Msimamo wa chama cha ACT-Tanzania na katiba mpya

Msimamo wa chama cha ACT-Tanzania na katiba mpya

Alliance for Change and Transparency-Tanzania Maoni ya ACT-Tanzania kuhusu namna ya kutoka katika mkwamo uliopo katika mchakato wa Katiba Mpya.

1. Nchi yetu iliingia katika mchakato wa Katiba kwa kushirikisha wananchi wote ili kupata Katiba bora yenye kuakisi matakwa ya nchi kwa sasa na baadaye. Ili kupata Katiba bora na inayokubalika na wananchi wengi iwezekanavyo, ni lazima mchakato wa kutunga Katiba uwe wazi, shirikishi na wenye kuzaa mwafaka na maridhiano miongoni mwa makundi mbalimbali ya wananchi

2. Chama cha ACT-Tanzania kinaipongeza sana Tume ya Mabadiliko ya Katiba iliyofanya kazi yake kwa bidii, umakini na weledi mkubwa kwa kuwashirikisha wananchi kwa upana wake na kwa kuzingatia maoni ya wananchi na matakwa ya nchi ya sasa na baadaye katika kuandika Rasimu ya Katiba.

3. Chama cha ACT-Tanzania kilitarajia kwamba Bunge Maalumu la Katiba lingeiga na kuendeleza utamaduni wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba katika kuhakikisha kwamba mwafaka na maridhiano yanapewa nafasi katika kila hatua ya mjadala badala ya kuzingatia misimano ya vyama vya siasa na wingi wa wajumbe wanaounga mkono hoja fulani katika mijadala. Bahati mbaya Bunge Maalumu la Katiba limeshindwa kuzingatia utamaduni wa maridhiano uliojengwa na wajumbe wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba.

4. Chama cha ACT-Tanzania kimesikitishwa sana na viongozi wa vyama vya siasa wa CCM na vile vinavyounda kundi la UKAWA kwa kushindwa kwao kupata mwafaka na maridhiano kuhusu muundo wa muungano wa nchi yetu na hata kusababisha kuvurugika kwa mchakato wa Katiba. Ni aibu kwamba mchakato mzima wa Katiba katika Bunge Maalumu umetekwa na sera za vyama vya siasa kuhusu muundo wa serikali ya Muungano badala ya kutafakari na kujadaili Rasimu ya Katiba kwa upana wake na kwa maslahi ya nchi na wananchi kwa ujumla.

5. Chama cha ACT-Tanzania kinasikitika kwamba Bunge Maalumu la Katiba linaendelea na ratiba yake ilihali kundi kubwa la wajumbe likiwa nje ya mchakato. Bila kujali sababu za kundi la UKAWA kuwa nje ya Bunge Maalumu la Katiba, ACT- Tanzania haiamini kwamba mchakato huu utadhaa Katiba bora na yenye kukubalika kwa upana bila makundi yote muhimu kushiriki katika mchakato huu kwa ukamilifu wake mwanzo hadi mwisho. Ni maoni ya ACT-Tanzania kuwa tukiendelea na mchakato kama ulivyo sasa inawezekana tukapata katiba mpya yenye uhalali kisheria. Lakini itakuwa ni katiba isiyo na uhalali wa kisiasa wala kijamii, na kwa maana hiyo itakuwa haina tofauti ya maana na katiba ya sasa na hivyo kuifanya nchi kuingia kwenye hasara kubwa ya fedha za umma.

6. ACT-Tanzania haioni uwezekano wa kupatikana katiba mpya iliyo bora katika kipindi hiki, hasa kwa kuzingatia mkwamo uliomo baada ya wajumbe kujikita katika misimamo ya vyama vyao badala kujadili rasimu ya katiba mpya kwa uhuru, umakini na weledi.

