Msimamo wa chama cha ACT-Tanzania na katiba mpya

Msimamo wa chama cha ACT-Tanzania na katiba mpya

Nimelisoma tamko nakubaki kujiuliza maswali mengi, kama kuna umakini wa aina yoyote.

1. Tamko hili ni mwendelezo wa matamko waliyotoa UKAWA, CCM(Lembeli, Miwgulu) na wazee (Mark Boman), waandishi wa habari na wanajamii.
Hakuna walichokiongelea ACT kigeni zaidi ya kunukuu watu bila acknowledgement.

2. ACT wameorodhesha matatizo ya BMK. ACT hawajaweka wazi tatizo ni nini.
Wame epuka kusema rasimu ya kujadiliwa ni ya Warioba.
Wamekwepa kusema maoni ya tume ili kutowaudhi CCM kwa kujificha.
Hilo ni kuwachanganya watu na wala si kuonyesha njia.

3. Suala la umri si agenda ya ACT. Tumejadiliana jamvini na akina Ben Saanane, MWANAKIjiji, JokaKuu, Jasusi, Mchambuzi , Bongolander, Mag3 n.k. muda mrefu

Tumepingana na akina Ben, leo tunaaminishwa ni jambo geni kabisa eti lina umakini. Mnachokifanya ni kujificha nyuma ya kundi la January na Zitto na agenda yao.

Hatutengenezi katiba ya watu wawili, tunatengeneza katiba ya nchi.


4. Mchambuzi anauliza, iwapo CUF, CDM, NCCR kila mmoja atakuja na madai yanayofanana kuna ulazima wa kufanya hivyo? Nami nauliza, kama ACT wana madai yanayofanana na UKAWA kuna ulazima wa kuja na kitu kile kile.


5. Hoja ya Kitila Mkumbo kuhusu S3 ni mfu.
Kinachojadiliwa ni muundo wa muungano kwanza, ndilo tatizo la kukwama BMK.

Namna gani serikali 3 zitakuwa imara au dhaifu hilo ndilo lipo mbele ya BMK.


Hoja ya msingi ni S3 kwanza. Hayo ya lege lege na imara ni mambo baada ya hoja kuu.Kusema ACT ina hoja imara tusizozijua na tusizozifahamu ni ad hominem

6.
Tamko la ACT lilikusudia kueleza msimamo kuhusu BMK na mtafaruku unaoendelea.
Ukiliangalia ni tamko la jumla na hilo halina tatizo hata kama wanadurusu ya wenzao.


Tatizo ni pale Kitila anapoingia katika mkumbo usiolingana naye.

Kitila, katika tamko la jumla ni aibu kuongelea vipengele visivyohusika
Hili tamko, Dr, ni la kiwango kisicholingana na hadhi yako, nakuthibitishia hapa chini.

Soma kifungu hiki
Hadi hapa Kitila na ACT, wanatoa mapenekezo haya Anachronism! Tatizo ni kukwama kwa mchakato si vipengele husika. Mumedai mnapendekeza kukwamua mchakato.
Hili lina uhusiano gani na tatizo lililopo?
Irrelevant, tumekwama mchakato hili linahusiana vipi na sehemu ya 7 ya mapedekezo yenu! Here we go! BMK limejadili kanuni, na muundo ndipo lilipokwama.

Halijajadili kiengele hata kimoja kinachohusu mambo ya muungano.

Wapi mnaona suala la gesi na mafuta ni sehemu ya tatizo tulilo nalo?
Hii haina maana yoyote kufuatana na kipengele namba 7 cha tamko lenu.
Tamko ni kukwamua mchakato si mafuta na gesi

Lakini pia mumeshindwa kuelewa.
Tume imeorodhesha matatizo mengi kuhusu muungano kwa pande zote.

Katiba tunayotaka kutengeneza si ya mafuta na gesi, na wala si katiba ya zanzibar.
Kuna matatizo ya Tanganyika.

Mnapochagua kipengele kama na kukifanya sehemu ya kukwamua mchakato, inasikitisha Kitila.

Zaidi ya hapo, gesi na mafuta si mambo ya muungano tena. Zanzibar walishaondoa.

Ningaliwaelewa kama mngeongele uvunjwaji wa katiba, na si ku-appease wznz kwa cheap politics za kitoto namna hii.
Hakuna uhusiano na kukwama kwa BMK.

Mnachomeka vipengele kufurahisha watu, Kitila anasema ni tamko makini. Real ! This one!

Na mwisho, Kitila, ukiangalia lugha tu inatia shaka kama unapitia na kuhakiki matamko makubwa 'makini'. Kitila usijeniambia ni typo error!

Ndio maana nakusihi uangalie matamko kama haya, hayalingani na hadhi yako.

Ahsante


Nguruvi3,

Asante sana sana .Yale niliyotarajia kuandika umeniwahi kabisa.

Nakumbuka tulipingana sana kwenye suala la umri na thread zipo na msimamo wangu ukaendelea kubakia ule ule hadi leo

Nimeshangazwa sana idadi ya midahalo eti itajwe kwenye katiba badala ya kuwa suala la kutungiwa sheria au kanuni zitakazoeelekeza tume huru ya uchaguzi iandae midahalo
 
Last edited by a moderator:
Hoja Hapa sio Kujiunga na ukawa Bali kuunga Mkono msimamo wa ukawa. Ni busara kuacha duplicate resources and efforts Katika suala Zima la kudai katiba itokanayo na wananchi. Tayari vyama vya upinzani vina msimamo wa pamoja juu ya Hilo, sasa ukawa ni upinzani wa wapi, je ni mpinzani wa vyama vya upinzani? Mnachanganya sana wananchi, Kaeni vijiweni msikie mnavyokoroga wananchi.

