Msikiti wa Al Aqsa utavunjwa muda si mrefu

Msikiti wa Al Aqsa utavunjwa muda si mrefu

Shukrani sana, safii....
Angalieni hii kenge nayo,, shukurani hiyo unampa nani, huyo alieleta mada kwa kipi sasa na wakati yeye mwenyewe anahisi, hakuna kikao wala mkutano rasmi waliokaa hao wajomba zake mungu kwamba wafikie makubaliano wauvunje huo msikiti Zaidi yenu nyie waisrael wa kyela na wewe punda mmoja kutoka kibera,, ikiwa mnawakubali sana wayahudi kwa nini msijiunge na dini
 
Mkuu hamna kitu kama hiyo haitawahi tokea.

God bless and protect Israel.
Ivi we una akili kweli?? Yani mungu(yesu) awaprotect wayahudi wakati wao ndo waliomtundika na kichupi pale msalabani mpaka akaomba poo,,, hivi hata kama wewe ndo mungu(yesu) utakubali kweli? Yani wakudunde alafu uwaprotect 😀
wagala sijui mnatumiaga kiungo gani kufikiri.
 
Ivi we una akili kweli?? Yani mungu(yesu) awaprotect wayahudi wakati wao ndo waliomtundika na kichupi pale msalabani mpaka akaomba poo,,, hivi hata kama wewe ndo mungu(yesu) utakubali kweli? Yani wakudunde alafu uwaprotect 😀
wagala sijui mnatumiaga kiungo gani kufikiri.
Dogo acha mambo ya qysayngay jamvin
 
1703789474118.png
 
Maandalizi ya ujenzi wa hekalu la Suleiman uko tayari. Vifaa, budget vyote viko tayari
Hekalu hili litajengwa eneo ambalo sasa hivi kuna msikiti wa Alqsa.

Utaratibu wa ujenzi utafanyika baada ya eneo hilo kutakaswa. Katika desturi za wa Israel eneo hilo hutakaswa kwa kutumia majivu ya ng'ombe mwekundu asiyekuwa na doa lolote. Na ng'ombe Huyo tayari alishazaliwa 2017.

Hekalu hili litajengwa muda wowote kuanzia sasa na msikiti wa Alqsa utabomolewa kupisha huu ujenzi

Waondoe hiyo takataka!
 
Wauvunjwe hekalu lisimikwe awa magaidi wamepanajisi apo na majini yao
Unaelewa maana ya kuvunja mdikiti na kujenga hekalu?

Nfio hili litatokea kwa mujibuwa unabii katika biblia but vita yake usipime
 
Mesiah wa mazayuni si Christ ambao mbumbumbu wengi katika ukristo wanadhania
Mesiah wa mazayuni ni the Antichrist in English aka Dajjal in Arab aka Leviathan in Hebrew aka Mpinga Kristo in Swahili

Yaani wakristo wawe wajinga kuhusu mpinga Kristo alafu hao wengine wawe sahihi?.

Nb:- swala la mpinga Kristo halisemwi na Wakristo bali biblia.
Ni biblically thing, so kama Kuna makosa unayahisi katika swala zima la mpinga Kristo ulipaswa useme biblia inadanganya kuhusu mpinga Kristo sio wakristo anadanganya kuhusu mpinga Kristo.
 
Nakuhakikishia hilo haitatokea kamwe!! na wakiuvunja msikiti wa Al Aqsa basi ndio mwisho wa Taifa feki la Israel hapa duniani. Hapo si umeona Haouthi kaingia kati? siku wakigusa huo msikiti ni waislamu wa dunia yote wataiangukia Israel
 
Huo msikiti utavunjwa vizuri kabisaa na hii ni baada ya peace treaty ya 7 years kusainiwa ambapo mpinga kristo atafanikiwa kusainisha mkataba huu na moja ya makubaliano ni kuwa msikiti wa waislamu uvunjwe hekalu la wayahudi lijengwe infact kila mtu atashangaa why imewezekana ila kwa kuwa mpinga kristo atakuwa na uvuvio wa kishetan na kwa kuwa Mungu ameruhusu itawezekana bad thing is kwa watakaokuwepo duniani those days ndo watajua nini maana ya ghadhabu ya Mungu. Maana ile kitu biblia inaita dhiki ya Yakobo ndo itatimia hivyo kuna ukweli fulani kuwa wewe unasema ndo mwanzo wa mwisho wa dunia. Na kwa mara ya kwanza Israel itaacha kujilinda kwa 100% why maana kuna amani hivyo why kujilinda? Baada ya miaka 3.5 mpinga kristo atavunja mkataba ambapo atajitangaza yeye ndo Mungu na atalinajisi hekalu jambo hili litawaudhi wayahudi hawatakubali kumuabudu mtu ndipo mateso makali sana kwa wayahudi yatakapotokea na yatadumu kwa miaka 3.5 ndipo Yesu Kristo atakapotokea kuwaokoa na ndipo sasa watamkubali. Kwa wale watakaokuwepo duniani siku hizo pole yao tena pole kubwa sanaaa.
Unabii wa akina Mwamposa
 
hawawezi kuvunja sasaivi. siku wanavunja ndio majira dunia itaisha, kwasababu mataifa yote ya kiislam yakisaidiwa na urusi na iran na china wataibuka dhidi ya Israel ambaye hatasaidiwa kabisa na Marekani wala yeyote (kwasababu hata marekani hatakuwa na uwezo kusaidia lolote), na ndipo waisrael wengi watapigwa na kukimbilia maporini ovyo hakuna yeyote wa kuwaokoa ila Mungu tu. hapo ndipo watamlilia Mungu na kumwamini kwa usahihi. naye atasikia kilio chao, atashuka na kuwaokoa wale waliobaki. 3/4 ya maadui wote yaani majeshi yaliyokuwa yanaipiga Israel itaangamizwa na Mungu kwa tetemeko, mawe na mapigo kadhaa. hapo ndipo mfalme wa wafalme atashuka kuitawala hii dunia.
 
kuna mahala haupo okay.
Jitafakari.wacha

hawawezi kuvunja sasaivi. siku wanavunja ndio majira dunia itaisha, kwasababu mataifa yote ya kiislam yakisaidiwa na urusi na iran na china wataibuka dhidi ya Israel ambaye hatasaidiwa kabisa na Marekani wala yeyote (kwasababu hata marekani hatakuwa na uwezo kusaidia lolote), na ndipo waisrael wengi watapigwa na kukimbilia maporini ovyo hakuna yeyote wa kuwaokoa ila Mungu tu. hapo ndipo watamlilia Mungu na kumwamini kwa usahihi. naye atasikia kilio chao, atashuka na kuwaokoa wale waliobaki. 3/4 ya maadui wote yaani majeshi yaliyokuwa yanaipiga Israel itaangamizwa na Mungu kwa tetemeko, mawe na mapigo kadhaa. hapo ndipo mfalme wa wafalme atashuka kuitawala hii dunia.
Yani mazombi ya kiislam yanauliwa hapo gaza hakuna anaesaidia ikawe ndio hicho kimsikiti
 
Hasira zao hawa mbwa watakimbilia kuchinja waafrika.
Waafrika hatuna serikali zinazothamini wananchi wake.
Nigeria ni moja ya nchi hizo zisizothamini raia wake.
 
Back
Top Bottom