Msimamo wa Kundi A: Mstari gani kwenye biblia unaweza kuipeleka Yanga robo fainali?

Utopolo 🐸 🐸 🐸 pambaneni nafasi ipo
 
Mathayo 11:28 “Njoni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha”.
 
Wafilipi 4:13 “Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu”
 
Isaya 41:10 “usiogope, kwa maana mimi ni pamoja nawe; usifadhaike, kwa maana mimi ni Mungu wako; nitakutia nguvu, naam, nitakusaidia, naam, nitakushika kwa mkono wa kuume wa haki yangu”.
 
Imeandikwa: Imewapasa kuomba pasipokukata tamaa
 
Isaya 40:31 “bali wao wamngojeao Bwana watapata nguvu mpya; watapanda juu kwa mbawa kama tai; watapiga mbio, wala hawatachoka; watakwenda kwa miguu, wala hawatazimia”.
 
Imeandikwa: Imewapasa kuomba pasipokukata tamaa
Kumbukumbu 31: 6 “Iweni hodari na moyo wa ushujaa, msiogope wala msiwahofu; kwa maana Bwana, Mungu wako, yeye ndiye anayekwenda pamoja nawe, hatakupungukia wala kukuacha”.
 
1Wakorintho 10:13 “Jaribu halikuwapata ninyi, isipokuwa lililo kawaida ya wanadamu; ila Mungu ni mwaminifu; ambaye hatawaacha mjaribiwe kupita mwezavyo; lakini pamoja na lile jaribu atafanya na mlango wa kutokea, ili mweze kustahimili”.
 
1Wakorintho 10:13 “Jaribu halikuwapata ninyi, isipokuwa lililo kawaida ya wanadamu; ila Mungu ni mwaminifu; ambaye hatawaacha mjaribiwe kupita mwezavyo; lakini pamoja na lile jaribu atafanya na mlango wa kutokea, ili mweze kustahimili”.
Jaribu la kufungwa mechi zote nyumbani na ugenini.....siwapi mistari mingine
 
Watumie kitabu cha Wagagagigikoko II au ile sura isemayo "Paulo hatutaki kucheza na wewe.Una mikono michafu"!Na kama itashindikana kueleweka,watumie ile sura ya Bulocheka na Losabeta walivyosafiri baharini kwa kutumia meza kama meli.Mola awarehemu sana watu wa nyuma kuna mwiko.Aiiimeeen!🙏
 
Hapa tutampa Mungu lawama za Bure tu😁😁.
Wapewe Asante TU kwa kushiriki
 
Msimamo sio mbaya kwa Yanga kama atakomaa na mechi zake ashinde zote. Mechi ya marudiano hapo inatakiwa tena Al Hilal amfunge Mc Alger tena. Matokeo ya jana imeifanya nafasi ya pili kuwa wazi kila timu inayo nafasi
 
Iyo point Moja waliyoipata ugenini Ina maana kubwa sana wakizichanga karata zao vizuri,,mechi 2 nyumbani zinaweza kubadili mambo kabisa ukizingatia wapinzani wao wakubwa Mc alger na mazembe wamebakisha mechi Moja Moja nyumbani kwao,,cha msingi wafanye kazi ya ziada kuzipata hizo 6 kwanza za nyumbani baada ya hapo itajulikana kundi likoje
 
Kumbukumbu 31: 6 “Iweni hodari na moyo wa ushujaa, msiogope wala msiwahofu; kwa maana Bwana, Mungu wako, yeye ndiye anayekwenda pamoja nawe, hatakupungukia wala kukuacha”.
Jamaa yupo mjini mcheki basi😄
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…