Mbowe anaitwa Mr. Zero kwa sababu alitaga mtihani wa form six. Au wewe hujui? Zitto hawezi kuwa Mr. Zero kwa sababu mwenzio ni msomi na anamalizia PhD.
Maoni ya ACT yanatofauti gani na Maoni yaliyotolewa na CHADEMA?Yaani mna-copy na Ku-paste maoni ya CHADEMA?
Tena asilimia kubwa ya maoni hayo ni kwa tume ya katiba.Hilo la kuahirisha Bunge pia ni maoni ya CHADEMA na hata marekebisho ya katiba kuruhusu uundwaji wa tume huru ya uchaguzi na taasisi nyingine za kidemokrasia ni maoni ya CHADEMA
Huu ujanja ujanja wa kudandia hoja ndio uliowapeleka JB Hotel kuitisha Press?
Masikini Imebidi.........chama cha uwazi hiki .........aibu Dr.Kitila Mtumbo hii.......utajiri cha wapi ?Karibu. Wewe unajua mie siogopi mijadala. Tulipendekeza lakini wakubwa hawakuchangamkia pendekezo la kushusha umri wakidhani tulikuwa tunalenga kumtengenezea njia hasimu wao kisiasa. Kwa hiyo jambo hili halijawahi kupewa nafasi katika mijadala ndani ya cdm, labda baada ya sie kuondoka.
Masikini ulidhani umejificha kumbe uko peupe .......aibu sana hii........You are just too short sighted. Yaani badala kuangalia hoja unaangalia mtu. Huyu Zitto kwa nini anawatesa hivi? Tunajadili umri wa kugombea tukilenga kukomesha ubaguzi wa umri, wewe unaongelea personality ya Zitto. Mtafute mkanywe naye chai!
v) Kuweka msingi wa kikatiba kwamba wagombea Urais lazima wawe na angalau midahalo mitatu katika kipindi cha kampeni.
Yaani katiba it aje idadi ya midahalo ya wagombea Urais kweli ?
Masikini Imebidi .........Nimepitia maandishi yake ni aibu tupu ana matusi ambayo ni aibu sana ,,,,,,,kweli Imebidi Dr.Kitila Mtumbo .........ona sasa aibu hizi ........usaliti ni dhambi mbaya na lazima utaumbuka .....huyu Imebidi alianza usaliti tangu zama za akina Gervas Mkili .......
Huyo ni mwalimu wa kigoma bwana.Wewe ni mwalimu gani ambaye hata kupangilia kazi yako hujui? Omba msaada basi kwa mods wakuwekee vema
Karibu. Wewe unajua mie siogopi mijadala. Tulipendekeza lakini wakubwa hawakuchangamkia pendekezo la kushusha umri wakidhani tulikuwa tunalenga kumtengenezea njia hasimu wao kisiasa. Kwa hiyo jambo hili halijawahi kupewa nafasi katika mijadala ndani ya cdm, labda baada ya sie kuondoka.
Hadi sasa sijui nimjibu nani kati ya hizo ID mbili.
Matola,njoo umuone IMebidi. Nasubiria comment yakoKaribu. Wewe unajua mie siogopi mijadala. Tulipendekeza lakini wakubwa hawakuchangamkia pendekezo la kushusha umri wakidhani tulikuwa tunalenga kumtengenezea njia hasimu wao kisiasa. Kwa hiyo jambo hili halijawahi kupewa nafasi katika mijadala ndani ya cdm, labda baada ya sie kuondoka.
Maoni ya ACT yanatofauti gani na Maoni yaliyotolewa na CHADEMA?Yaani mna-copy na Ku-paste maoni ya CHADEMA?
Tena asilimia kubwa ya maoni hayo ni kwa tume ya katiba.Hilo la kuahirisha Bunge pia ni maoni ya CHADEMA na hata marekebisho ya katiba kuruhusu uundwaji wa tume huru ya uchaguzi na taasisi nyingine za kidemokrasia ni maoni ya CHADEMA
Huu ujanja ujanja wa kudandia hoja ndio uliowapeleka JB Hotel kuitisha Press?
Viongozi wetu walikua kwenye vikao.Kunahitaji maridhiano gani zaidi ya kujadili Maoni ya Rasimu ya Tume yaliyotolewa na Wananchi?Maridhiano ya kukubali kupunguza People's Sovereignity katika utungaji wa katiba ni hujuma kwa Taifa na watu wake
Yaan fikra hizi ndio una exponsure ya kuishi nje ya Tenende....sijui ungekuwa bado kijijini Tenende ungekuwaje?
Nakusamehe bure...