Msimamo wa ACT sasa unatafsiriwa na wengi Kwamba ni sawa na kuunga Mkono UKAWA. Kinachochanganya na pia kushangaza wananchi Wengi ni je, kwanini ACT wanaendelea kuhangaika kujitofautisha na chadema Katika suala husika Wakati kimsingi Madai ya ukawa (chadema) ni Yale Yale Kama ya ukawa - katiba itokanayo na wananchi hasa Mfumo wa muungano?

Hizi hoja na juhudi za Kitila Mkumbo kutofautisha msimamo wa ACT vis a vis Chadema kwa hoja Kwamba chadema wanapendekeza serikali Tatu Zenye muungano legelege Wakati ACT wanapendekeza serikali Tatu Zenye muungano imara ni hoja ya kitoto sana. Msingi wa hoja Hapa ni muungano wa serikali Tatu, period. Hayo Ndio wamesema wananchi, Hayo mengine juu ya uimara na ulegelege wa muungano wa serikali Tatu ni masuala ya kujadiliwa bungeni, na hiyo Ndio kazi ya BLK - kuboresha rasimu itokanayo na wananchi.

Cc Nguruvi3, Mag3, JokaKuu, Jasusi



Sent from my iPhone using JamiiForums

Mchambuzi,



Nakubaliana na hoja zako hapo juu
 
Last edited by a moderator:
THE BIG SHOW,
Huko nyuma Katika Bandiko lake la "ACT, mpini wa CCM kumaliza upinzani, Nguruvi3 alijadili Kwamba Zitto na wenzake ambao ni wapinzani wa vyama vya upinzani, mkakati wao ulikuwa ni kuhakikisha Kwamba zitto anaingia ndani ya bunge la katiba Kabla ya kuondoka chadema. Nimeanza kuelewa hoja ya nguruvi3.

Kwa wale waliofuatilia BMK session Ile ya awali, nadhani ilikuwa bayana jinsi gani zitto alikuwa anakwepa kuweka msimamo huku akisoma upepo. Wenzake ambao sasa Wanaunda ukawa, wakaamua to risk kwa Imani Kwamba wanasimama na wananchi. Kina zitto, kitila, na mwigamba walikuwa wapi Katika hatua zile? Kwanini ACT ije na msimamo, tena ule ule miezi Sitta baadae? Jibu ni Kwamba siasa za ACT ni za kusoma upepo, sio siasa za kuwa pre-emptive. Matokeo yake, badala ya kuwa chama mbadala cha upinzani Kama kitila alivyodai Huko nyuma Kwamba taifa linahitaji mbadala wa upinzani, ACT sasa Nina pro - active party, running pro- active strategies.

ACT wanajaribu sana kuwa mbadala wa chadema kwa kuja na vision, mission na strategies tofauti, lakini chama Hiki ambacho kitila alikitabiri Kwamba kitakuja na mikakati ya kisayansi na kuwa UNIQUE, sasa kimeishia kuwa ni HYBRID. Ndani ya BMLK, zitto amefeli Katika kusaidia ACT kuteka agenda ya Katiba mpya, na nje ya bunge, kina kitila wanaendesha mikakati ambayo Kama alivyojadili Nguruvi3 kwa kina, haiendani na hadhi Yake.

Ni muhimu kina kitila waelewe Kwamba huku vijiweni, wananchi wanasema Kwamba "hatimaye zitto aungana na ukawa kudai katiba mpya", ni vizuri kina kitila wakaelewa hoja ya msingi sasa ni utanganyika wao Kama alivyojadili nguruvi3 hapo juu, na suala Hilo ukawa has already covered enough mileage. Mengine raised na ACT, mengi yake mahala pake ni ndani ya bunge la katiba Kama sio Katika Sheria mbalimbali Kama alivyojadili Ben Saanane.



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
THE BIG SHOW,
Huko nyuma Katika Bandiko lake la "ACT, mpini wa CCM kumaliza upinzani, Nguruvi3 alijadili Kwamba Zitto na wenzake ambao ni wapinzani wa vyama vya upinzani, mkakati wao ulikuwa ni kuhakikisha Kwamba zitto anaingia ndani ya bunge la katiba Kabla ya kuondoka chadema. Nimeanza kuelewa hoja ya nguruvi3.

Kwa wale waliofuatilia BMK session Ile ya awali, nadhani ilikuwa bayana jinsi gani zitto alikuwa anakwepa kuweka msimamo huku akisoma upepo. Wenzake ambao sasa Wanaunda ukawa, wakaamua to risk kwa Imani Kwamba wanasimama na wananchi. Kina zitto, kitila, na mwigamba walikuwa wapi Katika hatua zile? Kwanini ACT ije na msimamo, tena ule ule miezi Sitta baadae? Jibu ni Kwamba siasa za ACT ni za kusoma upepo, sio siasa za kuwa pre-emptive. Matokeo yake, badala ya kuwa chama mbadala cha upinzani Kama kitila alivyodai Huko nyuma Kwamba taifa linahitaji mbadala wa upinzani, ACT sasa Nina pro - active party, running pro- active strategies.

