Msikiti wa AQSA kubomolewa na Hekalu la Suleiman kujengwa upya

Msikiti wa AQSA kubomolewa na Hekalu la Suleiman kujengwa upya

Punguza maneno weka mstari unaosema nlichouliza...... kama Hamna ndio uelewe mambo mengine ni kuconnect dots tu sio lazma mstari mmoja utoe majibu yote.
Isaya 9:6 SRUV

Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, Tumepewa mtoto wa kiume; Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake; Naye ataitwa jina lake, Mshauri wa Ajabu, Mungu Mwenye Nguvu, Baba wa Milele, Mfalme wa Amani.



[emoji1312][emoji1312][emoji1312][emoji1312][emoji1312][emoji1312]

Hii ni miliniam kadhaa kabla hajazaliwa


Hoja yako/zenu watoto wa Hajiri ni dhaifu mnataka atamke mwenyewe
 
Hoja hapa ilikua Mtoto wa nje hawezi kupata baraka n.k ndio nikakujibu mbona houseboy wa Suleiman alikuwa mfalme na alikua yatima??

More so Solomon mwenyewe alikua mtoto wa nje? Na bado akawa mfalme?

Sasa ambacho hukuelewa hapo ni nini?? Au ulidhani nmesema Jeroboam ni mtoto wa suleimani?? Kasome upya hiyo post umejichanganya
Unamaneno.mengi huna sapoti twende kazi shehe nikunyooshe
 
Isaya 9:6 SRUV

Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, Tumepewa mtoto wa kiume; Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake; Naye ataitwa jina lake, Mshauri wa Ajabu, Mungu Mwenye Nguvu, Baba wa Milele, Mfalme wa Amani.



[emoji1312][emoji1312][emoji1312][emoji1312][emoji1312][emoji1312]

Hii ni miliniam kadhaa kabla hajazaliwa


Hoja yako/zenu watoto wa Hajiri ni dhaifu mnataka atamke mwenyewe
😀 😀 😀 upo sahihi. Yesu hakuna mahali alitamka kwamba yeye ni MUNGU, kwa sababu ingekuwa hatari sana kwake, kwa aina ya watu aliokuwa anaishi nao. Ila watangulizi wake hasa Isaya na Yohana mbatizaji walishatanguliza habari zake kwa watu. Isaya aliishi miaka 600 kabla ya ujio wa Yesu. You can notice the time difference.
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] upo sahihi. Yesu hakuna mahali alitamka kwamba yeye ni MUNGU, kwa sababu ingekuwa hatari sana kwake, kwa aina ya watu aliokuwa anaishi nao. Ila watangulizi wake hasa Isaya na Yohana mbatizaji walishatanguliza habari zake kwa watu. Isaya aliishi miaka 600 kabla ya ujio wa Yesu. You can notice the time difference.
Hawa wajukuu wa HAJIRI wanajua ila wamefundishana UJINGA wa KUKANA the TRUTH WHICH RIGHT IN FRONT OF THEIR FACE
 
Hawa wajukuu wa HAJIRI wanajua ila wamefundishana UJINGA wa KUKANA the TRUTH WHICH RIGHT IN FRONT OF THEIR FACE
Wasome Yohana 14:6 (Mimi ni njia, na ukweli na uhai. Hakuna awezaye kwenda kwa Baba ila kwa kupitia kwangu.). Yaani huwezi kuiona pepo bila Kumkiri YESU Kristo. 😀 😀 😀 😀
 
Unamfuta Ishmael eti baraka pekee ni kuzaa kwamba zingine zote ni za Yakobo. Lakini unasahau hata Yakobo alizaa na hausigeli zake yaani kama Ishmael tu je upo tayari kukiri kwamba hao watoto wa Yakobo waliozaliwa na kina Billhah na Zilpah nao hawana baraka yoyote kutoka kwa Yakobo sababu ni haramu???

Tuache double standards
unamiss point. usinilaumu mimi, mlaumu Mungu. Mungu ndiye aliamua hivyo. pia kasome..

Romans 9:19-21 19 One of you will say to me: “Then why does God still blame us? For who is able to resist his will?” 20 But who are you, a human being, to talk back to God? “Shall what is formed say to the one who formed it, ‘Why did you make me like this?’”[b] 21 Does not the potter have the right to make out of the same lump of clay some pottery for special purposes and some for common use?