Mbowe anaitwa Mr. Zero kwa sababu alitaga mtihani wa form six. Au wewe hujui? Zitto hawezi kuwa Mr. Zero kwa sababu mwenzio ni msomi na anamalizia PhD.
Inasound vizuri sana "Mr Zero a.k.a Zitto". Mkurugenzi wa SACCOS ya ACT ambayo pia ni nyumba ndogo ya CCM.
Kuhusu mwenendo wa MM kuanzia sasa:
Ni maoni yetu pia kwamba kuanzia sasa MM aenende katika mwenendo ambao utarahisisha ushindi. Mfano tunapendekeza afanye yafuatayo kuanzia sasa:
Apunguze ukaribu na viongozi wa serikali na wa chama tawala na awe crical zaidi na utendaji wa serikali nje na ndani ya bunge.
Ashiriki kikamilifu katika shughuli za taasisi yetu zikiwamo vikao vyote vinavyomhusu, operesheni mbalimbali, chaguzi ndogo, nk.
Kwani kujiunga na ukawa ni lazima??
Wapu imeandikwa kwamba ili uonekane muadilifu ni lazima ujiunge na ukawa.
Watu hawawez kusimamia haki hadi wajiunge na ukawa?
Hoja Hapa sio Kujiunga na ukawa Bali kuunga Mkono msimamo wa ukawa. Ni busara kuacha duplicate resources and efforts Katika suala Zima la kudai katiba itokanayo na wananchi. Tayari vyama vya upinzani vina msimamo wa pamoja juu ya Hilo, sasa ukawa ni upinzani wa wapi, je ni mpinzani wa vyama vya upinzani? Mnachanganya sana wananchi, Kaeni vijiweni msikie mnavyokoroga wananchi.
Msimamo wa ACT sasa unatafsiriwa na wengi Kwamba ni sawa na kuunga Mkono UKAWA. Kinachochanganya na pia kushangaza wananchi Wengi ni je, kwanini ACT wanaendelea kuhangaika kujitofautisha na chadema Katika suala husika Wakati kimsingi Madai ya ukawa (chadema) ni Yale Yale Kama ya ukawa - katiba itokanayo na wananchi hasa Mfumo wa muungano?
Hizi hoja na juhudi za Kitila Mkumbo kutofautisha msimamo wa ACT vis a vis Chadema kwa hoja Kwamba chadema wanapendekeza serikali Tatu Zenye muungano legelege Wakati ACT wanapendekeza serikali Tatu Zenye muungano imara ni hoja ya kitoto sana. Msingi wa hoja Hapa ni muungano wa serikali Tatu, period. Hayo Ndio wamesema wananchi, Hayo mengine juu ya uimara na ulegelege wa muungano wa serikali Tatu ni masuala ya kujadiliwa bungeni, na hiyo Ndio kazi ya BLK - kuboresha rasimu itokanayo na wananchi.
Cc Nguruvi3, Mag3, JokaKuu, Jasusi
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hadi hapa Kitila na ACT, wanatoa mapenekezo hayaACT: ACT-Tanzania: 7. Kutokana na mazingira ya mchakato wa Katiba tuliyoeleza hapo juu, ACT-Tanzania inapendekeza hatua zifuatazo zichukuliwe mapema iwezekanavyo ili kunusuru mchakato wa Katiba
Anachronism! Tatizo ni kukwama kwa mchakato si vipengele husika. Mumedai mnapendekeza kukwamua mchakato.v) Kuweka sharti kwamba ili mgombea atangazwe kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano lazima apate angalau asilimia 50 ya kura zilizo halali.
Irrelevant, tumekwama mchakato hili linahusiana vipi na sehemu ya 7 ya mapedekezo yenu!v) Kuweka msingi wa kikatiba kwamba wagombea Urais lazima wawe na angalau midahalo mitatu katika kipindi cha kampeni.
Here we go! BMK limejadili kanuni, na muundo ndipo lilipokwama.vi) Kuondoa suala la Mafuta na Gesi katika mambo ya Muungano ili kuruhusu Zanzibar kuendelea na utafutaji wa Mafuta na Gesi asilia kwa uhuru na bila kuingiliwa na Tanzania bara
Hakuna uhusiano na kukwama kwa BMK.vii) Kuruhusu Zanzibar kuwa na mahusiano na ushirikiano wa kimataifa (International Cooperation) kwa faida za maendeleo yake.
Kitila usijeniambia ni typo error!Chama cha ACT-Tanzania kinasikitika .......... Bila kujali sababu za kundi la UKAWA....haiamini kwamba mchakato huu utadhaa Katiba bora
Nimelisoma tamko nakubaki kujiuliza maswali mengi, kama kuna umakini wa aina yoyote.
