Msimu huu kwa Mpira huu 'mwingi' wa Yanga SC tutawasingizia Wananunua tu

Msimu huu kwa Mpira huu 'mwingi' wa Yanga SC tutawasingizia Wananunua tu

Tayari ashaandika unasema hatutaki, utopolo bhana. Sisi sio misukule,tunapinga kwa hoja kama binadamu wenye akili timamu. Huyu huyu aliwahi kumsifia Sarpong mechi ya kwanza tu kwamba ni bonge la striker na atafunga sana.
Kwani Logically kama nilishamsifia huko nyuma Michael Sarpong na hakufanya kile nilichokitegemea ndiyo kinaniondolea uhalali wa kuendelea kutoa mitizamo yangu zaidi ya Mechi na Wachezaji?

Hivi kuna Mchambuzi kama Gary Linekar ambaye alimtabiria makubwa sana Fernando Torres alipohamia Chelsea FC akitokea Liverpool FC ila hakufanya alichokitabiri na kukiona Kwake?

Je, baada ya Mchambuzi Gary Linekar Kukosea huko Kimtizamo imemuondolea Yeye nguvu ya kuendelea Kuchambua Mipira na hata kuendelea Kukubalika na Kufuatiliwa na Watu wengi?

Nikiwaita Wapumbavu msiwe mnanuna.
 
Huna lolote inawezekana ulikua unataka usemaji wa Simba wamekuchinjia baharini. Nenda zako tuachie timu yetu
Jitahidi upunguze Kwanza hao Funza waliojazana Ubongoni mwako na wakiisha rejea Kwangu GENTAMYCINE ili nikufundishe jinsi ya Kufikiri na kuwa na Akili ambazo kwa bahati mbaya huna bali una Ujuha mwingi tu na ambao ndiyo Unakutesa.
 
Pumbavu Afrika Kusini wana Redio yao moja Kubwa na Maarufu mno ya Metro FM je, umeshajiuliza ni kwanini pamoja na kwamba Ligi Kuu yao ya PSL ni ya Kitajiri, Kubwa na Maarufu lakini 99.9999% ya Content yao huwa ni Orlando Pirates, Kaizer Chiefs FC na Mamelodi Sundowns?

Ungekuwa kidogo una a,b,c's za Journalism, Marketing, PR and Promotion wala usingeuliza hili Swali lako la Kipumbavu kama ulivyo Mpumbavu wakati unajua fika kuwa kinachosababisha yote ni Kitu kiitwacho 'Content Marketability' ambayo katika Media kwa sasa ndiyo Kinachoangaliwa zaidi.
Kwa hiyo content marketability ni sifa anayotakiwa awe nayo mwana michezo au media?
 
Too early to celebrate!
Did I say that Yanga SC is going to be Crowned NBC Premier League Silvaware for this Season?

Have you thoroughly read my Observation ( Analysis ) and grasped it fully and Logically?

I'm glad to meet such Nuts like you Guys.
 
Jitahidi upunguze Kwanza hao Funza waliojazana Ubongoni mwako na wakiisha rejea Kwangu GENTAMYCINE ili nikufundishe jinsi ya Kufikiri na kuwa na Akili ambazo kwa bahati mbaya huna bali una Ujuha mwingi tu na ambao ndiyo Unakutesa.
Haya kijana wa Malimbe Saut mwanza. Kijana wa mitaa ya nyamalango yani hubadiliki unajazba sana. Kwaheriii
 
Mkuu wasikusumbue hata wana Simba SC wote waliopo hapa JamiiForums wakiungana na Kuanzisha Vita vya maneno nami hawaniwezi na yawezekana wengi wao wa sasa ni Wageni na Mimi hivyo ni vyema wakawauliza 'Magwiji' waliopambana nami hapa na bado walinishindwa na wengi wao wakaona sasa ni bora wawe tu na Urafiki nami na sasa tunaheshimiana.
hadi ben saa8 alikunyooshea mikono?
 
Kwa hiyo content marketability ni sifa anayotakiwa awe nayo mwana michezo au media?
Sasa kama mpaka leo hii hujui kuwa Nguvu ya Umma ( katika Media ni Audience ) ndiyo inaamua mtiririko mzima wa Vipindi ya nini GENTAMYCINE nipoteze muda wangu Kujadiliana na Pumbavu kama Wewe?