ACT wanajaribu sana kuwa mbadala wa chadema kwa kuja na vision, mission na strategies tofauti, lakini chama Hiki ambacho kitila alikitabiri Kwamba kitakuja na mikakati ya kisayansi na kuwa UNIQUE, sasa kimeishia kuwa ni HYBRID. Ndani ya BMLK, zitto amefeli Katika kusaidia ACT kuteka agenda ya Katiba mpya, na nje ya bunge, kina kitila wanaendesha mikakati ambayo Kama alivyojadili Nguruvi3 kwa kina, haiendani na hadhi Yake.

Ni muhimu kina kitila waelewe Kwamba huku vijiweni, wananchi wanasema Kwamba "hatimaye zitto aungana na ukawa kudai katiba mpya", ni vizuri kina kitila wakaelewa hoja ya msingi sasa ni utanganyika wao Kama alivyojadili nguruvi3 hapo juu, na suala Hilo ukawa has already covered enough mileage. Mengine raised na ACT, mengi yake mahala pake ni ndani ya bunge la katiba Kama sio Katika Sheria mbalimbali Kama alivyojadili Ben Saanane.



Sent from my iPhone using JamiiForums


Tatizo ni ACT.

Kila napojaribu kuwasoma kwa undani kabisa nakuja kubaini tatizo ni ACT as a political party.

Hamjapenda kuasisiwa kwake....hampendi uwepo wake...pia hamuwapendi waanzilishaji na wanaokisapoti chama hiko.

Ushahid upo wazi kwani hao hao wanaotokea huku kukikosoa na kukikejeli chama hiko ndio hao hao siku zoote wanaojipambanua ktk kuwapinga waasis wa chama hiko kabla ya kuasisiwa kwake na hata mpaka hivi sasa.

Kutofautiana kifikra na misimamo ndiyo demokrasia ilivyo.

Siyo lazima wayawazayo hawa woote yawe ni masuala yanayofanana.
 
Last edited by a moderator:
Wakuu mpaka sasa naona kwa ujumla tatizo kubwa ni kuwa we are not thinking as Tanzanians. Not yet. Bado naona kuwa tunaeleezwa kujadili mambo tusisyotakiwa kujadili. ACT is just a distraction, the issue ni katiba, na kwanza kabisa ni Muungano na sura ya muungano ambao utakuwa na manufaa kwa wanaounda muungano, sio wenye manufaa kwa CCM.

Kwenye suala la Katiba naona maoni ya watanzania yako wazi. Lakini tatizo ni kuwa uwaze wake unaweza kukosolewa kwa sababu za kisiasa.

Kimsingi naona kama ACT ni kama inarukia jambo ambalo hailiwezi. Kwa maoni yangu ACT imeanzishwa kwa ajili ya njaa tu, na baadhi ya watu ndani ya CCM wanatamuia njaa ya ACT kuibomoa CCM. Lakini inawezekana kabisa kuwa hata njaa yao, haijawafanya wawe vipofu kabisa, hala kwenye kipengele cha muungano.
 
Wakuu inawezekana haya mambo huko nyuma tumejadili kiasi, lakini hili la kuibuka kwa ACT na kuanza kukosoa vyama vyote na kujiona chenyewe ndio chama sahihi zaidi, linanishangaza kiasi.

ACT, imenifanya nianze kujiuliza kuhusu mfumo wetu wa kusajili vyama ulivyo. Hii ni suala la kuwa na saini za watu tu, na idadi ya watu na ofisi tu ndio tunaanzisha chama? au kuna ya muhimu zaidi ya hapo?

Sijasoma katiba ya ACT, ningependa kujua kama kweli ACT iko tofauti kisera na kiitikadi na vyama vya siasa vilivyopo Tanzania. Na kama kweli ni chama ambacho kinatuletea mbadala wa sera na itikadi mbazo zitakuwa plus kwenye siasa za Tanzania, au ni chama ambacho kimeanzishwa kama njia moja ya ulaji kama vilivyo vyama vingi hapa Tanzania.

Memba mmoja hapa Acha Ushamba ameweka point moja nzuri sana. Point yake kutokana na hilo bandiko la Mwl.Kaijage ni kuwa ACT inaonekana ni chama cha kuangalia upepo, na kutoa maoni kutokana na upepo unavyokwenda sasa, na si chama ambacho kina jambo ambalo kinasimamia bila kujali upepo unavuma kuelekea wapi. Hii inanipa picha kuwa it is opportunistic party. I wonder how and why it got registered.

Tukiangalia wanachama wake, tunaweza kuona kama kweli hiki chama ni chama ambacho kinaweza kuwa chama cha siasa au ndio kundi la losers waliokataliwa kutoka kwenye vyama vingine kutokana na utovu wa nidhamu, na kutaka kuwavuruga wale waliowavuruga.

Tukiangalia baadhi ya mapendekezo 10 walioyotaja naona kama it is more of a collection of people who can be labelled as civil society na hata sio NGO, ambayo kazi yake ni kukusanya maoni na kuyaandika kwenye karatasi baada ya kufuatilia vyombo vya habari.

