Msimu huu kwa Mpira huu 'mwingi' wa Yanga SC tutawasingizia Wananunua tu

Kwa hiyo we hapa unasimama kama media kwa kupendelea upande fulani wenye wafuasi wengi na sio mwana michezo ambaye hafungamani na uchawa?

Mbona haueleweki kama sigara kali?
Tangia lini Mpumbavu kama Wewe ukatuelewa haraka Sisi Vipanga ( Intelligents ) kama GENTAMYCINE hapa JamiiForums?
 
Mbona umepanick sana.
 
Ninachokukubali sometime unaongea UKWELI MTUPU nisichokukubali unapenda kuanzisha Threads za MAJUNGU.
 
Tangia lini Mpumbavu kama Wewe ukatuelewa haraka Sisi Vipanga ( Intelligents ) kama GENTAMYCINE hapa JamiiForums?
Mpumbavu hua ana inferior za uoga, mara zote hujihisi kua watu waliomzunguka wanamuona mpumbavu na namna pekee ya ku conquer hiyo situation ni kujisemea kua yeye ni intelligent
 
Did I say that Yanga SC is going to be Crowned NBC Premier League Silvaware for this Season?

Have you thoroughly read my Observation ( Analysis ) and grasped it fully and Logically?

I'm glad to meet such Nuts like you Guys.
The main indicator of a fool is multiple use of unpleasant phrases and words.

I congratulate you being among of the less trained local member! You're representing other fellows of yours.
 
Vipi kuhusu kafara, nayo tuige?
 
"Simba waige mbinu za Yanga zitawasaidia kuchukua ubingwa kwa mara ya tano mfululizo"
 
Kwa hiyo kila mtizamo wako ukubaliwe na wote? Tunakupinga unatukana halafu unakiri mitizamo yako mingine huwa inaenda fyongo.Wewe ni msukule uliochangamka.
 
Hakuna cha kuiga kutoka utopoloni. Simba inaiga mazuri kutoka kwa akina Mazembe, Mamelod , Raja casablanca n.k. Ni bahati tu imewaangukia hizo mechi tatu ila hamna timu hapo.
MAONI yaliyotolewa hayajasema timu ZIIGE YANGA, hakuna sehemu inasema ziige, bali YANGA iko vizuri msimu huu.
 
Kwakweli kocha mzuri, Nguvu wameimarika, akili bado hawajapata.
Nguvu nyingi akili kidogo na wakibanwa inawapelekea kuishiwa pumzi na kuishiwa mipango. Bado mapema Gent, yanga ni ileile ya misimu minne nyuma. Hawana sub za maaana kwa wazuri wachache walionao.
 
Well put na umejaribu kuonesha fitina na "mikakati michafu" ilivyo anza katika hii NBC Premier League. Na ukiongezea na ule mzigo wa Azam, basi itakuwa shida juu ya shida. Mikakati yote michafu, nina hakika itawalenga SSC kwani hao ndio wenye Ubingwa, hivyo kila kitu kitafanyika kuwasumbua ili wauteme huo Ubingwa na aupate Yanga.

Lengo kama hilo siyo baya ili mradi lifanyike kwa uhalali na haki KIMPIRA! Si umeona juzi pale Musoma na Dodoma, matajiri wanawapa hata ma - RC pesa ili Simba Sports Club ishindwe. Mbona huyo tajiri hakuwapa motisha kama hiyo Biashara FC ili washinde mechi yao ya CAF? Kwa akili ya kawaida tu, motisha kama hiyo hapo ingefaa sana au mbona hawapi pesa za kuwapeleka kwenye 2nd leg Libya au Tunisia!? Na huyo Mbunge mwingine mbona hakuwapa motisha Dodoma Jiji FC kwenye mechi yao ya juzi na wageni wa NBC Premier League, Mbeya Kwanza na wakaishia POINT MOJA?! Waache kutumika kama MATAMBARA YA DEKI, ambayo mwisho wa siku yanaishia KUFUTIWA MIGUU! Hiyo ndiyo siri ya matajiri hasa wenye asili ya Asia na Uarabuni, akisha pata atakacho ANA KUDAMPU!
 
Kwani Timu bora haiwezi Kutolewa Mashindanoni? Vilabu vikubwa huko Ulaya tena vyenye Usajili wa maana huwa havitolewi round za awali tu kama ilivyotokea kwa Yanga SC?

Nikiwa nawaita Majuha msikatae sawa?
Nikiitwa juha na juha wala sikatai.
 
Kwa hiyo kila mtizamo wako ukubaliwe na wote? Tunakupinga unatukana halafu unakiri mitizamo yako mingine huwa inaenda fyongo.Wewe ni msukule uliochangamka.
Punguani Wahed kama Wewe unaweza kunishauri kweli 'Einstein' kama Mimi GENTAMYCINE? Uwezo huo umeutoa wapi na umekuwa nao tokea lini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…