Msimchukulie poa Haji Manara

Ngoja wadau wanasema neno hapa.
 
Rubbish. Simba SC itabaki kuwa timu bora kutokana na mikakati yake ya kuandaa kikosi na tactics za uwanjani. Haihitaji domo la Manara ili kuchukua vikombe.

Mashabiki wa Simba wapo na walikuwepo hata kabla ya manara. Nimeanza kuishabikia Simba SC mwaka 1994 wakati huo hata Manara hajulikani.

Don't talk about politics in the world of football.
 
Huyo ole Mushi kawa mjinga shabiki wa kweli hawi influenced na muomgeaji wa team, wengine tumeanza ushabiki wa team Simba tangu utoto, huyo manara hata hakuwepo. Ushabiki hunoga team ikifanya vizuri and not otherwise
You don't know football!
 
Mpira wa miguu siyo sawa na chama Cha siasa,
Upenzi na ushabiki wa mpira au michezo huanza toka utotoni ,fofauti na chama Cha siasa,ndiyo maana tunaona kiongozi wa chama Cha siasa anaweza kutoka chama A akaenda chama C na akaondoka na wafuasi wengi sana,
Hakuna popote pale eti Manara awe na wanachama na ondoke nao ,ujue huyo hakuwa mwanasimba labda Kama alikuwa mpenzi wa Manara.

Je mnara kaludisha kadi ya Simba?
Na viongozi wa Yanga hata hawana akili ya kubaini hilo,

Manara hatabaki kuwa mpenzi na mwanachama kindakindaki mpaka kufa.
 
Kwa litimu kama la yanga ataongea had achanike mdomo vipigo na Simba kunyanyua makombe vitamnyamazisha tu ubora wa timu haupo kwa msemaji upo kwenye uwezo mmoja mmoja wa wachezaji
 
You don't know football!
Yani ushabiki wa kipumbavu wa manara ndo football, are you serious yani una team mbovu then wategemea mpiga Domo ndo akuze team mhhhhhhh
 
Basi timu ziwaondoe wawekezaji.
Zitafute wasemaji kama Manara ili ziweze kufanya vizuri uwanjani.
 
Yani ushabiki wa kipumbavu wa manara ndo football, are you serious yani una team mbovu then wategemea mpiga Domo ndo akuze team mhhhhhhh
The game is played on and off the pitch, especially in Africa.
 
Yani ushabiki wa kipumbavu wa manara ndo football, are you serious yani una team mbovu then wategemea mpiga Domo ndo akuze team mhhhhhhh
Hujui kwamba ukiwa na gari mbovu, unatakiwa umpatie mpiga debe nzuri! Litajaza tu, tena mapeemaa. [emoji16]
 
Mbona Thobias Kifaru na yule jamaa mwingine mzee wa kupapasa Masau Bwire ni wachongaji ngenga wazuri sana kuliko hata Manara, na timu zao haziuzi jezi wala kuwa na umaarufu...
 
Hata yeye ashawahi kusema atakuwa shabiki wa simba mpaka kufa.
Sema ameenda kule kibiashara
 
Kwa litimu kama la yanga ataongea had achanike mdomo vipigo na Simba kunyanyua makombe vitamnyamazisha tu ubora wa timu haupo kwa msemaji upo kwenye uwezo mmoja mmoja wa wachezaji
Ila itakua ameenda yanga kibiashara sizani kama kuna usemaji ndani yake.
 
Mpira uwanjan sio maneno,yani simba wacheze birian wanifurahishe afu nshindwe kununua jezi ety kisa manara hayupo ???? Dah ..ntakuwa wamwisho kukubali hili
 
Simba wamemtema sio kwamba wamepoteza.
 
Mbona Thobias Kifaru na yule jamaa mwingine mzee wa kupapasa Masau Bwire ni wachongaji ngenga wazuri sana kuliko hata Manara, na timu zao haziuzi jezi wala kuwa na umaarufu...
Itakua hawajui kua ni ubora wa timu ndo hufanya mazuri.
 
GSM sio public listed company. Haiko DSE ni kampuni ya Mohammed na wenzake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…