Msikiti wa AQSA kubomolewa na Hekalu la Suleiman kujengwa upya

Msikiti wa AQSA kubomolewa na Hekalu la Suleiman kujengwa upya

Wazayuni unafiki,uchokozi na batili ndio unaowafanya waende wakasali hapo, sababu Mussa mfuasi wao wa TORATI hajawahi kusali hapo wanapodai ni hekalu la SOLOMON
Daaaaaah unaongea kitu usichokijua, Kwanza Musa hakuingia kanani. Pili uwezi kumtenganisha hekalu la Sulemani na Mungu. Maana Mungu ndie aliyempa kibali cha kujenga
 
Mungu alitoa building permit??? Hizi kamba hizi!
Sio tu permit hadi vipimo alitoa ndio maana wanataka kulijenga palepale kwenye msingi uleule

Sulemani Anajenga Hekalu​


KABLA Daudi hajafa, alimpa Sulemani ramani ya Mungu ya kujenga hekalu la Yehova. Katika mwaka wa nne wa kutawala kwake, Sulemani anaanza kujenga hekalu, linamalizwa baada ya miaka saba na nusu. Makumi ya maelfu ya wanaume wanajenga hekalu hilo. Na pesa nyingi sana zinatumiwa kulijenga kwa sababu dhahabu na fedha nyingi zinatumiwa ndani.

