Msimamo wa China kuhusu mgogoro wa Ukraine


Asante mkuu nimekuelewa
Pamoja sana
 
Sema pia Kuna sababu ya kufanya haya wanayoyafanya
Mfano
Russia iki introduce tu democracy......chaap mmarekan ataweka puppet pale Russia .....as well as CHINA
Nchi ikiwa ya demokrasi, kiongozi anachaguliwa na wanachi wenyewe, wakiona ni puppet wa nchi nyingine wanamuandoa; ndiyo maana ya demokrasi.
 
Kweli kabsa mkuu.....now Russia kaona kidgo apunguze makali kwa kumgeukia Xi wa china
 
Katika Democracy, kiongozi wa nchi si anapatikana kutoka kwa wananchi kupitia uchaguzi huru na wa haki? Huyo 'puppet' wa Marekani anatokea wapi hapo?
Mkuu ....marekan ni kitu kingine kuhusu haya mambo......Nadhan una mkumbuka yule Alex.Navaz....mwanaharakati wa urusi aliyekamatwa.... Aliungwa mkono na nchi za magharibi...... assume Kama ndo anakuwa president
 
kuna ubaya gani kwan kuna ulazima kila mmoja aendeshe ist wengin si wanaweza wakaendesha hata harrier wakiamua
fikra zakitumwa mpaka leo zinawatesa kweli kweli
nyie mlobadilisha marais mmewazidi nini RUSSIA na UCHINA kwenye angle za KISIASA KIJESHI KIUCHUMI nk mmewazidi kwenye sekta gani?
 
Haya ndio madhara ya kutosoma historia. Una habari kuwa China na Urusi zimeshawahi kuzichapa (kupigana)?

Una habari kuwa Marekani na Urusi zimeshawahi kuwa nchi washirika kijeshi katika vita?
ukisoma historia unahabari US alishawahi kua koloni la UK
mambo yanakawaida yakubadilika
 
Yaaah mkuu ....nakumbuka but baada tu ya Ww2 ...1945 uadui ulirud Tena[emoji23][emoji23][emoji23] baada ya cold war kuanza ..... mmoja anaamini socialism huku mwingine capitalism
 
ukisoma historia unahabari US alishawahi kua koloni la UK
mambo yanakawaida yakubadilika
Pia kwa saiz.....ukichek vizr unaona kabisa .....saiz Uk ni kolon la marekani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].....coz kila marekan anachosema ......nao wapo
 
Kikubwa ukitaka kufaidi.....nenda kutokana na anavyotaka

Mfano Djbout Wana rais dictator toka kitambo ......but USA hawajawahi mzungumzia .......kwasabu .....Kuna military bases zake pale

Kweli kabisa uwe kibaraka wao na wanachotaka uhakikishe hakuna kukataa
Ila siku ukienda tofauti na wao utaondoka na utafanyiwa vitimbwi
 
Fuatilia kwanini kwenye janga la korona waliokufa wengi ni weusi
huko marekani .
Mtu anayeishi kijijini Tanzania ni bora x100 kuliko mtu anaeishi kwenye slums huko Marekani na ulaya.
Huu ni ushabiki sasa,
Wewe unaishi wapi? tuanzie hapo
Umefika vijiji vingapi Tanzania hii?
 
Mkuu ....marekan ni kitu kingine kuhusu haya mambo......Nadhan una mkumbuka yule Alex.Navaz....mwanaharakati wa urusi aliyekamatwa.... Aliungwa mkono na nchi za magharibi...... assume Kama ndo anakuwa president
Akiungwa mkono na mataifa ya nje sio shida.

Demokrasia haikomei katika uchaguzi wa kiongozi wa nchi pekee, bali inakwenda mpaka katika mfumo wa utawala na taasisi zake. Kuna bunge, upinzani, mahakama, vyombo vya habari ambavyo ni huru n.k. Rais asipowafaa wananchi, anaondolewa madarakani kupitia bunge lenye wawakilishi wa wananchi au uchaguzi mkuu.
 
....Huelewi maana ya demokrasi. Na vile vile hujui maisha ndani ya Urusi na Uchina, unaangalia yale mapambo ya nje tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…