Msikiti wa AQSA kubomolewa na Hekalu la Suleiman kujengwa upya

Msikiti ukitaka kuvunjwa unavunjwa na hamna mtakachofanya kwani si nguvu za kivita tuu ndio muhimu
 
kwahiyo alikufa akiwa muislam kabla hata uislam haujatokea duniani? unaona una akili kweli?hahahaha
hapn mkuu! Si mpaka leo yupo!! Ivo islamu.usabato nk vilikuwepo mbinguni alikotoka!! Hata kabla hajaja.....ila watu hawakuvijua hii kazi aliwaachia wanafunzi wake!
 
unajidanganya hata Yehoshua (yesu) kaka yangu nae muamini wana waibilisi walimuita et Yehoshua (yesu) ni shetani asurubiwe tu tena bila kosa km unavoniita wewe na kunihukumu kwa ujasiri bila kosa.

Huohuo uthubutu na ujasiri ulionao wewe dhidi yangu....naYehoshua (yesu) alisurubiwa ivoivo kwa ujasiri km huu!! Si shangai unanisurubu nae mara ya pili. Uko sahihi kabisa kunifanyia hayo....sababu watangulizi wako walitufanyia hayo tukawasamehe....
leo unanifanyia tena km baba zako walivo fanya nakusamehe bure tu! Tembea kwa amani ya Bwana.

Kwa sababu damu za vitukuu za walio msurubisha Yehoshua yesu bado ziko humu wewe ni mmoja wao!!

Ila narudia km alivo sema Yehoshua wangu " Mungu akusamehe hujui ulitendalo". Amini neno litasimama.

Km Yehoshua anasaga meno kuzimu na mie ntasaga tena sana tu hkn shida.
 
hapn mkuu! Si mpaka leo yupo!! Ivo islamu.usabato nk vilikuwepo mbinguni alikotoka!! Hata kabla hajaja.....ila watu hawakuvijua hii kazi aliwaachia wanafunzi wake!
ukristo umekuja baada ya Yesu kupaa mbinguni, ndio wafuasi wake yaani wafuasi wa Yesu Kristo, wakaanza kuitwa wakristo. baada ya miaka 500 hivi ndio Mtume akaanzisha dini ya kiislam. sasa akili gani itakuja leo iseme uislam ulikuwepo kabla ya Mtume?
 
ukristo umekuja baada ya Yesu kupaa mbinguni, ndio wafuasi wake yaani wafuasi wa Yesu Kristo, wakaanza kuitwa wakristo. baada ya miaka 500 hivi ndio Mtume akaanzisha dini ya kiislam. sasa akili gani itakuja leo iseme uislam ulikuwepo kabla ya Mtume?
soma uelewe vilikuwepo mbinguni.
Ukristo wa vatican ulilazimishwa na mfalme wa Roma. Kifo au uamini Roma na wengi walikufa ajili ya imani yao.
 
Msikiti ukitaka kuvunjwa unavunjwa na hamna mtakachofanya kwani si nguvu za kivita tuu ndio muhimu
Kuna ujasiri unaitwa "MUAQAMA" ni wa aina yake ambao HAMAS na ISLAMIC JIHAD wanaoutumia, WAYAHUDI wanauogopa mithili ya mbwa mwitu, basi wazayuni wataonyeshwa nguvu hizo na kukiona CHAMTEMA KUNI!
 
Kuna ujasiri unaitwa "MUAQAMA" ni wa aina yake ambao HAMAS na ISLAMIC JIHAD wanaoutumia, WAYAHUDI wanauogopa mithili ya mbwa mwitu, basi wazayuni wataonyeshwa nguvu hizo na kukiona CHAMTEMA KUNI!
Nakwambia hivi watu wenye nguvu za kivita wakiamua hata kuvunja makka inavunjwa na hamna chochote kitafanyika. Hata waislamu wangekuwa na nguvu kama zamani wangevamia vatican na kugeuza msikiti na hamna kitu wazungu wangefanya duniani hapa ni nguvu zinaamua nini kifanyike
 
NDUGU MPOST THREAD HIZO NI NDOTO ZA MCHANA JUA KALI.
TOKA AINYAKUE JERUSALEM SIO MARA YA KWANZA ISRAEL KUSEMA ATABOMOA BAITUL MAQDIS.
ILA HATHUBUTU NA HATOTHUBUTU.
UKITAKA KUJUA WAARABU WANA ITIKADI KALI GUSA AMA HARIBU MAENEO YA KIHISTORIA YA UISLAM .
AL AQSA NI KAABA NDOGO IKIVUNJWA HATA UKUTA MMOJA NDUGU PATAZUKA VITA KUBWA SANA YA KIDINI AMBAYO HAKUNA TAIFA LITAWEZA KUIZIMA.
USIDHANI KAMA WAISRAEL HAWALIJUI HILO NDIO MAANA TOKA MIAKA YOTE WANAISHIA KUSEMA HAWAFANYI
 
Luna tofauti kati ya mzungu na mwarabu.
Waarabu ni watu wenye visasi vibaya sana kama haujui.
Na visasi vyao haviishi.
Makkah ni kitovu cha waislam wote paguswe kuna Sunnis,shia,ahmadia wote umewachokonoa.
 
Jibu swali ninin kilitangulia acha hadithi
Hakuna ushahidi wa ki archeology unaoonesha km kulikua na hekalu hapo.
Bali kila siku misikiti midogo inavumbuliwa ukiachana na al aqsa .
Al aqsa ilikuwepo na itakuwepo.
Habari za kusema kuna hekalu ni pauka pakawa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nini kilianza kuwepo Msikiti au HEKALU??
 
Upuuzi wenu ni Mitusi tu na sio hoja

Tunawapuuza tu
 
Yaani hapa ndio unadhihirisha dini yako ni YAKISHETANI!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1756][emoji1756] achana na lishehe__ shehena
 
Acheni utani jamani ... Jana nimetoa laki mbili na arobaini..... Nimekatwa shilingi 8240.... Chozi lilinitoka.....
[emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26] pole mkuu siku nyingine mtume boda
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nini kilianza kuwepo Msikiti au HEKALU??
Labda kaka tuweke dini pembeni nikujibu vizuri.
Siku zote kuna ushahidi wa kihistoria eidha wa kimaandishi au wa kitafiti.
Hakuna ushahidi wa kitafiti unaoonesha kuwa pale kulikua kuna hekalu kabla ya msikiti.
Pia watu wqnasema uislamu umeanza 600AD ilhali majangwa ya Israel imevumbuliwa misikiti ambayo inasemekana ilikuwepo toka 500AD na zaidi.
Hao Israel wenyewe wanalijua hilo na ndio archeologists wao wamefanya hivyo.
Sema kwasababu watu tumeamua kuvaa udini na kujiweka vipofu.
 
ukristo umekuja baada ya Yesu kupaa mbinguni, ndio wafuasi wake yaani wafuasi wa Yesu Kristo, wakaanza kuitwa wakristo. baada ya miaka 500 hivi ndio Mtume akaanzisha dini ya kiislam. sasa akili gani itakuja leo iseme uislam ulikuwepo kabla ya Mtume?
Huyu pimbi hana anachikijua au anajisahaulisha mudi alikuja 500+ baada ya Yesu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…