7. Kutokana na mazingira ya mchakato wa Katiba tuliyoeleza hapo juu, ACT-Tanzania inapendekeza hatua zifuatazo zichukuliwe mapema iwezekanavyo ili kunusuru mchakato wa Katiba na kurudisha hali ya kuelewana katika jamii yetu:

a. Bunge Maalumu la Katiba lisimamishwe ili kuendelea kutoa fursa ya mazungumzo ya kutafuta mwafaka na maridhiano.

b. Mchakato wa kuandika katiba mpya uahirishwe hadi baada ya uchaguzi mkuu.

c. Katika kipindi hiki kuelekea uchaguzi mkuu, Bunge la Jamhuri ya Muungano lifanye marekebisho katika katiba ya sasa ili kutengeneza mazingira ya uchaguzi ulio huru na haki.

Tunapendekeza marekebisho ya katiba ya sasa katika maeneo kumi (10) yafuatayo:

i) Tume ya Uchaguzi iwe huru na ionekane kuwa huru,

ii) Kuruhusu mgombea binafsi na wabunge ‘kukatisha kapeti' bila kupoteza ubunge wao ili kudhibiti ubabe wa vyama vya siasa

iii) Kushusha umri wa mgombea urais ili kuwapa vijana haki na fursa ya kugombea katika nafasi hii muhimu, hasa ukizingatia kwamba karibu theluthi mbili (65%) ya wapiga kura wote Tanzania wapo chini wa umri wa miaka 40, na ukweli kwamba takwimu za Tume ya Marekebisho ya Katiba zinaonyesha kuwa wananchi walio wengi (53.7%) waliotoa maoni kuhusu umri wa mgombea urais walitaka umri huo ushushwe.

iv) Kuweka sharti kwamba ili mgombea atangazwe kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano lazima apate angalau asilimia 50 ya kura zilizo halali.

v) Kuweka msingi wa kikatiba kwamba wagombea Urais lazima wawe na angalau midahalo mitatu katika kipindi cha kampeni.

vi) Kuondoa suala la Mafuta na Gesi katika mambo ya Muungano ili kuruhusu Zanzibar kuendelea na utafutaji wa Mafuta na Gesi asilia kwa uhuru na bila kuingiliwa na Tanzania bara

vii) Kuruhusu Zanzibar kuwa na mahusiano na ushirikiano wa kimataifa (International Cooperation) kwa faida za maendeleo yake.

viii) Kuweka mipaka ya Mashtaka ya Kesi za Rushwa ili kuruhusu TAKUKURU kufanya uchunguzi na kuendesha kesi hususani kwa kesi ufisadi wa mali umma bila kupita kwa Mkurugenzi wa Mashtaka.

ix) Kuweka msingi wa kisheria wa Tangazo la Mali na Madeni ya Viongozi kuwa wazi kwa Umma na uthibitisho wa uhalali wa mali ambazo mtu anamiliki uwe upande wa mtuhumiwa (reverse of burden of proof).

x) Kuweka msingi wa Kikatiba wa Uhuru wa kupata habari kwa wananchi (Freedom to access information) na kupiga marufuku vyombo vya habari kufungiwa isipokuwa kwa amri ya mahakama.

8 Chama cha ACT-Tanzania kinatoa wito kwa wadau wote wa Katiba kuungana katika kushinikiza mchakato wa Katiba unaoendelea kusimamishwa na kuruhusu mabadiliko hayo machache ya Katiba ya sasa ili kupisha uchaguzi na kuhakikisha Taifa linapata muda wa kutosha wa kuandika Katiba bila shinikizo na katika hali ya utulivu.

8 ACT-Tanzania inawataka mahasimu katika mchakato wa Katiba kutoa fursa kwa majadiliano na kujenga mwafaka na maridhiano ya nchi katika maeneo hayo. Tunasisitiza kwamba tusichoke kuzungumza katika masuala ya nchi yetu kwani mbadala wa mazungumzo ni fujo na upotevu wa amani.

Asanteni kwa kunisikiliza
Ndugu Samson Mwigamba
Katibu Mkuu, ACT-Tanzania.

