Msimsimange, mie nampenda hivyo hivyo

Msimsimange, mie nampenda hivyo hivyo

Mi nisipooga nahisi kama Kuna vitu vinatembea mwilini na nakuwa mzito mzito siku inakuwa mbayaa
 
Huyo mpeleke Car wash... unaongea na wale vijana unawakatia kama buku tano hivi. Wanamfumulia yale maji kama wanaosha malori ya kubeba taka. Hii nakusaidia ili mambo yasijezidi kuwa mabaya ukajikuta unalazimika kuingia gharama kubwa kuita Fire Brigade ...

Wajanja tushakuelewa lakini... hapa lazima unazungumzia kitimoto... Pamoja na mambo yake yote yale bado anabakia kuwa mboga tamu kuliko zote duniani na kwenye mabaa... shahidi yangu Kasie Mahaba Matata

Malabuku zako bin tumbafuu zetuu aahahahahahhaaa
Halafu Babu leo naniliuu....

Saa saba mchana sharp.
 
Mkuu, uwe unaoga nae labda inaweza amsha hisia za yeye kuoga. na kabla hujamaliza umalize na yeye hukohuko, anaweza penda kimchezo maeneo hao then mwenyewe atakua hawezi kuoga bila wewe. 😁😁😁
 
Na wasichana wasiopenda kuoga ni wanahashiki usipime.
 
Ukiwa na mwandani pepo si rahisi kujua ila watu wa nje ndio tunajua
 
Kwa hiyo tukuyu ipo kama K??
Watu watukuyu njoon huku muone mtu kawatukana
 
Hapo mkiingia maabara ya kutengeneza mtu jasho ikianza mnafumba pua
 
Mi mwenyewe kitu nisichopenda ni kuoga.
Tuko wengi kumbe, huwa naoga kutimiza wajibu

Kuna ujauzito fulani nilichukia kuoga nakumbuka nilivuta mwezi mzima pasipo kuoga Ni kunawa uso kwapa miguu na papuchi
 
Malabuku zako bin tumbafuu zetuu aahahahahahhaaa
Halafu Babu leo naniliuu....

Saa saba mchana sharp.

Wahi chapchap sana yani. Yani, shuwaaaaaap!

1593168805044.png
 
Back
Top Bottom