Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😄Jamaa page za mwanzo karudi vizuri tu saiv hataki tena kutia neno.
😂😂😂Muhasibu mjinga mjinga
Na kwa kuuchuna tu Muhasibu anajua. 😂Jamaa page za mwanzo karudi vizuri tu saiv hataki tena kutia neno.
Mimi ninaona kuna uwezekano mkubwa wa kuikosa hata hiyo nafasi yenyewe ya pili msimu huu! Maana ana mechi ya kipolo na Azam. Na hata akishinda michezo yake miwili, bado atakuwa nyuma kwa point 1!Simba imeanza kushindana na Azam kwenye kunaia nafasi ya pili; huenda wakaikosa.
Hivi kumbe hajamalizana na Azam!!!Mimi ninaona kuna uwezekano mkubwa wa kuikosa hata hiyo nafasi yenyewe ya pili msimu huu! Maana ana mechi ya kipolo na Azam. Na hata akishinda michezo yake miwili, bado atakuwa nyuma kwa point 1!
Kwa kasi ambayo Azam anahitaji hiyo nafasi ya pili, kwa mpira ambao Simba inaenda nao kwa sasa, sioni pia Simba kushika nafasi ya pili.Mimi ninaona kuna uwezekano mkubwa wa kuikosa hata hiyo nafasi yenyewe ya pili msimu huu! Maana ana mechi ya kipolo na Azam. Na hata akishinda michezo yake miwili, bado atakuwa nyuma kwa point 1!
Mechi tanoHIvi Yanga kabakiza mechi ngapi?
Anahitaji points ngapi ktk hizi mechi afunge hesabuMechi tano
1) Kagera
2) Mtibwa
3) Dodoma
4)Tabora
5) Prisons
Tnahitaji points 8 ambazo ni michezo mitatu tunyanyue ndoo.Anahitaji points ngapi ktk hizi mechi afunge hesabu
Point tisaAnahitaji points ngapi ktk hizi mechi afunge hesabu