Hongera sana ACT-Tanzania hongera sana Mwigamba
 
Wachaga wa chadema ni vigeu geu sana.

Juzi tuh hapa walikuwa wanamtukana prof lipumba na kukiita cuf ni ccm b au mke wa ccm.

Leo from nowhere eti ni maswahiba wao.

Hakuna watakaemchezea akili woote ni waganga njaa tuh hawa.

Sion kipi wanachomwaga povu kwa ACT kama sio uoga na kuanguka kisiasa.

Mbona wapinzani wenzao kama cuf na nccr hawana ugomvi na act?wala adc??

Hawa wachaga nin kinawasumbua.
 
Watu na akili zao timamu watakuja vip kuzungumza na kichaa mwenye ufukara wa akili na kipato kama wewe??

Eti waje hapa wakanushe...wakanushe nin na ili iweje.

We mchumia tumbo tu na muoshaji wa nepi za junior wa slaa na josephine umsumbue nani.

Pimbi kweli wewe.

Huna kazi tu hadi leo unaendelea kulipiwa pango hapo kinondoni.

Angalia sana vya rahis hivyo unavyopenda penda.

Mwisho wake ni kutoa huduma.

Oky huyo unayedai kuwa anafua nepi za junior tunamfaham na kazi anayofanya tunaifaham hiyo ya kufua nepi unatuambia wewe hapa......

Sasa we si unajifanya kidume mwenyekazi nzuri ya kuuza dhahabu maybe, njoo na jina lako halisi kama anavyofanya mwenzio Ben hapo ili nawe tukujue ni nani na unafanya kazi gani?

Maana akija mtu hapa kutuambia wewe ni shoga na unafanya kazi ya kuosha mabatock ya Nape hatutabisha maana hatujui unakokaa wala kazi unayofanya njoo kwa ID halisi ya jina lako kama afanyavyo Ben Saanane ili tutoe ubishi wewe na yeye ni nani mwenye kazi nzuri

BACK TANGANYIKA
 
Last edited by a moderator:
Maoni ya ACT yanatofauti gani na Maoni yaliyotolewa na CHADEMA?Yaani mna-copy na Ku-paste maoni ya CHADEMA?
Tena asilimia kubwa ya maoni hayo ni kwa tume ya katiba.Hilo la kuahirisha Bunge pia ni maoni ya CHADEMA na hata marekebisho ya katiba kuruhusu uundwaji wa tume huru ya uchaguzi na taasisi nyingine za kidemokrasia ni maoni ya CHADEMA

Huu ujanja ujanja wa kudandia hoja ndio uliowapeleka JB Hotel kuitisha Press?

Wivu wa kijinga huu.
 
Msukule wa Zitto kazini. Suala la gesi alitoa pendekezo wakati tunaanzisha CHAUMA.

Ndio tatizo la kuwa "msukule" wa watu na ndio maana kila mtu unamhisi ni msukule kama ulivyo wewe.

Hiyo hoja ya umri..ukiisoma hoja hiyo hapo juu(kama kweli umeisoma)...kwa mujibu wa tume...wananchi asilimia 53% walitaka umri wa mgombea urais ushushwe.

Sasa kama kweli tunataka matakwa ya wananchi yaheshimiwe, then tusiishie kwenye serikali tatu tu, maoni hayo ya wananchi ni pamoja na umri wa mgombea urais ushushwe.

Sasa tusiwalaumu CCM alafu nasi tukafanya yaleyale wanayoyafanya wao, kutojali maoni ya wananchi bali kuchagua la kulikubali na kulikataa.
 
Ukisoma hoja hiyo hapo juu....kwa mujibu wa tume...wananchi asilimia 53% walitaka umri wa mgombea urais ushushwe.

Sasa kama kweli tunataka matakwa ya wananchi yaheshimiwe, then tusiishie kwenye serikali tatu tu, maoni hayo ya wananchi ni pamoja na umri wa mgombea urais ushushwe.