Umeshajiuliza ni kwanini Wahariri wengi wa Magazeti nchini ni lazima katika Kurasa zao za mbele lazima Taarifa ya Kumhusu Rais Samia iwepo na katika Kurasa zao za nyuma ni lazima Habari za kuwa huko ziwe ni za kuwahusu Yanga na Simba?

Maswali yako yanazidi kufanya nikupuuze.
 
Haya kijana wa Malimbe Saut mwanza. Kijana wa mitaa ya nyamalango yani hubadiliki unajazba sana. Kwaheriii
Angalia ulivyo Mpumbavu ( Fool ) unajifanya Kunijua wakati hunijui ila kwakuwa nilishasema nimesoma SAUT Mwanza basi unakurupuka kutaka kuja Kuwadanganya Watu hapa.

Sijaishi Malimbe bali nimekaa Nsumba tena katika Hostel ya Wanafunzi 'Watukutu' ila wenye Akili SAUT ( kwa mujibu wake aliyekuwa Vice Chancellor wetu Kipindi hiko Fr. Dr. Charles Kitima ) nzima ya Darfur nikiwa Chumba Jirani na Mheshimiwa Moses Machali na Mmoja wa Walinzi wa Waziri Mkuu wa sasa Kassim Majaliwa na 'Vichwa' vingine vya maana vingi tu.
 
Yanga kamfunga Simba ngao ya jamii 1-0
Kamfunga Geita gold 1-0, kamfunga Kmc 2-0 na mechi ya kagera sugar nayo 1-0.
Kimataifa kirafiki kafungwa na Zanaco 2-1, kafungwa na Rivers united Caf Champions league mara mbili 1-0 - tena 1-0.
Kimataifa katolewa hadi msimu ujao
Atacheza ligi na Fa mashindano ya ndani.
Angalia msafara wa Yanga una watu wangapi?
Na Fitna za Gsm unazijua????
Ubingwa kaupania sana Gsm kuliko Yanga unajua hilo? Ndani au nje ya uwanja Yanga atashinda - Gsm kwa fitna mipango mipango unawajua?? pamoja na genge la group la walioteuliwa kutafuta ushindi unawajua? Wapo sawa sawa wanaujua umafia kisawasawa.
Yaani kimpira bado saaaana na haitajulikana wakicheza ligi hii yetu.
Sema tu Simba hawaja jiandaa sana kimkati msimu huu hilo ndilo tatizo na huenda wakazidiwa na hayo, kumbuka mechi mbili za Simba na wakuu wa mikoa, watapata shiida mechi kadhaa wajaribu Simba kucheza mpira kabla ya mechi kwa baadhi za mechi au watapata shida kiasi.
Kumbuka hii ni Tanzania! Mpira wake na desturi zake.
Illa Simba ikitulia kimpira bado watakuwa bora kuliko Yanga tatizo lipo katika Mipango ya Gsm - msimu huu kajipanga hasubiri dk 90 umafia kwa kwenda mbele na kwa hakika wana uwezo.
Asante
Cry son cry, it's okay to cry.
 
Sasa kama mpaka leo hii hujui kuwa Nguvu ya Umma ( katika Media ni Audience ) ndiyo inaamua mtiririko mzima wa Vipindi ya nini GENTAMYCINE nipoteze muda wangu Kujadiliana na Pumbavu kama Wewe?

Umeshajiuliza ni kwanini Wahariri wengi wa Magazeti nchini ni lazima katika Kurasa zao za mbele lazima Taarifa ya Kumhusu Rais Samia iwepo na katika Kurasa zao za nyuma ni lazima Habari za kuwa huko ziwe ni za kuwahusu Yanga na Simba?

Maswali yako yanazidi kufanya nikupuuze.
Kwa hiyo we hapa unasimama kama media kwa kupendelea upande fulani wenye wafuasi wengi na sio mwana michezo ambaye hafungamani na uchawa?

Mbona haueleweki kama sigara kali?
 
nyie mashabiki vileja acheni kuhukumu mtu kwa vile ni 3/30 , inatakiwa msubiri ikishafika 30/30 ndo muanze hayo matusi

muda ni mwalimu mzuri mtakuja kumpa heshima yake mwisho wa msimu

mpenzi msikilizaji tuwasikilize wadhamini ila hadi sasa mshabiki wa kweli GENTAMYCINE 3 mashabiki vileja 0
 
Back
Top Bottom