Msimamo wa chama cha ACT-Tanzania na katiba mpya

Msimamo wa chama cha ACT-Tanzania na katiba mpya

Mlihitaji muda wote huu kuonyesha msimamo wenu kwenye hili la kupatikana katiba mpya? Ni sababu zipi kama zipo, zilizowafanya mchelewe kiasi hiki kuweka msimamo wenu hadharani!?

Walikua wanasubiri copy and paste.
 
Mapimbi kama nyinyi tu with your sad destiny ndiyo wenye utaahira wa kuja kyanika maisha yenu ya ulaghai na utapeli mitandaoni ili kuwarubuni na kuwatapeli watu.

Why shoud i do that na ili iweje.

I am not such stupid...i am not such dumb kufake maisha yasiyo na uhalisia ili uonekane una influence kumbe ni mchimba chumvi tu.

Umepaniki sana. Lakini hapa sijaona umeweka wachaga au vina havijakaa vizuri?
 
When we tell you guys muache uchaga na. Ukanda kwenye chama na siasa zenu we do not intend to insult chaga people.

Tunamaanisha kweli kwamba kwenye chama hiko muache ukabila na uuungu mtu.

Fanyeni demokrasia kweli na acheni demokrasia magilini.

There you are, right ar the centre of it. WACHAGA. U can't be more better.
 
Dr. Kitila Mkumbo umefanya vyema kuja hapa tofauti na baadhi ya wanazi waliokua wakikukataza wewe kuja hapa kuwekana sawa.

Kwa bahati mbaya sasa Niko barabarani na simu haina chaji ya kutosha.Nitakuja kujibu baadhi ya maeneo ambayo umepotosha kwa makusudi likiwepo suala la Umri wa Kugombea Urais.CHADEMA kilipendekeza Ushushwe na Dr.Kitila unakumbuka ulishiriki kuandika maazimio hayo kikao cha Mwezi July Mwaka Jana.Nilikuwepo na hata wewe uliunga mkono hoja ya kushusha Umri wa Urais.Umeteleza kwa bahati mbaya au umepotosha kwa makusudi?Maoni hayo ni sehemu ya maoni yaliyopelekwa tume pia kutoka kwenye mabaraza yetu ya katiba

Karibu. Wewe unajua mie siogopi mijadala. Tulipendekeza lakini wakubwa hawakuchangamkia pendekezo la kushusha umri wakidhani tulikuwa tunalenga kumtengenezea njia hasimu wao kisiasa. Kwa hiyo jambo hili halijawahi kupewa nafasi katika mijadala ndani ya cdm, labda baada ya sie kuondoka.
 
Last edited by a moderator:
Zitto anafurahisha sana wakati mwingine.
Yani ukisoma vipaumbele mlivyoweka kwenye marekebisho mnayotaka ni kutengeneza mazingira ya kina Zitto type kuendeleza siasa za ndimi mbili-mbili kama afanyavyo sasa na pia kutimiza ile ndoto yake ya kuwania nafasi ya urais wa Tanzania.
Nawaombea mfikie lengo tukapambane huko mbele ajulikane nani ni nani.

You are just too short sighted. Yaani badala kuangalia hoja unaangalia mtu. Huyu Zitto kwa nini anawatesa hivi? Tunajadili umri wa kugombea tukilenga kukomesha ubaguzi wa umri, wewe unaongelea personality ya Zitto. Mtafute mkanywe naye chai!
 
Last edited by a moderator:
Karibu. Wewe unajua mie siogopi mijadala. Tulipendekeza lakini wakubwa hawakuchangamkia pendekezo la kushusha umri wakidhani tulikuwa tunalenga kumtengenezea njia hasimu wao kisiasa. Kwa hiyo jambo hili halijawahi kupewa nafasi katika mijadala ndani ya cdm, labda baada ya sie kuondoka.
Nimebaki nikicheka tu.
 
Karibu. Wewe unajua mie siogopi mijadala. Tulipendekeza lakini wakubwa hawakuchangamkia pendekezo la kushusha umri wakidhani tulikuwa tunalenga kumtengenezea njia hasimu wao kisiasa. Kwa hiyo jambo hili halijawahi kupewa nafasi katika mijadala ndani ya cdm, labda baada ya sie kuondoka.

Hivi Imebidi ndo Dk Kitila Mkumbo. Sikujua! Sasa inabidi wailink hizi id basi maana kuwa na id mbili mbili ni kutuchanganya.
 
Maoni ya ACT yanatofauti gani na Maoni yaliyotolewa na CHADEMA?Yaani mna-copy na Ku-paste maoni ya CHADEMA?
Tena asilimia kubwa ya maoni hayo ni kwa tume ya katiba.Hilo la kuahirisha Bunge pia ni maoni ya CHADEMA na hata marekebisho ya katiba kuruhusu uundwaji wa tume huru ya uchaguzi na taasisi nyingine za kidemokrasia ni maoni ya CHADEMA


Huu ujanja ujanja wa kudandia hoja ndio uliowapeleka JB Hotel kuitisha Press?

Beni nasikitika kwa namna ulivyochangia hii hoja je ulitaka kila mmoja aje na msimamo unaodhani utakuwa haujagusa sehemu ya misimamo ya watu wengine? hauoni kama utataka hali hiyo basi wanaounga mkono jambo moja wanaweza wakawa ni wachache sana. na je hauoni kama kwa msimamo wako huo unaweza kuhalalisha mawazo ya wengine kuwa na Chadema nayo imekopi kutoka kwa wengine hususan tume iliyokuwa ikiongozwa na jaji Warioba?