Tusiwalaumu CCM alafu nasi tukafanya yaleyale wanayoyafanya wao, kutojali maoni ya wananchi bali kuchagua la kulikubali na kulikataa.

Thats why me nakuambia hawa wehu ni waganga njaa tu.

Wanaangalia wapi kwenye maslahi kisha wanashika mabango.

I am tellling you.

Miongoni mwao hawa hakuna hata mmoja mwenye uchungu na wananchi.

Hizo zoote kelele ni kwa ajili ya vita vya madaraka tu na si vinginevyo.

Wanafiki tu hawa.
 
Another noise from the same non sense, Alliance for Cowards and Traitors
 
Watu na akili zao timamu watakuja vip kuzungumza na kichaa mwenye ufukara wa akili na kipato kama wewe??

Eti waje hapa wakanushe...wakanushe nin na ili iweje.

We mchumia tumbo tu na muoshaji wa nepi za junior wa slaa na josephine umsumbue nani.

Pimbi kweli wewe.

Huna kazi tu hadi leo unaendelea kulipiwa pango hapo kinondoni.

Angalia sana vya rahis hivyo unavyopenda penda.

Mwisho wake ni kutoa huduma.

Naona umepanic. Pole sana. Tatizo ulilonalo limeshakuwa sugu.
 
Maoni ya ACT yanatofauti gani na Maoni yaliyotolewa na CHADEMA?Yaani mna-copy na Ku-paste maoni ya CHADEMA?
Tena asilimia kubwa ya maoni hayo ni kwa tume ya katiba.Hilo la kuahirisha Bunge pia ni maoni ya CHADEMA na hata marekebisho ya katiba kuruhusu uundwaji wa tume huru ya uchaguzi na taasisi nyingine za kidemokrasia ni maoni ya CHADEMA

Huu ujanja ujanja wa kudandia hoja ndio uliowapeleka JB Hotel kuitisha Press?

i) Tuwekee statement ya CHADEMA tulinganisha kama maoni yanafanana.

ii) Dhana inaweza kufanana lakini details zikawa tofauti kabisa. Kwa mfano ACT-Tanzania tunaunga mkono muundo wa serikali tatu lakini wenye sura tofauti na ule ambao CHADEMA wanataka. Sisi tunataka muundo wa serikali tatu utakaozaa muungano imara, na serikali za Tanganyika na Zanzibar zenye jukumu la utendaji. CHADEMA wanataka serikali tatu ambazo zitazaa Tanganyika na Zanzibar huru zitakazoacha muungano legelege na hatimaye kufa. Kwa hiyo utaona hapa kwamba CHADEMA wanataka serikali tatu kama njia ya kufikia lengo fulani wakati sisi tunataka serikali tatu kama lengo kamili.

iii) Ndiyo tunafanana katika marekebisho ya Katiba, lakini details zinatofautiana sana. Sisi tunataka marekebisho katika vipengele kumi (10) nyie mnataka marekebisho katika vipengele vinne tu na kuna vipengele mnavipinga kabisa. Kwa mfano CHADEMA hamtaki umri wa kugombea urais ushushwe ili kuwapa wapiga kura vijana ambao ni asilimia 65 ya wapiga kura wote haki na fursa ya kugombea, wakati ACT-Tanzania tunataka umri wa kugombea urais ushushwe ili kuakisi jamii tuliyo nayo na ukweli kwamba wananchi walio wengi (53.7%) waliotoa maoni kwenye Tume walitaka umri wa urais ushushwe.

Kwa hiyo kwamba ACT-Tanzania imedandia hoja ya CHADEMA sio kweli hata kidogo. Tuna hoja za msingi ambazo CHADEMA wala hawawezi kuzigusa.
 
Wachaga wa chadema ni vigeu geu sana.

Juzi tuh hapa walikuwa wanamtukana prof lipumba na kukiita cuf ni ccm b au mke wa ccm.

Leo from nowhere eti ni maswahiba wao.

