Utopolo 🐸 🐸 🐸 pambaneni nafasi ipoView attachment 3176933
Msimamo upo taiti sana kwa Yanga, msimamo unamaanisha kwamba kuna timu ina point moja tu ikishika mkia inataka kuingia robo. Yaani timu zingine pale juu ziwe zinaitazama tu ikiingia robo, just imagine
Sio kwamba haiwezekani. Mungu ana miujiza yake
Kwa hiyo ina hitaji maombi mazito sana. Kuna vifungu vya kwenye biblia au msaafu inabidi vitumike kuipeleka Yanga robo
Hahahaha Niko ibadani lakini nimecheka kama mazuri vile.Huyu ndio nabii wanayemtumia kwa sasa baada ya kuachana na Mashimo. Huyu atawasaidia sana maana nabii zake nyingi kuhusu soka hutimia
Wafilipi 4:13 “Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu”View attachment 3176933
Msimamo upo taiti sana kwa Yanga, msimamo unamaanisha kwamba kuna timu ina point moja tu ikishika mkia inataka kuingia robo. Yaani timu zingine pale juu ziwe zinaitazama tu ikiingia robo, just imagine
Sio kwamba haiwezekani. Mungu ana miujiza yake
Kwa hiyo ina hitaji maombi mazito sana. Kuna vifungu vya kwenye biblia au msaafu inabidi vitumike kuipeleka Yanga robo
Isaya 41:10 “usiogope, kwa maana mimi ni pamoja nawe; usifadhaike, kwa maana mimi ni Mungu wako; nitakutia nguvu, naam, nitakusaidia, naam, nitakushika kwa mkono wa kuume wa haki yangu”.View attachment 3176933
Msimamo upo taiti sana kwa Yanga, msimamo unamaanisha kwamba kuna timu ina point moja tu ikishika mkia inataka kuingia robo. Yaani timu zingine pale juu ziwe zinaitazama tu ikiingia robo, just imagine
Sio kwamba haiwezekani. Mungu ana miujiza yake
Kwa hiyo ina hitaji maombi mazito sana. Kuna vifungu vya kwenye biblia au msaafu inabidi vitumike kuipeleka Yanga robo
Imeandikwa: Imewapasa kuomba pasipokukata tamaaView attachment 3176933
Msimamo upo taiti sana kwa Yanga, msimamo unamaanisha kwamba kuna timu ina point moja tu ikishika mkia inataka kuingia robo. Yaani timu zingine pale juu ziwe zinaitazama tu ikiingia robo, just imagine
Sio kwamba haiwezekani. Mungu ana miujiza yake
Kwa hiyo ina hitaji maombi mazito sana. Kuna vifungu vya kwenye biblia au msaafu inabidi vitumike kuipeleka Yanga robo
Isaya 40:31 “bali wao wamngojeao Bwana watapata nguvu mpya; watapanda juu kwa mbawa kama tai; watapiga mbio, wala hawatachoka; watakwenda kwa miguu, wala hawatazimia”.View attachment 3176933
Msimamo upo taiti sana kwa Yanga, msimamo unamaanisha kwamba kuna timu ina point moja tu ikishika mkia inataka kuingia robo. Yaani timu zingine pale juu ziwe zinaitazama tu ikiingia robo, just imagine
Sio kwamba haiwezekani. Mungu ana miujiza yake
Kwa hiyo ina hitaji maombi mazito sana. Kuna vifungu vya kwenye biblia au msaafu inabidi vitumike kuipeleka Yanga robo
Kumbukumbu 31: 6 “Iweni hodari na moyo wa ushujaa, msiogope wala msiwahofu; kwa maana Bwana, Mungu wako, yeye ndiye anayekwenda pamoja nawe, hatakupungukia wala kukuacha”.Imeandikwa: Imewapasa kuomba pasipokukata tamaa
Jaribu la kufungwa mechi zote nyumbani na ugenini.....siwapi mistari mingine1Wakorintho 10:13 “Jaribu halikuwapata ninyi, isipokuwa lililo kawaida ya wanadamu; ila Mungu ni mwaminifu; ambaye hatawaacha mjaribiwe kupita mwezavyo; lakini pamoja na lile jaribu atafanya na mlango wa kutokea, ili mweze kustahimili”.
Yanga haina tunguliMnatanguliza matunguli halafu mwisho mnataka Mungu awasaidie
Watumie kitabu cha Wagagagigikoko II au ile sura isemayo "Paulo hatutaki kucheza na wewe.Una mikono michafu"!Na kama itashindikana kueleweka,watumie ile sura ya Bulocheka na Losabeta walivyosafiri baharini kwa kutumia meza kama meli.Mola awarehemu sana watu wa nyuma kuna mwiko.Aiiimeeen!🙏View attachment 3176933
Msimamo upo taiti sana kwa Yanga, msimamo unamaanisha kwamba kuna timu ina point moja tu ikishika mkia inataka kuingia robo. Yaani timu zingine pale juu ziwe zinaitazama tu ikiingia robo, just imagine
Sio kwamba haiwezekani. Mungu ana miujiza yake
Kwa hiyo ina hitaji maombi mazito sana. Kuna vifungu vya kwenye biblia au msaafu inabidi vitumike kuipeleka Yanga robo
Msimamo sio mbaya kwa Yanga kama atakomaa na mechi zake ashinde zote. Mechi ya marudiano hapo inatakiwa tena Al Hilal amfunge Mc Alger tena. Matokeo ya jana imeifanya nafasi ya pili kuwa wazi kila timu inayo nafasiView attachment 3176933
Msimamo upo taiti sana kwa Yanga, msimamo unamaanisha kwamba kuna timu ina point moja tu ikishika mkia inataka kuingia robo. Yaani timu zingine pale juu ziwe zinaitazama tu ikiingia robo, just imagine
Sio kwamba haiwezekani. Mungu ana miujiza yake
Kwa hiyo ina hitaji maombi mazito sana. Kuna vifungu vya kwenye biblia au msaafu inabidi vitumike kuipeleka Yanga robo
Iyo point Moja waliyoipata ugenini Ina maana kubwa sana wakizichanga karata zao vizuri,,mechi 2 nyumbani zinaweza kubadili mambo kabisa ukizingatia wapinzani wao wakubwa Mc alger na mazembe wamebakisha mechi Moja Moja nyumbani kwao,,cha msingi wafanye kazi ya ziada kuzipata hizo 6 kwanza za nyumbani baada ya hapo itajulikana kundi likojeView attachment 3176933
Msimamo upo taiti sana kwa Yanga, msimamo unamaanisha kwamba kuna timu ina point moja tu ikishika mkia inataka kuingia robo. Yaani timu zingine pale juu ziwe zinaitazama tu ikiingia robo, just imagine
Sio kwamba haiwezekani. Mungu ana miujiza yake
Kwa hiyo ina hitaji maombi mazito sana. Kuna vifungu vya kwenye biblia au msaafu inabidi vitumike kuipeleka Yanga robo
Jamaa yupo mjini mcheki basi😄Kumbukumbu 31: 6 “Iweni hodari na moyo wa ushujaa, msiogope wala msiwahofu; kwa maana Bwana, Mungu wako, yeye ndiye anayekwenda pamoja nawe, hatakupungukia wala kukuacha”.
Sema nini? Simuoni wa kutoa huo unabii huko Yanga