Warumi 9:19-21 19 One of you will say to me: “Then why does God still blame us? For who is able to resist his will?” 20 But who are you, a human being, to talk back to God? “Shall what is formed say to the one who formed it, ‘Why did you make me like this?’” 21 Does not the potter have the right to make out of the same lump of clay some pottery for special purposes and some for common use?
 
Population ni kubwa sema wapo US na wanarudi slowly
population sio kubwa, wanaoishi israel ni 8m tu, wakati wanaoishi marekani ni above 10m. bado ulaya mashariki, australia, canada, western europe, agentina wengi sana etc. na wote hawa huwa wanatoka nchini kwao wanaenda israel wana serve jeshini at least 6 months na kurudi nchini kwao, wana double nationalities.
 
mkuu unapotosha kwanza Abraham ni muarabu wa UR aliyetokea kwenye Semitic bloodline. Mama ya watoto wa Yakobo alikua mtu wa Syria so it's not like walikua a different race hao ni waarabu wa Syria waliohamia Canaan ambapo kulishakuwepo na watu.

Ni hivi Nuhu alitoa eneo la Israel ya leo kwa mjukuu wake yaani Canaan

Abaraham akahamia kutoka uarabuni kuja Canaan akikuta wenyeji.

Baada ya vita na kina Amraphel na Neodechlaomer alikutana na mfalme wa Jerusalem yaani Melchizedek.

Ikimaanisha kulikuwepo na utawala wa kizazi cha Canaan hapo Jerusalem/Canaan ila Abraham alihamia tu kwenye plains huko kufuga.

Wayahudi wanaondoka Canaan huku wameacha wenyeji bado wapo (Rephaites, Gilgashites)

Baada ya kutoka utumwani wanakuta wale wa Canaan wamehodhi maeneo yote hata kule maporini walipokua wanaishi kina Abraham.

Wanaamua kuwaua ili wapore ardhi yao na wanawaacha kidogo sana.

Funny enough walipewa ardhi kuanzia Euphrates mpaka Nile ila wamejikita palestina tu!!

Wafilisti ni uzao wa Caphtor/Casluh waliochangamana na watoto wa Mizraim (Kijana wa Ham) na walitokea huko Crete-Ugiriki.

Wafilisti na wacanaan ni watu wawili tofauti..... Wa canaan ni purely hamites ilihali wafilisti ni mchanganyiko wa Hamites na Japhetites!!

Miaka inapita Wapalestina wanahamia mashariki ya kati distinctively from Canaanites and philistines!!

Wanakuta ardhi haina wenyewe (Hvi ulitaka waache eneo wazi) maana walishakua diluted huko utumwani.

Wameishi hapo miaka zaidi ya elfu 1 alafu anatokea myahudi mmoja (Kumbuka makabila 10 wameshachangamana sio pure tena) anarudi kudai eneo ni lao. Cha kujiuliza mbona wao waliishi nchi za watu huko Ulaya hadi marekani hawajawahi timuliwa kwa miaka zaidi ya elfu 2000 sasa???

Kwa time line hii tunaweza conclude hawa wayahudi wana justify tu kupora ardhi kupitia maandiko. Lakini ukweli ni kwamba Canaan ilikua na wamiliki halali kabisa hata Abraham alitambua hilo ndio maana akabakia maporini huko.
nikufundishe kitu, Uru ya ukaldayo ni iraq ya leo, wale sio waarabu, ni wakaldayo, hata sura zao ni tofauti na waarabu, DNA tofauti na waarabu. yeye ndio alitoka huko akapewa ile ardhi na Mungu ili arithi yeye na uzao wake mteule, through Isack. ni kweli kulikuwa na utawala na wakazi wazawa wa pale, lakini Mungu aliwanyang'anya hao hiyo ardhi akampa ibrahim na uzao wake huo. Mungu ndiye aliyeumba mbingu na nchi na ardhi hii ni mali yake yeye ndio anaamua ampe nani amnyime nani, amnyang'anye nani na ampe nani, na sisi wanadamu hatuna hadhi kumquestion.
 
Wasome Yohana 14:6 (Mimi ni njia, na ukweli na uhai. Hakuna awezaye kwenda kwa Baba ila kwa kupitia kwangu.). Yaani huwezi kuiona pepo bila Kumkiri YESU Kristo. [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
[emoji1756][emoji1756][emoji1756][emoji1312][emoji1312]
 
unamiss point. usinilaumu mimi, mlaumu Mungu. Mungu ndiye aliamua hivyo. pia kasome..

