Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Aje kwetu pwani aoge maji ya bahari. (Jokes). 😂😂😂Mwasibu ana nuksi huyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aje kwetu pwani aoge maji ya bahari. (Jokes). 😂😂😂Mwasibu ana nuksi huyo.
🤣🤣🤣 Hatari sana Swahiba.Muwasibu wa mchongo aibu yake 😂,uzi wake wa 4 huu unaodhihirisha rage alikua sahihi kuwapa lile jina 😂
Huyo ali sasahivi ukimuuliza hakwambii ligi ni marathon bali mafuta na maji yanajitengaVipi kipchonge? Vipi kwasasa unaamini maneno ya Ally Kamwe kuwa ligi ni marathon au bado?
Hahahahaha,dahView attachment 2773305
Yanga mnaendeleaje. Nimeambiwa mna unbeaten 4 kasoro moja(unbeaten kasoro Ihefu)
Huyu nae ni popoma tuUkitaka mkeka wako usichanike, msikilize huyu jamaa halafu mpuuze
Sio bahati mbaya,Huyu kijana nadhani aache tu kushabikia mpira maana siku zote ana bahati mbaya tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji870]
Ni mateso [emoji23][emoji23][emoji2772][emoji2772][emoji2772]Vipi kipchonge? Vipi kwasasa unaamini maneno ya Ally Kamwe kuwa ligi ni marathon au bado?
Swahiba umesahau ishara takatifu [emoji2772][emoji2772][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hatari sana Swahiba.
😂😂😂Swahiba umesahau ishara takatifu [emoji2772][emoji2772]
Huyu Mwasibu wetu ni Selemani.Mleta Uzi kama kawaida yake amekula Kona ya mbali kabisa..
Cc : OKW BOBAN SUNZU ,huu uzi Una warranty mpaka mwisho wa msimu ,usikimbia mapema tuendelee kupenda updates..