Dah mkuu mwache apumue basi😃😃😃I mean no malice to Mhasibu , sina bifu wala kinyongo nae ni kama kuchamsha genge .
Nina enjoy utani ni enjoy ukorofi , baade Kuna mwengine nauzindua Leo TBT .
Hakika na kuna mitaa tukikutana naye Mwasibu tunafurahi naye kama sio sisi tunaemkaliaga kooni huku. 🤣🤣I mean no malice to Mhasibu , sina bifu wala kinyongo nae ni kama kuchamsha genge .
Nina enjoy utani ni enjoy ukorofi , baade Kuna mwengine nauzindua Leo TBT .
Mpumbavu unampumzishqjeNimeufufua , Mwasibu hakuna kumpuzisha..
Profile lake kaficha , mtu huwezi kuona nyuzi za nyuma alizowahi kuanzisha ila watu tulitunza risiti kwa hiyo tunasearch nyuzi inajileta.Dah mkuu mwache apumue basi😃😃😃
Ila humu ndani😂😂😂mnatunza adi Risiti🙌🙌🙌kwel wataalamu wa banterProfile lake kaficha , mtu huwezi kuona nyuzi za nyuma alizowahi kuanzisha ila watu tulitunza risiti kwa hiyo tunasearch nyuzi inajileta.
AaahaaHuwa inaanzaga hivi ila huko mbeleni sasa. 🤣🤣
Saa hizi mwasibu na jopo lake wote wanatamani ligi iishie hapa. 🤪🤪
View attachment 3076079
Uliishia nafasi ya ngapi mkuu??Ally Kamwe anasema eti sio mpira tena ni marathon, basi kama ni marathon mwambieni simba ni kipchoge
Mavi ya kaleUliishia nafasi ya ngapi mkuu??
AiseeHuwa inaanzaga hivi ila huko mbeleni sasa. 🤣🤣
Saa hizi mwasibu na jopo lake wote wanatamani ligi iishie hapa. 🤪🤪
View attachment 3076079
HayanukiMavi ya kale
Yanga mnaendeleaje. Nimeambiwa mna unbeaten 4 kasoro moja(unbeaten kasoro Ihefu)
Ngovu moya ya mfadhili wetu.Simba Sports Club
One Team, One Dream
NGUVU MOJA
Ipo Kileleni Mawinguni Juu Hapa Hapa
Tafadhali Baridi Ni Kutetemeka Sana View attachment 3187478