Mchambuzi, Nguruvi3, Ben saanane, Mwanakijiji, Pasco, The Big Show, Gor, Theroom, invisible, Hot lady ningeomba tujadili kidogo kama ACT ni zao za ubovu wa mfumo wetu wa kusajili vyama, au ni upungufu wa kisera na kiitikadi kwenye jamii yetu.
 
Muungano haupo tangu kufa kwa karume na Baadaye jumbe kukosa urais wa Tanzania mbona mnasumbua akili za Watu
 
Wakuu inawezekana haya mambo huko nyuma tumejadili kiasi, lakini hili la kuibuka kwa ACT na kuanza kukosoa vyama vyote na kujiona chenyewe ndio chama sahihi zaidi, linanishangaza kiasi.

ACT, imenifanya nianze kujiuliza kuhusu mfumo wetu wa kusajili vyama ulivyo. Hii ni suala la kuwa na saini za watu tu, na idadi ya watu na ofisi tu ndio tunaanzisha chama? au kuna ya muhimu zaidi ya hapo?

Sijasoma katiba ya ACT, ningependa kujua kama kweli ACT iko tofauti kisera na kiitikadi na vyama vya siasa vilivyopo Tanzania. Na kama kweli ni chama ambacho kinatuletea mbadala wa sera na itikadi mbazo zitakuwa plus kwenye siasa za Tanzania, au ni chama ambacho kimeanzishwa kama njia moja ya ulaji kama vilivyo vyama vingi hapa Tanzania.

Memba mmoja hapa Acha Ushamba ameweka point moja nzuri sana. Point yake kutokana na hilo bandiko la Mwl.Kaijage ni kuwa ACT inaonekana ni chama cha kuangalia upepo, na kutoa maoni kutokana na upepo unavyokwenda sasa, na si chama ambacho kina jambo ambalo kinasimamia bila kujali upepo unavuma kuelekea wapi. Hii inanipa picha kuwa it is opportunistic party. I wonder how and why it got registered.

Tukiangalia wanachama wake, tunaweza kuona kama kweli hiki chama ni chama ambacho kinaweza kuwa chama cha siasa au ndio kundi la losers waliokataliwa kutoka kwenye vyama vingine kutokana na utovu wa nidhamu, na kutaka kuwavuruga wale waliowavuruga.

Tukiangalia baadhi ya mapendekezo 10 walioyotaja naona kama it is more of a collection of people who can be labelled as civil society na hata sio NGO, ambayo kazi yake ni kukusanya maoni na kuyaandika kwenye karatasi baada ya kufuatilia vyombo vya habari.

Mchambuzi, Nguruvi3, Ben saanane, Mwanakijiji, Pasco, The Big Show, Gor, Theroom, invisible, Hot lady ningeomba tujadili kidogo kama ACT ni zao za ubovu wa mfumo wetu wa kusajili vyama, au ni upungufu wa kisera na kiitikadi kwenye jamii yetu.

Inasemekana kuwa hii ni nchi ya kidemokrasia.

Na ni haki yako kikatiba kuwa na uhuru wa kuunganika na wenzako na kuanzisha chama cha siasa ili mradi tu uweze kukidhi vigezo vinavyotakiwa.

Sasa kuna dhambi gani kikatiba na kisheria ya nchi hii kama ACT wameona wao ni mbadala wa vyama vingine hivyo katika kupigania haki za watanzania kisiasa kijamii na kiuchumi kwa ujumla?

Huwez kusema kuibuka kwa ACT ni uzao wa mfumo mbovu wa msajili wa vyama vya siasa n.k.n.k...

Hiko ukisemacho hakina uhalisia.

Pambananen na ACT kwa hoja na sio viroja.

At the end of all this wananchi pekee ndio wataamua.

Kila watu wazinadi sera zao.

Kama wengine sera zao ni uchaga waache wawe huru kuzinadi.

Kama wengine sera zao no udini waache wawe huru kuzinadi.

Kama wengine sera zao ni ukabila waache wawe huru kuzinadi.

Kama wengine sera zao ni ufisadi waache wawe huru kuzinadi.

Kama wengine sera zao ni ukombozi na demokrasia waache wawe huru kuzinadi.

Thats what we call Democracy.
 
Nilichokiona...watu wanahofu sana na ACT...wanajaribu kuwapuuza lakini hofu zinawafanya warudi kuwapinga ata pasipopaswa kupingwa.

Mchambuzi umezungumzia kijiweni....mie kijiweni nilipo Chadema imefifia sana..watu wameanza kutafuta mbadala...ACT ina nafasi ya kucover hilo gap pindi itakapoanza kufanya mikutano ya kisiasa kwa nguvu ili watu waijue inasimamia kwenye nini na italeta nini ambacho vyama vingine vya upinzani vineshindwa na kufanya uwezekano wa CCM kuwa chama cha upinzani uzidi kushuka siku ata siku.

Kuna watu wanazungumzia habari ya mjini sasa kuwa ni Tanganyika tu ata kama Tanzania itakufa, ni kweli lakini ACT hapa inajipambanua kuwa Tanzania Kwanza kisha Tanganyika, means tumlinde Tanzania aendelee kuexist pamoja na uwepo wa Tanganyika.

