EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
- Thread starter
-
- #21
[emoji851][emoji851][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] acha unazi jibu swaliWazayuni unafiki,uchokozi na batili ndio unaowafanya waende wakasali hapo, sababu Mussa mfuasi wao wa TORATI hajawahi kusali hapo wanapodai ni hekalu la SOLOMON
Siku wazayuni wakivunja uo msikiti ndiyo siku itapotokea vita ya tatu ya dunia!Mkuu hii ni mikwara yenu tu. Wayahudi huo msikiti muda ukifika watauvunja na hamtawafanya lolote. Mtaandamana tu huko Lahore, Kidongo chekundu, Tehran, Jakarta, Kabul n.k. Pale Maka na Madina wala hawataandamana kupinga uvunjanji wa Msikiti wa Al Aqsa.
Ni suala la muda tu we kaa mkao wa kuandamana
Muite aje
Nimemuita tayari.Alivyo hopeless atakuja na msuli bila kuvaa bukta.ππππππMuite aje
We jamaa hakuna kitu watafanya watalialia watanyamaza kama kawaida yaoKitachafuka iyo siku
Wayahudi wao ni wafuasi wa Torati ya Mussa sio wafuasi wa Mfalme Suleyman na enzi za Suleyman zimepitwa na wakati ikiwa wakidai hapo lilikuepo hekalu la mfalme Suleyman.
Anasomaga mazingira anapoteaNimemuita tayari.Alivyo hopeless atakuja na msuli bila kuvaa bukta.[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1756][emoji1756][emoji1756]Jibu swali ninin kilitangulia acha hadithi
Mkuu potelea mbali ngoja uone Mungu akupe uhai tuSiku wazayuni wakivunja uo msikiti ndiyo siku itapotokea vita ya tatu ya dunia!
Simuiti huyo.Jina lenyewe la kuungaunga.πππππ
Nani huwa anakudanganya?Wenzio wanapokea vichapo kiiilaa siku huko.Weye umekaa unakula mihogo kivunde na changudoa tu!ππππππSiku wazayuni wakivunja uo msikiti ndiyo siku itapotokea vita ya tatu ya dunia!
Mkuu ole wake! Mzayuni kusubutu kufanya hivyo, akija kuthubutu ndio utakua wakati wa taifa dhaalim la ISRAEL kusambaratika uislam kutawala dunia na myahudi atakapo silimu na kusalimu amri!Mkuu hii ni mikwara yenu tu. Wayahudi huo msikiti muda ukifika watauvunja na hamtawafanya lolote. Mtaandamana tu huko Lahore, Kidongo chekundu, Tehran, Jakarta, Kabul n.k. Pale Maka na Madina wala hawataandamana kupinga uvunjanji wa Msikiti wa Al Aqsa.
Ni suala la muda tu we kaa mkao wa kuandamana
Hivi hayo mawazo huwa mnapewa na akina nani?Mnasononesha sana.πππππMkuu ole wake! Mzayuni kusubutu kufanya hivyo, akija kuthubutu ndio utakua wakati wa taifa dhaalim la ISRAEL kusambaratika uislam kutawala dunia na myahudi atakapo silimu na kusalimu amri!
Mkuu hilo ni FATWA(TAMKO TAKATIFU) la kuliangamiza taifa batili la Israel, hamna chaunazi nijibu suali gani tena?[emoji851][emoji851][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] acha unazi jibu swali
Mkuu amini!amini! amini! haya sio mawazo yetu, bali ni ufunuo kutoka kwa ALLAH kwenye QURAN tukufu kupitia mtume wake Muhammad(s a w)Hivi hayo mawazo huwa mnapewa na akina nani?Mnasononesha sana.[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Mkuu upo serious? Unadhani nchi ipi au waislam wa wapi wataongoza mapambano siku msikiti ukianza kuvunjwa?Mkuu ole wake! Mzayuni kusubutu kufanya hivyo, akija kuthubutu ndio utakua wakati wa taifa dhaalim la ISRAEL kusambaratika uislam kutawala dunia na myahudi atakapo silimu na kusalimu amri!
Hiyo vita itakuwa baina ya nani na nani?Siku wazayuni wakivunja uo msikiti ndiyo siku itapotokea vita ya tatu ya dunia!
Haa ha haha, sasa mkuu mambo ya TOZO yameingiaje tena kwenye UZI hu?Hao Wababe Wacha Wabomoe Tu Hawana Tozo Za Miamala
Mkuu tafautisha Msikiti wa AYODHYA uliovunjwa na makafiri wa kihindu na msikiti mtakatifu wa Al-Aqsa wapili kwa utakatifu kwa waislam. Al-Aqsa ukivunjwa wallahi Israel itachimbika!Mkuu upo serious? Unadhani nchi ipi au waislam wa wapi wataongoza mapambano siku msikiti ukianza kuvunjwa?
Unajua ule msikiti umevunjwa huko India likajengwa hekalu la Wahindu na hakuna Muislam aliyenyanyua mdomo? Itakuwa hivyo hivyo wazayuni watakapovunja msikiti wenu
Yaelekea unaijua vizuri historia ya haya mambo wewe na mleta UZI, hebu tufafanulieni, nini kilitangulia hapo? Msikiti wa Kiislamu au hekaru la Wayahudi? Tunahitaji ilimu hi tusioijua vizuri; ninacho kiona kwasasa mnabishana, tupeni elimu tafadhariWazayuni unafiki,uchokozi na batili ndio unaowafanya waende wakasali hapo, sababu Mussa mfuasi wao wa TORATI hajawahi kusali hapo wanapodai ni hekalu la SOLOMON