Mzee Wa Kazi Chafu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2022
- 2,245
- 4,966
Oyaa mzee post msimamo bhanaa...watu tunataka kujua timu zetu zipo nafasi gani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea kupiga puani na kichwani bado anapumua mkuuNdugu mhasibu Huu uzi tunauhifadhi kwa matumizi ya baadae.
Ule Uzi wa Mayele vs Kibu ulimpa presha hadi akaamua kubadili jina. Now amelirudia jina lake, ila still anaendelea kutoa mabokoDuh! mpaka sasa mleta uzi kala kona haleti updates..
Tunamuombea Kila baya apate kipigo kesho.gamondi kashafukuzwa baada ya kufungwa mkono. hayaa naona robetinyo ndio yuko kazini kuwa noa wanalunyasi aka mbumbumbu fc.
Kupata vichekesho kama hv tunabonyeza ngapi? [emoji1]Tunamuombea Kila baya apate kipigo kesho.
Katokomea mitiniMsimamo unatia uchungu sana..
Up9 na wewe?Kupata vichekesho kama hv tunabonyeza ngapi? [emoji1]