Romans 9:19-21 19 One of you will say to me: “Then why does God still blame us? For who is able to resist his will?” 20 But who are you, a human being, to talk back to God? “Shall what is formed say to the one who formed it, ‘Why did you make me like this?’”[b] 21 Does not the potter have the right to make out of the same lump of clay some pottery for special purposes and some for common use?

Warumi 9:19-21 19 One of you will say to me: “Then why does God still blame us? For who is able to resist his will?” 20 But who are you, a human being, to talk back to God? “Shall what is formed say to the one who formed it, ‘Why did you make me like this?’” 21 Does not the potter have the right to make out of the same lump of clay some pottery for special purposes and some for common use?
[emoji1756][emoji1756][emoji1756][emoji1756][emoji1756][emoji1312][emoji1317][emoji1317]
 
nikufundishe kitu, Uru ya ukaldayo ni iraq ya leo, wale sio waarabu, ni wakaldayo, hata sura zao ni tofauti na waarabu, DNA tofauti na waarabu. yeye ndio alitoka huko akapewa ile ardhi na Mungu ili arithi yeye na uzao wake mteule, through Isack. ni kweli kulikuwa na utawala na wakazi wazawa wa pale, lakini Mungu aliwanyang'anya hao hiyo ardhi akampa ibrahim na uzao wake huo. Mungu ndiye aliyeumba mbingu na nchi na ardhi hii ni mali yake yeye ndio anaamua ampe nani amnyime nani, amnyang'anye nani na ampe nani, na sisi wanadamu hatuna hadhi kumquestion.
Kifupi tu hata kiwanja alichonacho ni mali ya Serikali
 
Najibu! Roma zamani (Vatican)ilikuwa makao makuu ya miungu ya warumi, leo hii ni makao makuu ya Christian Roman catholic church na kanisa kuu ST. PETER ndio limejengwa hakuna tena habari ya miungu ya WARUMI. basi na hekalu la SOLOMON nalo lipo kihivo hakusalia Mosses wala JESUS, sasa iweje leo wazayuni wadai kuwa ni sehemu yetu takatifu nawakati MUHAMMAD kaujenga msikiti mtakatifu na wao walikua wapi?
Kwahiyo Muhammad ndio kachua hali ya hewa ! Huyu mtume wa ajabu sana
 
Inaweza onekana anaongea ujinga lakini huo ndio ukweli. Palestine ipo strategic ndio maana ni kma njiapanda ya mabara matatu. So in case ya Vita eneo kma hilo ni strategic sana. No wonder hata Djibouti ina military base kibao sababu ya location yake kwenye njiapanda ya kuelekea Ulaya na Asia.

USA anafahamu bila Ally pale mashariki ya kati basi siku Iran au nchi za kiarabu zikiamka basi inakua ngumu kupambana kma hauna mshirika otherwise asingekua na faida yoyote na eneo la Palestine. Hamjiulizi kwanini Turkey anabembelezwa sana licha ya kuwa na Rais dikteta!! Ni sababu wanamhitaji mnoo kma front ya kupambana na Russia ulaya mashariki.

Israeli si lolote bila msaada wa kijeshi wa Marekani kila mwaka. Huwezi jisifia ni taifa la Mungu wakati unategemea pesa za mtu ili ushinde vita!! Ssa hapo utukufu ni Kwa Mungu au binadamu??
Mkuu hizo military industrial complex marekani ni za wayaudi
 
Mkuu hizo military industrial complex marekani ni za wayaudi
Kumbe sasa ilikuwaje tena waweke vinasa sauti huko pentagon kudukua wamarekani?? And Ilikuaje waidungue meli ya kijeshi ya US iliyokua off the gulf of Aquaba during the 6 day war??

Anyway kumbe tunakubaliana nguvu ya kijeshi ndio inawapa Israel ushindi na sio tena sijui taifa la mungu and all that?
 
hekalu lilijengwa hata kabla mood hajazaliwa, utauitaje huo msikiti sasa? hahahaha
Uko sahihi. Yesu mwenyewe alilikuta hilo hekalu, ndimo alipowafukuza wavunja fedha na wafanyabiashara waliokuwa wanafanyia humo hekaluni. Hilo hekali lilijengwa kwa muda wa miaka 46. Soma Mathayo 21: 12 na kuendelea na Yohane 2:19-21. Utajazia jazia nyama kidogo.
 
Back
Top Bottom