Hiki ni kitu ambazo Ukawa sio msisitizo kwao na CCM ndio hofu yao.ACT hapa wanatoa suluhisho la mkwamo huo, kwa kujenga serikali tatu ambazo zinabebwa na serikali kuu ya Tanzania, kwa hili wanaotaka serikali tatu watazipata na wasiotaka muungano ufe watapata wanachotaka.

Tusijifanye wapiga ramli hapa, lakini ni wazi kuwa wakati wa Chadema unakwisha na pindi Ukawa itakapokufa ndio mwisho wa Chadema.Hivyo tusiwalazimishe watu wawe na mawazo sawa.ACT ni muhimu kwake kujitofautisha na vyama vingine ili kuwapa Watanzania utofauti wake.
 
Wakuu inawezekana haya mambo huko nyuma tumejadili kiasi, lakini hili la kuibuka kwa ACT na kuanza kukosoa vyama vyote na kujiona chenyewe ndio chama sahihi zaidi, linanishangaza kiasi.

ACT, imenifanya nianze kujiuliza kuhusu mfumo wetu wa kusajili vyama ulivyo. Hii ni suala la kuwa na saini za watu tu, na idadi ya watu na ofisi tu ndio tunaanzisha chama? au kuna ya muhimu zaidi ya hapo?

Sijasoma katiba ya ACT, ningependa kujua kama kweli ACT iko tofauti kisera na kiitikadi na vyama vya siasa vilivyopo Tanzania. Na kama kweli ni chama ambacho kinatuletea mbadala wa sera na itikadi mbazo zitakuwa plus kwenye siasa za Tanzania, au ni chama ambacho kimeanzishwa kama njia moja ya ulaji kama vilivyo vyama vingi hapa Tanzania.

Memba mmoja hapa Acha Ushamba ameweka point moja nzuri sana. Point yake kutokana na hilo bandiko la Mwl.Kaijage ni kuwa ACT inaonekana ni chama cha kuangalia upepo, na kutoa maoni kutokana na upepo unavyokwenda sasa, na si chama ambacho kina jambo ambalo kinasimamia bila kujali upepo unavuma kuelekea wapi. Hii inanipa picha kuwa it is opportunistic party. I wonder how and why it got registered.

Tukiangalia wanachama wake, tunaweza kuona kama kweli hiki chama ni chama ambacho kinaweza kuwa chama cha siasa au ndio kundi la losers waliokataliwa kutoka kwenye vyama vingine kutokana na utovu wa nidhamu, na kutaka kuwavuruga wale waliowavuruga.

Tukiangalia baadhi ya mapendekezo 10 walioyotaja naona kama it is more of a collection of people who can be labelled as civil society na hata sio NGO, ambayo kazi yake ni kukusanya maoni na kuyaandika kwenye karatasi baada ya kufuatilia vyombo vya habari.

Mchambuzi, Nguruvi3, Ben saanane, Mwanakijiji, Pasco, The Big Show, Gor, Theroom, invisible, Hot lady ningeomba tujadili kidogo kama ACT ni zao za ubovu wa mfumo wetu wa kusajili vyama, au ni upungufu wa kisera na kiitikadi kwenye jamii yetu.
Nguruvi3, Mag3, Pasco, Mzee Mwanakijiji, EMT, JokaKuu, Jasusi, Kobello, Kitila Mkumbo, Zitto, Mtanganyika.










Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Wakuu inawezekana haya mambo huko nyuma tumejadili kiasi, lakini hili la kuibuka kwa ACT na kuanza kukosoa vyama vyote na kujiona chenyewe ndio chama sahihi zaidi, linanishangaza kiasi.

ACT, imenifanya nianze kujiuliza kuhusu mfumo wetu wa kusajili vyama ulivyo. Hii ni suala la kuwa na saini za watu tu, na idadi ya watu na ofisi tu ndio tunaanzisha chama? au kuna ya muhimu zaidi ya hapo?

Sijasoma katiba ya ACT, ningependa kujua kama kweli ACT iko tofauti kisera na kiitikadi na vyama vya siasa vilivyopo Tanzania. Na kama kweli ni chama ambacho kinatuletea mbadala wa sera na itikadi mbazo zitakuwa plus kwenye siasa za Tanzania, au ni chama ambacho kimeanzishwa kama njia moja ya ulaji kama vilivyo vyama vingi hapa Tanzania.

Memba mmoja hapa Acha Ushamba ameweka point moja nzuri sana. Point yake kutokana na hilo bandiko la Mwl.Kaijage ni kuwa ACT inaonekana ni chama cha kuangalia upepo, na kutoa maoni kutokana na upepo unavyokwenda sasa, na si chama ambacho kina jambo ambalo kinasimamia bila kujali upepo unavuma kuelekea wapi. Hii inanipa picha kuwa it is opportunistic party. I wonder how and why it got registered.

Tukiangalia wanachama wake, tunaweza kuona kama kweli hiki chama ni chama ambacho kinaweza kuwa chama cha siasa au ndio kundi la losers waliokataliwa kutoka kwenye vyama vingine kutokana na utovu wa nidhamu, na kutaka kuwavuruga wale waliowavuruga.

Tukiangalia baadhi ya mapendekezo 10 walioyotaja naona kama it is more of a collection of people who can be labelled as civil society na hata sio NGO, ambayo kazi yake ni kukusanya maoni na kuyaandika kwenye karatasi baada ya kufuatilia vyombo vya habari.

