Uchaguzi 2020 Msimamizi wa Uchaguzi awanyima fomu CHADEMA Jimbo la Kibamba, adai fomu yao imeshachukuliwa

Sawa mkuu nimekupata ila hapo naona Chadema wakitulia vizuri pasipo paniki huyo DED atatoa fomu nyingine maana CHADEMA hakuna kosa lolote walilofanya ,DED ndio kafanya kosa kutoa form pasipo kuwa na umakini.

Exactly.
 
Hakuna form imetoka pale bali yule mama mwenye roho mbaya katengeneza kisingizio feki cha kuwakomoa chadema
Well! but me na wewe hatuna ushahidi wowote kwamba hiyo form imetolewa au imefichwa so it's better keep waiting.
 
Mkurugenziccm hakutoa form kwa yeyote yule mama shetani ni muongo sana, katengeneza kisingizio feki hakuna form imetoka pale kwake kaamua kujipendekeza kwa mtukufu kwa njia haramu
kwani fomu inakuwa Moja TU kwa kila chama??

Kama Ni kweli Basi Hawa ndo wanaomfanya MAGUFULI aonekane mbaya wakati kiuhalisia sio.

Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
 
Ukienda kuchukua fomu kwa msimamizi hawampigii simu Mbowe kumuuliza kama wanakutambua

Sasa kama Mwenyekiti wa Tawi ana mgombea wake na Katibu ana mgombea wake lazima pachimbike. Atakaewahi kwa msimamizi anatusua!

Vyama vichanga masikini ya Mungu.
 
mie namshangaa Ngosha, kama hawezi siasa za ushindani anashindwa nn kufuta mfumo wa vyama vingi nchini? Mamlaka yote anayo sasa anakwama wapi??.
Matatizo ya Saccos ya Chadema unayahamishia kwa Rais? Wewe hujitambui kabisa!!
 
Too low. Hivi unafikiri ni lazima awe ametoka CDM. Open your mind young lady.
Alright my young daughter! actually till this time me and you (my young daughter) we know nothing about that form whether its hidden, taken by Ccm or chadema person.

Open up your mind first your legs will follow 😉.
 
kwani fomu inakuwa Moja TU kwa kila chama??

Kama Ni kweli Basi Hawa ndo wanaomfanya MAGUFULI aonekane mbaya wakati kiuhalisia sio.

Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Kila chama kina mgombea mmoja tu hivyo hawawezi kupewa fomu zaidi ya mmoja! Kama Katibu wa Chadema alimtambulisha huyo mgombea basi imekula kwenu wanasaccos. Pia hiyo imetokea huko jimbo la Kilombero mpaka imebidi Saccos ya Chadema wamfukuze Katibu wao huko Kilombero. Sheria iko wazi kila Chama mgombea mmoja hivyo NEC itatoa Fomu moja tu kwa kila Mgombea wameambiwa wairudishe hiyo fomu ili wapewe nyingine.
 
Wapinzani ni vilaza sana, yani mother kawazidi hoja na akili... Yaani hata kama kuna ujanja chadema hawawezi kuukwepa hapo.

Yaani kama wanataka namba ya simu kwa msimamizi mbona hawakumuomba ya Boni
Maza kazingua... mbn hajataka kutoa barua ya chama kuthibitisha uyo mtu alochukua fom kapitishwa....

Ndo maana tunasema ss kuwachapa tu makofi ya kichwa kwa upuuzi km huu.
 
Maza kazingua... mbn hajataka kutoa barua ya chama kuthibitisha uyo mtu alochukua fom kapitishwa....

Ndo maana tunasema ss kuwachapa tu makofi ya kichwa kwa upuuzi km huu.
Amini usiamini hapa huyo mama siyo mjinga kuna Jambo hapo na sidhani me sidhani hata Kama ni ukandamizaji wa upinzani but it can't be like this! Chadema watakuwa wamezungukana wenyewe kwa wenyewe.
 
Amini usiamini hapa huyo mama siyo mjinga kuna Jambo hapo na sidhani me sidhani hata Kama ni ukandamizaji wa upinzani but it can't be like this! Chadema watakuwa wamezungukana wenyewe kwa wenyewe.
humjui huyu mama
 
Nadhani CHADEMA ndo wana matatizo katika uongozi wao hasa wa ngazi za chini. Kwa mfano, Meya wa Ubungo alivuliwa uanachama na katibu wa wilaya katika hali ya sintofahamu kama hii na suala lake mpaka leo halijawahi kushughulikiwa kisheria ili kubatilisha maamuzi yale. siyo ajabu akaja kuwekewa pingamizi huko mbeleni wakati wa uteuzi. Juzi anayejiita mgombea ubunge wa kilombero naye kavuliwa uanachama na katibu wa chama, baadae mwenyekiti wa kanda akaja kubatilisha yale maamuzi, mpaka sasa haijulikani aliyemvua uanachama na aliyebatilisha maamuzi yupi aliyetoa maamuzi ya halali. Sasa kwann hali hii ijitokeze kila mara? ina maana kuna ombwe la uongozi CHADEMA. Kwanni mamlaka zao zinachezewa hivi?

Ukiziangalia Barua za Chadema ukiacha zile za Makao Makuu hazina headed, mihuri inatofautiana kutoka tawi moja kwenda jingine kiasi cha kuweza kufojiwa na mtu yoyote. Kimsingi hatuwezi kumlaumu Mkurugenzi kwa hili, hata ningekua mimi nisingeweza kutoa fomu mbili za uteuzi kwa chama kimoja. Siyo sheria wala taratibu zinaruhusu jambo hilo. Wanaotakiwa kulinda mamlaka zao ni Chadema wenyewe kwa kuweka utaratibu unaoleweka ambao hauwezi kuruhusu mwanya kwa watu wenye nia ovu kufanya uhuni. Wakati mwingine unakuta ndani ya Chadema wamevurugana kwenye uteuzi, mtu anaamua kujiandikia barua anakwenda kuchukua fomu. Mkurugenzi hawezi kujua barua hii imetoka kwa mamlaka halali ama la, kwasababu hakuna kitu chochote kinachoweza kumthibitishaia hilo zaidi ya muhuri na saini.
 
Huyu mama si ndio alipokea barua kutoka kwa "katibu" wa CHADEMA feki ya kumfukuza mayor uanachama?

Sio ajabu, hizi figisu zitapigwa sana.

Tuwe makini na tunapoipeleka nchi, watu wakija kuchoka wataanza kudeal na hawa majambazi personal.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…