Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hivi unadhani kwann Mangungu anabaki madarakani ? Ni kwa aina hii ya wanachama ya muhasibu ndio tatizo pale simbaNinanunua post na like au reaction yeyote ya Mwasibu alijitokeza humu na malipo nitayafanya kupitia CRDB bank
😂😂😂😂Ninanunua post na like au reaction yeyote ya Mwasibu alijitokeza humu na malipo nitayafanya kupitia CRDB bank
Naunga mkono hoja.Hivi unadhani kwann Mangungu anabaki madarakani ? Ni kwa aina hii ya wanachama ya muhasibu ndio tatizo pale simba
Kagoma kabisa kuleta picha ya msimamo!Naomba picha ya msimamo kwa sasa..
Bingwa ameshaonekanaMsimamo baada ya kiporo cha Simba na AzamView attachment 2899448
Mkuu weka msimamo wa LeoiIa huu uzi🤣
Ubingwa tayari 🏆
Kwa bahati mbaya🤣🤣
[emoji2957][emoji2957]View attachment 2773305
Yanga mnaendeleaje. Nimeambiwa mna unbeaten 4 kasoro moja(unbeaten kasoro Ihefu)