Msimamo wa chama cha ACT-Tanzania na katiba mpya

Sasa A-Ct wameshauri mwende kwenye Maridhiano lakini wewe uoni Kama ni jipya maana umekariri Kuwa maridhiano ni kukubaliwa Hoja zako kumbe hata kukubali hoja za wengine!

Nashangaa na Mchambuzi hajaliona hili.Kutokubaliana na CCM juu ya kuendeleza mchakato wa katiba bila kuridhiana na pande zingine zinazohusika, haimaanishi kuwa unakubaliana na msimamo wa UKAWA.

So far ACT imesimama vizuri, naiangalia kwa karibu.
 
Sijaelewa hapo anaposema anavilaumu vyama vinavyounda ukawa na ccm kwa kushindwa kufikia muafaka.nilitegemea kwamba angewapongeza ukawa kwa kushikilia msimamo wa kutetea maoni ya wananchi.

2. Pia sijamwelewa anaposema vyama vimeacha kujadili maoni yaliyopo mezani na kushikilia misimamo ya kujadili misimamo ya vyama vyao.nilitegemea akitaje chama cha CCM waziwazi kua hakitaki kujadili maoni yaliyopo mezani na kulazimisha yajadiliwe matakwa yao. Sijui kwa nini ameogopa kuilamu CCM waziwazi au ni sababu ya uswahiba uliopo baina ya ACT NA CCM.
 

Hayo ni mapendekezo ya CHADEMA kwenda kwenye tume ya katiba na akina Kitila Mkumbo walikua wajumbe wa kamati kuu na hili wanalijua isipokua hapo namba 4. Kitila Mkumbo na Mwigamba waje hapa wakanushe
 
Last edited by a moderator:

Hiyo ni project ya CCM wanaitekeleza mkuu. Hawawezi kuipongeza CHADEMA. Wanachotaka ni Chadema ikubaliane na masharti ya bunge la katiba kuifumua fumua na kubadili maoni ya wananchi kwenye rasimu. Hawa jamaa sijui wana malengo gani na wananchi
 

Kikao hiki mlikaa wapi kama si uzushi! Mwigamba wewe UTADHAA lini?
 
Kelele za chura tu hizi...
 
Hayo ni mapendekezo ya CHADEMA kwenda kwenye tume ya katiba na akina Kitila Mkumbo walikua wajumbe wa kamati kuu na hili wanalijua isipokua hapo namba 4. Kitila Mkumbo na Mwigamba waje hapa wakanushe

Kumbuka...mapendekezo haya sio ya katiba mpya...bali ni hatua ya dharura ya kuboresha katiba ya mwaka 1977 wakati mchakato wa katiba mpya ukisimama.

Kama Dr Slaa alivyosema (kwenye hiyo link) kuwa kwa CHADEMA ya dharura kwa sasa ni tume ya uchaguzi na mshindi wa urais kupata 52%...

Ndio maana nimekuuliza kama hiyo ya ACT ni copy na kupaste, je yapo wapi hayo mapendekezo mengine ya ACT ambayo kwa Chadema (kwenye ile link) sio ya dharura kwa sasa?? Kama hayapo basi hiyo haiwezi kuwa kucopy na kupaste.
 
Last edited by a moderator:

Msukule wa Zitto kazini. Suala la gesi alitoa pendekezo wakati tunaanzisha CHAUMA.
 
Tumia akili yako kujenga hoja sio ubishi usio na msingi.
 
Atleast Makene angekuwa anaandika vitu vya msingi na kwa mpangilio kama huu angeonekana yupo timamu.

Hongereni ACT.

Mmeonesha tofauti na wale wachaga.
 
ACT ni kile chama chenye watu ambao Prof. Mpalamagamba amewaita Wa.pu.mbavu.
 
Sikubaliani na uhuru wa kukatisha kabeti,ukiwa ubunge wako umedhaminiwa na chama cha siasa basi ubunge wako utakoma pale ambako chama hicho kitakuchanganya uanachama.Hii itasaidia sana kuleta discipline kwenye vyama na kuzuia kuzalisha watu kana zito

Hayo mapendeezo yako ya katiba kongwe ksasa tunataka mawazo mapya kaka. Munge huwa buneni awakishi cam bali uwa anawakilisha wananchi kwahiyo hiyo ridhaa ya kumsimamisha iwekwe kwa wananchi na sio chama.
 
Hayo ni mapendekezo ya CHADEMA kwenda kwenye tume ya katiba na akina Kitila Mkumbo walikua wajumbe wa kamati kuu na hili wanalijua isipokua hapo namba 4. Kitila Mkumbo na Mwigamba waje hapa wakanushe
Watu na akili zao timamu watakuja vip kuzungumza na kichaa mwenye ufukara wa akili na kipato kama wewe??

Eti waje hapa wakanushe...wakanushe nin na ili iweje.

We mchumia tumbo tu na muoshaji wa nepi za junior wa slaa na josephine umsumbue nani.

Pimbi kweli wewe.

Huna kazi tu hadi leo unaendelea kulipiwa pango hapo kinondoni.

Angalia sana vya rahisi hivyo unavyopenda penda.

Mwisho wake ni kutoa huduma.
 
Last edited by a moderator:

Huyo mrembo namba 8 ni mwendawazimu tu.

Hawez kushughulisha akili za watu attention seeker na mganga njaa tu.

Zitamuua njaa zake na sio kitu kingine.
 

Kwani kujiunga na ukawa ni lazima??

Wapi imeandikwa kwamba ili uonekane muadilifu ni lazima ujiunge na ukawa.

Watu hawawezi kusimamia haki hadi wajiunge na ukawa?
 
Last edited by a moderator:
Atleast makene angekuwa anaandika vitu vya msingi na kwa mpangilio kama huu angeonekana yupo timamu.

Hongereni ACT.

Mmeonesha tofauti na wale wachaga.

Haya ni mahaba yaliyopitiliza sasa lipi andishi linaloweza kufikia angalau asilimia 10 ya mabandiko ya Makene ktk uzi huu we jamaa..... basi tu

Makene anataaluma ya Uandishi na huyo Mwigamba anataaluma ya Ualimu hivi kwa taaluma zao tu ni nani unaweza kujua kwa haraka anahusika na upangaji wa au uandishi wa hivyo unavyoviita vitu vya msingi?

Halafu huo unaodai utofauti na Uchaga umetokea wapi ktk bandiko hili hivi Makene ni Mchaga kiasi aonyeshe utofauti na Mwigamba ambaye sijui ni Mnyakyusa/Msafwa? Sometimes uwe unaziweka akiri zako mahala sahihi si kila mara kuongea upumbavu umri ushaenda huo hutarudi tena kuwa mtoto ili urekebishe makosa uliyotenda ukiwa kijana

Grow up dude!!!!!!

BACK TANGANYIKA
 
Hiyo ni project ya CCM wanaitekeleza mkuu.Hawawezi kuipongeza CHADEMA.Wanachotaka ni Chadema ikubaliane na masharti ya bunge la katiba kuifumua fumua na kubadili maoni ya wananchi kwenye rasimu.Gawa jamaa sijui wana malengo gani na wananchi

Ben jifunze kuumeza ukweli unapokufikia asiwe kama maccm wanapopewa hoja zilizoenda shule hubaki kuzomea.
chadema kwa sasa mayumbayumb . mwazoni cuf mliwaita mai rukuki na kuwasma ni ccm B na mliahi kuwaita waliberaili lakin leo nimaswahiba wa nguvu.

ACT-Tanzania imetoa hoja za ukweli zimeze tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…