Najua Misri walipigwa tena sana ila naizungumzia Misri ya sasa siyo ya 1970s.Umesoma histiria ya OCTOBER WAR?
soma kwanza ndio ujue Misri ilifanywa nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Najua Misri walipigwa tena sana ila naizungumzia Misri ya sasa siyo ya 1970s.Umesoma histiria ya OCTOBER WAR?
soma kwanza ndio ujue Misri ilifanywa nini
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] give me updates ya Hezbollah vs Israel this weekIsrael kila mara mpakani wanajeshi wake wanalipuliwa na Hizbollah ambao inafahamika ni Iranian proxy je Israel anafanyaga nini???
Imebadilika nini ambacha Israel hajabadilika?Najua Misri walipigwa tena sana ila naizungumzia Misri ya sasa siyo ya 1970s.
Ccm wanaipenda sana TanzaniaWametubana Mno CCM Mpaka Tumejaa Hasira
Ama kweli religion is an opium of the poorThubutu yao! nyie wadhalim Wazayuni, wazayuni,wazayuni nawaita mara 3, siku mkithubutu kuvunja msikiti mtakatifu wa AL-AQSA, mjuwe kuwa ndio siku litakalofutika taifa lenu batili la ISRAEL na nyie na vibaraka wenu mtapuputika mithili ya majani ya kipupwe!
Mtajua hamjuiWazayuni unafiki,uchokozi na batili ndio unaowafanya waende wakasali hapo, sababu Mussa mfuasi wao wa TORATI hajawahi kusali hapo wanapodai ni hekalu la SOLOMON
Hakuna mkuu mwarabu hamwezi Israel ila pia sio mwepesi mara hii.Imebadilika nini ambacha Israel hajabadilika?
Saivi tishio ni Iran sio Egypt, and she will be neutrolized soonHakuna mkuu mwarabu hamwezi Israel ila pia sio mwepesi mara hii.
Shekh una uhakika? Neno lazima litimieThubutu yao! nyie wadhalim Wazayuni, wazayuni,wazayuni nawaita mara 3, siku mkithubutu kuvunja msikiti mtakatifu wa AL-AQSA, mjuwe kuwa ndio siku litakalofutika taifa lenu batili la ISRAEL na nyie na vibaraka wenu mtapuputika mithili ya majani ya kipupwe!
Huyo sheihk ubwabwa au ndio wale masheihk wanaoeneza Ugaidi kule Msumbiji ?Shekh una uhakika? Neno lazima litimie
Kufuga majini nayo itangazwe kuwa nguzo ya dini.Af wewe dogo!!! Dogo!! Kumuita Mtume wetu Mohamad kwa kifupi ivo ni kufulu ujue??.....
utapigwa jini kisogo ukose tiba... Sijui utamlilia nani???bisha na hili tuingie kazini... Nyau kabisa.
mnapenda kujaribu jaribu tu!!!
Hakuweza kumshauri aache kuoa watoto?Aliwaagiza wanafunzi wake mwenende ktk muktadha kadha wa kadha ikiwemo uislam.
Kwani wkt anazaliwa na kufa aliuacha....
Ua-Rc..
Lutheran..
U-Tag...
SDA.
Momon nk?,
Mbona unajichanganya?
Uislam!! alimtokea Mohamad S.A W. Na kutoa maagizo watu wote waifuate..
Huwezi abudu wazungu eti unasema kirahisi tu "haijalishi"....mbinguni huendi kwa jibu rahisi hivi?
Kwa majibu haya rahisi ndo maana Biblia yako imekuonya sana tu. unaangamia kwa kukosa maarifa!!!
Hata Ccm Kuna MajiziCcm wanaipenda sana Tanzania
Huyu ni wale wanatembea na NDIZI mfukoni wakienda MAULIDIHuyo sheihk ubwabwa au ndio wale masheihk wanaoeneza Ugaidi kule Msumbiji ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kufuga majini nayo itangazwe kuwa nguzo ya dini.
Kufuga majini nayo itangazwe kuwa nguzo ya dini.
Mkuu jiheshimuni na mshike adabu zenu watu wote wamejadili huu mjadala lakini hawakuingiza masuala ya dini.Kufuga majini nayo itangazwe kuwa nguzo ya dini.
Acha mihemko, mbona sijataja dini yoyote hapo?Mkuu jiheshimuni na mshike adabu zenu watu wote wamejadili huu mjadala lakini hawakuingiza masuala ya dini.
Kama unajielewa Fanya km wenzako walivyofanya acheni upumbavu kuleta udini .
kuna ushahidi wa kiachiolojia, wamekuta hadi kuta na tofali mzee. nyamaza tu kama hujui vitu.Hakuna ushahidi wa ki archeology unaoonesha km kulikua na hekalu hapo.
Bali kila siku misikiti midogo inavumbuliwa ukiachana na al aqsa .
Al aqsa ilikuwepo na itakuwepo.
Habari za kusema kuna hekalu ni pauka pakawa