Right Way In Light
JF-Expert Member
- Jul 27, 2024
- 1,322
- 3,461
Kamba au sio?????? Hamna ni habar za kweli hizi. Prophetic perspective found in Daniel and Revelation kwa waumin wa kikiristo wanaoamin kwenye biblival scripturesUongoo bwana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamba au sio?????? Hamna ni habar za kweli hizi. Prophetic perspective found in Daniel and Revelation kwa waumin wa kikiristo wanaoamin kwenye biblival scripturesUongoo bwana
Kama sio wazimu sijui ni nini?!tatizo hamjui Siri za Ulimwengu, hekalu la Suleiman halikuwa hapo, mlidanganywa , hapo kwenye msikiti wa al Aqsa lilijengwa hekalu la mungu anaye itwa Jupiter (temple of Jupiter), na alama ya mungu anaye itwa jupiter ni mwezi, crescent [emoji287] moon, Kwa jinsi unavyo waona Wayahudi unadhani wangekubali kuchukua eneo la Temple yao?? sio kweli Tample lazima ijengwe karibu na Maji , unashangaa kwanini katika uislam unaahaidiwa utapata SAYARI huko mbinguni, sasa hiyo SAYARI ni JUPITER
Actually Wayahudi wanaijua hiyo Siri Hawana muda na huo MSIKITI watawaachia tu .....TOKA lini myahudi anachia kitu chake...?? NEVER
READ THE HISTORY TO PROVE THE BIBLE or QURAN you will know the TRUTH
Ni jambo jema sanaMaandalizi ya ujenzi wa hekalu la Suleiman uko tayari. Vifaa, budget vyote viko tayari
Hekalu hili litajengwa eneo ambalo sasa hivi kuna msikiti wa Alqsa.
Utaratibu wa ujenzi utafanyika baada ya eneo hilo kutakaswa. Katika desturi za wa Israel eneo hilo hutakaswa kwa kutumia majivu ya ng'ombe mwekundu asiyekuwa na doa lolote. Na ng'ombe Huyo tayari alishazaliwa 2017.
Hekalu hili litajengwa muda wowote kuanzia sasa na msikiti wa Alqsa utabomolewa kupisha huu ujenzi
Hawatapigana kuupiganiaHekalu hili litajengwa muda wowote kuanzia sasa na msikiti wa Alqsa utabomolewa kupisha huu ujenzi
Hawa jamaa hata kupanda miti hawatakiMaandalizi ya ujenzi wa hekalu la Suleiman uko tayari. Vifaa, budget vyote viko tayari
Hekalu hili litajengwa eneo ambalo sasa hivi kuna msikiti wa Alqsa.
Utaratibu wa ujenzi utafanyika baada ya eneo hilo kutakaswa. Katika desturi za wa Israel eneo hilo hutakaswa kwa kutumia majivu ya ng'ombe mwekundu asiyekuwa na doa lolote. Na ng'ombe Huyo tayari alishazaliwa 2017.
Hekalu hili litajengwa muda wowote kuanzia sasa na msikiti wa Alqsa utabomolewa kupisha huu ujenzi
Mleta habari hana habariToka hii habar ianze kuongelewa ni miaka na miaka tu inatembea