Msikiti wa AQSA kubomolewa na Hekalu la Suleiman kujengwa upya

Msikiti wa AQSA kubomolewa na Hekalu la Suleiman kujengwa upya

Huu uzi nadhani sisi wachumia tumbo wa miamala hautuhusu kabisaaa, tuhangaike na maisha yetu magumu ndugu zangu
 
Ulete hapa huo ushahidi maana israel settlers wameulizwa wakashindwa kujibu km unafuatiliaga kipindi cha 101 east aljazeera.
Hizo kuta na tofali zilete hapa tuzione.
Yaani we ilitaka aljazeera a-verify uwepo wa Hekalu, mbona vichekesho.

Halafu the FACT kwamba msikiti umesimama juu ya msingi wa hekalu unapataje Archaeological facts wakianza excavation mtalalamika ila since inajulikana Hekalu lilikuwepo hapo top mount way back kabla ya msikiti watabomoa na hakuna kitu mtafanya
 
Yaani we ilitaka aljazeera a-verify uwepo wa Hekalu, mbona vichekesho.

Halafu the FACT kwamba msikiti umesimama juu ya msingi wa hekalu unapataje Archaeological facts wakianza excavation mtalalamika ila since inajulikana Hekalu lilikuwepo hapo top mount way back kabla ya msikiti watabomoa na hakuna kitu mtafanya
mkuu hizo ndoto endeleeni kuwa na matumaini ila huo msikiti ukivunjwa vita ya tatu ya dunia inatokea.
 
mkuu hizo ndoto endeleeni kuwa na matumaini ila huo msikiti ukivunjwa vita ya tatu ya dunia inatokea.
Ya dunia kitu gani kama wa Mil2.1 waliwakalisha mamia ya mamilioni ya waaraba tena kwa aibu ya siku sita tu 🙂 🙂 🙂
 
Ya dunia kitu gani kama wa Mil2.1 waliwakalisha mamia ya mamilioni ya waaraba tena kwa aibu ya siku sita tu 🙂 🙂 🙂
😊😊😊😂😂😂😂😂😂 acha utani kaka asa six days war ilikua vita au uvamizi tu wa israel?
vp kuhusu 2006 kiliwapata nini wayahudi fake?
NAKUSISITIZA KAKA MSIKITI ULE SIO SAWASAWA NA MSIKITI WA MWEMBE CHAI.
ULE NI KAABA NDOGO BAADA YA MAKKAH.
UKIVUNJWA WAISLAM WOTEEE WATAINUKA NDUGU.
 
[emoji4][emoji4][emoji4][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acha utani kaka asa six days war ilikua vita au uvamizi tu wa israel?
vp kuhusu 2006 kiliwapata nini wayahudi fake?
NAKUSISITIZA KAKA MSIKITI ULE SIO SAWASAWA NA MSIKITI WA MWEMBE CHAI.
ULE NI KAABA NDOGO BAADA YA MAKKAH.
UKIVUNJWA WAISLAM WOTEEE WATAINUKA NDUGU.
Hii mada imejadiliwa sana itafute huko juu nimeonesha nani alipoteza vita hii haina tofauti na "October war" Misri alivyogaragazwa tena
 
Hii mada imejadiliwa sana itafute huko juu nimeonesha nani alipoteza vita hii haina tofauti na "October war" Misri alivyogaragazwa tena
akati inajadiliwa na mm nilikuwepo.
na kuna video ililetwa Benjamin netanyahu akikiri kuzidiwa ground battle na hezbollah.
Asa km Netanyahu alikiri we ni nan kaka ubishe?
 
akati inajadiliwa na mm nilikuwepo.
na kuna video ililetwa Benjamin netanyahu akikiri kuzidiwa ground battle na hezbollah.
Asa km Netanyahu alikiri we ni nan kaka ubishe?
What about death tolls kati yao?
 
What about death tolls kati yao?
kwa wanajeshi Hizbollah walikufa 25 zaidi ila wengi waliouliwa civilians kwa upande wa lebanon.
Na vita haipinwi kwa death toll peke ake.
Mfano Mimi nina majeshi yangu tupo km 500 nyie mpo 300 tukavamia kwenu tukateka eneo lenu nyie mka retaliate mkapigana na sisi tukawaua sana kiasi mkabaki mia ila sisi tukashindwa kuulinda mji tuliowapokonya na tukaondoa majeshi wenyewe kwa kukimbia .
Nani anahesabika kashinda hiyo battle??
 
kwa wanajeshi Hizbollah walikufa 25 zaidi ila wengi waliouliwa civilians kwa upande wa lebanon.
Na vita haipinwi kwa death toll peke ake.
Mfano Mimi nina majeshi yangu tupo km 500 nyie mpo 300 tukavamia kwenu tukateka eneo lenu nyie mka retaliate mkapigana na sisi tukawaua sana kiasi mkabaki mia ila sisi tukashindwa kuulinda mji tuliowapokonya na tukaondoa majeshi wenyewe kwa kukimbia .
Nani anahesabika kashinda hiyo battle??
Acha uongo mkuu[emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313]