Mchambuzi, Nguruvi3, Ben saanane, Mwanakijiji, Pasco, The Big Show, Gor, Theroom, invisible, Hot lady ningeomba tujadili kidogo kama ACT ni zao za ubovu wa mfumo wetu wa kusajili vyama, au ni upungufu wa kisera na kiitikadi kwenye jamii yetu.

Bongolander,

Thank you !

Ningependa tujadili sana hilo suala la kisera na kiitikadi.Kuna mahali niliona wakijiita kuwa ni Social Democrats ambao kimsingi ideologically ni leftists.Sasa kwenye Ombwe la kiitikadi na kisera walete mezani ni kitu gani kilikosekana CCM(Wanaijiita Leftists ingawa wamechanganyikiwa) au CHADEMA(Centrists ambao wanaweza ku-swing Left kwenye social issues na Right kwenye Economic issues na hata haki za binadamu na za kiraia).,NCCR-Mageuzi na CUF(The Libs)

Niliona hata background figures wa chama wakiji-associate na Nyerereism wakati walikua wapinzani wakubwa wa Gradualism especially kwenye Pan-Africanism Tujadiliane sasa hapo na kama hapa sio sehemu muafaka basi tuanzishe open debate nyingine .
 
Last edited by a moderator:
Kitila Mkumbo,

..mimi nadhani kitu cha msingi ni kwamba CDM na ACT nyote mnaunga mkono serikali 3.

..hayo masuala ya hizo serikali 3 zitakuwa na muundo na mamlaka gani nadhani ni masuala ambayo yanajadilika.

..actually huu muundo wa serikali 3 ambao ACT mmeupendekeza mimi nakumbuka mara ya kwanza niliusikia kutoka kwa CUF.

NB:

..otherwise it will be interesting to know kama wewe ulikuwa unapinga mapendekezo ya CDM waliyoyatoa ktk tume ya Warioba.

cc Mchambuzi, THE BIG SHOW
 
Last edited by a moderator:
i) Tuwekee statement ya CHADEMA tulinganisha kama maoni yanafanana.

ii) Dhana inaweza kufanana lakini details zikawa tofauti kabisa. Kwa mfano ACT-Tanzania tunaunga mkono muundo wa serikali tatu lakini wenye sura tofauti na ule ambao CHADEMA wanataka. Sisi tunataka muundo wa serikali tatu utakaozaa muungano imara, na serikali za Tanganyika na Zanzibar zenye jukumu la utendaji. CHADEMA wanataka serikali tatu ambazo zitazaa Tanganyika na Zanzibar huru zitakazoacha muungano legelege na hatimaye kufa. Kwa hiyo utaona hapa kwamba CHADEMA wanataka serikali tatu kama njia ya kufikia lengo fulani wakati sisi tunataka serikali tatu kama lengo kamili.

iii) Ndiyo tunafanana katika marekebisho ya Katiba, lakini details zinatofautiana sana. Sisi tunataka marekebisho katika vipengele kumi (10) nyie mnataka marekebisho katika vipengele vinne tu na kuna vipengele mnavipinga kabisa. Kwa mfano CHADEMA hamtaki umri wa kugombea urais ushushwe ili kuwapa wapiga kura vijana ambao ni asilimia 65 ya wapiga kura wote haki na fursa ya kugombea, wakati ACT-Tanzania tunataka umri wa kugombea urais ushushwe ili kuakisi jamii tuliyo nayo na ukweli kwamba wananchi walio wengi (53.7%) waliotoa maoni kwenye Tume walitaka umri wa urais ushushwe.

Kwa hiyo kwamba ACT-Tanzania imedandia hoja ya CHADEMA sio kweli hata kidogo. Tuna hoja za msingi ambazo CHADEMA wala hawawezi kuzigusa.

Mkuu Kitila Mkumbo..Nina maswali Matatu tu kwako..

1. Umesema dhana inaweza kufanana.. sawa..Je CDM ni lini na wapi walitamka wanataka Serikali 3 Legelege? ,Sambamba na hilo la kupinga Umri wa kugombea Urais...

2.Mmekua mkijinadi kuwa Bora na tofauti na vyama vyote hapa Nchini kwa kuwa karibu na jamii
Swali ..Je kwa yule Mtu wa kijijini ambaye hata kiswahili kinampa shida kuongea anaweza kujua maana ya ACT ??

3.
CCM-Chama Cha Mapinduzi

CHADEMA=Chama cha Demokrasia na Maendeleo

ACT = ??

Kukwepa Lugha yetu pendwa ya Kiswahili Katika utambulisho wa Chama/vyama ni Uzalendo au Usasa zaidi?
 
Last edited by a moderator:
Nilichokiona...watu wanahofu sana na ACT...wanajaribu kuwapuuza lakini hofu zinawafanya warudi kuwapinga ata pasipopaswa kupingwa.

Mchambuzi umezungumzia kijiweni....mie kijiweni nilipo Chadema imefifia sana..watu wameanza kutafuta mbadala...ACT ina nafasi ya kucover hilo gap pindi itakapoanza kufanya mikutano ya kisiasa kwa nguvu ili watu waijue inasimamia kwenye nini na italeta nini ambacho vyama vingine vya upinzani vineshindwa na kufanya uwezekano wa CCM kuwa chama cha upinzani uzidi kushuka siku ata siku.

