Msikiti wa AQSA kubomolewa na Hekalu la Suleiman kujengwa upya

Msikiti wa AQSA kubomolewa na Hekalu la Suleiman kujengwa upya

Abaraham ni baba wa mataifa mengi.... Ni makosa sana kujimilikisha Canaan ni ya Waisrael kisa tu aliishi Abraham. Abaraham alikua na uzao mkubwa sana hapo middle east sasa kivipi tena Yakobo pekee ndio adai umiliki??? Vipi kizazi cha Ishmael au Esau na wenyewe hawana haki ya Canaan??

Anyway Abraham alitokea Ur iloyopo Sumeria ya kale/Mesopotamia. So still hakuwa mtu wa kwanza kukanyaga hapo Canaan na ndio maana hapo Jerusalem tayari kulikua na mfalme Melchizedek aliyemlaki baada ya vita ya Abraham na Neodechlaomer
Mkuu historia unaijua vema ila unajitoa ufahamu tu nakuona sina la kukumbusha labda nifanye hivyo kwa niaba ya vijana wanaosoma convention ila sio kwako
 
soma Biblia we mwenye kichwa kizito. Biblia ndio inasema hivyo, Ibrahim alikuwa na watoto wawili tu, Ishmael mtoto wa kambo aliyezaa na Mmisri, na Isaka mtoto wa ndoa aliyezaa na Sara. awali alitaka kumpa urithi na mbaraka Ishmael kwasababu ni mtoto wa kwanza, lakini Mungu akasema "hapana" utazaa mtoto, yaani Isaka huyo ndiye atamiliki. Ishmael alifukuzwa nyumbani kwa Ibrahim akiwa na mamake Hajir, wakaenda huko jangwa la arabuni na wakawazaa waarabu. baraka pekee aliyopewa ni uzao mkubwa na ndio maana waarabu ni wengi mno.

huku nyuma kwenye ndoa Mungu aliendeleza uzao wa Isaka akazaa mapacha, Esau na Yakobo, Esau ni baba wa wazungu wakati Yakobo ni baba wa Wayahudi/waisrael, tunasema ni baba wa waisrael kwasababu Yakobo alibadilisha jina akaitwa Israel na alikuwa na watoto wa kiume 12 waliokuja kuleta koo 12 za Waisrael hadi leo hii na ndio makabila yao.

Yakobo alizaa mtoto aitwaye Yusufu aliyeuzwa utumwani misri, kule alikuwa waziri mkuu hukohuko utumwani na Yakobo na familia yake wanaondoka Caanan ambako walikuwa wanaishi wakaenda misri, kule walizaliana mno wamisri wakaogopa watapinduliwa wakaamua kuwabadilisha wawe watumwa. wakatesa miaka 400. Musa akazaliwa miongoni mwao.

Musa aliagizwa na Mungu awachukue waisrael wote awarudishe kwenye nchi yao ya ahadi, Kaanani, nchi ambayo Mungu alikuwa amempa babu yao Ibrahim na akaahidi kuwa kizazi chake kupitia Isaka ndicho kitakachorithi pale, ndio wakaanza safari ya jangwani kwa miaka 40 hadi Joshua alipowafikisha kaanani.

pale kaanani baada ya kuondoka miaka 400 iliyopita walikuta kuna wafilist wamevamia (wapalestina wamevamia), Mungu akawaelekeza wawaue wote, lakini waisrael hawakuwaua, Mungu akawaambia hao watakuwa mwiba kwenu maisha yenu yote, na ndio maana hadi leo hii wafilisti/wapalestina ni mwiba kwa waisrael.

ukiangalia falme zote zilizopita kabla ya Daudi, walikuwa wanapigana na hawa watu. tuanzie kwa sauli tu, then Daudi, then nabii Samson na baadaye suleiman. walikuwa wanapigana na WAfilisti mara kwa mara na ulikuwa kama mchezo wa simba na yanga, mtu akipata nguvu tu anatangaza vita wanapigana atakayepigwa basi, siku nyingine tena hivyohivyo. na vita hiyo haitakuja iishe hadi Yesu atakaporudi.

