Upige na lamination kabisaMimi kama mtunza risiti mkuu wa Jf huu uzi nimeuhifadhi mahali salama .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upige na lamination kabisaMimi kama mtunza risiti mkuu wa Jf huu uzi nimeuhifadhi mahali salama .
Tunza mkuu,kitunze kidumuMimi kama mtunza risiti mkuu wa Jf huu uzi nimeuhifadhi mahali salama .
Tuko poa tukijiandaa kuwanyoa,waarabu ndani na nje🤸🤸🤸😂😂😂View attachment 2773305
Yanga mnaendeleaje. Nimeambiwa mna unbeaten 4 kasoro moja(unbeaten kasoro Ihefu)
Makolokolo humwona ni lishabiki liandamizi kindakindaki kuyaongoza kumbe ndiye anayatia nuksi tupu na kuibariki Yanga FC [emoji851]Jamaa ajielewi kila nikikumbuka zile nyuzi zake mbili nabaki nacheka sana [emoji1787][emoji1787]
uto kama uto, ihefu kabla ya mechi na Yanga alikuwa na point 3. Angalia timu zenye point 3 ziko nafasi 13, hivyo baada ya kuwapakata utopolo ihefu imefikisha point 6. Nafasi ya 7Yanga match 3/4 kacheza na timu nane za juu, simba kacheza na timu nane za chini 4/4
Wewe ni JF comedian, hebu tupe msimamo wa ligi nani anaongoza ligi?View attachment 2773305
Yanga mnaendeleaje. Nimeambiwa mna unbeaten 4 kasoro moja(unbeaten kasoro Ihefu)
Washauri wapige screenshot kabisa, maana Azzam ndio inaongoza ligi.Mimi kama mtunza risiti mkuu wa Jf huu uzi nimeuhifadhi mahali salama .
Wewe ni mpuuzi tu huna cha kunisumbua. Shida ni nini hapo. Nimeweka msimamo nikauliza timu yako ipo wapi? Huelewi nini hapo.Wewe ni JF comedian, hebu tupe msimamo wa ligi nani anaongoza ligi?
Huu ni ujinga, round ya Pili ndio msema kweli siyo hizi mechi 4 unawehuka.
Kabisa naunga mkono hoja 👍👏Makolokolo humwona ni lishabiki liandamizi kindakindaki kuyaongoza kumbe ndiye anayatia nuksi tupu na kuibariki Yanga FC [emoji851]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Naunga mkono hoja 👍👏Mpira ni mchezo tu. Nothing serious jamani msituseme wana Yanga. Kufungwa ni moja kati ya matokeo matatu ya mchezo wa mpira wa miguu
Nimezingatia mkuu ,ila now sijui msimamo unasoma vipi.Upige na lamination kabisa
Itakuwa mnyama hajacheza,Nimezingatia mkuu ,ila now sijui msimamo unasoma vipi.
Ni utabiriKaka jana ulisema 4 mbona ziliishia 3[emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23] unamkaba kila konaNaomba msimamo kwa sasa.