Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,486
- 51,156
Wachana na Mimi..Siku ile nikasubiri unipe codes nikale mbuzi ukakaushaUnapenda kuogeshwa najua. Afu kila nikikupa mwaliko unanipiga kibuti. Sijui nimwachie Mungu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wachana na Mimi..Siku ile nikasubiri unipe codes nikale mbuzi ukakaushaUnapenda kuogeshwa najua. Afu kila nikikupa mwaliko unanipiga kibuti. Sijui nimwachie Mungu?
Unaijua sehemu zinazotoa harufu mwilini?Siutakuwa unanuka mkuu?? Au huwa unatumia perfume??
point za nini?Naona mnajiongezea point tatu kwa buji
Shida siyo uvivu sipendi majiNaomba nijitolee kukuogesha
Khaaa... ushanigeuzia kibao... Dah!Wachana na Mimi..Siku ile nikasubiri unipe codes nikale mbuzi ukakausha
Naona uzi wako kule wa kutusimanga, mods wametambaa nao hahahahaC
Wee mzee muhuni sana, duh
Huyo mpeleke Car wash... unaongea na wale vijana unawakatia kama buku tano hivi. Wanamfumulia yale maji kama wanaosha malori ya kubeba taka. Hii nakusaidia ili mambo yasijezidi kuwa mabaya ukajikuta unalazimika kuingia gharama kubwa kuita Fire Brigade ...
Wajanja tushakuelewa lakini... hapa lazima unazungumzia kitimoto... Pamoja na mambo yake yote yale bado anabakia kuwa mboga tamu kuliko zote duniani na kwenye mabaa... shahidi yangu Kasie Mahaba Matata
Atakuwa anakunya sema tu kiongizi kasahau kutuambia kuwa anaosha na KiyelaIla kwenda kunya si anakunya vizuri tu...?
Unaijua sehemu zinazotoa harufu mwilini?
Siku hiz K imekua tukuyu??
Tuko wengi kumbe, huwa naoga kutimiza wajibuMi mwenyewe kitu nisichopenda ni kuoga.
Malabuku zako bin tumbafuu zetuu aahahahahahhaaa
Halafu Babu leo naniliuu....
Saa saba mchana sharp.