
Kwanini muhimu?Hiyo ni kitu muhimu sana.
😂😂😂Hili trailer ni la movie gani mkuu?Huo msikiti utavunjwa vizuri kabisaa na hii ni baada ya peace treaty ya 7 years kusainiwa ambapo mpinga kristo atafanikiwa kusainisha mkataba huu na moja ya makubaliano ni kuwa msikiti wa waislamu uvunjwe hekalu la wayahudi lijengwe infact kila mtu atashangaa why imewezekana ila kwa kuwa mpinga kristo atakuwa na uvuvio wa kishetan na kwa kuwa Mungu ameruhusu itawezekana bad thing is kwa watakaokuwepo duniani those days ndo watajua nini maana ya ghadhabu ya Mungu. Maana ile kitu biblia inaita dhiki ya Yakobo ndo itatimia hivyo kuna ukweli fulani kuwa wewe unasema ndo mwanzo wa mwisho wa dunia. Na kwa mara ya kwanza Israel itaacha kujilinda kwa 100% why maana kuna amani hivyo why kujilinda? Baada ya miaka 3.5 mpinga kristo atavunja mkataba ambapo atajitangaza yeye ndo Mungu na atalinajisi hekalu jambo hili litawaudhi wayahudi hawatakubali kumuabudu mtu ndipo mateso makali sana kwa wayahudi yatakapotokea na yatadumu kwa miaka 3.5 ndipo Yesu Kristo atakapotokea kuwaokoa na ndipo sasa watamkubali. Kwa wale watakaokuwepo duniani siku hizo pole yao tena pole kubwa sanaaa.
😂😂😂😂So utanyakuliwa uchi au ukiwa na nguoMbinguni maana kabla ya dhiki kuu Yesu atakuja kunyakua walio wake nami nikiwemo. Kama ilivyokuwa kwa Nuhu watu waliingia kwenye safina kwanza ndipo Mungu akaadhibu ulimwengu, ndivyo itakavyokuwa wataondolewa kwanza wale walio tayari kwa unyakuo halaf ndo Mungu atamwaga ghadhabu yake. Kama hujatubu dhambi zako na kumpa Yesu maisha yako hima fanya hivyo leo hujachelewa.