soma pia

1 Wafalme 5:1-18

5 Mfalme Hiramu wa Tiroa aliposikia kwamba Sulemani ametiwa mafuta kuwa mfalme baada ya baba yake, aliwatuma watumishi wake kwa Sulemani, kwa maana sikuzote Hiramu alikuwa rafiki ya Daudi.https://www.jw.org/sw/maktaba/biblia/nwt/vitabu/json/html/11005001-11005018#fn148440286b 2 Naye Sulemani akamtumia Hiramu ujumbe huu:c 3 “Unajua vizuri kwamba baba yangu Daudi hakuweza kujenga nyumba kwa ajili ya jina la Yehova Mungu wake kwa sababu ya watu waliopigana vita naye pande zote, mpaka Yehova alipowaweka maadui wake chini ya nyayo za miguu yake.d 4 Lakini sasa Yehova Mungu wangu amenipumzisha pande zote.eHakuna yeyote anayenipinga na hakuna jambo lolote baya linalotendeka.f 5 Kwa hiyo ninakusudia kujenga nyumba kwa ajili ya jina la Yehova Mungu wangu, kama Yehova alivyomwahidi baba yangu Daudi, akisema: ‘Mwana wako ambaye nitamweka kwenye kiti chako cha ufalme baada yako ndiye atakayejenga nyumba kwa ajili ya jina langu.’g 6 Sasa waamuru watu wako wanikatie mierezi ya Lebanoni.h Watumishi wangu watafanya kazi pamoja na watumishi wako, nami nitawalipa watumishi wako mishahara kulingana na kiwango utakachoweka, kwa maana unajua kwamba hakuna yeyote kati yetu anayejua kukata miti kama Wasidoni.”i7 Hiramu aliposikia maneno ya Sulemani, akashangilia sana na kusema: “Yehova na asifiwe leo, kwa maana amempa Daudi mwana mwenye hekima atawale taifa hili kubwa!”https://www.jw.org/sw/maktaba/biblia/nwt/vitabu/json/html/11005001-11005018#fn148440487https://www.jw.org/sw/maktaba/biblia/nwt/vitabu/json/html/11005001-11005018#fn148440487j 8 Basi Hiramu akampelekea Sulemani ujumbe huu: “Nimepokea ujumbe ulionitumia. Nitatimiza mambo yote unayotaka ili upate mbao za mierezi na za miberoshi.k 9 Watumishi wangu watateremsha magogo kutoka Lebanoni hadi baharini, nami nitayafunga magogo hayo mafungu-mafungu ili yaelee baharini mpaka mahali utakaponiambia. Nitaagiza yafunguliwe, kisha unaweza kuyabeba. Na wewe utanipa chakula nitakachoomba kwa ajili ya nyumba yangu.”l10 Basi Hiramu akampa Sulemani mbao zote za mierezi na za miberoshi ambazo Sulemani alihitaji. 11 Naye Sulemani akampa Hiramu kori 20,000https://www.jw.org/sw/maktaba/biblia/nwt/vitabu/json/html/11005001-11005018#fn148440578 za ngano kuwa chakula kwa ajili ya nyumba yake na kori 20 za mafuta bora sana ya zeituni.https://www.jw.org/sw/maktaba/biblia/nwt/vitabu/json/html/11005001-11005018#fn148440591https://www.jw.org/sw/maktaba/biblia/nwt/vitabu/json/html/11005001-11005018#fn148440591 Hivyo ndivyo vitu ambavyo Sulemani alimpa Hiramu mwaka baada ya mwaka.m12 Yehova akampa Sulemani hekima, kama Alivyokuwa amemwahidi.n Na kulikuwa na amani kati ya Hiramu na Sulemani, nao wakafanya mkatabahttps://www.jw.org/sw/maktaba/biblia/nwt/vitabu/json/html/11005001-11005018#fn148440626 kati yao.13 Mfalme Sulemani aliwaandikisha wanaume kutoka katika Israeli yote ili wafanye kazi ya kulazimishwa; wanaume 30,000 waliandikishwa.o 14 Alikuwa akiwapeleka wanaume 10,000 Lebanoni kila mwezi kwa zamu. Walikaa Lebanoni kwa mwezi mmoja na kukaa nyumbani kwa miezi miwili; na Adoniramup aliwasimamia wale walioandikishwa kufanya kazi ya kulazimishwa. 15 Sulemani alikuwa na vibaruahttps://www.jw.org/sw/maktaba/biblia/nwt/vitabu/json/html/11005001-11005018#fn148440743https://www.jw.org/sw/maktaba/biblia/nwt/vitabu/json/html/11005001-11005018#fn148440743 70,000 na watu 80,000 waliokata maweq milimani,r 16 na pia wakuu wasaidizis 3,300 waliowasimamia wafanyakazi. 17 Kwa agizo la mfalme, walichimbua mawe makubwa, mawe yenye thamani,t ili yachongweu na kutumiwa kujenga msingiv wa nyumba hiyo. 18 Kwa hiyo wajenzi wa Sulemani na wajenzi wa Hiramu na Wagebaliw walikata mawe, na kutayarisha mbao na mawe ya kujengea nyumba hiyo.


 
Saskuzunguka bwanamtu kaomba chakula unamuuliza una njaa Sana au kidogo?ili ujue unampimiaje chakula....anakataa kusema Tena anasema kabisa hataki hata Kula,,utampa chakula?

We unajuaje Kuna mwingine jF mwenye njaa kama yako?
Acha kuzunguka bwana toa jibu.
Japo nipo upande wako ila hapa unazingua.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Caanan ndio israel toka enzi za Ibrahim > Isaka> Yakobo (Israel )alipewa na Mungu

Una hoja nyingine
We Acha uongo Caanan sio Israel....
Caanan ni uzao wa HAM. na ndugu zake ni Misri.. CUSH/Ethiopia na Libya.
 
Mfano; Mji wa Jerusalem ulijengwa na Wayahudi eg. Daudi, Seleman na wengine kibao. Au unataka kusema walikuwa wapalestina? Soma hadi vitabu vitakatifu.
Kma ni mkristo soma Mwanzo 13 habari za Melchizedek mfalme wa Jerusalem..... It might be figurative lakini hoja ni kwamba hapo ilipo jerusalem kumewahi kuwepo utawala wa Canaanites!!

Kama hufahamu pia huyo suleiman mnayedai ndio alijenga Jerusalem, mama yake yaani Beersheba alikua ni mcanaan na sio myahudi/Judeah/Israelite.

