shanature
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 1,693
- 1,432
ostazzzzWakiubomoa utakuwa ndiyo mwanzo wa mwisho wa dunia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ostazzzzWakiubomoa utakuwa ndiyo mwanzo wa mwisho wa dunia
😂😂😂😂😂Mzee mgaya akili hunaMsikiti hautavunjwa ila Mpinga Kristo ataleta Nguruwe humo misikitini ambaye ni Chukizo kwa Waislam na Wayahudi
Watakapokuwa wanampiga yule Pig Ndio watakuwa wanabomoa al aqsa
tatizo hamjui Siri za Ulimwengu, hekalu la Suleiman halikuwa hapo, mlidanganywa , hapo kwenye msikiti wa al Aqsa lilijengwa hekalu la mungu anaye itwa Jupiter (temple of Jupiter), na alama ya mungu anaye itwa jupiter ni mwezi, crescent [emoji287] moon, Kwa jinsi unavyo waona Wayahudi unadhani wangekubali kuchukua eneo la Temple yao?? sio kweli Tample lazima ijengwe karibu na Maji , unashangaa kwanini katika uislam unaahaidiwa utapata SAYARI huko mbinguni, sasa hiyo SAYARI ni JUPITERMaandalizi ya ujenzi wa hekalu la Suleiman uko tayari. Vifaa, budget vyote viko tayari
Hekalu hili litajengwa eneo ambalo sasa hivi kuna msikiti wa Alqsa.
Utaratibu wa ujenzi utafanyika baada ya eneo hilo kutakaswa. Katika desturi za wa Israel eneo hilo hutakaswa kwa kutumia majivu ya ng'ombe mwekundu asiyekuwa na doa lolote. Na ng'ombe Huyo tayari alishazaliwa 2017.
Hekalu hili litajengwa muda wowote kuanzia sasa na msikiti wa Alqsa utabomolewa kupisha huu ujenzi
Mwili huu na nguo nitakazokuwa nimevaa siku hiyo vitabaki duniani yaan mwili wangu utabadilishwa na Mungu atanivika mwili mwingine wa utukufu yaan mwili wa mbinguni huo ndo nitaingia nao mbinguni.😂😂😂😂So utanyakuliwa uchi au ukiwa na nguo
😂So Mungu wako ana photocopy machine ya mwili na hamsemi...haya banaMwili huu na nguo nitakazokuwa nimevaa siku hiyo vitabaki duniani yaan mwili wangu utabadilishwa na Mungu atanivika mwili mwingine wa utukufu yaan mwili wa mbinguni huo ndo nitaingia nao mbinguni.
Unajua Ili unyakuliwe unapaswa kuwa na kigezo gani Mkuu?Mbinguni maana kabla ya dhiki kuu Yesu atakuja kunyakua walio wake nami nikiwemo. Kama ilivyokuwa kwa Nuhu watu waliingia kwenye safina kwanza ndipo Mungu akaadhibu ulimwengu, ndivyo itakavyokuwa wataondolewa kwanza wale walio tayari kwa unyakuo halaf ndo Mungu atamwaga ghadhabu yake. Kama hujatubu dhambi zako na kumpa Yesu maisha yako hima fanya hivyo leo hujachelewa.
Kubali leo kumpokea Yesu kuwa bwana na mwokozi wa maisha yako ishi maisha safi kwa msaada wa Mungu hata ukikosea we tubu na hakika siku ikifika unyakuo utakupata na tutakuwa wote mbinguni😂So Mungu wako ana photocopy machine ya mwili na hamsemi...haya bana
Cha kwanza mtu awe amemkubali Yesu kuwa bwana na mwokozi wa maisha yake, kingine awe anaishi maisha ya utakatifu, kingine awe tayari ili Bwana Yesu anaporudi mawinguni basi mtu huyu aisikie sauti ya parapanda, na ya malaika mkuu na awe tayari kwa mwaliko wa bwana Yesu. Kumbuka sio wote waliomkiri Yesu wanaamini katika unyakuo na kwa hiyo hawapo tayari kwa tukio hilo kubwa na la kihistoria lililo tayari kutokea muda wowote. Na kwa hiyo watabaki hapa duniani na kupitia mateso ya dhiki kuu.Unajua Ili unyakuliwe unapaswa kuwa na kigezo gani Mkuu?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Ila mwagito una vituko sanaMsikiti hautavunjwa ila Mpinga Kristo ataleta Nguruwe humo misikitini ambaye ni Chukizo kwa Waislam na Wayahudi
Watakapokuwa wanampiga yule Pig Ndio watakuwa wanabomoa al aqsa
Ondoa hayo majiniMaandalizi ya ujenzi wa hekalu la Suleiman uko tayari. Vifaa, budget vyote viko tayari
Hekalu hili litajengwa eneo ambalo sasa hivi kuna msikiti wa Alqsa.