Hakuna watakaemchezea akili woote ni waganga njaa tuh hawa.

Sion kipi wanachomwaga povu kwa ACT kama sio uoga na kuanguka kisiasa.

Mbona wapinzani wenzao kama cuf na nccr hawana ugomvi na act?wala adc??

Hawa wachaga nin kinawasumbua.
Mara nyingi nikiona comment kama hizi lazima najua imetoka kwa tapeli la gesi linalojifanya ni mhasibu.
 
Wachaga wa chadema ni vigeu geu sana.

Juzi tuh hapa walikuwa wanamtukana prof lipumba na kukiita cuf ni ccm b au mke wa ccm.

Leo from nowhere eti ni maswahiba wao.

Hakuna watakaemchezea akili woote ni waganga njaa tuh hawa.

Sion kipi wanachomwaga povu kwa ACT kama sio uoga na kuanguka kisiasa.

Mbona wapinzani wenzao kama cuf na nccr hawana ugomvi na act?wala adc??

Hawa wachaga nin kinawasumbua.

Umaskini wako wa Fikra na mali haujasababishwa na Wachaga. Fanya kazi kwa bidii ili ujikwamue hapo ulipo. Pia isake elimu. Kuwatusi wachaga hakutaboresha maisha yako.
 
Huu uchafu kaandikiwa na CCM aje kuusoma..

Kuna taarifa hata huo mkutano umegharamiwa na CCM
 
Oky huyo unayedai kuwa anafua nepi za junior tunamfaham na kazi anayofanya tunaifaham hiyo ya kufua nepi unatuambia wewe hapa......

Sasa we si unajifanya kidume mwenyekazi nzuri ya kuuza dhahabu maybe, njoo na jina lako halisi kama anavyofanya mwenzio Ben hapo ili nawe tukujue ni nani na unafanya kazi gani?

Maana akija mtu hapa kutuambia wewe ni shoga na unafanya kazi ya kuosha mabatock ya Nape hatutabisha maana hatujui unakokaa wala kazi unayofanya njoo kwa ID halisi ya jina lako kama afanyavyo Ben Saanane ili tutoe ubishi wewe na yeye ni nani mwenye kazi nzuri

BACK TANGANYIKA


Mapimbi kama nyinyi tu with your sad destiny ndiyo wenye utaahira wa kuja kyanika maisha yenu ya ulaghai na utapeli mitandaoni ili kuwarubuni na kuwatapeli watu.

Why shoud i do that na ili iweje.

I am not such stupid...i am not such dumb kufake maisha yasiyo na uhalisia ili uonekane una influence kumbe ni mchimba chumvi tu.
 
Last edited by a moderator:
Ndio tatizo la kuwa "msukule" wa watu na ndio maana kila mtu unamhisi ni msukule kama ulivyo wewe.

Hiyo hoja ya umri..ukiisoma hoja hiyo hapo juu(kama kweli umeisoma)...kwa mujibu wa tume...wananchi asilimia 53% walitaka umri wa mgombea urais ushushwe.

Sasa kama kweli tunataka matakwa ya wananchi yaheshimiwe, then tusiishie kwenye serikali tatu tu, maoni hayo ya wananchi ni pamoja na umri wa mgombea urais ushushwe.

Sasa tusiwalaumu CCM alafu nasi tukafanya yaleyale wanayoyafanya wao, kutojali maoni ya wananchi bali kuchagua la kulikubali na kulikataa.

Msukule wa Zitto na saccos yake inayochangiwa na CCM unataabu sana. Umri wa kugombea umeshadadiwa saana na kibaraka wa CCM Zitto na Januari si wananchi..
 
Thats why me nakuambia hawa wehu ni waganga njaa tu.

Wanaangalia wapi kwenye maslahi kisha wanashika mabango.

I am tellling you.

Miongoni mwao hawa hakuna hata mmoja mwenye uchungu na wananchi.

Hizo zoote kelele ni kwa ajili ya vita vya madaraka tu na si vinginevyo.