So ni lazima mkiri walipora ardhi ya wenyeji
 
We Acha uongo Caanan sio Israel....
Caanan ni uzao wa HAM. na ndugu zake ni Misri.. CUSH/Ethiopia na Libya.
umepotea, ardhi ya Kaanani ni present day Israel, Wayahudi walikuwa wanatoka Misri kwenda Kaanan (pale ambapo leo unaita Israel). kama hujui nyamaza.
 
Kma ni mkristo soma Mwanzo 13 habari za Melchizedek mfalme wa Jerusalem..... It might be figurative lakini hoja ni kwamba hapo ilipo jerusalem kumewahi kuwepo utawala wa Canaanites!!

Kama hufahamu pia huyo suleiman mnayedai ndio alijenga Jerusalem, mama yake yaani Beersheba alikua ni mcanaan na sio myahudi/Judeah/Israelite.

So ni lazima mkiri walipora ardhi ya wenyeji
Mkuu soma mstari wa 12 sura hiyo hiyo ya Mwazo 13

Nakukumbusha tu Abraham/Ibrahim>Isaka>Yakobo(Israel )
 
Kma ni mkristo soma Mwanzo 13 habari za Melchizedek mfalme wa Jerusalem..... It might be figurative lakini hoja ni kwamba hapo ilipo jerusalem kumewahi kuwepo utawala wa Canaanites!!

Kama hufahamu pia huyo suleiman mnayedai ndio alijenga Jerusalem, mama yake yaani Beersheba alikua ni mcanaan na sio myahudi/Judeah/Israelite.

So ni lazima mkiri walipora ardhi ya wenyeji
hoja kubwa ni kwamba, vyovyote vile itakavyokuwa, ardhi ile awali ilikuwa inakaliwa na wafilist ambao kizazi chao kingi kimepotea hasa baada ya kuoleana na waarabu. ila eneo ambalo hadi leo halijaguswa ni GAZA. wafilist ndio wapalestina actually. lakini Mungu aliyeumba mbingu na nchi, aliyekuumba hata wewe na aliyeumba hilo eneo linalogombaniwa, aliwapa urithi wa milele kizazi cha Ibrahim kupitia mtoto wake Isaka, ambaye ni baba ya Yakobo (Yakobo alikuja kubadilishwa jina na kuitwa Israel). ndio maana lile eneo Waisrael hadi leo wanasema la kwao kwasababu Muumba mbingu na nchi aliwapa wao watawale na liwe mali yao. hakuna kabila nyingine ya watu duniani iliyopewa urithi wa aina hii, na lazima uheshimu hilo kama unamheshimu Mungu. upende usipende ndio imeshakuwa na itakuwa hivyo milele haitabadilika.
 
Mkuu soma mstari wa 12 sura hiyo hiyo ya Mwazo 13

Nakukumbusha tu Abraham/Ibrahim>Isaka>Yakobo(Israel )
Abaraham ni baba wa mataifa mengi.... Ni makosa sana kujimilikisha Canaan ni ya Waisrael kisa tu aliishi Abraham. Abaraham alikua na uzao mkubwa sana hapo middle east sasa kivipi tena Yakobo pekee ndio adai umiliki??? Vipi kizazi cha Ishmael au Esau na wenyewe hawana haki ya Canaan??

Anyway Abraham alitokea Ur iloyopo Sumeria ya kale/Mesopotamia. So still hakuwa mtu wa kwanza kukanyaga hapo Canaan na ndio maana hapo Jerusalem tayari kulikua na mfalme Melchizedek aliyemlaki baada ya vita ya Abraham na Neodechlaomer
 
