Magwangala
JF-Expert Member
- Oct 4, 2011
- 2,836
- 2,138
Mkuu, huyu nabii atawasaidia sana maana ni mshabiki kindakindaki wa Yanga na anafanya kwa kujitolea tu, Mashimo dau lake ni kubwa ndio maana wamemtosaHahahaha Niko ibadani lakini nimecheka kama mazuri vile.
Ni wabahiliMkuu, huyu nabii atawasaidia sana maana ni mshabiki kindakindaki wa Yanga na anafanya kwa kujitolea tu, Mashimo dau lake ni kubwa ndio maana wamemtosa
Hesabu unazopiga na wenzako wawili wamzipiga hapo hujamuweka al hilal, haya fanya kila mtu ashinde mechi zakeHaya matokeo yanatoa tumaini kwa Yanga. !
Akishinda mechi zake zilizobaki guarantee anakwenda!
Al hilal ameshindikana!
Hivi, umeshawahi kusikia au kuona wapi farasi kajikwaa halafu mpanda farasi kaanguka?Watumie kitabu cha Wagagagigikoko II au ile sura isemayo "Paulo hatutaki kucheza na wewe.Una mikono michafu"!Na kama itashindikana kueleweka,watumie ile sura ya Bulocheka na Losabeta walivyosafiri baharini kwa kutumia meza kama meli.Mola awarehemu sana watu wa nyuma kuna mwiko.Aiiimeeen!π
Pamoja na maombi, kwenye dirisha dogo la usjili wafanye umakini wa usajili wa washambuliaji na viongo wakabajiView attachment 3176933
Msimamo upo taiti sana kwa Yanga, msimamo unamaanisha kwamba kuna timu ina point moja tu ikishika mkia. Nayo inataka kuingia robo fainali. Yaani timu zingine pale juu ziwe zinaitazama tu ikiingia robo, just imagine
Sio kwamba haiwezekani. Mungu ana miujiza yake
Kwa hiyo ina hitaji maombi mazito sana. Kuna vifungu vya kwenye biblia au msaafu inabidi vitumike kuipeleka Yanga robo
Wala hakuna miujiza, ni kushinda tu mechi zilizobakiView attachment 3176933
Msimamo upo taiti sana kwa Yanga, msimamo unamaanisha kwamba kuna timu ina point moja tu ikishika mkia. Nayo inataka kuingia robo fainali. Yaani timu zingine pale juu ziwe zinaitazama tu ikiingia robo, just imagine
Sio kwamba haiwezekani. Mungu ana miujiza yake
Kwa hiyo ina hitaji maombi mazito sana. Kuna vifungu vya kwenye biblia au msaafu inabidi vitumike kuipeleka Yanga robo
Huu ndio ujinga wenuHaya matokeo yanatoa tumaini kwa Yanga. !
Akishinda mechi zake zilizobaki guarantee anakwenda!
Al hilal ameshindikana!
Unazani hajui kinachofanyika maandalizi ya msimuYanga haina tunguli
Dirisha dogo kwa Yanga anatakiwa kuwatumia robo fainali kama itatokea miujiza akipenyaYanga ataenda robo fainali kama dirisha dogo la usajili atalitumia vizuri
ππππKwenye faili aione Mtumishi mwana Yanga Carleen
AMEN π! Nashukuru sana Simba wanaendelea kuwakilisha Nchi vyema, Yanga waendelee na mechi za mchanganiππππ
Hakika Bwana wa majeshi atatufuta machozi yetu, Amina..!!
Nakusalimu katika jina lipitalo majina yote Mtumishi wa Bwana, Determinantor
Haya matokeo yanatoa tumaini kwa Yanga. !
Akishinda mechi zake zilizobaki guarantee anakwenda!
Al hilal ameshindikana!