Ibrahim alipewa eneo sio hilo tu, bali hadi maeneo ya karibia na Syria, jordan yote, lebanon yote ni mali ya israel Kibiblia, na kuna siku yatakuja kutwaliwa yote kama ilivyotwaliwa golan. Jordan inaogopa sana israel kwasababu wameshasoma mistari ya kwenye Biblia/Torah, na wanajua wakikinukisha israel inaweza kuwashambulia ikapora maeneo kama ilivyofanya kwa Golan heights kwasababu wayahudi wanaamini ni yao, na ni imani sahihi. hiyo ni chai tu, ufafanuzi zaidi siku nyingine.
Hesabu 33:55

Lakini kama hamtaki kuwafukuza wenyeji wa nchi watoke mbele yenu; ndipo hao ambao mtawabakiza watakuwa kama sindano machoni mwenu, na kama miiba ubavuni mwenu, nao watawasumbua katika hiyo nchi ambayo mwakaa.
 
Wayahudi ni wachache na kwenye vichwa vyao wanaamini kuna siku watakuja kuyachukua maeneo yote hayo hadi mfereji wa suez. kipindi kile cha vita ya Yom kipur maeneo mengi sana ya Wamisri yaliporwa hadi mfereji wa suez, lakini kwa shinikizo la marekani na uingereza na jumuiya ya kimataifa waliyaachia, ila wayahudi ndio walishaamua kuanza kuyamiliki.

the same applies to Golan heights, na jordan anaogopa sana iyo kitu kwasababu anajua wanachokiamini hawa jamaa. kwa kifupi, subiri population yao iongezeke halafu utaona kama eastern jerusalem na maeneo ya wapalestina kama yatakuwa mali ya wapalestina, yatabebwa yote na kua mali ya wayahudi na raia wale wa kiarabu watakuwa raia wa Israel, ndicho kinachokuja kutokea. upande wa suez canal, jordan etc, kuna vita itakuja kubwa sana baadaye kuhusu maeneo hayo. subiri tu.
Population ni kubwa sema wapo US na wanarudi slowly
 
pale kaanani baada ya kuondoka miaka 400 iliyopita walikuta kuna wafilist wamevamia (wapalestina wamevamia), Mungu akawaelekeza wawaue wote, lakini waisrael hawakuwaua, Mungu akawaambia hao watakuwa mwiba kwenu maisha yenu yote, na ndio maana hadi leo hii wafilisti/wapalestina ni mwiba kwa waisrael.
mkuu unapotosha kwanza Abraham ni muarabu wa UR aliyetokea kwenye Semitic bloodline. Mama ya watoto wa Yakobo alikua mtu wa Syria so it's not like walikua a different race hao ni waarabu wa Syria waliohamia Canaan ambapo kulishakuwepo na watu.

Ni hivi Nuhu alitoa eneo la Israel ya leo kwa mjukuu wake yaani Canaan

Abaraham akahamia kutoka uarabuni kuja Canaan akikuta wenyeji.

Baada ya vita na kina Amraphel na Neodechlaomer alikutana na mfalme wa Jerusalem yaani Melchizedek.

Ikimaanisha kulikuwepo na utawala wa kizazi cha Canaan hapo Jerusalem/Canaan ila Abraham alihamia tu kwenye plains huko kufuga.

Wayahudi wanaondoka Canaan huku wameacha wenyeji bado wapo (Rephaites, Gilgashites)

Baada ya kutoka utumwani wanakuta wale wa Canaan wamehodhi maeneo yote hata kule maporini walipokua wanaishi kina Abraham.

Wanaamua kuwaua ili wapore ardhi yao na wanawaacha kidogo sana.

Funny enough walipewa ardhi kuanzia Euphrates mpaka Nile ila wamejikita palestina tu!!

Wafilisti ni uzao wa Caphtor/Casluh waliochangamana na watoto wa Mizraim (Kijana wa Ham) na walitokea huko Crete-Ugiriki.

Wafilisti na wacanaan ni watu wawili tofauti..... Wa canaan ni purely hamites ilihali wafilisti ni mchanganyiko wa Hamites na Japhetites!!

Miaka inapita Wapalestina wanahamia mashariki ya kati distinctively from Canaanites and philistines!!

Wanakuta ardhi haina wenyewe (Hvi ulitaka waache eneo wazi) maana walishakua diluted huko utumwani.

Wameishi hapo miaka zaidi ya elfu 1 alafu anatokea myahudi mmoja (Kumbuka makabila 10 wameshachangamana sio pure tena) anarudi kudai eneo ni lao. Cha kujiuliza mbona wao waliishi nchi za watu huko Ulaya hadi marekani hawajawahi timuliwa kwa miaka zaidi ya elfu 2000 sasa???

