Msikiti wa Al Aqsa utavunjwa muda si mrefu

Msikiti wa Al Aqsa utavunjwa muda si mrefu

tatizo hamjui Siri za Ulimwengu, hekalu la Suleiman halikuwa hapo, mlidanganywa , hapo kwenye msikiti wa al Aqsa lilijengwa hekalu la mungu anaye itwa Jupiter (temple of Jupiter), na alama ya mungu anaye itwa jupiter ni mwezi, crescent [emoji287] moon, Kwa jinsi unavyo waona Wayahudi unadhani wangekubali kuchukua eneo la Temple yao?? sio kweli Tample lazima ijengwe karibu na Maji , unashangaa kwanini katika uislam unaahaidiwa utapata SAYARI huko mbinguni, sasa hiyo SAYARI ni JUPITER

Actually Wayahudi wanaijua hiyo Siri Hawana muda na huo MSIKITI watawaachia tu .....TOKA lini myahudi anachia kitu chake...?? NEVER

READ THE HISTORY TO PROVE THE BIBLE or QURAN you will know the TRUTH
Kama sio wazimu sijui ni nini?!
 
Maandalizi ya ujenzi wa hekalu la Suleiman uko tayari. Vifaa, budget vyote viko tayari
Hekalu hili litajengwa eneo ambalo sasa hivi kuna msikiti wa Alqsa.

Utaratibu wa ujenzi utafanyika baada ya eneo hilo kutakaswa. Katika desturi za wa Israel eneo hilo hutakaswa kwa kutumia majivu ya ng'ombe mwekundu asiyekuwa na doa lolote. Na ng'ombe Huyo tayari alishazaliwa 2017.

Hekalu hili litajengwa muda wowote kuanzia sasa na msikiti wa Alqsa utabomolewa kupisha huu ujenzi

Ni jambo jema sana
 
Maandalizi ya ujenzi wa hekalu la Suleiman uko tayari. Vifaa, budget vyote viko tayari
Hekalu hili litajengwa eneo ambalo sasa hivi kuna msikiti wa Alqsa.

Utaratibu wa ujenzi utafanyika baada ya eneo hilo kutakaswa. Katika desturi za wa Israel eneo hilo hutakaswa kwa kutumia majivu ya ng'ombe mwekundu asiyekuwa na doa lolote. Na ng'ombe Huyo tayari alishazaliwa 2017.

Hekalu hili litajengwa muda wowote kuanzia sasa na msikiti wa Alqsa utabomolewa kupisha huu ujenzi

Hawa jamaa hata kupanda miti hawataki
 
Lengo la makafiri ni kupoteza ushahidi kuwa manabii wote walikuwa waislam

Hata wakiuvunja kumbukumbu yake ipo ndani ya Quran maana Allah aliutaja Kwa jina
 
Back
Top Bottom