Kuna watu wanazungumzia habari ya mjini sasa kuwa ni Tanganyika tu ata kama Tanzania itakufa, ni kweli lakini ACT hapa inajipambanua kuwa Tanzania Kwanza kisha Tanganyika, means tumlinde Tanzania aendelee kuexist pamoja na uwepo wa Tanganyika.

Hiki ni kitu ambazo Ukawa sio msisitizo kwao na CCM ndio hofu yao.ACT hapa wanatoa suluhisho la mkwamo huo, kwa kujenga serikali tatu ambazo zinabebwa na serikali kuu ya Tanzania, kwa hili wanaotaka serikali tatu watazipata na wasiotaka muungano ufe watapata wanachotaka.

Tusijifanye wapiga ramli hapa, lakini ni wazi kuwa wakati wa Chadema unakwisha na pindi Ukawa itakapokufa ndio mwisho wa Chadema.Hivyo tusiwalazimishe watu wawe na mawazo sawa.ACT ni muhimu kwake kujitofautisha na vyama vingine ili kuwapa Watanzania utofauti wake.

Mkuu nafurahia mtazamo wako wa kuzingatia hoja na si kuleta vioja.

Kimsingi sipingi hicho chma kinachoitwa ACT, kama ulivyosema kimeanzishwa kwa mujibu wa sheria. Lakini tunatakiwa tujiangalie kama ni kweli tunademokrasia tunayotaka itupatie vyama tunavyohitaji....or we have a systmen where democracy is demonstration of of craziness.

Nilichokuwa najaribu kukiongelea naona umegusia vizuri. NI kwamba (kwa mujibu wa sheria) tunaanzisha vyama kutokana na upepo tu au kutokana na kile wanachosimamia wanachama. Does ACT have any ideology that its members can be identified with? au ndio chama kimeibuka kutokana na opportunity ya mkwamo wa katiba. Au ni fursa ya kumpa mtu nafasi ya kuwa mwenyekiti wa chama au kugombea urais?

Umesema ni muhmu ACT ijitofautishe na vyama vingine, in other words una maana kwa sasa kiko sawa na vyama vingine. My question is why do we have a system which allows for redundancy of political parties?

Pia umesema muda wa CHADEMA umekwisha, hapo mkuu sielewi. Ina maana sera zake zimekuwa irrelevant? au chama kilundwa kwa msingi wa personality ya mtu na sasa huyo mtu hayupo chama hakipo tena.
 
Bongolander,

Thank you !

Ningependa tujadili sana hilo suala la kisera na kiitikadi.Kuna mahali niliona wakijiita kuwa ni Social Democrats ambao kimsingi ideologically ni leftists.Sasa kwenye Ombwe la kiitikadi na kisera walete mezani ni kitu gani kilikosekana CCM(Wanaijiita Leftists ingawa wamechanganyikiwa) au CHADEMA(Centrists ambao wanaweza ku-swing Left kwenye social issues na Right kwenye Economic issues na hata haki za binadamu na za kiraia).,NCCR-Mageuzi na CUF(The Libs)

Niliona hata background figures wa chama wakiji-associate na Nyerereism wakati walikua wapinzani wakubwa wa Gradualism especially kwenye Pan-Africanism Tujadiliane sasa hapo na kama hapa sio sehemu muafaka basi tuanzishe open debate nyingine .

Sawa kabisa mkuu. Unajua ili chama kiwe chama ni vizuri tujue kinaleta nini kwenye jamii na kwa nchi yetu.

Tatizo moja ambalo CCM inakumbana nalo ni kuwa kimetupa sera zake na itikadi zake zote. Kwa sasa tunaona wazi kabisa ujamaa na kujitegemea sio sera ya CCM tena (japo katiba yao imeandika hivyo), kwa hiyo waliokuwa kwenye CCM kutokana na kuamini ndio inawaongoza kwa hilo wanaona wameachwa njia panda. Kwa sasa sera kubwa ya CCM ni ubepari/ukabaila na kuombaomba....kuna mengi ya kuthibitisha kuwa vitendo vya chama kwa sasa ni hivyo.

Nimeweka pointi hii nikitaka kusisitiza kuwa kama chama hakina sera wala itikadi, basi sio chama. Litakuwa ni famba tu. Naona ACT ni chama kilichoanzishwa bila kuwa na sera.

It is stup!d for a person who was in CDM singing all along that CDM policies are best, and then starting a political party without telling us what went wrong with policies he screamed that were best.

Kwa wanaohama CCM ni wazi kuwa sera za CCM ya leo ni tofauti kabisa na sera za CCM 15 or 30 years ago. Au wanaojiunga sasa na CCM watakuwa wanafuata de facto policies za CCM ya sasa.

kwa hiyo sera na itikadi za Chama zinatakiwa kuwa wazi, ili tujue ni chama kipi kinalenga matarajio ya mtanzania.
 