1. Tamko hili ni mwendelezo wa matamko waliyotoa UKAWA, CCM(Lembeli, Miwgulu) na wazee (Mark Boman), waandishi wa habari na wanajamii.
Hakuna walichokiongelea ACT kigeni zaidi ya kunukuu watu bila acknowledgement.
2. ACT wameorodhesha matatizo ya BMK. ACT hawajaweka wazi tatizo ni nini.
Wame epuka kusema rasimu ya kujadiliwa ni ya Warioba.
Wamekwepa kusema maoni ya tume ili kutowaudhi CCM kwa kujificha.Hilo ni kuwachanganya watu na wala si kuonyesha njia.
3. Suala la umri si agenda ya ACT. Tumejadiliana jamvini na akina Ben Saanane, MWANAKIjiji, JokaKuu, Jasusi, Mchambuzi , Bongolander, Mag3 n.k. muda mrefu
Tumepingana na akina Ben, leo tunaaminishwa ni jambo geni kabisa eti lina umakini. Mnachokifanya ni kujificha nyuma ya kundi la January na Zitto na agenda yao.
Hatutengenezi katiba ya watu wawili, tunatengeneza katiba ya nchi.
4. Mchambuzi anauliza, iwapo CUF, CDM, NCCR kila mmoja atakuja na madai yanayofanana kuna ulazima wa kufanya hivyo? Nami nauliza, kama ACT wana madai yanayofanana na UKAWA kuna ulazima wa kuja na kitu kile kile.
5. Hoja ya Kitila Mkumbo kuhusu S3 ni mfu.
Kinachojadiliwa ni muundo wa muungano kwanza, ndilo tatizo la kukwama BMK.
Namna gani serikali 3 zitakuwa imara au dhaifu hilo ndilo lipo mbele ya BMK.
Hoja ya msingi ni S3 kwanza. Hayo ya lege lege na imara ni mambo baada ya hoja kuu.Kusema ACT ina hoja imara tusizozijua na tusizozifahamu ni ad hominem
6. Tamko la ACT lilikusudia kueleza msimamo kuhusu BMK na mtafaruku unaoendelea.
Ukiliangalia ni tamko la jumla na hilo halina tatizo hata kama wanadurusu ya wenzao.
Tatizo ni pale Kitila anapoingia katika mkumbo usiolingana naye.
Kitila, katika tamko la jumla ni aibu kuongelea vipengele visivyohusika
Hili tamko, Dr, ni la kiwango kisicholingana na hadhi yako, nakuthibitishia hapa chini.
Soma kifungu hiki
Hadi hapa Kitila na ACT, wanatoa mapenekezo haya Anachronism! Tatizo ni kukwama kwa mchakato si vipengele husika. Mumedai mnapendekeza kukwamua mchakato.
Hili lina uhusiano gani na tatizo lililopo? Irrelevant, tumekwama mchakato hili linahusiana vipi na sehemu ya 7 ya mapedekezo yenu! Here we go! BMK limejadili kanuni, na muundo ndipo lilipokwama.
Halijajadili kiengele hata kimoja kinachohusu mambo ya muungano.
Wapi mnaona suala la gesi na mafuta ni sehemu ya tatizo tulilo nalo?
Hii haina maana yoyote kufuatana na kipengele namba 7 cha tamko lenu.
Tamko ni kukwamua mchakato si mafuta na gesi
Lakini pia mumeshindwa kuelewa.
Tume imeorodhesha matatizo mengi kuhusu muungano kwa pande zote.
Katiba tunayotaka kutengeneza si ya mafuta na gesi, na wala si katiba ya zanzibar.
Kuna matatizo ya Tanganyika.
Mnapochagua kipengele kama na kukifanya sehemu ya kukwamua mchakato, inasikitisha Kitila.
Zaidi ya hapo, gesi na mafuta si mambo ya muungano tena. Zanzibar walishaondoa.
Ningaliwaelewa kama mngeongele uvunjwaji wa katiba, na si ku-appease wznz kwa cheap politics za kitoto namna hii. Hakuna uhusiano na kukwama kwa BMK.
Mnachomeka vipengele kufurahisha watu, Kitila anasema ni tamko makini. Real ! This one!
Na mwisho, Kitila, ukiangalia lugha tu inatia shaka kama unapitia na kuhakiki matamko makubwa 'makini'. Kitila usijeniambia ni typo error!
Ndio maana nakusihi uangalie matamko kama haya, hayalingani na hadhi yako.
Ahsante