Msimamo wa Kundi A: Mstari gani kwenye biblia unaweza kuipeleka Yanga robo fainali?

Msimamo wa Kundi A: Mstari gani kwenye biblia unaweza kuipeleka Yanga robo fainali?

Twende na hii tenzi ya rohoni,ukiwa unaenda au kutoka kanisani!!!

"Teeenda muujiza,teeenda muuujizaaaaa!.Usiache Bwana,mwaka huu upite bila kutenda muujiza"
 
Bila kufukuzwa kocha yule mtajichosha tu,Sare ya Jana hata wachezaji walishangaa.Imagine Mmefungwa wachezaji wanacheza wanatembea uwanjani bila kashikashii,kocha nisawa na mwl wa certificate kufundisha Hesabu Form 6
 
Watumie kitabu cha Wagagagigikoko II au ile sura isemayo "Paulo hatutaki kucheza na wewe.Una mikono michafu"!Na kama itashindikana kueleweka,watumie ile sura ya Bulocheka na Losabeta walivyosafiri baharini kwa kutumia meza kama meli.Mola awarehemu sana watu wa nyuma kuna mwiko.Aiiimeeen!🙏
Hivi, umeshawahi kusikia au kuona wapi farasi kajikwaa halafu mpanda farasi kaanguka?
 
View attachment 3176933

Msimamo upo taiti sana kwa Yanga, msimamo unamaanisha kwamba kuna timu ina point moja tu ikishika mkia. Nayo inataka kuingia robo fainali. Yaani timu zingine pale juu ziwe zinaitazama tu ikiingia robo, just imagine

Sio kwamba haiwezekani. Mungu ana miujiza yake
Kwa hiyo ina hitaji maombi mazito sana. Kuna vifungu vya kwenye biblia au msaafu inabidi vitumike kuipeleka Yanga robo
Pamoja na maombi, kwenye dirisha dogo la usjili wafanye umakini wa usajili wa washambuliaji na viongo wakabaji

If you ask God to forgive your sins, God forgives all sins, but also do not remember your sins any more

Ukimuomba Mungu akusamehe dhambi zako, Mungu husamehe dhambi zote lakini na wewe usizikumbuke tena dhambi ulizo omba usamehewe
 
Mwakarobo fc msichangie mkae mbali.
 
View attachment 3176933

Msimamo upo taiti sana kwa Yanga, msimamo unamaanisha kwamba kuna timu ina point moja tu ikishika mkia. Nayo inataka kuingia robo fainali. Yaani timu zingine pale juu ziwe zinaitazama tu ikiingia robo, just imagine

Sio kwamba haiwezekani. Mungu ana miujiza yake
Kwa hiyo ina hitaji maombi mazito sana. Kuna vifungu vya kwenye biblia au msaafu inabidi vitumike kuipeleka Yanga robo
Wala hakuna miujiza, ni kushinda tu mechi zilizobaki
 
Haya matokeo yanatoa tumaini kwa Yanga. !

Akishinda mechi zake zilizobaki guarantee anakwenda!

Al hilal ameshindikana!
Huu ndio ujinga wenu

Yani mechi zenu mnazicheza midomoni na zote mnashinda halafu za wenzenu mnawafungisha.

Achilia mbali mwenye pointi 2 eti mwenye pointi 1 anajipa matumaini zaidi kuliko mwenye 4.

Huu ni ujinga
 
Yanga ataenda robo fainali kama dirisha dogo la usajili atalitumia vizuri, mfano sioni haja ya kuwa na strikers 3 wa kigeni wakati timu ina mapungufu sehem nyingine,
una Mzize anayecheza aina moja ya uchezaji na Musonda, Toa Msonda na Baleke, muache Dube na yule mganda then sajili kiungo wa maana, viungo type ya Mudathir hawakufikisha robo fainali sababu consistence!
 
Hivi katika misimamo ya makundi yote ya cc kuna timu yoyote yenye pointi 1 au chini ya hapo? Nauliza tu.
 
Yanga ataenda robo fainali kama dirisha dogo la usajili atalitumia vizuri
Dirisha dogo kwa Yanga anatakiwa kuwatumia robo fainali kama itatokea miujiza akipenya
Mkeka uliotandika wote ni useless
 
Back
Top Bottom