Kwa time line hii tunaweza conclude hawa wayahudi wana justify tu kupora ardhi kupitia maandiko. Lakini ukweli ni kwamba Canaan ilikua na wamiliki halali kabisa hata Abraham alitambua hilo ndio maana akabakia maporini huko.
 
Wayahudi ni wachache na kwenye vichwa vyao wanaamini kuna siku watakuja kuyachukua maeneo yote hayo hadi mfereji wa suez. kipindi kile cha vita ya Yom kipur maeneo mengi sana ya Wamisri yaliporwa hadi mfereji wa suez, lakini kwa shinikizo la marekani na uingereza na jumuiya ya kimataifa waliyaachia, ila wayahudi ndio walishaamua kuanza kuyamiliki.

the same applies to Golan heights, na jordan anaogopa sana iyo kitu kwasababu anajua wanachokiamini hawa jamaa. kwa kifupi, subiri population yao iongezeke halafu utaona kama eastern jerusalem na maeneo ya wapalestina kama yatakuwa mali ya wapalestina, yatabebwa yote na kua mali ya wayahudi na raia wale wa kiarabu watakuwa raia wa Israel, ndicho kinachokuja kutokea. upande wa suez canal, jordan etc, kuna vita itakuja kubwa sana baadaye kuhusu maeneo hayo. subiri tu.
Population ya wa Israel ambao ni waarabu kwa sasa ni kubwa sana. Na wapalestina ni wengi mnoo, sasa siku hawa waarabu waliopo Israel (zaidi ya 2 Million) wakishirikiana na wapalestina waliopo Gaza-westbank na diaspora ya Jordan (zaidi ya 1 million) then tegemea matokeo tofauti.

Nachojaribu kusema msilazimishe unabii wa biblia kwa maigizo ya wamagharibi. Hivi huko zamani Israel ilikua inapewa misaada na mataifa ya kipagani au kumiliki masilaha ya kutisha??? Huoni wangeshinda vita utukufu ungeenda kwa bianadamu?? Hii ina prove kwamba kinachowaweka mjini ni Nguvu za kimwili na sio uwezo wa Mungu. Kama hili haulioni then endeleeni kuchezeshwa sinema tu za sysnagogue of satan ya Revelation 2.
 
Ibrahim alikuwa na watoto wawili tu, Ishmael mtoto wa kambo aliyezaa na Mmisri, na Isaka mtoto wa ndoa aliyezaa na Sara. awali alitaka kumpa urithi na mbaraka Ishmael kwasababu ni mtoto wa kwanza, lakini Mungu akasema "hapana" utazaa mtoto, yaani Isaka huyo ndiye atamiliki. Ishmael alifukuzwa nyumbani kwa Ibrahim akiwa na mamake Hajir, wakaenda huko jangwa la arabuni na wakawazaa waarabu
Unamfuta Ishmael eti baraka pekee ni kuzaa kwamba zingine zote ni za Yakobo. Lakini unasahau hata Yakobo alizaa na hausigeli zake yaani kama Ishmael tu je upo tayari kukiri kwamba hao watoto wa Yakobo waliozaliwa na kina Billhah na Zilpah nao hawana baraka yoyote kutoka kwa Yakobo sababu ni haramu???

Tuache double standards
 
mkuu unapotosha kwanza Abraham ni muarabu wa UR aliyetokea kwenye Semitic bloodline. Mama ya watoto wa Yakobo alikua mtu wa Syria so it's not like walikua a different race hao ni waarabu wa Syria waliohamia Canaan ambapo kulishakuwepo na watu.

Ni hivi Nuhu alitoa eneo la Israel ya leo kwa mjukuu wake yaani Canaan

Abaraham akahamia kutoka uarabuni kuja Canaan akikuta wenyeji.

Baada ya vita na kina Amraphel na Neodechlaomer alikutana na mfalme wa Jerusalem yaani Melchizedek.

Ikimaanisha kulikuwepo na utawala wa kizazi cha Canaan hapo Jerusalem/Canaan ila Abraham alihamia tu kwenye plains huko kufuga.