Utaratibu wa ujenzi utafanyika baada ya eneo hilo kutakaswa. Katika desturi za wa Israel eneo hilo hutakaswa kwa kutumia majivu ya ng'ombe mwekundu asiyekuwa na doa lolote. Na ng'ombe Huyo tayari alishazaliwa 2017.
Hekalu hili litajengwa muda wowote kuanzia sasa na msikiti wa Alqsa utabomolewa kupisha huu ujenzi
Chanzo cha taarifa?Maandalizi ya ujenzi wa hekalu la Suleiman uko tayari. Vifaa, budget vyote viko tayari
Hekalu hili litajengwa eneo ambalo sasa hivi kuna msikiti wa Alqsa.
Utaratibu wa ujenzi utafanyika baada ya eneo hilo kutakaswa. Katika desturi za wa Israel eneo hilo hutakaswa kwa kutumia majivu ya ng'ombe mwekundu asiyekuwa na doa lolote. Na ng'ombe Huyo tayari alishazaliwa 2017.
Hekalu hili litajengwa muda wowote kuanzia sasa na msikiti wa Alqsa utabomolewa kupisha huu ujenzi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ila we jamaaMsikiti hautavunjwa ila Mpinga Kristo ataleta Nguruwe humo misikitini ambaye ni Chukizo kwa Waislam na Wayahudi
Watakapokuwa wanampiga yule Pig Ndio watakuwa wanabomoa al aqsa
Waafrika na imani za kijinga!
Labda mwisho wako wewe.
[emoji16][emoji16][emoji16]watu wamedataHizi bangi muwe mnachambua sio kuchanganya humo mbegu na makushabu
Mna story za ajabu sana aisee,tutafute pesa jamani,story kama hizi zinapatikana kwa masikini tu,kujiliwaza.Mwili huu na nguo nitakazokuwa nimevaa siku hiyo vitabaki duniani yaan mwili wangu utabadilishwa na Mungu atanivika mwili mwingine wa utukufu yaan mwili wa mbinguni huo ndo nitaingia nao mbinguni.
Hilo jambo usitamni kuliona kwenye maisha yako.Maandalizi ya ujenzi wa hekalu la Suleiman uko tayari. Vifaa, budget vyote viko tayari
Hekalu hili litajengwa eneo ambalo sasa hivi kuna msikiti wa Alqsa.
Utaratibu wa ujenzi utafanyika baada ya eneo hilo kutakaswa. Katika desturi za wa Israel eneo hilo hutakaswa kwa kutumia majivu ya ng'ombe mwekundu asiyekuwa na doa lolote. Na ng'ombe Huyo tayari alishazaliwa 2017.
Hekalu hili litajengwa muda wowote kuanzia sasa na msikiti wa Alqsa utabomolewa kupisha huu ujenzi
Bwashee wewe ni mwehuMsikiti hautavunjwa ila Mpinga Kristo ataleta Nguruwe humo misikitini ambaye ni Chukizo kwa Waislam na Wayahudi
Watakapokuwa wanampiga yule Pig Ndio watakuwa wanabomoa al aqsa
Hizi ndizo akili zinazowaweka akina mwamposa mjini,huku wakila bata kama zote,maana kama wajinga wapo basi uhakika wa pesa upo, usitafute hela we kaa subiri unyakuliwe,utanyakuliwa na kibwetere.Mwili huu na nguo nitakazokuwa nimevaa siku hiyo vitabaki duniani yaan mwili wangu utabadilishwa na Mungu atanivika mwili mwingine wa utukufu yaan mwili wa mbinguni huo ndo nitaingia nao mbinguni.