Siasa ni njia na kuona fursa ya kuwakwamua wale unaotaka kuungana nao kutoka pale ulipo na si kudhihaki kila jambo au kufikiri wengine hawawezi kufikiri.asante
 
Maoni ya ACT yanatofauti gani na Maoni yaliyotolewa na CHADEMA?Yaani mna-copy na Ku-paste maoni ya CHADEMA?
Tena asilimia kubwa ya maoni hayo ni kwa tume ya katiba.Hilo la kuahirisha Bunge pia ni maoni ya CHADEMA na hata marekebisho ya katiba kuruhusu uundwaji wa tume huru ya uchaguzi na taasisi nyingine za kidemokrasia ni maoni ya CHADEMA

Huu ujanja ujanja wa kudandia hoja ndio uliowapeleka JB Hotel kuitisha Press?

Maoni yote siyo copy and paste ya Chadema. Kushusha umri wa mgombea urais linamhusu Zitto (mwenyekiti mtarajirwa wa ACT - Tanzania).
 
Karibu. Wewe unajua mie siogopi mijadala. Tulipendekeza lakini wakubwa hawakuchangamkia pendekezo la kushusha umri wakidhani tulikuwa tunalenga kumtengenezea njia hasimu wao kisiasa. Kwa hiyo jambo hili halijawahi kupewa nafasi katika mijadala ndani ya cdm, labda baada ya sie kuondoka.

Duh Hii ID ni ya nani?Mbona mimi nilimlenga Kitila Mkumbo kwa verified ID yake hapa?
 
i) Tuwekee statement ya CHADEMA tulinganisha kama maoni yanafanana.

ii) Dhana inaweza kufanana lakini details zikawa tofauti kabisa. Kwa mfano ACT-Tanzania tunaunga mkono muundo wa serikali tatu lakini wenye sura tofauti na ule ambao CHADEMA wanataka. Sisi tunataka muundo wa serikali tatu utakaozaa muungano imara, na serikali za Tanganyika na Zanzibar zenye jukumu la utendaji. CHADEMA wanataka serikali tatu ambazo zitazaa Tanganyika na Zanzibar huru zitakazoacha muungano legelege na hatimaye kufa. Kwa hiyo utaona hapa kwamba CHADEMA wanataka serikali tatu kama njia ya kufikia lengo fulani wakati sisi tunataka serikali tatu kama lengo kamili.

iii) Ndiyo tunafanana katika marekebisho ya Katiba, lakini details zinatofautiana sana. Sisi tunataka marekebisho katika vipengele kumi (10) nyie mnataka marekebisho katika vipengele vinne tu na kuna vipengele mnavipinga kabisa. Kwa mfano CHADEMA hamtaki umri wa kugombea urais ushushwe ili kuwapa wapiga kura vijana ambao ni asilimia 65 ya wapiga kura wote haki na fursa ya kugombea, wakati ACT-Tanzania tunataka umri wa kugombea urais ushushwe ili kuakisi jamii tuliyo nayo na ukweli kwamba wananchi walio wengi (53.7%) waliotoa maoni kwenye Tume walitaka umri wa urais ushushwe.

Kwa hiyo kwamba ACT-Tanzania imedandia hoja ya CHADEMA sio kweli hata kidogo. Tuna hoja za msingi ambazo CHADEMA wala hawawezi kuzigusa.

Hoja ya kuweka kikomo cha umri wa mgombea urais liliwekwa kwa madhumuni gani? Na kama ni suala la kuondoa kikomo hicho bado hoja yenu ya ACT - Tanzania bado haijawa na nguvu kwa sababu kama ni suala la umri ambao wapo wetu wengi basi hilo linaweza likawa ni suala la muda tu. Ina maana siku tukiwa na raia wengi wazee ndipo turudi tulikokuwa? Kimsingi hoja yenu ingekuwa na nguvu kama mgelinganisha umri wa mtu kuruhusiwa kupiga kura uwe vile vile umri wa kugombea nafasi ya uongozi hata kwa ngazi ya urais.
 
Inasound vizuri sana "Mr Zero a.k.a Zitto". Mkurugenzi wa SACCOS ya ACT ambayo pia ni nyumba ndogo ya CCM.

Mbowe anaitwa Mr. Zero kwa sababu alitaga mtihani wa form six. Au wewe hujui? Zitto hawezi kuwa Mr. Zero kwa sababu mwenzio ni msomi na anamalizia PhD.
 
Karibu. Wewe unajua mie siogopi mijadala. Tulipendekeza lakini wakubwa hawakuchangamkia pendekezo la kushusha umri wakidhani tulikuwa tunalenga kumtengenezea njia hasimu wao kisiasa. Kwa hiyo jambo hili halijawahi kupewa nafasi katika mijadala ndani ya cdm, labda baada ya sie kuondoka.

He! Huu ni mkanganyiko wa I'd au Imebidi
 
Last edited by a moderator:
Hivi hili genge la wachumia tumbo na wanafiki liitwalo ACT bado lipo halijafa tu? Watasubiri sana,watz wa leo si wale wa miaka ile na wanajua kuwa ACT=CCM
 
Back
Top Bottom