Israeli jets dropped some 7,000 bombs and missiles in southern Lebanon.
  • Hezbollah fired more than 4,000 rockets at northern Israel.
  • Some 1,200 Lebanese, most of them civilians, and at least 159 Israelis, about 40 of them civilians, were killed.
  • Another 4,400 Lebanese and 1,500 Israelis were treated in hospitals for physical injuries.
  • The damage to Lebanon's infrastructure is estimated at at least 3.5 billion US dollars, including 2 billion to buildings and another 1.5 billion dollars to bridges, roads and power plants.
  • The damage caused by the Hezbollah rocket hits in Israel was put at some 1.3 billion US dollars. - An estimated 1 million people were displaced in Lebanon, and another 300,000-500,000 in Israel.
  • Some 1 million unexploded shells left over from cluster bombs used by Israel continue to endanger southern Lebanon. Since the end of the war, these duds have killed at least 24 Lebanese and wounded 183 others, according to human rights groups. dpa ok ds
 
Acha uongo mkuu[emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313]

Israeli jets dropped some 7,000 bombs and missiles in southern Lebanon.
  • Hezbollah fired more than 4,000 rockets at northern Israel.
  • Some 1,200 Lebanese, most of them civilians, and at least 159 Israelis, about 40 of them civilians, were killed.
  • Another 4,400 Lebanese and 1,500 Israelis were treated in hospitals for physical injuries.
  • The damage to Lebanon's infrastructure is estimated at at least 3.5 billion US dollars, including 2 billion to buildings and another 1.5 billion dollars to bridges, roads and power plants.
  • The damage caused by the Hezbollah rocket hits in Israel was put at some 1.3 billion US dollars. - An estimated 1 million people were displaced in Lebanon, and another 300,000-500,000 in Israel.
  • Some 1 million unexploded shells left over from cluster bombs used by Israel continue to endanger southern Lebanon. Since the end of the war, these duds have killed at least 24 Lebanese and wounded 183 others, according to human rights groups. dpa ok ds
Nimeongopa wapi?
Mie nimechukua diference ya wanamgambo wa Hezbollah waliofariki na wanajeshi wa IDF waliofariki.
Au arithmetic ndogo tu inakuchanganya kaka?
Basi sawa tuseme nimedanganya.
Vipi lile eneo la bint jubayl ambalo Israel aliliteka na kulikalia kwa mabavu je hizbollah alilirudisha hakulirudisha?
Pia jibu mfano niloutoa nani atakua kashinda?
Vita inaangaliwa mission is it accomplished or not.
Israel hawaku accomplish mission ila hizbollah waliaccomplish hvyo Israel kafeli.
mfano JWTZ itumwe kwenda kuikomboa Namanga kutoka mikononi mwa kenya hata kama watauliwa JWTZ wote na wakabaki watatu na hata kama Wajeda wa kenya wakafa hat kumi ila Namanga ikaachiwa kwa wakenya kukimbia hapo JWTZ atakua ameshinda maana amekamilisha jukumu.
 
Nimeongopa wapi?
Mie nimechukua diference ya wanamgambo wa Hezbollah waliofariki na wanajeshi wa IDF waliofariki.
Au arithmetic ndogo tu inakuchanganya kaka?
Basi sawa tuseme nimedanganya.
Vipi lile eneo la bint jubayl ambalo Israel aliliteka na kulikalia kwa mabavu je hizbollah alilirudisha hakulirudisha?
Pia jibu mfano niloutoa nani atakua kashinda?
Vita inaangaliwa mission is it accomplished or not.
Israel hawaku accomplish mission ila hizbollah waliaccomplish hvyo Israel kafeli.
mfano JWTZ itumwe kwenda kuikomboa Namanga kutoka mikononi mwa kenya hata kama watauliwa JWTZ wote na wakabaki watatu na hata kama Wajeda wa kenya wakafa hat kumi ila Namanga ikaachiwa kwa wakenya kukimbia hapo JWTZ atakua ameshinda maana amekamilisha jukumu.
Kwani lengo la vita ilikuwa.nini tuanzie hapo
 
Kwani lengo la vita ilikuwa.nini tuanzie hapo
Kama kwenye ule uzi ulopita tulivyojadili.
Lengo la vita ilikua kumuokoa Qasem na mateka wenzake walioshikiliwa na IDF pamoja na kuilinda Lebanon ikiwezekana kurudisha maeneo yaliyoporwa mathalan Bint jubayl.
 
Kama kwenye ule uzi ulopita tulivyojadili.
Lengo la vita ilikua kumuokoa Qasem na mateka wenzake walioshikiliwa na IDF pamoja na kuilinda Lebanon ikiwezekana kurudisha maeneo yaliyoporwa mathalan Bint jubayl.
Sasa hio.milima unaitoa wapi kwamba.eti waliirudisha?

Israel imerudisha.SINAI TU tena kwa.kukaa mezani sembuse Hezbollah

Soma hapa kuhusu 2006
Screenshot_20210818-124357_Chrome.jpg
View attachment 1896796
 
NAKUOMBA KALETE ARTICLE YA OPERATION BINT JUBAYL .
AMBAYO MAASKARI TAKRIBAN 70 WA IDF WALIUAWA NA WAKAUACHIA MJI WA BINT JUBAYL.
Mkuu we sio ndio unayo mi hata sijawahi.kuisikia labda unipe link
 
Sasa hio.milima unaitoa wapi kwamba.eti waliirudisha?

Israel imerudisha.SINAI TU tena kwa.kukaa mezani sembuse Hezbollah

Soma hapa kuhusu 2006View attachment 1896797View attachment 1896796
Ahlafau kaka hapa kuna makubaliano yalifanyika.
Unaijua lugha vzuri au inakupiga chenga?
Makubaliano ilikua ni Israel iachie ukanda wa kusini wa lebanon ndio vita isitishwe na hizbollah wapokonywe silaha.
kwingine endelea kusoma mwenyewe nakusihi kaka soma article kabla hujaipost
 
Back
Top Bottom