Starehe ya Tz bw hata adui yako akikupa chakula unabugia tu bila hata tahadhari, km kina sumu wote wanapuputika. Fikria chama hiki kilipozinduliwa ccm walikuwa wageni rasmi waalikwa, hivi huu upendo wa ccm na ACT ulianza lini!!! Una faida gani?? Hivyo untegemea siku moja kutakuwa na karamu ambayo mungu atashiriki na shetani kuongoza kondoo???? Hivi ccm anaweza kumpenda anaetaka kumuondolea kitumbua chake mdomoni!! ACT ni branch ya CCM wawadanganye wenye uelewa mdogo. (Divishen v)
 
Butola said:
Mchambuzi umezungumzia kijiweni....mie kijiweni nilipo Chadema imefifia sana..watu wameanza kutafuta mbadala...ACT ina nafasi ya kucover hilo gap pindi itakapoanza kufanya mikutano ya kisiasa kwa nguvu ili watu waijue inasimamia kwenye nini na italeta nini ambacho vyama vingine vya upinzani vineshindwa na kufanya uwezekano wa CCM kuwa chama cha upinzani uzidi kushuka siku ata siku.

Kwahiyo wananchi wasubiri mikutano ya hadhara kujua ACT ni chama kikuu mbadala cha upinzani?

Kuna watu wanazungumzia habari ya mjini sasa kuwa ni Tanganyika tu ata kama Tanzania itakufa, ni kweli lakini ACT hapa inajipambanua kuwa Tanzania Kwanza kisha Tanganyika, means tumlinde Tanzania aendelee kuexist pamoja na uwepo wa Tanganyika.

Tanzania itakujaje kwanza Kabla ya Tanganyika? Huo Ndio muungano imara kwa maoni na mtazamo wa ACT? Hakika hii ni failure at launch.
Tanzania kwanza, Tanganyika Kabla, nje ya hapo hakuna muungano imara wala legelege.
Hiki ni kitu ambazo Ukawa sio msisitizo kwao na CCM ndio hofu yao.ACT hapa wanatoa suluhisho la mkwamo huo, kwa kujenga serikali tatu ambazo zinabebwa na serikali kuu ya Tanzania, kwa hili wanaotaka serikali tatu watazipata na wasiotaka muungano ufe watapata wanachotaka.
Again, hizi ni pro active politics, not pre emptive. Mmesubiri miezi Sita kusoma upepo wa Tanganyika, Leo Ndio mnakuja na hoja za serikali Tatu baada ya kuona maoni ya wananchi. Katika mchango wake ndani ya BLK, zitto hakugusia suala la serikali Tatu Bali alikwepa hoja kwa kusema Kwamba haijalishi kuna serikali Ngapi huku akimaanisha Kwamba hata Mbili za sasa zinaweza kudumisha muungano. Huyu ni Mwenyekiti mtarajiwa wa ACT ambae sasa amebadili msimamo na kuegemea kwenye msimamo wa vyama Vinginevyo vyote vya upinzani.

Tusijifanye wapiga ramli hapa, lakini ni wazi kuwa wakati wa Chadema unakwisha na pindi Ukawa itakapokufa ndio mwisho wa Chadema.Hivyo tusiwalazimishe watu wawe na mawazo sawa.ACT ni muhimu kwake kujitofautisha na vyama vingine ili kuwapa Watanzania utofauti wake.
Hoja ya ukawa kufa baada ya katiba mpya pia imewahi jadiliwa na zitto. Ni Kama vile chadema kiliundwa na kufanikiwa kwa misingi ya serikali Tatu. As long as chadema kinaendelea kupigania maslahi ya wananchi, kitaendelea kuwepo na kuzidi kufanikiwa. Ni mafanikio haya Ndio mnataka kubomoa huku Mkiwa hamna lolote kwa wananchi Kama mbadala zaidi ya ombwe lenye faida kwa CCM.



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kitila mkumbo ameclarify hoja yake vizuri kabisa pale juu kuelezea tofauti baina ya muundo..missions...na visions za chadema na act bila shaka kaeleweka.

Hizo spinnings kama mnaamua kuzifanya basi ni juu yenu.

Hata kama unasema hoja ni kuwaunga mkono ukawa ndio nakuuliza kwamba wapi ambapo act ameenda kinyume na ukawa??na kama unasema kwamba chadema is a part of ukawa na huoni kwanin act na chadema watofautiane ili hali woote wanaunga mkono hoja za ukawa ndipo nikuulize sasa...kwani sera za cuf na chadema
..au nccr na cuf...au nccr na chadema zinalandana kwa fact tu kwamba wooote wanaunganishwa na ukawa??

Hao si wameumgamishwa na ukawa kupitia mzozo wa katiba ??

Sasa iweje baadhi waonekane hawana uzalendo eti kisa tu hawajaonekana moja kwa moja kuungana na ukawa.

Wewe unajua fika kwamba chadema wana chuki za waz waz na act...hata kama act inataka kujiunga na ukawa watajiunga vip ili hali tokea kimeanzishwa kinaitwa kibaraka wa ccm??

Tena hawa hawa chadema waliokawa wanaiita cuf ni ccm b ndio hawa hawa leo wameungana nao cuf kusha bila ushahid wowote wanawaita act ni kibaraka wa ccm.

Unawaamini vipi vihiyo kama hao.
Muundo na mission ya serikali tatu halijawahi kuwa suala la ubishi. Kwanza tumalizane na ama serikali mbili au tatu ndipo tuje na muundo wa hizo serikali tatu. Inaonekana Kitila anafanya kile Wamarekani wanaita putting the cart ahead of the horse, ili tu kujionyesha ACT inatofautiana na UKAWA.
 
Back
Top Bottom