Wayahudi wanaondoka Canaan huku wameacha wenyeji bado wapo (Rephaites, Gilgashites)

Baada ya kutoka utumwani wanakuta wale wa Canaan wamehodhi maeneo yote hata kule maporini walipokua wanaishi kina Abraham.

Wanaamua kuwaua ili wapore ardhi yao na wanawaacha kidogo sana.

Funny enough walipewa ardhi kuanzia Euphrates mpaka Nile ila wamejikita palestina tu!!

Wafilisti ni uzao wa Caphtor/Casluh waliochangamana na watoto wa Mizraim (Kijana wa Ham) na walitokea huko Crete-Ugiriki.

Wafilisti na wacanaan ni watu wawili tofauti..... Wa canaan ni purely hamites ilihali wafilisti ni mchanganyiko wa Hamites na Japhetites!!

Miaka inapita Wapalestina wanahamia mashariki ya kati distinctively from Canaanites and philistines!!

Wanakuta ardhi haina wenyewe (Hvi ulitaka waache eneo wazi) maana walishakua diluted huko utumwani.

Wameishi hapo miaka zaidi ya elfu 1 alafu anatokea myahudi mmoja (Kumbuka makabila 10 wameshachangamana sio pure tena) anarudi kudai eneo ni lao. Cha kujiuliza mbona wao waliishi nchi za watu huko Ulaya hadi marekani hawajawahi timuliwa kwa miaka zaidi ya elfu 2000 sasa???

Kwa time line hii tunaweza conclude hawa wayahudi wana justify tu kupora ardhi kupitia maandiko. Lakini ukweli ni kwamba Canaan ilikua na wamiliki halali kabisa hata Abraham alitambua hilo ndio maana akabakia maporini huko.
Melchizedek hajawahi kuwa mfalme/ mtawala wa Jerusalem au unipe Aya
Screenshot_20210803-103522_Google.jpg
 
Unamfuta Ishmael eti baraka pekee ni kuzaa kwamba zingine zote ni za Yakobo. Lakini unasahau hata Yakobo alizaa na hausigeli zake yaani kama Ishmael tu je upo tayari kukiri kwamba hao watoto wa Yakobo waliozaliwa na kina Billhah na Zilpah nao hawana baraka yoyote kutoka kwa Yakobo sababu ni haramu???

Tuache double standards
Ishmael was/ is and will always be a house maid's son na wote tunajua mtoto wa beki tatu hanaga urithi
 
Vipi watoto wa Yakobo waliozaliwa na mahausigeli tena watumwa.... Yaani Billhah na Zilpah kuzaa Gad,Asher,Dan,Naphtali etc.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hao wapo katika wale 12 ila Ishmael alitemwa mapema saana baada ya mama yake kuonesha dharau

Nikukumbushe tu Suleiman alikuwa na WAKE 700 na MASURIA/housewives 300
Kuna mtoto wa suria hata mmoja unayemjua??
 
Thanks mkuu... Naona mada imejikita kwenye historical facts with much support from the holy Bible!
Anyway, nazidi kujifunza mambo ya hapo middle East kupitia huu Uzi..
Piga pin UZI huu kama husomagi bible ujifunze kitu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hao wapo katika wale 12 ila Ishmael alitemwa mapema saana baada ya mama yake kuonesha dharau

Nikukumbushe tu Suleiman alikuwa na WAKE 700 na MASURIA/housewives 300
Kuna mtoto wa suria hata mmoja unayemjua??
Suleiman mbona alikua mtoto wa nje? Tena mama yake aliliwa kimasihara ndio akapatikana (jokes)..... mind you mamake alikua Mcanaan ambao mnadai ni wapalestina!! Na bado akawa mfalme wa Israel!!

Unasema mtoto wa masuria..... Hvi unajua mfalme wa Kingdom of Israel yule Rehoboham houseboy tu wa Solomon na bado akapata ufalme?? Mind you alikua yatima....

Acheni ubaguzi wa watoto wa kambo, Mungu habagui kma sisi
 
Mkuu ole wake! Mzayuni kusubutu kufanya hivyo, akija kuthubutu ndio utakua wakati wa taifa dhaalim la ISRAEL kusambaratika uislam kutawala dunia na myahudi atakapo silimu na kusalimu amri!
Ubovu dini yenu ni ya kulazimishana. Mmeshindwa kuwalazimisha zamani sasa hivi wana balozi zao kwenye nchi za maadui wao, je mtaweza!
 
Back
Top Bottom