hoja kubwa ni kwamba, vyovyote vile itakavyokuwa, ardhi ile awali ilikuwa inakaliwa na wafilist ambao kizazi chao kingi kimepotea hasa baada ya kuoleana na waarabu. ila eneo ambalo hadi leo halijaguswa ni GAZA. wafilist ndio wapalestina actually. lakini Mungu aliyeumba mbingu na nchi, aliyekuumba hata wewe na aliyeumba hilo eneo linalogombaniwa, aliwapa urithi wa milele kizazi cha Ibrahim kupitia mtoto wake Isaka, ambaye ni baba ya Yakobo (Yakobo alikuja kubadilishwa jina na kuitwa Israel). ndio maana lile eneo Waisrael hadi leo wanasema la kwao kwasababu Muumba mbingu na nchi aliwapa wao watawale na liwe mali yao. hakuna kabila nyingine ya watu duniani iliyopewa urithi wa aina hii, na lazima uheshimu hilo kama unamheshimu Mungu. upende usipende ndio imeshakuwa na itakuwa hivyo milele haitabadilika.
Tuweke rekodi sawa,

Wapalestina sio wafilisti ni two distinct groups of people.

Ardhi waliopewa na Mungu inaanzia Iraq mpaka Canaan Mpaka Misri je umewahi kuona wayahudi wanawaambia Misri au Wasyria wapishe nchi nzima ili warithi nchi ya ahadi?? Kwanini wameng'ang'ania ahadi ya 20% tu ya nchi nzima ya ahadi yaani palestina? Kwanini hawaendi hadi mto nile na Euphrates?? Huoni mnadanganywa hapo??

Dunia nzima alipewa Adam aitawale meaning kila mtu anapoishi alipewa na Mungu. Hata wewe kuzaliwa Tanzania badala ya Somalia ni mpango wa Mungu sio binadamu, sasa unaposema Israel pekee ndio walipewa nchi ya kuishi tukuelewaje?
 
Abaraham ni baba wa mataifa mengi.... Ni makosa sana kujimilikisha Canaan ni ya Waisrael kisa tu aliishi Abraham. Abaraham alikua na uzao mkubwa sana hapo middle east sasa kivipi tena Yakobo pekee ndio adai umiliki??? Vipi kizazi cha Ishmael au Esau na wenyewe hawana haki ya Canaan??

Anyway Abraham alitokea Ur iloyopo Sumeria ya kale/Mesopotamia. So still hakuwa mtu wa kwanza kukanyaga hapo Canaan na ndio maana hapo Jerusalem tayari kulikua na mfalme Melchizedek aliyemlaki baada ya vita ya Abraham na Neodechlaomer
soma Biblia we mwenye kichwa kizito. Biblia ndio inasema hivyo, Ibrahim alikuwa na watoto wawili tu, Ishmael mtoto wa kambo aliyezaa na Mmisri, na Isaka mtoto wa ndoa aliyezaa na Sara. awali alitaka kumpa urithi na mbaraka Ishmael kwasababu ni mtoto wa kwanza, lakini Mungu akasema "hapana" utazaa mtoto, yaani Isaka huyo ndiye atamiliki. Ishmael alifukuzwa nyumbani kwa Ibrahim akiwa na mamake Hajir, wakaenda huko jangwa la arabuni na wakawazaa waarabu. baraka pekee aliyopewa ni uzao mkubwa na ndio maana waarabu ni wengi mno.

huku nyuma kwenye ndoa Mungu aliendeleza uzao wa Isaka akazaa mapacha, Esau na Yakobo, Esau ni baba wa wazungu wakati Yakobo ni baba wa Wayahudi/waisrael, tunasema ni baba wa waisrael kwasababu Yakobo alibadilisha jina akaitwa Israel na alikuwa na watoto wa kiume 12 waliokuja kuleta koo 12 za Waisrael hadi leo hii na ndio makabila yao.

Yakobo alizaa mtoto aitwaye Yusufu aliyeuzwa utumwani misri, kule alikuwa waziri mkuu hukohuko utumwani na Yakobo na familia yake wanaondoka Caanan ambako walikuwa wanaishi wakaenda misri, kule walizaliana mno wamisri wakaogopa watapinduliwa wakaamua kuwabadilisha wawe watumwa. wakatesa miaka 400. Musa akazaliwa miongoni mwao.

