Msimamo wa China kuhusu mgogoro wa Ukraine

Msimamo wa China kuhusu mgogoro wa Ukraine

Akiungwa mkono na mataifa ya nje sio shida.

Demokrasia haikomei katika uchaguzi wa kiongozi wa nchi pekee, bali inakwenda mpaka katika mfumo wa utawala na taasisi zake. Kuna bunge, upinzani, mahakama, vyombo vya habari ambavyo ni huru n.k. Rais asipowafaa wananchi, anaondolewa madarakani kupitia bunge lenye wawakilishi wa wananchi au uchaguzi mkuu.
Ni kweli...but huwa tunaamin kuwa mtu anayekubalika na western ....huwa hafai ....rejea kwa TUndu lisu...,. Wabongo walikuwa wanamsema ni kibaraka
 
Sina chakupoteza me mwenyewe natafuta hela ya kula tu kila siku ..kazi kwao watu wa uchumi wa Kati
...miembe yote kijijini na bahari haikauki
Kim jong un........Alisema anakombora ambazo zinaweza kuichemsha bahari.....so itakauka
 
unaweza ukawa upo sahihi kua sielewi maana ya demoghasia ila wewe unaweza ukawa huelewi zaidi yangu lolote kuhusu demoghasi
pia inawezekana nikawa siyajui maisha ya UCHINA na URUSI ila wewe ukawa huyajui zaidi na hutayaju mpaka unakufa ama utayajua ama unayajua ila unajitoa ufahamu
....Huelewi maana ya demokrasi. Na vile vile hujui maisha ndani ya Urusi na Uchina, unaangalia yale mapambo ya nje tu.
kama demoghasia yenyewe ndio hii inayowaadhibu kina edward snowden na julian assange bora kusiwe na hata chembe ya hio mnayoiita demoghasia maana haijawahi kufaulu popote pale
kama kuyajua maisha yakimaghribi ndio haya ya unafiq nakutumia demoghasia kudhalilisha kunyanyasa watu ulimwenguni bora nidiyaju daima
mfumo wakidemoghasia ni failure system inatakiwa upigwe vita kwanguvu zote am ufanyiwe marekebisho makubwa sana haufai hata kuongozea mtaa sio nchi
 
Ni kweli...but huwa tunaamin kuwa mtu anayekubalika na western ....huwa hafai ....rejea kwa TUndu lisu...,. Wabongo walikuwa wanamsema ni kibaraka
kwa 99% mtu anaekubalika na hao wapuuzi hua hafai na nikibaraka kweli kama sio kibaraka lazima yatakukuta ya hugo chavez ya maduro ya IRAN nk
 
unaweza ukawa upo sahihi kua sielewi maana ya demoghasia ila wewe unaweza ukawa huelewi zaidi yangu lolote kuhusu demoghasi
pia inawezekana nikawa siyajui maisha ya UCHINA na URUSI ila wewe ukawa huyajui zaidi na hutayaju mpaka unakufa ama utayajua ama unayajua ila unajitoa ufahamukama demoghasia yenyewe ndio hii inayowaadhibu kina edward snowden na julian assange bora kusiwe na hata chembe ya hio mnayoiita demoghasia maana haijawahi kufaulu popote pale
kama kuyajua maisha yakimaghribi ndio haya ya unafiq nakutumia demoghasia kudhalilisha kunyanyasa watu ulimwenguni bora nidiyaju daima
mfumo wakidemoghasia ni failure system inatakiwa upigwe vita kwanguvu zote am ufanyiwe marekebisho makubwa sana haufai hata kuongozea mtaa sio nchi
Yaaaah mkuu......umeeleweka Sana .......coz hata Mambo ya ushoga ni aina ya democracy......let live people as they wish
 
kwa 99% mtu anaekubalika na hao wapuuzi hua hafai na nikibaraka kweli kama sio kibaraka lazima yatakukuta ya hugo chavez ya maduro ya IRAN nk
Daaaaah sure mkuu.....yule jamaa Hugo Chavez ametulia sana
 
Back
Top Bottom