Wanafiki tu hawa.

Msukule wa Zitto na saccos yake inayochangiwa na CCM unataabu sana.
 
i) Tuwekee statement ya CHADEMA tulinganisha kama maoni yanafanana.

ii) Dhana inaweza kufanana lakini details zikawa tofauti kabisa. Kwa mfano ACT-Tanzania tunaunga mkono muundo wa serikali tatu lakini wenye sura tofauti na ule ambao CHADEMA wanataka. Sisi tunataka muundo wa serikali tatu utakaozaa muungano imara, na serikali za Tanganyika na Zanzibar zenye jukumu la utendaji. CHADEMA wanataka serikali tatu ambazo zitazaa Tanganyika na Zanzibar huru zitakazoacha muungano legelege na hatimaye kufa. Kwa hiyo utaona hapa kwamba CHADEMA wanataka serikali tatu kama njia ya kufikia lengo fulani wakati sisi tunataka serikali tatu kama lengo kamili.

iii) Ndiyo tunafanana katika marekebisho ya Katiba, lakini details zinatofautiana sana. Sisi tunataka marekebisho katika vipengele kumi (10) nyie mnataka marekebisho katika vipengele vinne tu na kuna vipengele mnavipinga kabisa. Kwa mfano CHADEMA hamtaki umri wa kugombea urais ushushwe ili kuwapa wapiga kura vijana ambao ni asilimia 65 ya wapiga kura wote haki na fursa ya kugombea, wakati ACT-Tanzania tunataka umri wa kugombea urais ushushwe ili kuakisi jamii tuliyo nayo na ukweli kwamba wananchi walio wengi (53.7%) waliotoa maoni kwenye Tume walitaka umri wa urais ushushwe.

Kwa hiyo kwamba ACT-Tanzania imedandia hoja ya CHADEMA sio kweli hata kidogo. Tuna hoja za msingi ambazo CHADEMA wala hawawezi kuzigusa.

Thank you.

Siku zote akili ndogo haiwez kuongoza akili kubwa.

Siku zote hawawez kuwa sawa mwenye elimu na yule asie na elimu.

Wanachofanya chadema ni kutapa tapa.

Na siku zote mfa maji haachi kuwa hivyo.

Wenye akilizao timamu siku zote watawafuata na kuwasikiliza wenye akili timamu wenzao.
 
i) Tuwekee statement ya CHADEMA tulinganisha kama maoni yanafanana.

ii) Dhana inaweza kufanana lakini details zikawa tofauti kabisa. Kwa mfano ACT-Tanzania tunaunga mkono muundo wa serikali tatu lakini wenye sura tofauti na ule ambao CHADEMA wanataka. Sisi tunataka muundo wa serikali tatu utakaozaa muungano imara, na serikali za Tanganyika na Zanzibar zenye jukumu la utendaji. CHADEMA wanataka serikali tatu ambazo zitazaa Tanganyika na Zanzibar huru zitakazoacha muungano legelege na hatimaye kufa. Kwa hiyo utaona hapa kwamba CHADEMA wanataka serikali tatu kama njia ya kufikia lengo fulani wakati sisi tunataka serikali tatu kama lengo kamili.

iii) Ndiyo tunafanana katika marekebisho ya Katiba, lakini details zinatofautiana sana. Sisi tunataka marekebisho katika vipengele kumi (10) nyie mnataka marekebisho katika vipengele vinne tu na kuna vipengele mnavipinga kabisa. Kwa mfano CHADEMA hamtaki umri wa kugombea urais ushushwe ili kuwapa wapiga kura vijana ambao ni asilimia 65 ya wapiga kura wote haki na fursa ya kugombea, wakati ACT-Tanzania tunataka umri wa kugombea urais ushushwe ili kuakisi jamii tuliyo nayo na ukweli kwamba wananchi walio wengi (53.7%) waliotoa maoni kwenye Tume walitaka umri wa urais ushushwe.