Musa aliagizwa na Mungu awachukue waisrael wote awarudishe kwenye nchi yao ya ahadi, Kaanani, nchi ambayo Mungu alikuwa amempa babu yao Ibrahim na akaahidi kuwa kizazi chake kupitia Isaka ndicho kitakachorithi pale, ndio wakaanza safari ya jangwani kwa miaka 40 hadi Joshua alipowafikisha kaanani.

pale kaanani baada ya kuondoka miaka 400 iliyopita walikuta kuna wafilist wamevamia (wapalestina wamevamia), Mungu akawaelekeza wawaue wote, lakini waisrael hawakuwaua, Mungu akawaambia hao watakuwa mwiba kwenu maisha yenu yote, na ndio maana hadi leo hii wafilisti/wapalestina ni mwiba kwa waisrael.

ukiangalia falme zote zilizopita kabla ya Daudi, walikuwa wanapigana na hawa watu. tuanzie kwa sauli tu, then Daudi, then nabii Samson na baadaye suleiman. walikuwa wanapigana na WAfilisti mara kwa mara na ulikuwa kama mchezo wa simba na yanga, mtu akipata nguvu tu anatangaza vita wanapigana atakayepigwa basi, siku nyingine tena hivyohivyo. na vita hiyo haitakuja iishe hadi Yesu atakaporudi.

Ibrahim alipewa eneo sio hilo tu, bali hadi maeneo ya karibia na Syria, jordan yote, lebanon yote ni mali ya israel Kibiblia, na kuna siku yatakuja kutwaliwa yote kama ilivyotwaliwa golan. Jordan inaogopa sana israel kwasababu wameshasoma mistari ya kwenye Biblia/Torah, na wanajua wakikinukisha israel inaweza kuwashambulia ikapora maeneo kama ilivyofanya kwa Golan heights kwasababu wayahudi wanaamini ni yao, na ni imani sahihi. hiyo ni chai tu, ufafanuzi zaidi siku nyingine.
 
Tuweke rekodi sawa,

Wapalestina sio wafilisti ni two distinct groups of people.

Ardhi waliopewa na Mungu inaanzia Iraq mpaka Canaan Mpaka Misri je umewahi kuona wayahudi wanawaambia Misri au Wasyria wapishe nchi nzima ili warithi nchi ya ahadi?? Kwanini wameng'ang'ania ahadi ya 20% tu ya nchi nzima ya ahadi yaani palestina? Kwanini hawaendi hadi mto nile na Euphrates?? Huoni mnadanganywa hapo??

Dunia nzima alipewa Adam aitawale meaning kila mtu anapoishi alipewa na Mungu. Hata wewe kuzaliwa Tanzania badala ya Somalia ni mpango wa Mungu sio binadamu, sasa unaposema Israel pekee ndio walipewa nchi ya kuishi tukuelewaje?
Wayahudi ni wachache na kwenye vichwa vyao wanaamini kuna siku watakuja kuyachukua maeneo yote hayo hadi mfereji wa suez. kipindi kile cha vita ya Yom kipur maeneo mengi sana ya Wamisri yaliporwa hadi mfereji wa suez, lakini kwa shinikizo la marekani na uingereza na jumuiya ya kimataifa waliyaachia, ila wayahudi ndio walishaamua kuanza kuyamiliki.

the same applies to Golan heights, na jordan anaogopa sana iyo kitu kwasababu anajua wanachokiamini hawa jamaa. kwa kifupi, subiri population yao iongezeke halafu utaona kama eastern jerusalem na maeneo ya wapalestina kama yatakuwa mali ya wapalestina, yatabebwa yote na kua mali ya wayahudi na raia wale wa kiarabu watakuwa raia wa Israel, ndicho kinachokuja kutokea. upande wa suez canal, jordan etc, kuna vita itakuja kubwa sana baadaye kuhusu maeneo hayo. subiri tu.
 
Back
Top Bottom