Kwa hiyo kwamba ACT-Tanzania imedandia hoja ya CHADEMA sio kweli hata kidogo. Tuna hoja za msingi ambazo CHADEMA wala hawawezi kuzigusa.

Kwa hyo ACT mnataka Muungano imara lakini Tanganyika na Zanzibar ziwe legelege? Uimara wa Muungano utaletwa serikali mbili legelege ambazo zipo zipo tu? Tanganyika na Zanzibar imara zitajenga Muungano Imara.
 
Umaskini wako wa Fikra na mali haujasababishwa na Wachaga. Fanya kazi kwa bidii ili ujikwamue hapo ulipo. Pia isake elimu. Kuwatusi wachaga hakutaboresha maisha yako.
When we tell you guys muache uchaga na Ukanda kwenye chama na siasa zenu we do not intend to insult chaga people.

Tunamaanisha kweli kwamba kwenye chama hiko muache ukabila na uuungu mtu.

Fanyeni demokrasia kweli na acheni demokrasia magilini.
 
i) Tuwekee statement ya CHADEMA tulinganisha kama maoni yanafanana.

ii) Dhana inaweza kufanana lakini details zikawa tofauti kabisa. Kwa mfano ACT-Tanzania tunaunga mkono muundo wa serikali tatu lakini wenye sura tofauti na ule ambao CHADEMA wanataka. Sisi tunataka muundo wa serikali tatu utakaozaa muungano imara, na serikali za Tanganyika na Zanzibar zenye jukumu la utendaji. CHADEMA wanataka serikali tatu ambazo zitazaa Tanganyika na Zanzibar huru zitakazoacha muungano legelege na hatimaye kufa. Kwa hiyo utaona hapa kwamba CHADEMA wanataka serikali tatu kama njia ya kufikia lengo fulani wakati sisi tunataka serikali tatu kama lengo kamili.

iii) Ndiyo tunafanana katika marekebisho ya Katiba, lakini details zinatofautiana sana. Sisi tunataka marekebisho katika vipengele kumi (10) nyie mnataka marekebisho katika vipengele vinne tu na kuna vipengele mnavipinga kabisa. Kwa mfano CHADEMA hamtaki umri wa kugombea urais ushushwe ili kuwapa wapiga kura vijana ambao ni asilimia 65 ya wapiga kura wote haki na fursa ya kugombea, wakati ACT-Tanzania tunataka umri wa kugombea urais ushushwe ili kuakisi jamii tuliyo nayo na ukweli kwamba wananchi walio wengi (53.7%) waliotoa maoni kwenye Tume walitaka umri wa urais ushushwe.

Kwa hiyo kwamba ACT-Tanzania imedandia hoja ya CHADEMA sio kweli hata kidogo. Tuna hoja za msingi ambazo CHADEMA wala hawawezi kuzigusa.

Vipi ACT mmepata wakristo wa kutosha ili chama chenu kisionekane kuwa ni cha kidini? Mmefanya jitihada gani ACT isionekane ni chama cha ujiji kinachofadhiliwa na MACCM? Zitto atahamia lini ACT? Nakumbuka saana waraka wenu wa usaliti mliposema:

Kwa kuwa ni mwislamu. Hii ni fursa katika kupata kuungwa mkono na wanachama waislamu ambao wamekuwa na kigugumizi wakidhani waislamu hawatakiwi katika uongozi wa taasisi yetu.
 
Thank you.

Siku zote akili ndogo haiwez kuongoza akili kubwa.

Siku zote hawawez kuwa sawa mwenye elimu na yule asie na elimu.

Wanachofanya chadema ni kutapa tapa.

Na siku zote mfa maji haachi kuwa hivyo.

Wenye akilizao timamu siku zote watawafuata na kuwasikiliza wenye akili timamu wenzao.

Kwa hiyo umekopa kauli kwa Msigwa wa CHADEMA kutetea kambi ya CCM na SACCOS ya ZITTO?
 
Back
Top Bottom